12.07.2015 Views

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

WATOTO KWA KRISTU

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

• Busiku• Wanatuita.• Mambo• Hii• Alipita• Alikuja• Mutume• Wakati• Ilikuwa• Sala• Paulo19Kristu. Mutume aliwafundisha namna gani watamwabudu Mungu na namna kweli. Yeye inapaswakuendelesha safari ya utume yake. Mawazo wa mbili walimuuzi ndani ya akili yake. Uwazo mojailimwambia kurudia ku muji Antiohia, na uwazo ingine kuendelesha hii kazi takatifu yake. Ilewakati Mbulaya muzima na Grekia na Makedonia walikuwa ndani ya giza ya kila zambi.Waliongolea tangazo ya wokovu.moja, kwani aliisha kuchoka, alilaria kupumuzika. Kisha saa kiloko alilamuka mara mojana aliwaambia kwa wasaidizi wake:Inapaswa kwenda. Inchi Grekia inatuita! . . .ninyi ilifanyikwa? Aliona ku musigishi yake ndoto moja. Aliona mutu moja toka fasiMakedonia, kwa sababu alivaa manguo ya hii fasi. Alisimama mbele ya uso ya Paulo naalimwambia: «Vuka, uje Makedonia kutusaidia». Nikusema, pita kwa ngambo ingine ku inchiMakedonia na utusaidie. Utupe na kwa sisi hii nuru uliipatie na kwa ma fasi ingine. . . .ndoto, watoto wangu, ilituwambia ya kama sasa ilianza kuingia Ndini ya Kristianisme muMbulaya. Paulo, bila kuchelewa alisafiri ku fasi Makedonia ya Grekia, ku muji Filipi, Thesaloniki,Beria, Athina, Korintho. Tena Paulo alipita ma hii fasi na wakati alifanya na safari ya utume yake yambili na tatu.na toka muji Troa. Hasikusahabu wa Kristiani ya hii muji. Sasa Paulo alitembea hii mujisafari ya tatu yake kwa hii kazi ya Mungu.Paulo! . . . Vile toka kinywa moja mu injine kinywa ilizambalishwa hii tangazo kwa hiimuji yao muzima. Busiku ilifanyikwa ukusanyo. Wa Kristiani walikuwa wote juu ya kuonaMwalimu na Baba wao mukubwa, kusikia fundisho yake, kusikia ma tangazo yake ma mukini nama Kanisa weingine, na ku mwisho juu ya kuomba kwa Mungu kuibariki kazi yake.Paulo alibakia ku muji Troa ma siku saba. Ilipaswa kutoka na kutembea na haraka muYerusalema. Uwazo moja ilimwambia ya kama hii mara ataona wa Kristiani wake mara ya mwisho.Taji ya Ushahindi ilimuongolea. Mushindano Mutume Paulo iko ku mwisho ya sindano ya rohoyake. Busiku ya mwisho alifika ku muji Troa. Siku ingine asubui atabeba chombo na ataendeleshasafari yake ku muji Yerusalema. Munasikia, watoto, sikitiko ngapi ilikuwa kwa kundi ya waKristiani wake, kwa sababu habataone mara ingine mwalimu yao.ilifika giza hii busiku na watu ya sanamu walilaria kulala, kundi moya ya wa Kristianiwaliondoka kwenda ku fasi umoja. Inje ya muji Troa ni nyumba moja ya mukristu moja na palewanaenda wote wa Kristiani. Walipita mulango ya lupango, walipanda magasin ya hii nyumba, kwasababu hii nyumba ilikuwa na bipande ya tatu. Yulu ya hii kipande ya nyumba ilikuwa kanisa.Habakukuwe ma Kanisa sawa ma kanisa ya sasa. Kisha saa kiloko hii kanisa yulu ya hii nyumbailijaza ya watu. Ilikuwa inje kivukutu kwa ajili ya hazina ya watu mingi. Kwa hivi walifungula madirisha juu ya kuingia ndani pepo baridi.Mposho busiku. Ilikujaka mu Juma, siku ya Bwana, ile ni siku mukubwa ya wa Kristiani.Lakini hii busiku wa Kristiani wote walikuwa na moja furaha ya kuachana. Ku saa moja alikujakatikati yao Mutume Paulo. Walinyamaza wote na kimya ilikuwa kwa hii fasi. Watu wotewalisimama kuangalia mutume mukubwa.ya wa Kristiani hawa ilikuwa hii: Ee Bwana, juu ya ninyi atatoka kesho Mwalimu yetuPaulo? Namna gani sisi tutabakia wenye wenyewe? Hii ilikuwa sala yao kwa siri.alianza fundisho yake. Kiloko saa ku mbele waliisha kukula na kisha ilifata fundisho yaPaulo. Neno yake ilikuwa butamu na muzima. Sawa hii maji inatoka ya moja chem-chem. Ilipita hiisaa na ilikuja katikati ya hii busiku, lakini mwalimu Paulo anaendelea kuhubiri yake. Na waKristiani wekona matakio munene ya kusikia neno yake. Hata mutu moja hasikutenge ya fasi yake.Ma macho yao wanaangalia uso ya Mutume na wanatosha machozi kwa furaha. Ma Masikio yakewanasikia bila kuzimba fundisho yake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!