13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mwisho (Matayo 25, 31-46). c) «Kwa sababu sisi sote tutasimama mbele ya kiti chahukumu cha Kristu» (Wa Roma 14, 10).Pempeni lakini, anaandika ya kama: «Basi, kwa hii mumoja wetu atatoa habarizake mwenyewe mbele ya Mungu» (Wa Roma 14, 12). Nikusema, Mungu-Muhukumuanasharikiwa na Kristu-Muhukumu.394. KRISTU NI SAWA-SAWA <strong>NA</strong> MUNGU-BABA1) «Filipo akamwambia (kwa Kristu): Bwana, utuonyeshe Baba, basi inatufaa.Yesu akamwambia: Nimekuwa pamoja nanyi wakati gani unasema: UtuonyeshaBaba? (Yoano 14, 8-9). Nikusema, hule aliyeniona mimi, aliona Baba-Mungu.Hii ushuhuda juu ya kutuonyesha sawasawa katikati ya Mwana wa Mungu na Baba-Mungu ni nguvu kabisa. Kwa sababu, paka kama Kristu ni Mungu sawasawa na wa asilimoja na Baba-Mungu hii ma shairi ni wa kweli sana. Kama Kristu hasikukuwe sawasawapamoja na Baba-Mungu, hii shairi itakuwa chabula kupigana ya Mungu, kwa sababunamna gani kiumbe moja atashariki maungo yake na Mungu wa milele na asiye mupaka?2) «Basi kwa sababu hii Wayuda wakazidi kutaka kumwua (Kristu), si kwasababu alivunja sabato tu, lakini tena kwa sababu aliita Mungu Baba yake,akijifanya sawa na Mungu» (Yoano 5, 18).Vile, Kristu alihubiri safi ya kama alikuwa sawasawa na Baba-Mungu na hiimambo ilileta kisilani ya Wayuda. Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama hii manenoni mashuhuda ya wogo ya Wayuda juu ya kumuhukumu Kristu. Lakini, kama ni vile, juuya nini Kristu alipokea ma sauti yao ya kumushitaki?3) Kwa ajili ya hii usawa katikati ya Mungu-Baba na Mwana wake, Mungu-Babaanasema «Ili watu wote waheshimu Mwana kama wanavyoheshimu Baba» (Yoano 5,23). Lakini paka kama Kristu ni Mungu wa asili moja pamoja na Baba iko namnakuheshimiwa na usawa moja pamoja Naye. Viumbe hakuna namna kuheshimiwa sawaanaheshimiwa Baba.4) «Mimi ni Baba yangu ni mumoja.. . Baba ni ndani yangu, nami ni ndani yaBaba» (Yoano 10, 30, 38). Washuhuda ya Yehova wanakataa ya kama Kristu aliwazausawa na ushariki pamoja na Mungu-Baba na na wanafafanusha na namna ingine hii shairi.Lakini, sawa vile sisi tunaona watu wa Ebrania walisadiki maana ya hii shairi nawalikamata mawe kwa kumupiga Kristu sawa mutu mubaya, bila Kristu kuwaelejeamaneno Yake.5) «Lakini wakati anapokuja yule Roho ya Kweli, atawaongoza ninyi katikayote yaliyo kweli: kwa sababu hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe; lakinimaneno yote anayosikia atayasema; naye atawatangazia ninyi habari za manenoyatakayokuja. Atanitukuza mimi, kwa sababu atatwaa katika yaliyo yangu nakuwaambia ninyi. Yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa sababu ya maneno hayanilisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu na kuwaambia ninyi» (Yoano 16,13-15).Hii ushuhuda ya Kristu ni bunduki wa nguvu kupigana ya Washuhuda ya Yehova.Hapa Kristu anatuonyesha ya kama kila kitu ni kwa Baba na na Yake; hii inatuonyesha yakama katikati yao ni usawa umoja. Tena na Roho Mutakatifu juu ya kusema na kufundishawatu anachukua, (sawa inasema andiko) toka Kristu. Na, kama, kupatana na ImaniOrthodokse, Roho Mutakatifu ni Uso wa tatu ya Utatu Mutakatifu, maneno ya Kristu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!