Mwisho (Matayo 25, 31-46). c) «Kwa sababu sisi sote tutasimama mbele ya kiti chahukumu cha Kristu» (Wa Roma 14, 10).Pempeni lakini, anaandika ya kama: «Basi, kwa hii mumoja wetu atatoa habarizake mwenyewe mbele ya Mungu» (Wa Roma 14, 12). Nikusema, Mungu-Muhukumuanasharikiwa na Kristu-Muhukumu.394. KRISTU NI SAWA-SAWA <strong>NA</strong> MUNGU-BABA1) «Filipo akamwambia (kwa Kristu): Bwana, utuonyeshe Baba, basi inatufaa.Yesu akamwambia: Nimekuwa pamoja nanyi wakati gani unasema: UtuonyeshaBaba? (Yoano 14, 8-9). Nikusema, hule aliyeniona mimi, aliona Baba-Mungu.Hii ushuhuda juu ya kutuonyesha sawasawa katikati ya Mwana wa Mungu na Baba-Mungu ni nguvu kabisa. Kwa sababu, paka kama Kristu ni Mungu sawasawa na wa asilimoja na Baba-Mungu hii ma shairi ni wa kweli sana. Kama Kristu hasikukuwe sawasawapamoja na Baba-Mungu, hii shairi itakuwa chabula kupigana ya Mungu, kwa sababunamna gani kiumbe moja atashariki maungo yake na Mungu wa milele na asiye mupaka?2) «Basi kwa sababu hii Wayuda wakazidi kutaka kumwua (Kristu), si kwasababu alivunja sabato tu, lakini tena kwa sababu aliita Mungu Baba yake,akijifanya sawa na Mungu» (Yoano 5, 18).Vile, Kristu alihubiri safi ya kama alikuwa sawasawa na Baba-Mungu na hiimambo ilileta kisilani ya Wayuda. Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama hii manenoni mashuhuda ya wogo ya Wayuda juu ya kumuhukumu Kristu. Lakini, kama ni vile, juuya nini Kristu alipokea ma sauti yao ya kumushitaki?3) Kwa ajili ya hii usawa katikati ya Mungu-Baba na Mwana wake, Mungu-Babaanasema «Ili watu wote waheshimu Mwana kama wanavyoheshimu Baba» (Yoano 5,23). Lakini paka kama Kristu ni Mungu wa asili moja pamoja na Baba iko namnakuheshimiwa na usawa moja pamoja Naye. Viumbe hakuna namna kuheshimiwa sawaanaheshimiwa Baba.4) «Mimi ni Baba yangu ni mumoja.. . Baba ni ndani yangu, nami ni ndani yaBaba» (Yoano 10, 30, 38). Washuhuda ya Yehova wanakataa ya kama Kristu aliwazausawa na ushariki pamoja na Mungu-Baba na na wanafafanusha na namna ingine hii shairi.Lakini, sawa vile sisi tunaona watu wa Ebrania walisadiki maana ya hii shairi nawalikamata mawe kwa kumupiga Kristu sawa mutu mubaya, bila Kristu kuwaelejeamaneno Yake.5) «Lakini wakati anapokuja yule Roho ya Kweli, atawaongoza ninyi katikayote yaliyo kweli: kwa sababu hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe; lakinimaneno yote anayosikia atayasema; naye atawatangazia ninyi habari za manenoyatakayokuja. Atanitukuza mimi, kwa sababu atatwaa katika yaliyo yangu nakuwaambia ninyi. Yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa sababu ya maneno hayanilisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu na kuwaambia ninyi» (Yoano 16,13-15).Hii ushuhuda ya Kristu ni bunduki wa nguvu kupigana ya Washuhuda ya Yehova.Hapa Kristu anatuonyesha ya kama kila kitu ni kwa Baba na na Yake; hii inatuonyesha yakama katikati yao ni usawa umoja. Tena na Roho Mutakatifu juu ya kusema na kufundishawatu anachukua, (sawa inasema andiko) toka Kristu. Na, kama, kupatana na ImaniOrthodokse, Roho Mutakatifu ni Uso wa tatu ya Utatu Mutakatifu, maneno ya Kristu
inatuonyesha ushariki na umoja usawa kwa hali kimungu, katikati ya Baba, Bwana naRoho Mutakatifu. Lakini, kama Kristu ni kiumbe na Roho Mutakatifu ni «nguvu yaMungu» sawa vile hivi wanasadiki Washuhuda ya Yehova, namna gani iko namna Munguatachukua matangazo toka kiumbe moja juu ya kusema na kufundisha watu? Hii hainamatusi mbele ya Mungu? Washuhuda ya Yehova wanasema nini? Ao, wanapashwakuamini hali kimungu na wa asili moja katikati ya Baba, Mwana na Roho Mutakatifu aoinapashwa kuitika ya kama Mungu anachukua ma tangazo toka kiumbe kimoja kwakusema na kufundisha watu. Wakati ingine Kristu anasema mara ingine: «Na wote waliowangu ni wako, naalio eako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao» (Yoano 17, 10).Basi, yote ni yaliyo na wao katikati Baba na mwana, basi na hali kimungu. Basi, katikatiyao ni usawa umoja.6) «Muwe na nia hii ndani yenu iliyokuwa ndani ya Kristu Yesu vilevile; ndiyealiyekuwa na namna ya Mungu, hakuona kuwa sawa na Mungu kuwa kitukushikamana nacho, lakini alijifanya mwenyewe kuwa hana utukufu, akitwaa namnaya mutumwa, akakuwa na mufano wa mutu; na akionekana na sura ya mutu,alijinyenyekeza mwenyewe, akakuwa mwenye kutii hata mauti, ndidyo mauti yamusalaba» (Wafilipi 2, 5-8).Nikusema, katikati yenu ninamitakia, kuwa unyenyekevu sawa vile ilikuwa na kwaKristu, aliyekuwa pa fasi moja ya utukufu na Mungu-Baba wake, lakini hasikushake kwawokovu wetu kuwa hana utukufu na alikuwa mutu na alikufa pa Musalaba kwa ajili yetu.Washuhuda ya Yehova, wanafafanusha hii shairi na namna ingine na wanasema:Hasikutakie kuwa sawasawa na Mungu-Baba kuwa kitu kushikamana nacho». Lakini hiviilipashwa kusema shairi: «.. . Hakuona (kufanyika) sawa Mungu», lakini shairi wa kwelini: «hakuona kuwa sawa na Mungu.. »Tena Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama Hii sauti ya shairi: Kuwa sawa naMungu.. » haina maana yake ya kama alikuwa Mungu wa kweli, lakini ya kama alichukuamufano kimungu. Kama ni vile, katika akili ya Washuhuda ya Yehova, na hii sauti:«akitwaa namna ya mutumwa» haipashwe kuwa na maana ya kama Kristu alichukua mwilikweli ya mutu. Halafu, sawa hii sauti: «akitwaa namna ya mutumwa» inaonyesha maana yakama alikuwa mutu wa kweli, vile na hii shairi: «kuwa sawa na Mungu» inapashwakuonyesha maana ya kama alikuwa Mungu wa kweli.7) «Nimepewa vitu vyote na baba yangu, wala hakuna mutu anayejua Mwana,ila Baba; . . » (Matayo 11, 27). Kwani ni wa pekee anayejua Baba-Mungu hiiinatuonyesha maana ya kama ni na Huyu Mwana, Mungu wa kweli, sawa vile Baba nisawasawa Naye. Kwa sababu paka Mungu moja mukamilifu, na usawa moja na Baba-Mungu, anaweza kujua baba-Mungu.Hivi inasemwa na ya Roho Mutakatifu: «Kwa sababu nani katikati ya watuanayejua maneno ya mutu, ila roho ya mutu iliyo ndani yake? Hivi kwa maneno yaMungu hakuna mutu anayeyafahamu ila Roho ya Mungu» (barua ya kwanza ya waKorinto 2, 11). Sawa vile Roho Mutakatifu anamufamia Mungu, vile na Mwanaanamufamia. Lakini paka, kama ni ma Uso matakatifu na wa asili moja na usawa moja ikonamna kufamiana.Tena umoja hii na hii shairi: «Si kwamba mutu aliona Baba ila yeye aliyetoka kwaMungu, yeye ndiye aliyeona Baba» (Yoano 6, 46). Paka Mungu moja anaweza kuonaMungu. Kristu, kwani ni wa pekee anayemuona kamili katika hali kimungu Yake,anapashwa kuwa sawasawa na Ye na asili umoja na Ye.40
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86: 84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88: 86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90: 8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU