12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Hii• Wakati• Na• Mitaifanya• Usisikie• Munataka,• Misitaseme• Watoto• NAMNA• Leo• Sisi• Ni• Jibu• Hii• Ni• MUFANO• FUNDISHO15macho ya watu iko namna kufuchamwa, lakini toka richo ya Mungu hatuweze kufuchama ma kazimabaya yetu.saa moja mtoto anafungula mkono yake kuiba kintu moja ugeni na anasema: « Muzuri,hasikunione hata mutu moja», hii saa alimuona Mungu. Wakati mtoto mwingine anafungulakinywa yake na anachabula na anawaza: « Muzuri, kwani hasikunisikie mwalimu ao mama wangu»,lakini hii saa Mungu alimusikia.moja walimwambia kwa moja mutawa ya jangwa kufanya moja zambi.yule alijibu:hii zambi, lakini minataka kuenda katikati ya muji yetu mbele ya ma macho ya watuwote.haya? Walimuuliza. Na yule mtakatifu aliwajibu: Mbele ya watu mukona haya namunawaza watasema ninyi, lakini hamuwaze Mungu, mwenye anaona yoyote ma kazi na mawazowetu?watoto wangu, kuchunga ma lunrimi yenu safi toka kila neno mubaya na kilachabulana? Muchunge ma macho yenu mbali ya kila kintu, itayemiletea buchafu ku rohu yenu.Tena, muchunge masikio wasafi ya kila wimbo na sauti ya hii dunia. Tena tazama moja sindano yaroho tangu leo:hata moja sauti, ile hasipende kuisikia Mungu. Misitaende ku fasi moja, pahalimisitake kuniona pale Mungu. Misitafanye kintu moja, ile misitake kuiangalia Mungu.wapenzi wangu, musisahabu, ya kama kila saa Mungu anatuona!YAKUKARIBIAYA INEYA MUPANDAJI MBEGUfundisho yenu atafanya mwalimu mwingine. Munataka, watoto wangu?tunafurahi kusikia fundisho na ya mweye. Lakini ni nani huyu mwalimu mwingine?mwalimu kuliko mukubwa ya walimu weingine ya hii dunia muzima. Ni Bwana Yesu Kristu.Ni ninyi? Munashangaa, kwa sababu milimiambia ya kama fundisho leo atafanya Bwana YesuKristu?ya watoto: Ndivyo, tunashangaa, kwa sababu tunazania ya kama hii yote mafundishotunaifanya hapa ni mafundisho ya Kristu. Mweye, paka munaitupeleka kwa sisi.jibu yenu, watoto, ni kweli sana. Na minafurahi kwa sababu mukona hii akili kizuri. Na leomutasikia hii fundisho toka kinywa yangu. Lakini itakuwa sawa aliituwaambia Bwana Yesu Kristu.Juu ya ninyi milimisema ku mwanzo ya kama hii fundisho ya leo atafanya Yesu Kristu? Kwasababu, watoto wangu, hii fundisho ya leo, alikuwa mufano ya kwanza, iliyesema Yesu. Lakini nininyi mufano, ao parabole?moja historia, mukongo yake inafuchamwa moja fundisho ukweli. Ni vile. Watu wenyewekona akili kiloko yuu ya kusikia mafundisho ya nguvu, habaweze. Joo vile Kristu aliwasemaparabole juu ya kusikia hapana paka watu ya akili kiloko, lakini na wale wenye ilipaswa kusikia. Nahii parabole Kristu alionyesha mwalimu muzuri ngapi alikuwa. Ma Parabole walikuwa na mahistoria ya kweli ao beingine symbolique. Ma Parabole ni ma historia ya kweli, ile alibeba Kristutoka uzima ya watu, wenye wanatupatia moja fundisho kizuri na tangazo kwa uzima yetu. Sasaminaanza kumiambia hii mufano ya kwanza aliisema Yesu Kristu kwa wanafunji na watu weingine.HISTORIA. Wakati moja ilikuwa moja mupandaji mubarikiwa. Alipenda sana kazi yake. Alikuwana mbego kizuri. Aliweka moja asubui, pa mabeka yake mufuko na mbego na alienda ma shamba

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!