13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

19Kwa hivyo tuliokolewa «Kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua ninyikatika utakaso wa Roho, kwa kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristu» (Barua yakwanza ya Petro 1, 2).6) «Kwa maana watatu ni washuhuda mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mutakaitfu, nawatatu hawa ni umoja» (barua wa kwanza ya Yoano 5, 7). Washuhuda ya Yehova wanakataa hiishairi kwani, wanasema, hainawa zamani, lakini mwandishi Tertilianos (155-240), kisha uzalioya Kristu, askofu Kiprianos (258) na Wapadri wakubwa wengine ya Kanisa wa zamani ya Kristuwalijua ya kama hii shairi ilikuwa ndani ya Agano Jipya.3. MAFUNDISHO-BUNDUKI <strong>YA</strong> <strong>WASHUHUDA</strong> <strong>YA</strong> <strong>YEHOVA</strong>KUPINGA<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> UTATU MUTAKATIFUWashuhuda ya Yehova wanaleta ma shairi ingine juu ya kukataa fundisho ya UtatuMutakatifu:1) «Lakini kwetu kuna Mungu mumoja, yeye Baba na vitu vyote vimetoke kwake.. .» (barua ya kwanza wa Korinto 8, 6).2) «Mungu mumoja, naye ni Baba ya wote.. . » (Wa Efeso 4, 6).3) «Kwa sababu MUngu ni mumoja tu, na mupatanishi katikati ya Mungu na watuni mumoja, yule Kristu Yesu» (Barua ya kwanza kwa Timotheo 2, 5).4) «Na huu ni uzima wa milele wakujue wewe, Mungu pekee wa kweli, na Yesu Kristu,aliyemutuma» (Yoano 17, 3).Sisi tunawajibu hivi: Mungu ya Ufunuo wa Kristu ni Hali moja, Asili moja, umingu moja katikama Uso Tatu. Chemchem (shina) ya Umungu ni Baba na toka Yake «anazaliwa» Mwana na«anatokea» Roho Mutakatifu. Kwa ajili ya hii mufano Yake Mungu-Baba anafananishwa sawa«Mungu mumoja», Mungu mumoja kweli» na toka Yake wanatokea ma Uso wengine wa Wili,wenye ni na Asili moja na sifa moja. Sawa vile nitamionyesha chini kidogo, Madiko Takatifuinaonyesha safi kabisa Umungu na ma uso wengine wa Wili, wenye wanatoka toka Mungu-Baba.Tena, mukusema Madiko Takatifu «Lakini kwetu kuna Mungu mumoja.. » kishainaongeza, «Na kuna Bwana mumoja Yesu Kristu, kwa Yeye vitu vyote vimekuwa, na sisikwa Yeye» (Barua wa kwanza kwa WaKorinto 8, 6). Lakini hii ma jina « Mungu» na«Bwana» wanatumiwa na pa fasi ingine ya Madiko Takatifu na kwa Mungu-Baba na kwa YesuKristu na wanasharikwa kabisa: Nikusema «Mungu» ni na «Bwana» katika maana muzima, na«Bwana» ni «Mungu» katika maana muzima. Sawa vile, basi, Mungu-Baba anaitwa na namnaunyofu «Bwana» (Matayo 22, 44), vile na «Bwana mumoja Yesu Kristu» anaitwa pa fasi ingine(sawa tutasema mu sura ingine) «Mungu», na tena «Aliye juu ya maneno yote, Mungumubarikiwa kwa milele» (Wa Roma 9, 5). Basi, Utatu Mutakatifu haiharabikwa katika ma sautibundukiya Washuhuda ya Yehova, lakini paka anaonekana Mungu mumoja kweli sawachemchem (shina) ya Umungu muzima, mbele ya wa mungu ya mataifa wasanamu.Ni lazima kuandika hapa na hii sauti, pempeni ya shairi wa inne (4). Madiko Takatifuinaita Mwana wa Mungu Yesu Kristu na ma neno umoja, sawa anasema hapa juu ya Mungu-Baba. Kwa mfano: «Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa sisiakili ili tumujue yeye aliye kweli, nasi tuko ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwanawake Yesu Kristu» (barua wa kwanza ya Yoano 5, 20). Basi, «Mungu wa kweli» ni Baba (Yoano17, 3), «Mungu wa kweli» ni na Kristu (barua wa kwanza ya Yoano 5, 20). « Uzima wa milele niBaba (Yoano 17, 3), «Uzima wa milele» ni na Kristu (Barua wa kwanza ya Yoano 1, 1-2, 5, 11-12, 20).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!