• Busiku• Wanatuita.• Mambo• Hii• Alipita• Alikuja• Mutume• Wakati• Ilikuwa• Sala• Paulo19Kristu. Mutume aliwafundisha namna gani watamwabudu Mungu na namna kweli. Yeye inapaswakuendelesha safari ya utume yake. Mawazo wa mbili walimuuzi ndani ya akili yake. Uwazo mojailimwambia kurudia ku muji Antiohia, na uwazo ingine kuendelesha hii kazi takatifu yake. Ilewakati Mbulaya muzima na Grekia na Makedonia walikuwa ndani ya giza ya kila zambi.Waliongolea tangazo ya wokovu.moja, kwani aliisha kuchoka, alilaria kupumuzika. Kisha saa kiloko alilamuka mara mojana aliwaambia kwa wasaidizi wake:Inapaswa kwenda. Inchi Grekia inatuita! . . .ninyi ilifanyikwa? Aliona ku musigishi yake ndoto moja. Aliona mutu moja toka fasiMakedonia, kwa sababu alivaa manguo ya hii fasi. Alisimama mbele ya uso ya Paulo naalimwambia: «Vuka, uje Makedonia kutusaidia». Nikusema, pita kwa ngambo ingine ku inchiMakedonia na utusaidie. Utupe na kwa sisi hii nuru uliipatie na kwa ma fasi ingine. . . .ndoto, watoto wangu, ilituwambia ya kama sasa ilianza kuingia Ndini ya Kristianisme muMbulaya. Paulo, bila kuchelewa alisafiri ku fasi Makedonia ya Grekia, ku muji Filipi, Thesaloniki,Beria, Athina, Korintho. Tena Paulo alipita ma hii fasi na wakati alifanya na safari ya utume yake yambili na tatu.na toka muji Troa. Hasikusahabu wa Kristiani ya hii muji. Sasa Paulo alitembea hii mujisafari ya tatu yake kwa hii kazi ya Mungu.Paulo! . . . Vile toka kinywa moja mu injine kinywa ilizambalishwa hii tangazo kwa hiimuji yao muzima. Busiku ilifanyikwa ukusanyo. Wa Kristiani walikuwa wote juu ya kuonaMwalimu na Baba wao mukubwa, kusikia fundisho yake, kusikia ma tangazo yake ma mukini nama Kanisa weingine, na ku mwisho juu ya kuomba kwa Mungu kuibariki kazi yake.Paulo alibakia ku muji Troa ma siku saba. Ilipaswa kutoka na kutembea na haraka muYerusalema. Uwazo moja ilimwambia ya kama hii mara ataona wa Kristiani wake mara ya mwisho.Taji ya Ushahindi ilimuongolea. Mushindano Mutume Paulo iko ku mwisho ya sindano ya rohoyake. Busiku ya mwisho alifika ku muji Troa. Siku ingine asubui atabeba chombo na ataendeleshasafari yake ku muji Yerusalema. Munasikia, watoto, sikitiko ngapi ilikuwa kwa kundi ya waKristiani wake, kwa sababu habataone mara ingine mwalimu yao.ilifika giza hii busiku na watu ya sanamu walilaria kulala, kundi moya ya wa Kristianiwaliondoka kwenda ku fasi umoja. Inje ya muji Troa ni nyumba moja ya mukristu moja na palewanaenda wote wa Kristiani. Walipita mulango ya lupango, walipanda magasin ya hii nyumba, kwasababu hii nyumba ilikuwa na bipande ya tatu. Yulu ya hii kipande ya nyumba ilikuwa kanisa.Habakukuwe ma Kanisa sawa ma kanisa ya sasa. Kisha saa kiloko hii kanisa yulu ya hii nyumbailijaza ya watu. Ilikuwa inje kivukutu kwa ajili ya hazina ya watu mingi. Kwa hivi walifungula madirisha juu ya kuingia ndani pepo baridi.Mposho busiku. Ilikujaka mu Juma, siku ya Bwana, ile ni siku mukubwa ya wa Kristiani.Lakini hii busiku wa Kristiani wote walikuwa na moja furaha ya kuachana. Ku saa moja alikujakatikati yao Mutume Paulo. Walinyamaza wote na kimya ilikuwa kwa hii fasi. Watu wotewalisimama kuangalia mutume mukubwa.ya wa Kristiani hawa ilikuwa hii: Ee Bwana, juu ya ninyi atatoka kesho Mwalimu yetuPaulo? Namna gani sisi tutabakia wenye wenyewe? Hii ilikuwa sala yao kwa siri.alianza fundisho yake. Kiloko saa ku mbele waliisha kukula na kisha ilifata fundisho yaPaulo. Neno yake ilikuwa butamu na muzima. Sawa hii maji inatoka ya moja chem-chem. Ilipita hiisaa na ilikuja katikati ya hii busiku, lakini mwalimu Paulo anaendelea kuhubiri yake. Na waKristiani wekona matakio munene ya kusikia neno yake. Hata mutu moja hasikutenge ya fasi yake.Ma macho yao wanaangalia uso ya Mutume na wanatosha machozi kwa furaha. Ma Masikio yakewanasikia bila kuzimba fundisho yake.
• Lakini• Inasikiwa• Eftihos!• Watu• Mtoto• Alikuwa• Paulo• Mtoto• Mutume• Musiogope!• Hii• Mumubebe• Mwili• Busiku• Kisha• Chombo• Jibu:• Ulizo:• Jibu:mara moja ilisikiwa kelele moja ndani ya hii utulivu ya busiku.sauti moja na malalamiko.20. . . Eftihos! . . . Alianguka chini! .wote walipindula ma macho yao kuangalia mambo gani ilikuwa, na moja mama katikati yahazina ya watu anakangamana kutambuka na alilalamika:wangu! . . . Mtoto wangu alifariki! . . .mama ya huyu mtoto kijana. Watu wote walikelele bila kujua safi mambo ganiilifanyikwa. Huyu mukristu, mtoto Eftihos aliisha kupanda yulu ya dirisha moja, juu ya kuikala nakupumuzika kiloko na kupumuzi pepo baridi. Lakini ma saa ilipita wa mingi na ilianzakumukamata musigishi. Alipotea nguvu yake na alianguka inje chini ndani ya shamba ya hiinyumba. Watu wote walisikia moja kelele nguvu, wakati alianguka chini.alisimama fundisho yake. Wazazi, wajirani na watu weingine walikimbia kushuka mbiochini ku lupango. Walikaribia, walilamusha mtoto na waliona ya kama aliisha kufa. Wazazi wakebaba na mama walianza kuria na maombolezo mingi:wetu, juu ya ninyi ulifanya hii kazi? Sasa sisi tutafanya ninyi? . . .Paulo alisikitika sana na roho yake ilipasuka kwa ajili ya umivu yake. Na yeye alikaribiahuyu mtoto na aliwaambia kwa waKristiani wote:Musisikitike! Mtoto anaishi. Nafsi yake atarudia.maneno ya Mutume walikuwa wa ajaabu, lakini kwani walikuwa wa Kristiani, walijua yakama iko namna Mutume kufanya na muujiza moja. Walinyamaza na waliongolea Mutumeatafanya ninyi. Paulo alikamata mtoto kwa mikono yake, alifanya sala kwa Mungu na kisha madakika kiloko alipatia mtoto kwa mikono ya wazazi wake mukusema:mtoto yenu na twende yulu kuendelesha kuhubiri yetu.ya Eftihos ilianza kutengwa, alifungula ma macho yake na mucheko moja ilionekanabutamu kwa uso yake.ilianza kutoka na asubui mapema ilikuja, Mutume Paulo alikamata mukate na vinyo kwamikono yake, aliibariki na aliwapatia kwa wa Kristiani wake Mwili na Damu ya Kristu. RohoMutakatifu na sala ya Paulo alishuka na aligeuza hii bintu ya mukate na vinyo ku Mwili na Damu yaKristu. Paulo alipumunika ya kwanza na kisha wa padri na shemasi na Waaminifu wote. WalipewaMwili na Damu ya Kristu toka mikono ya Mutume Paulo. Vile waliunganishwa katika Kristu nakatikati yao.Komonyo Takatifu Paulo aliendelea kiloko fundisho yake. Ilikuja asubui. Kila mwaminifuanapita kubushu mkono ya mwalimu yake. Machozi walitelemusha ya ma macho yao, kwa sababuhabatamuone mara ingine. Ku mwisho alikuja na Eftihos. Waliisha kumuchunga chini ya hiinyumba, lakini, wakati Liturgia iliisha, walimupeleka yulu. Wa Kristiani wote walifurahi kwasababu walimuona muzima. Mtoto mudogo Eftihos na heshima mingi alikaribia Mutume.Aliongolea kumufokea, kwa sababu hii saa ya Liturgia Takatifu, alilala, lakini Paulo alimubebeleshana alimwambia: «Ee Eftihos, mara ingine usilale mu Kanisa. Uende na Mungu akubariki».saa inakuja juu ya kusafiri. Paulo alisalimia wa Kristiani wote na aliondoka na hiichombo ku muji Yerusalema. Wa Kristiani ya Troa, weko karibu ya kikavu na walipanguzamachozi wao. Paulo aliondoka. . . MAELEZEO: Ulizo: Ya nani Mutume mukubwa tulisikia leokwa hii fundisho yetu, watoto wangu?Mutume Paulo.Mutume Paulo tulimuona wapi?Ku muji Troa. Paulo alifanya matembeleo yake ya mwisho kwa hii muji.
- Page 1 and 2: • KITABU••WATOTO KWA KRISTUYA
- Page 5 and 6: • Mukristu• Na• Na• kwa•
- Page 7: • Basi,• Sasa• Kanisa• Uliz
- Page 11 and 12: • Mungu• Yule• Katikati• Mu
- Page 13 and 14: • Basi• Lakini• Lakini,• Mu
- Page 15 and 16: • Ee• MAELEZEO:• Jibu:• Uli
- Page 17 and 18: • Hii• Alichofa• Hapa• Alic
- Page 19: • SAUTI• MATENDO• Juu• Iko
- Page 23 and 24: • 2.• 3.• Mukona• (Hapa•
- Page 25 and 26: • Busiku• Ee• Nani• Oti,•
- Page 27 and 28: • MATENDO• Kwa• Kama• Kama
- Page 29 and 30: • Wapadri• Mtakatifu• Kila•
- Page 31 and 32: • Ni• Na• Tendo• Huruma•
- Page 33 and 34: • Ile• Juu• Hii• Munaweza
- Page 35 and 36: • kama• Ekaterini• Hii• Lak
- Page 37 and 38: • Hii• Munataka• Mtoto• Na
- Page 39 and 40: • Mweye,• Kwani•• NAMNA•
- Page 41 and 42: • Lakini• Ku• MAELEZEO-• Le
- Page 43 and 44: • Mu• Kisha• Musiogope,• Nd
- Page 45 and 46: • Minaomba• Hapana!• Na• Ju
- Page 47 and 48: • Anavala• Mimi• Na• Hakuna
- Page 49 and 50: • MAELEZEO• Hanuna• Ulizo:•
- Page 51 and 52: • Inapaswa• Na• Kisha• Waka
- Page 53 and 54: • Watoto•• NAMNA• Mtoto•
- Page 55 and 56: • Yeye• Ee• Hii• Kristu.•
- Page 57 and 58: • MATENDO• Kama• Kama,• Mun
- Page 59 and 60: • Furaha• Saa• Watu• Sawa
- Page 61 and 62: • Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 63 and 64: • Hii• Ni• Na• Katikati•
- Page 65 and 66: • Ni• Na• Kila• Watoto• U
- Page 67 and 68: • Katikati• Kisha• Kama• La
- Page 69 and 70: • WaKristiani• Wakati• Mtoto
- Page 71 and 72:
• Alimuangalia• Hii• Huyu•
- Page 73 and 74:
• Ulizo:• Ulizo:• FUNDISHO:
- Page 75 and 76:
• Hii• Sasa• Minataka• Mtot
- Page 77 and 78:
• Ulizo:• Jibu:• Ulizo:• Ji
- Page 79 and 80:
• Na• Hii• Hii• Ninyi• Mu
- Page 81 and 82:
••• NAMNA• Watoto• Miye!
- Page 83 and 84:
• Kuja,• Solomoni• Mtoto• U
- Page 85 and 86:
• Pamoja•• NAMNA• Kila• H
- Page 87 and 88:
• Mutufungule,• Mukubwa• Hii
- Page 89 and 90:
• Wakati• Wakati• Lakini,•
- Page 91 and 92:
• MAELEZEO:• Minazania• Lakin
- Page 93 and 94:
• NAMNA• Mu• Kama• Miaka•
- Page 95 and 96:
• Hii• Hii• Hii• MAELEZEO:
- Page 97 and 98:
• Aliwaambia:• Matayarisho• K
- Page 99 and 100:
• Vile• Lakini• Aliona• Nam
- Page 101 and 102:
• Watasema• Kuu• Lakini• Be
- Page 103 and 104:
• Na• Musiyekufa• Mukubwa•
- Page 105 and 106:
• Hii• Wakati• Ee• NAMNA•
- Page 107 and 108:
• Na• Wanafunji• Walitembea
- Page 109 and 110:
• Basi,• Yambo,• Kristu• Na