13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

9Neema takatifu na maonyesho yote ya uzima «mupya», yenye anaipatia kwa watu Yesu Kristu,katika Kanisa Yake ni Mapokeo Takatifu.Kwa sababu hii ni hali na asili ya mapokeo Takatifu, ni mambo ya kusikia mbio kila mtuya kama Kanisa na Mapokeo Takatifu ni ma fasi wa wili ya feza moja, bila kuwa moja bilaingine.. Kwa hivyo, tangu mwanzo iko Kanisa, tangu hile wakati ni na Mapokeo Takatifu.Lakini, Agano Jipya, yenye Washuhuda ya Yehova, wanaifamia sawa china wa pekee yaMafundisho wa kweli ya Kristu, iliandikwa wakati ingine ku mbele, mu mwaka 52, kisha uzalioya Kristu, ni kusema miaka makumi mbili (20), kisha kiumbe na mwanzo ya Kanisa, iliandikwakitabu yake wa kwanza: Barua wa kwanza kwa WaTesalonika; lakini vitabu vingine ya AganoJipya iliandikwa tena ku mbele na kitabu wa mwisho: Evangelio ya Yoano iliandikwa karibu mumwaka 98, kisha uzalio ya Kristu. Hivi, basi, Kanisa iliumbwa, ilijitawala na ilianza kazi yakuhubiri kwa watu katika Mapokeo Takatifu miaka mengi mbele ya kuonekanana Agano Jipya.Mapokeo Takatifu, basi, hile wakati ya Mitume, ilikuwa shina wa pekee ya fundisho wakweli ya Kristu na ilibaki na ilijichunga ku Mitume na waaminifu sawa moja «amanauliyewekewa akiba.. . » (Barua ya kwanza ya Timotheo 6, 20 na barua wa mbili 1, 14), na katikahii kitu kile kizuri ilifanyika mapokeo ya imani ya Kristu, inayeitwa: «Namna ya mafundisho»(Wa Roma 6, 17). Hivi Dini wa Kristu (Kristianisme) ilijitawala na kinywa kwa kinywa sawamapokeo moja muzima na isiyoandikwa na ilifika pa masikio ya waaminifu. (Wa Roma 10, 17na Barua wa kwanza ya Watesalonika 2, 13). Tena, na Mitume, wakati walianza kuandika,walipenda kabisa kusema kinywa kwa kinywa (barua wa mbili ya Yoano, shairi 12) na barua watatu ya Yoano shairi 14 na barua wa kwanza ya wa Korinto 11, 34), kwa sababu, kama walipendakuandika mafundisho yote, «.. . ninazania hata dunia yote haiwezi kutosha kwa vitabu vyotevitakavyoandikwa» (Yoano 21, 25).Hii Mapokeo Takatifu, yenye alichunga mafundisho yoyote ya Mitume, haikuwemafundisho makosefu na «ma amri ya watu», sawa vile wanasema Washuhuda ya Yehova, lakiniilikuwa fundisho ya Kanisa ya Kristu, yenye katika makutano yake alitengeneza katika RohoMutakatifu matendo yote ya imani na uzima ya waaminifu wake: «Kwa maana inapendezaRoho Mutakatifu na sisi.. . »(Matendo ya Mitume 15, 28). Basi, watumishi ya Evangeliohawakuhubiri mafundisho yao, lakini «walipokuwa wakipita katika miji ile, wakawafundishakushika amri zilizoamriwa na Mitume na wazee wa Yerusalema» (Matendo ya Mitume 16,4). Tena na huyu Mtume Paulo, aliyefundishwa Evangelio katika ufunuo ya Mungu (Wa Galatia1, 11-12), alisadiki ya kama ilikuwa lazima kusema kuhubiri yake mbele ya masikio ya Mitumeweingine juu ya kukikishwa ya kama hasitembee kwa bure (Wa Galatia 2, 1-2).Ukweli ya Mapokeo Takatifu inaikaa pa usingi ya endeleo isiyo kupasuka ya kuhubiri waEvangelio ya Kristu na uzima wa Roho Mutakatifu, sawa vile inatembea kwa kizazi ya kizazi,tangu wakati ya Mitume mpaka sasa; «Kama walivyotuletea wale waliokuwa tangu mwanzowashuhuda na watumishi wa lile neno» (Luka 1, 2).Agano Jipya alitosha mafundisho yake toka mali ya mafundisho ya Mapokeo Takatifu, bilakupokea Mapokeo Takatifu muzima. Iko lazima ya kusema ya kama, wakati iliandikwa Vitabuya Agano Jipya, Kanisa wa Mitume aliiona sawa uteule moja ya Mapokeo Takatifu. Kwa mfano,mukuandika Mtume Paulo kwa waaminifu ya muji Tesalonika: «Ndugu, simameni kwa nguvu,mushike mafundisho muliyofundishwa, ama kwa maneno, ama kwa barua yetu» (Barua yambili wa Tesalonika 2, 15), anaita Mapokeo na mafundisho katika kinywa, «kwa maneno» nakatika barua yake. Na, kweli, alikuwa na haki, kwa sababu alitosha toka Mapokeo Takatifu juuya kuandika ma barua yake.Kama hii ma neno yote tunaijua muzuri, tunasikia ya kama Madiko Takatifu, bila MapokeoTakatifu, ni kitabu moja wa lufu na ya kuipasukwa toka uzima ya Kanisa wa Kristu.Basi, paka Madiko Takatifu wa pekee, haiwezi kujitumia sawa shina (chemchem) muzimaya ufamio wa Kristu. Iko namna kuwa muzima, kama tunaisoma katika nuru ya Mapokeo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!