12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Na• I.• 2.• 3.• 4.• Jibu:• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ulizo:• Jibu:17ya kwanza mitamielezea ni ninyi maana ya hii mbego. Mbego ni neno ya Mungu. MupandajiMukubwa ni Bwana Yesu, mwenye alikuja toka mbingu. Alifika kwa inchi yetu juu ya kupandambego ya fundisho yake kwa ma roho ya watu. Sasa munataka kusikia ma mbego yake waliendawapi?Basi, yule mbego ilianguka kwa hii fasi walimukula ma ndeke na watu wasafiriwaliikanyanga, munajua watu wa nani weko? Weko wale watu, wenye wanasikia neno ya Mungu.Lakini kwa roho yao hakuna faida, kwa sababu anakuja moja ndeke munene na anaiba hii mbegotoka ma roho yao. Munajua ni nani huyu ndeke? Ni Shetani. Kwa hawa watu ilianguka mbegonenoya Mungu, na mara moja hii neno ilitoka.Sasa mutasikia maana ya hii fasi ya mbili, pahali walikuwa na maimbwe wa mingi. Wekowale watu, wenye habaonekane wazaifu. Nikusema wanasikia na furaha mingi neno ya Mungu.Inawapendeza sana na wanafurahi. Wanaona ya kama hakuna kintu kizuri kuliko, mbele ya neno yaMungu. Lakini, wakati wanatoka, habaendelee kusaidia ma roho yao na chakula ya neno ya Mungu.Wanakatala kumwanga ma roho yao na maji ya neno ya Mungu. Vile, inatoka hii matakio yao yakwanza. Na, wakati wataonekana ma majaribu na mateso ya kwanza, wanasahabu yoyote manenoya Mungu na wanarudia ku uzima yao ya zamani. Hakuna mizizi mbego yao. Walikuwana heshimana mapendo ya neno ya Mungu ya bure na ya wakati kiloko.Ni ninyi maana ya wale watu wanafanana na hii shamba pahali mbego iliota, lakini pamojailiota na miimba. Hawa watu wanapokelea neno ya Mungu, bila shaka na bila mabishano.Waliikamata hii faida ya neno ya Mungu ndani yao ya wakati mingi, lakini ndani yao ni na miimba.Habakutumike mbele kutosha ma miimba. Ni ninyi hii miimba? Ni ma zambi na ma zwezomabaya wetu. Ni ma mambo wa mingi na mateso na sikitiko mingi ya hii uzima. Watu leowanapenda kuishi na furaha ya hii dunia, na muchezo, kukunywa vinyo na hivi furaha ya neno yaMungu inakimbia na mapendo ya wokovu yao inazimisha. Vile ma nafsi wao inapotea.Na sasa mitamielezea na hii maana ya hii fasi ya ine. Hii fasi ilikuwa na bulongo kizuri.Nikusema weko watu, wenye wanapokelea hii neno-mbego ya Mungu na mapendo mingi nawanaichunga ku uzima yao. Wale watu wanaokolewa. Wanatumika kila siku matendo wazuri juu yawokovu wao. Vile wekona baraka ya Mungu ku uzima yao. Vile itakuja na hii wakati ya matundayao. Ni ninyi matunda? Uzima ya milele mu Paradizo ya mbingu. MAELEZEO. Hapa, watotowangu, inaisha hii parabole na ufafanusho yake, sawa alituifundisha Bwana Yesu Kristu, tokaEvangelion ya Mwavangelizaji Luka. Ulizo: Namna gani inaitwa hii historia ya leo?Mufano ao Parabole. Hii ni parabole ya kwanza, iliyeyoka toka kinywa ya Bwana Yesu.Namna gani inaitwa hii Parabole?Parabole ya Mupandaji.Munakumbukeni hii ma fasi ya ine alipanda mbego yake huyu mupandaji? Jibu: HIi fasiya kwanza ilikuwa kama njia, pahali walipita watu na walikanyanga bulongo. Fasi ya mbili ilikuwana ndani maimbwe kiloko-kiloko, Fasi ya tatu iliisha kujaza na miimba na fasi ya ine ilikuwabulongo kizuri.Ni ninyi maana ya hii shamba na maana ya hii mbego?Mbego ni neno ya Mungu, Evangelion yake, Ubiri, fundisho ya Kristu na ya Kanisa yetu.Shamba ni ninyi? Ni ma nafsi ya watu wote ya dunia. Ulizo: Na ndani ya ma roho yetu inaangukambego ya Mungu. Lakini sisi kama tunapenda kutosha matunda hii mbego, inapaswa kufatacategorie nani? Jibu: Kategorie ya ine. Nikusema ma roho yetu inapaswa kufanyika bulongo kizurijuu ya kuota mbego-neno ya Mungu na kutusaidia kuokolewa. FUNDISHO: Inapaswa kusikia masauti na mafundisho ya Mungu na ya Kanisa yetu. Sauti ya Madiko tutabeba hii ma sauti alisemaBwana Yesu ku mwisho ya hii Mufano yake:

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!