• Hii• Wakati• Na• Mitaifanya• Usisikie• Munataka,• Misitaseme• Watoto• NAMNA• Leo• Sisi• Ni• Jibu• Hii• Ni• MUFANO• FUNDISHO15macho ya watu iko namna kufuchamwa, lakini toka richo ya Mungu hatuweze kufuchama ma kazimabaya yetu.saa moja mtoto anafungula mkono yake kuiba kintu moja ugeni na anasema: « Muzuri,hasikunione hata mutu moja», hii saa alimuona Mungu. Wakati mtoto mwingine anafungulakinywa yake na anachabula na anawaza: « Muzuri, kwani hasikunisikie mwalimu ao mama wangu»,lakini hii saa Mungu alimusikia.moja walimwambia kwa moja mutawa ya jangwa kufanya moja zambi.yule alijibu:hii zambi, lakini minataka kuenda katikati ya muji yetu mbele ya ma macho ya watuwote.haya? Walimuuliza. Na yule mtakatifu aliwajibu: Mbele ya watu mukona haya namunawaza watasema ninyi, lakini hamuwaze Mungu, mwenye anaona yoyote ma kazi na mawazowetu?watoto wangu, kuchunga ma lunrimi yenu safi toka kila neno mubaya na kilachabulana? Muchunge ma macho yenu mbali ya kila kintu, itayemiletea buchafu ku rohu yenu.Tena, muchunge masikio wasafi ya kila wimbo na sauti ya hii dunia. Tena tazama moja sindano yaroho tangu leo:hata moja sauti, ile hasipende kuisikia Mungu. Misitaende ku fasi moja, pahalimisitake kuniona pale Mungu. Misitafanye kintu moja, ile misitake kuiangalia Mungu.wapenzi wangu, musisahabu, ya kama kila saa Mungu anatuona!YAKUKARIBIAYA INEYA MUPANDAJI MBEGUfundisho yenu atafanya mwalimu mwingine. Munataka, watoto wangu?tunafurahi kusikia fundisho na ya mweye. Lakini ni nani huyu mwalimu mwingine?mwalimu kuliko mukubwa ya walimu weingine ya hii dunia muzima. Ni Bwana Yesu Kristu.Ni ninyi? Munashangaa, kwa sababu milimiambia ya kama fundisho leo atafanya Bwana YesuKristu?ya watoto: Ndivyo, tunashangaa, kwa sababu tunazania ya kama hii yote mafundishotunaifanya hapa ni mafundisho ya Kristu. Mweye, paka munaitupeleka kwa sisi.jibu yenu, watoto, ni kweli sana. Na minafurahi kwa sababu mukona hii akili kizuri. Na leomutasikia hii fundisho toka kinywa yangu. Lakini itakuwa sawa aliituwaambia Bwana Yesu Kristu.Juu ya ninyi milimisema ku mwanzo ya kama hii fundisho ya leo atafanya Yesu Kristu? Kwasababu, watoto wangu, hii fundisho ya leo, alikuwa mufano ya kwanza, iliyesema Yesu. Lakini nininyi mufano, ao parabole?moja historia, mukongo yake inafuchamwa moja fundisho ukweli. Ni vile. Watu wenyewekona akili kiloko yuu ya kusikia mafundisho ya nguvu, habaweze. Joo vile Kristu aliwasemaparabole juu ya kusikia hapana paka watu ya akili kiloko, lakini na wale wenye ilipaswa kusikia. Nahii parabole Kristu alionyesha mwalimu muzuri ngapi alikuwa. Ma Parabole walikuwa na mahistoria ya kweli ao beingine symbolique. Ma Parabole ni ma historia ya kweli, ile alibeba Kristutoka uzima ya watu, wenye wanatupatia moja fundisho kizuri na tangazo kwa uzima yetu. Sasaminaanza kumiambia hii mufano ya kwanza aliisema Yesu Kristu kwa wanafunji na watu weingine.HISTORIA. Wakati moja ilikuwa moja mupandaji mubarikiwa. Alipenda sana kazi yake. Alikuwana mbego kizuri. Aliweka moja asubui, pa mabeka yake mufuko na mbego na alienda ma shamba
• Hii• Alichofa• Hapa• Alichofa• Alisema!• Alichoka• Ku• Na• Hasikukuwe• Kazi• Wakati• Vile• Alichofa• Taambu• Na• Yesu• _• Mitamielezea!16yake juu ya kuipanda. Kila mbego aliitupa chini ilikuwa na moja sala: Mungu kubariki kila mbegojuu ya kuotesha na kukomea kuivya na kumupatia matunda yake.ma mbego ya kwanza aliitupa habakuangukie ku moja fasi ya bulongo kizuri. Waliishakuikanyanga watu, wenye walipita pale. Ilionekana kama njia udogo. Toka hii fasi walipitisha nawatu na wa nyama. Ku mwanzo aliwaza juu hapana kupanda hii fasi. Kisha alikuwa na mojakitumaini ndani yake na iko namna mbego yake kuiota. Vile na hii kitumaini alipanda mbego yake.ku fasi ingine. Mbele ya ma macho yake sasa anaona moja injine bulongo. Ilionekanaya kama ilikuwa shamba, lakini ndani yake walikuwa wa mingi maimbwe.mitapanda mbego ao hapana? Milipanda kwa ile fasi ku mbele, juu ya ninyi misitapendehapa? Na hivi alifungula mukono yake na alitupa ma mbego. Ingine mbego ilianguka yulu yamaimbwe na ingine pa bulongo kizuri kiloko.kiloko ku fasi ingine. Roho yake ilifurahi, kwani pale shamba ilikuwa na bulongokizuri. Vile inaonekana. Na mapendo mingi alitupa ma mbego mingi. Wakati alichofa toka hii fasi,aliwaza, kama itaota ao hapana, kwa sababu aliona kuotesha na mayani ya miimba.Haina mambo tutaangalia. Minatumainia, ya kama tutabeba matunda.sana huyu mupandaji, lakini aliendelesha kazi yake.mwisho alipaza sauti na furaha mukusema: Tazama! Hii bulongo militafuta. Hapa mbegoyangu itaota, itaivya na itanipatia matunda yake.kweli. Hii fasi ya ine ilikuwa moja shamba kizuri na safi.hata maimbwe, hata miimba, hata bulongo nguvu. Hii bulongo ilikuwa teketeke,sawa iliongolea hii mbego ndani yake. Na furaha mingi alipanda kwa hii bulongo huyu mupandaji.Yote ma mbego iliisha hapa.yake ilionekana ya kama iliisha. Lakini hasikuishe. Wakati alirudia kuangalia ma fasiingine, alitaambu. Aliona kwa hii fasi ya kwanza alipanda mbego, ma ndeke walipita na walikula hiimbego. Tena roho yake ilisikitika, kwa sababu walitambuka toka hii fasi na watu wasafiri nawalikanyanga hii mbulongo na walikusugulika hii mbego.ilipita ya mingi. Kisha ma mwezi wadogo huyu mupandaji alitembelea ile ma fasi ya kaziyake. Kwa hii fasi ya kwanza aliona, ya kama walikanyanga watu bulongo na hii mbego ilipotea.ilikuwa mwisho na kwa hii fasi ya mbili. Fasi ilikuwa na maimbwe wa mingi na bulongokizuri kiloko sana. Waliota ma mbego wadogo ma fasi ya kuachana. Lakini habakukuwe mizizi yanguvu. Maji hakuna na baridi. Na vile walikauka.kwa fasi ingine ya tatu. Bulongo ilionekana kizuri. Waliota ma mbego wazuri, lakinipamoja waliotesha na mayani ya miimba. Na hii miimba ilikomea kupita mbio na waliharabisha hiimayani ya mbego kizuri. Na yeye hasikuweze kutembea ndani yake kwa ajili ya miimba wa mingi.Toka mikono na mikulu yake ilitoka damu ya ma bilonda wa mingi juu ya miimba.yake ilikuwa mingi, lakini alikuwa kitumaini ku fasi ya ine. Na pale kweli,hasikupoteshe kitumaini yake.furaha mingi alipaza sauti na alisema: Mingi, mingi mayani ya mbego kizuri. Utukufu kwaMungu. Baraka ya Mungu.Kristu ku hii fasi ya Parabole yake alisimama. Wale walimusikia, walipumuzi kiloko. Sasawaliongolea kuwafafanusha Kristu maana ya hii parabole:Ni ninyi maana ya hii Mufano, ulituwambia, Mwalimu wetu? Walimuuliza.Kristu aliwajibu. Ninyi watu wekona masikio watasikia.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 19 and 20: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68:
• Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70:
• WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72:
• Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74:
• Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76:
• Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na