9Neema takatifu na maonyesho yote ya uzima «mupya», yenye anaipatia kwa watu Yesu Kristu,katika Kanisa Yake ni Mapokeo Takatifu.Kwa sababu hii ni hali na asili ya mapokeo Takatifu, ni mambo ya kusikia mbio kila mtuya kama Kanisa na Mapokeo Takatifu ni ma fasi wa wili ya feza moja, bila kuwa moja bilaingine.. Kwa hivyo, tangu mwanzo iko Kanisa, tangu hile wakati ni na Mapokeo Takatifu.Lakini, Agano Jipya, yenye Washuhuda ya Yehova, wanaifamia sawa china wa pekee yaMafundisho wa kweli ya Kristu, iliandikwa wakati ingine ku mbele, mu mwaka 52, kisha uzalioya Kristu, ni kusema miaka makumi mbili (20), kisha kiumbe na mwanzo ya Kanisa, iliandikwakitabu yake wa kwanza: Barua wa kwanza kwa WaTesalonika; lakini vitabu vingine ya AganoJipya iliandikwa tena ku mbele na kitabu wa mwisho: Evangelio ya Yoano iliandikwa karibu mumwaka 98, kisha uzalio ya Kristu. Hivi, basi, Kanisa iliumbwa, ilijitawala na ilianza kazi yakuhubiri kwa watu katika Mapokeo Takatifu miaka mengi mbele ya kuonekanana Agano Jipya.Mapokeo Takatifu, basi, hile wakati ya Mitume, ilikuwa shina wa pekee ya fundisho wakweli ya Kristu na ilibaki na ilijichunga ku Mitume na waaminifu sawa moja «amanauliyewekewa akiba.. . » (Barua ya kwanza ya Timotheo 6, 20 na barua wa mbili 1, 14), na katikahii kitu kile kizuri ilifanyika mapokeo ya imani ya Kristu, inayeitwa: «Namna ya mafundisho»(Wa Roma 6, 17). Hivi Dini wa Kristu (Kristianisme) ilijitawala na kinywa kwa kinywa sawamapokeo moja muzima na isiyoandikwa na ilifika pa masikio ya waaminifu. (Wa Roma 10, 17na Barua wa kwanza ya Watesalonika 2, 13). Tena, na Mitume, wakati walianza kuandika,walipenda kabisa kusema kinywa kwa kinywa (barua wa mbili ya Yoano, shairi 12) na barua watatu ya Yoano shairi 14 na barua wa kwanza ya wa Korinto 11, 34), kwa sababu, kama walipendakuandika mafundisho yote, «.. . ninazania hata dunia yote haiwezi kutosha kwa vitabu vyotevitakavyoandikwa» (Yoano 21, 25).Hii Mapokeo Takatifu, yenye alichunga mafundisho yoyote ya Mitume, haikuwemafundisho makosefu na «ma amri ya watu», sawa vile wanasema Washuhuda ya Yehova, lakiniilikuwa fundisho ya Kanisa ya Kristu, yenye katika makutano yake alitengeneza katika RohoMutakatifu matendo yote ya imani na uzima ya waaminifu wake: «Kwa maana inapendezaRoho Mutakatifu na sisi.. . »(Matendo ya Mitume 15, 28). Basi, watumishi ya Evangeliohawakuhubiri mafundisho yao, lakini «walipokuwa wakipita katika miji ile, wakawafundishakushika amri zilizoamriwa na Mitume na wazee wa Yerusalema» (Matendo ya Mitume 16,4). Tena na huyu Mtume Paulo, aliyefundishwa Evangelio katika ufunuo ya Mungu (Wa Galatia1, 11-12), alisadiki ya kama ilikuwa lazima kusema kuhubiri yake mbele ya masikio ya Mitumeweingine juu ya kukikishwa ya kama hasitembee kwa bure (Wa Galatia 2, 1-2).Ukweli ya Mapokeo Takatifu inaikaa pa usingi ya endeleo isiyo kupasuka ya kuhubiri waEvangelio ya Kristu na uzima wa Roho Mutakatifu, sawa vile inatembea kwa kizazi ya kizazi,tangu wakati ya Mitume mpaka sasa; «Kama walivyotuletea wale waliokuwa tangu mwanzowashuhuda na watumishi wa lile neno» (Luka 1, 2).Agano Jipya alitosha mafundisho yake toka mali ya mafundisho ya Mapokeo Takatifu, bilakupokea Mapokeo Takatifu muzima. Iko lazima ya kusema ya kama, wakati iliandikwa Vitabuya Agano Jipya, Kanisa wa Mitume aliiona sawa uteule moja ya Mapokeo Takatifu. Kwa mfano,mukuandika Mtume Paulo kwa waaminifu ya muji Tesalonika: «Ndugu, simameni kwa nguvu,mushike mafundisho muliyofundishwa, ama kwa maneno, ama kwa barua yetu» (Barua yambili wa Tesalonika 2, 15), anaita Mapokeo na mafundisho katika kinywa, «kwa maneno» nakatika barua yake. Na, kweli, alikuwa na haki, kwa sababu alitosha toka Mapokeo Takatifu juuya kuandika ma barua yake.Kama hii ma neno yote tunaijua muzuri, tunasikia ya kama Madiko Takatifu, bila MapokeoTakatifu, ni kitabu moja wa lufu na ya kuipasukwa toka uzima ya Kanisa wa Kristu.Basi, paka Madiko Takatifu wa pekee, haiwezi kujitumia sawa shina (chemchem) muzimaya ufamio wa Kristu. Iko namna kuwa muzima, kama tunaisoma katika nuru ya Mapokeo
10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agano Jipya tunasikia ya kama inalazimishwa na MapokeoTakatifu, kwani Huu Mapokeo ni usingi wake:1)Basi, walipokuwa wakipita katika miji ile, wakawafundisha (kwa waaminifu)kushika amri zilizoamriwa na Mitume na wazee wa Yerusalema» (Matendo ya Mitume 16,4).2)Ninawasifu ninyi kwa sababu munanikumbuka mimi katika maneno yote, namunashika mafundisho kama nilivyowaletea ninyi» Barua wa kwanza ya Wa Korinto 11, 2)3) «Fanyeni maneno muliyojifundisha na kuyapokea na kuyasikia na kuyaona ndani yangu,na Mungu wa salama atakuwa pamoja nanyi» (Wa Filipi 4, 9).4) Ndugu, simameni kwa nguvu, mushike mafundisho muliyofundishwa, ama kwamaneno, ama kwa barua yetu» (Barua ya mbili wa Tesalonika 2, 15).5) «Tunawaagiza ninyi, ndugu, katika jina la Bwana wetu Yesu Kristu, mujitenge nakila ndugu anayetembea pasipo utaratibu, wala si kwa kufuata mafundishomuliyopokea kwetu» (Barua wa mbili ya Watesalonika 3, 6).6) «Shika mufano wa maneno ya kweli uliyosikia kwangu, katika imani na mapendoyaliyo Kristu Yesu» (Barua wa mbili ya Timotheo 1, 13).7) « Na maneno yale uliyoyasikia kwangu kwa wahuhuda wengi, maneno haya uwekeewatu waaminifu watakaofaa kufundisha wengine vile» (Barua wa mbili ya Timotheo 2,2).8)« Kwa kuwa nina mambo mengi, lakini sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino»(Barua ya mbili ya Yoano shairi 12), na «Nilikuwa na mambo mengi ya kukuandikia,lakini sipendi kukuandikia kwa wino, lakini ninatataji kukuona karibu, nasitutasemezana uso kwa uso» (barua ya tatu ya Yoano, shairi 13-14).8) «Na maneno yanayobaki, nitayatengeneza wakati nitakapokuja», anasema kumwisho Mtume Paulo juu ya tendo ya kumaliza Fumbo ya Komunyo Takatifu )Baruawa kwanza kwa Wakorinto 11, 34).9) «.. . nayo yakiandikwa moja moja, ninazania hata dunia yote haiwezi kutosha kwavitabu vyote vitakavyoandikwa» (Yoano 21, 25).10) Ku mwisho tuko na na maneno matakatifu, yenye wanaandika Wandishi ya AganoJipya, haina ndani ya Agano la kale, lakini walibakia na walijiubiri katika Mapokeo Takatifu:Kwa mufano a) «.. . Ili litimie neno lililosemwa na manabii: Ataitwa Munazareti» (Matayo 2,23). b) Unabii ya Enoka, hile anaiandika Mtume Yuda mu barua yake: «Na Enoka, mutu wa sabatangu Adamu, alitabiri juu ya hawa, akisema: Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, elfuelfu, ili afanye hukumu juu ya watu wote.. . » (Yuda 14-15). c) Hadisi ya mazungumuzo katikatiya Mikaeli malaika na shetani juu ya mwili ya Musa, yenye anatuelejea mara ingine naMtumeYuda (Yuda, 9) na hii haipate kuandikwa mu Agano la Kale. d) Hivi inakuwa na kwamaneno ya Kristu «Heri ya kutoa inapita heri ya kupokea» (Matendo ya Mitume 20, 35) na hiineno haina kuandikwa mu Evangelio fulani, lakini anaiandika Mtume Paulo toka MapokeoTakatifu.Kama wanataka na Washuhuda ya Yehova wanapokea ya kama Madiko Takatifu haieneehii wa pekee na inalazimishwa na vitabu ya kuisaidia; kwa hivyo wanaandika na wanazambalalavitabu na vipindi mengi. Tena wanaandika hii maneno ya ajabu: « Kipindi jina lake Ulinzi(Skopia) ni chakula kwa kila wakati ya mwaminifu na mwenye akili mutumwa (nikusema kwautawalo ya Matengeneo). Hii chakula wa roho, wanaandika, ni kitu kizuri sana. Bila hii chakulawa roho kondoo hawaweze kukomea katika roho yao» Basi, kitu kinene kabisa juu yaWashuhuda ya Yehova haina Madiko Takatifu, lakini ni hii mafundisho hawa wanaandika ndaniya Vitabu vyao na kabisa mu kipindi Ulinzi.Ku mwisho tunapashwa kuandika sisi ya kama, kupatana na matengenezo ya MunguUfunuo iliyapatia Kristu Mwokozi, haitakuwe kuandikwa pa jiwe ya kupanga, sawa iliandikwa
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62:
606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64:
62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66:
64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68:
66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70:
68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72:
70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74:
72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76:
74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78:
76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU