• Na• I.• 2.• 3.• 4.• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ulizo:• Jibu:17ya kwanza mitamielezea ni ninyi maana ya hii mbego. Mbego ni neno ya Mungu. MupandajiMukubwa ni Bwana Yesu, mwenye alikuja toka mbingu. Alifika kwa inchi yetu juu ya kupandambego ya fundisho yake kwa ma roho ya watu. Sasa munataka kusikia ma mbego yake waliendawapi?Basi, yule mbego ilianguka kwa hii fasi walimukula ma ndeke na watu wasafiriwaliikanyanga, munajua watu wa nani weko? Weko wale watu, wenye wanasikia neno ya Mungu.Lakini kwa roho yao hakuna faida, kwa sababu anakuja moja ndeke munene na anaiba hii mbegotoka ma roho yao. Munajua ni nani huyu ndeke? Ni Shetani. Kwa hawa watu ilianguka mbegonenoya Mungu, na mara moja hii neno ilitoka.Sasa mutasikia maana ya hii fasi ya mbili, pahali walikuwa na maimbwe wa mingi. Wekowale watu, wenye habaonekane wazaifu. Nikusema wanasikia na furaha mingi neno ya Mungu.Inawapendeza sana na wanafurahi. Wanaona ya kama hakuna kintu kizuri kuliko, mbele ya neno yaMungu. Lakini, wakati wanatoka, habaendelee kusaidia ma roho yao na chakula ya neno ya Mungu.Wanakatala kumwanga ma roho yao na maji ya neno ya Mungu. Vile, inatoka hii matakio yao yakwanza. Na, wakati wataonekana ma majaribu na mateso ya kwanza, wanasahabu yoyote manenoya Mungu na wanarudia ku uzima yao ya zamani. Hakuna mizizi mbego yao. Walikuwana heshimana mapendo ya neno ya Mungu ya bure na ya wakati kiloko.Ni ninyi maana ya wale watu wanafanana na hii shamba pahali mbego iliota, lakini pamojailiota na miimba. Hawa watu wanapokelea neno ya Mungu, bila shaka na bila mabishano.Waliikamata hii faida ya neno ya Mungu ndani yao ya wakati mingi, lakini ndani yao ni na miimba.Habakutumike mbele kutosha ma miimba. Ni ninyi hii miimba? Ni ma zambi na ma zwezomabaya wetu. Ni ma mambo wa mingi na mateso na sikitiko mingi ya hii uzima. Watu leowanapenda kuishi na furaha ya hii dunia, na muchezo, kukunywa vinyo na hivi furaha ya neno yaMungu inakimbia na mapendo ya wokovu yao inazimisha. Vile ma nafsi wao inapotea.Na sasa mitamielezea na hii maana ya hii fasi ya ine. Hii fasi ilikuwa na bulongo kizuri.Nikusema weko watu, wenye wanapokelea hii neno-mbego ya Mungu na mapendo mingi nawanaichunga ku uzima yao. Wale watu wanaokolewa. Wanatumika kila siku matendo wazuri juu yawokovu wao. Vile wekona baraka ya Mungu ku uzima yao. Vile itakuja na hii wakati ya matundayao. Ni ninyi matunda? Uzima ya milele mu Paradizo ya mbingu. MAELEZEO. Hapa, watotowangu, inaisha hii parabole na ufafanusho yake, sawa alituifundisha Bwana Yesu Kristu, tokaEvangelion ya Mwavangelizaji Luka. Ulizo: Namna gani inaitwa hii historia ya leo?Mufano ao Parabole. Hii ni parabole ya kwanza, iliyeyoka toka kinywa ya Bwana Yesu.Namna gani inaitwa hii Parabole?Parabole ya Mupandaji.Munakumbukeni hii ma fasi ya ine alipanda mbego yake huyu mupandaji? Jibu: HIi fasiya kwanza ilikuwa kama njia, pahali walipita watu na walikanyanga bulongo. Fasi ya mbili ilikuwana ndani maimbwe kiloko-kiloko, Fasi ya tatu iliisha kujaza na miimba na fasi ya ine ilikuwabulongo kizuri.Ni ninyi maana ya hii shamba na maana ya hii mbego?Mbego ni neno ya Mungu, Evangelion yake, Ubiri, fundisho ya Kristu na ya Kanisa yetu.Shamba ni ninyi? Ni ma nafsi ya watu wote ya dunia. Ulizo: Na ndani ya ma roho yetu inaangukambego ya Mungu. Lakini sisi kama tunapenda kutosha matunda hii mbego, inapaswa kufatacategorie nani? Jibu: Kategorie ya ine. Nikusema ma roho yetu inapaswa kufanyika bulongo kizurijuu ya kuota mbego-neno ya Mungu na kutusaidia kuokolewa. FUNDISHO: Inapaswa kusikia masauti na mafundisho ya Mungu na ya Kanisa yetu. Sauti ya Madiko tutabeba hii ma sauti alisemaBwana Yesu ku mwisho ya hii Mufano yake:
• SAUTI• MATENDO• Juu• Iko• Hii• Wale• Haina,• Watu• Watu• Mweye,• Dunia• Ile• Basi,• (Matendo• FUNDISHO• EFTIHOS18YA MADIKO TAKATIFU: « Wanasikia neno, na kulishika, kisha wanazaa matundakwa uvumilivu» (Luka 8, 15).KU UZIMA YETU. Hii Parabole inatujibu kwa moja ulizo tunasikia sisi aotunasema. Ni hii:ya ninyi watu wote habakuwe wa Kristiani? Na wale, wenye weko wa Kristiani, juu yaninyi kuliko ya wamingi habatumike matendo wazuri, habajue uzima ya Kristu, wanaishi mbali yaKanisa ya Kristu? Ni nani mukosefu ya hii mambo?namna kukosana wa mingi na hapana mpaka moja. Huyu moja ni mbego.mbego ni neno ya Mungu, iliyekuja toka Mungu mu dunia.walisafiri mara ya kwanza ku Amerika walibeba na ma mbego ya mbego ngano na leoAmerika ni chem-chem ya kutosha ngano ya milioane kilograme. Vile ilifanyikwa na Yesu Kristu.Mungu alikuja mu dunia na pamoja yake alileta na mbego, neno ya fundisho ukweli yake.Evangelion ya Kristu ni chem-chem ya hii mbego ya Kristu.basi kosa toka mbego; moja mwingine anakosana. Kuliko inakosana shamba, nikusemawatu. Watu wa mingi weko kwa ile vipande ya shamba, tulisema yulu. Mungu anapanda na mbegoyake ma roho ya watu wote. Lakini hasipende na force kufata watu fundisho na imani Yake.Wakosefu ma shamba, ma roho ya watu. Beingine ma roho ya watu wanafanana sawa ile njia,iliyeikanyanga watu. Ma roho yao iko ya nguvu sawa ciment. Hakuna wema kwa roho yao.Wanachabula wa nduku wao, wanawapika, wanawawua. Neno ya Mungu hasikupande hata kilokondani ya ma roho yao.weingine wanafanana kama moja shamba, pahali ndani yake ni na maimbwe ya kiloko yamingi. Nikusema matendo yao ni beingine. Kwa mufano watoto wa ngapi wanapenda kupitamuchezo ya football na hapana mafundisho ya masomo yao na neno ya Mungu?weingine wanafanana kama ma shamba ya miimba. Kama utawakaribia, watakupingilia namiimba yao, nikusema na ma kosa na zwezo mabaya yao. Wanakombana paka watakula ninyi kilasiku, watakunywa ninyi, watacheza namna gani. Vile wanawaza na vile wanaishi.watoto wangu, minazania ya kama munataka kufata hii kipande ya wale watuwanafanana na hii shamba kizuri. Mulikuja ku hii Masomo yetu juu ya kufamia huyu Mupandajimukubwa, Yesu Kristu. Nafsi yenu inapokelea fundisho Yake. Basi, muichunge hii neno ya Kristu,kwa sababu iko hatari kuiba wamwivi, nikusema shetani. Hii ni zahabu ya ma roho yenu.muzima ilijaza na matunda ya mbego ya shetani. Beingine watoto kuliko wakumbwa yamweye walifanyikwa watu mabaya. Lakini muji yetu na wazazi wetu na sisi tunataka kuona mweyekutondola ma mbengo wazuri. Matunda ya wema na mapendo ya Mungu na watu wote. Kila mtotoinapaswa kisha kufanyika moja mupandaji mudogo. Mbego yenu itapata shamba muzuri kwa maroho ya watu na italeta matunda wazuri.YA TANOya Mitume 16, 9-10 na 20, 7-12)wakati aliishi Mutume Paulo mu inchi Asia Udogo ilikuwa muji moja iliyeitwa Troa. Leondani ya hii muji, watoto wangu, mutasikia moja ukusanyo ya wa Kristiani ya ile wakati. Hiihistoria na ukusanyo iliandikwa mu Kitabu Matendo ya Mitume, pahali tunasoma mashindanoiliwafanya wa Mitume Paulo na Petro.wakati moya, alienda ku hii muji Mutume Paulo. Kazi ya Paulo ilikuwa kukokota watu kwaimani ya Kristu. Wale, walimuamini Kristu ya hii muji walikuwa kundi ya kwanza ya wakristiani ya
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 21 and 22: • Lakini• Inasikiwa• Eftihos!
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70:
• WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72:
• Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74:
• Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76:
• Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na