13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

5kuwa Mitume na Washuhuda wa Kristu.. . Tena sisi tunapashwa kuomba kwa Munguawaangazie wapate kurudia ku fundisho ya kweli na tena sisi tunapaswa kuishi katika amri yaBwana wetu Yesu Kristu, kwani Kwake ni utukufu «katika Kanisa» ( Wa Efeso 3, 21) kwamilele.Mafundisho ya wongo yao ni mengi, lakini hapa sasa tutaandika kidogo:-Wanafundisha ya kama juu ya kuokolewa mtu moja anapashwa kuita Mungu «Yehova».-Wanakataa Utatu Mtakatifu (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu) aliye Mungu moja kweli.Katika fundisho yao Mwana wa Mungu ni kiumbe ya Mungu (wanasema ya kama Huyu eko usomumoja na malaika Mikaeli). Tena wanaamini ya kama Roho Mtakatifu haina Mungu, lakini nipaka nguvu moja ya Mungu isiyo na uso.-Wanakataa Mapokeo Takatifu sawa chemchem ya Ufunuo Kimungu.-Wanakataa ufufuo katika mwili ya Bwana Yesu Kristu.-Wanakataa Kanisa na ma Fumbo yake yote.-Wanakataa imani ya kama nafsi inabakia kwa milele.-Wanafundisha ya kama Ufikisho wa Pili ilifanyika mu mwaka 1914 na Yesu Kristuatakuja na haraka pa inchi, juu ya kutengeneza Ufalme wake ya wakati miaka 1000.-Wanafundisha ya kama Paradizo itakuwa pa inchi yetu na uzima wa milele itakuwa uzimakufurahi na bintu ya chakula pa hii ulimwengu.-Wanakataa gehena wa milele na wanafundisha ya kama, hawa wasiyookolewa, watarudiaku sifuru (0).-Wanakataa Bikira Maria Mzazi-Mungu na uzima ubikira wake.-Wanakataa Watakatifu na maombezi yao.-Wanakataa Msalaba Mweshimiwa na ma Picha ya Watakatifu wetu na ingine mafundishoya wongo.Kwa hivyo, waaminifu wote wetu wanaona, ya kama hawa walimu ya wongowaliharabisha ao walikataa mafundisho Dini ya Kristu. Kwa hivi hatari ni mnene kwa walewaaminifu imani yao ilishuka.Tena mambo yao ingine ni hii: Zamani walisadiki fundisho ingine na wakati inginewanabadilisha hii imani yao na wanasadiki fundisho ingine. Hawa wenyewe wanasema ya kamahii mambo inafanyika hivi kwani nuru inaonekana pole-pole mu akili yao. Wanaitika ya kamamwendo ya mafundisho yao haina ya kunyoloka.Sisi tutakankamana na saidio ya Mungu kufunua mafundisho yao ya wongo kusudi yakwanza kwa kusaidia waaminifu wetu waorthodoksi wabaki na imara pa imani Orthodokse,imani ya Mitume na Watakatifu wetu na ya pili kusudi kuangazie Mungu akili ya wale wakosefukwa imani warudie imani ya kweli.HADISI KIFUPI <strong>YA</strong> KUNDI <strong>YA</strong> <strong>WASHUHUDA</strong> <strong>YA</strong> <strong>YEHOVA</strong>Hadisi ya kundi ya Washuhuda ya Yehova inaanza mu mwaka 1870. Tangu hile mwakamwenye wa ebrania mtu wa biashara, jina lake Karolo Roseli alianza kusanyika watu kwa somona Madiko Takatifu.Karolo Roseli alizaliwa mu 1852 mu muji Pichburg ya Pensilvania ya inchi Amerika.Tangu kipimo ya umri yake miaka 11 a; itumika pamoja na baba yake mu biashara na alikuwanamaendeleo munene kwa ajili ya zawadi yake mu kazi ya biashara. Tangu kipimo ujana wakealianza kutumika na mafundisho ya Mungu, lakini alipotesha imani ya Mungu na aliweka yulumu uzima yake paka neno ya akili yake. Ku mwanzo ya uzima yake alifata kundi ya «kanisa yawaProtestanti inaitwa Kongregasionali». Kisha miaka kidogo alisoma mafundisho ya GuiliamMiler, aliyekuwa muumba ya kundi ingine ya Waprotestanti na katika hii mafundisho ya bwanaMiler, alifanya mafundisho yake. Tangu hile wakati alianza kusadiki ya kama huyu wa pekee ni

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!