19Kwa hivyo tuliokolewa «Kama vile Mungu Baba alivyotangulia kuwajua ninyikatika utakaso wa Roho, kwa kutii na kunyunyiziwa damu ya Yesu Kristu» (Barua yakwanza ya Petro 1, 2).6) «Kwa maana watatu ni washuhuda mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mutakaitfu, nawatatu hawa ni umoja» (barua wa kwanza ya Yoano 5, 7). Washuhuda ya Yehova wanakataa hiishairi kwani, wanasema, hainawa zamani, lakini mwandishi Tertilianos (155-240), kisha uzalioya Kristu, askofu Kiprianos (258) na Wapadri wakubwa wengine ya Kanisa wa zamani ya Kristuwalijua ya kama hii shairi ilikuwa ndani ya Agano Jipya.3. MAFUNDISHO-BUNDUKI <strong>YA</strong> <strong>WASHUHUDA</strong> <strong>YA</strong> <strong>YEHOVA</strong>KUPINGA<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> UTATU MUTAKATIFUWashuhuda ya Yehova wanaleta ma shairi ingine juu ya kukataa fundisho ya UtatuMutakatifu:1) «Lakini kwetu kuna Mungu mumoja, yeye Baba na vitu vyote vimetoke kwake.. .» (barua ya kwanza wa Korinto 8, 6).2) «Mungu mumoja, naye ni Baba ya wote.. . » (Wa Efeso 4, 6).3) «Kwa sababu MUngu ni mumoja tu, na mupatanishi katikati ya Mungu na watuni mumoja, yule Kristu Yesu» (Barua ya kwanza kwa Timotheo 2, 5).4) «Na huu ni uzima wa milele wakujue wewe, Mungu pekee wa kweli, na Yesu Kristu,aliyemutuma» (Yoano 17, 3).Sisi tunawajibu hivi: Mungu ya Ufunuo wa Kristu ni Hali moja, Asili moja, umingu moja katikama Uso Tatu. Chemchem (shina) ya Umungu ni Baba na toka Yake «anazaliwa» Mwana na«anatokea» Roho Mutakatifu. Kwa ajili ya hii mufano Yake Mungu-Baba anafananishwa sawa«Mungu mumoja», Mungu mumoja kweli» na toka Yake wanatokea ma Uso wengine wa Wili,wenye ni na Asili moja na sifa moja. Sawa vile nitamionyesha chini kidogo, Madiko Takatifuinaonyesha safi kabisa Umungu na ma uso wengine wa Wili, wenye wanatoka toka Mungu-Baba.Tena, mukusema Madiko Takatifu «Lakini kwetu kuna Mungu mumoja.. » kishainaongeza, «Na kuna Bwana mumoja Yesu Kristu, kwa Yeye vitu vyote vimekuwa, na sisikwa Yeye» (Barua wa kwanza kwa WaKorinto 8, 6). Lakini hii ma jina « Mungu» na«Bwana» wanatumiwa na pa fasi ingine ya Madiko Takatifu na kwa Mungu-Baba na kwa YesuKristu na wanasharikwa kabisa: Nikusema «Mungu» ni na «Bwana» katika maana muzima, na«Bwana» ni «Mungu» katika maana muzima. Sawa vile, basi, Mungu-Baba anaitwa na namnaunyofu «Bwana» (Matayo 22, 44), vile na «Bwana mumoja Yesu Kristu» anaitwa pa fasi ingine(sawa tutasema mu sura ingine) «Mungu», na tena «Aliye juu ya maneno yote, Mungumubarikiwa kwa milele» (Wa Roma 9, 5). Basi, Utatu Mutakatifu haiharabikwa katika ma sautibundukiya Washuhuda ya Yehova, lakini paka anaonekana Mungu mumoja kweli sawachemchem (shina) ya Umungu muzima, mbele ya wa mungu ya mataifa wasanamu.Ni lazima kuandika hapa na hii sauti, pempeni ya shairi wa inne (4). Madiko Takatifuinaita Mwana wa Mungu Yesu Kristu na ma neno umoja, sawa anasema hapa juu ya Mungu-Baba. Kwa mfano: «Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa sisiakili ili tumujue yeye aliye kweli, nasi tuko ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwanawake Yesu Kristu» (barua wa kwanza ya Yoano 5, 20). Basi, «Mungu wa kweli» ni Baba (Yoano17, 3), «Mungu wa kweli» ni na Kristu (barua wa kwanza ya Yoano 5, 20). « Uzima wa milele niBaba (Yoano 17, 3), «Uzima wa milele» ni na Kristu (Barua wa kwanza ya Yoano 1, 1-2, 5, 11-12, 20).
205) Bunduki-sauti ingine ya Washuhuda ya Yehova ni ya kama Jina «Utatu Mutakatifu»hakuna pa fasi moja ndani ya Madiko Takatifu. Ni kweli ya kama hakuna. Lakini haina namambo munene ya kama hakuna jina hii. Mambo munene ni juu ya kuwa maana ya UtatuMutakatifu. Ni kusema, (sawa tutaonyesha na kidogo chini), Mwana na Roho Mutakatifu ni maUso wa asili moja pamoja na Baba, ni Mungu wa kweli, sawa ni Baba; hivi mara mojainaonyeshwa ukweli ya Utatu Mutakatifu, hata kama ndani ya Madiko hakuna jina ya UtatuMutakatifu. Maana wa kwanza ni hali ya kama Hawa ma Uso Tatu ni Mungu moja wa kweli. Muwakati ya Mitume jina ya «Utatu» haikutumiwa, kwa sababu Waaminifu walichunga mu rohoyao hii maana yake; Lakini, wakati walianza walimu wa uongo kushaka mafundisho ya Imani yaKristu, tangu hile wakati kanisa alitumia na ma sauti na jina ingine ya imani, sawa «UtatuMutakatifu», juu ya kulinzi fundisho ya imani ya Kristu.6) Ku mwisho, Washuhuda ya Yehova wanachekelea sisi Wakristu, kwani tunakikisha yakama fundisho ya Utatu Mutakatifu ni Fumbo urefu na isiyo kufafanusha, na wanazania yakama hii imani yetu mbele ya fundisho-Fumbo wa siri ni imani ya bure. Halafu, Mungu wakweli, kwani ni asiye na mupaka, Mwenyezi na wa milele, hasiweze paka kwa kuwa asiyesikilizo kwa akili ya ubinadamu. Juu ya kuweze tusikie na namna ukamili Mungu, tunapashwakuwana na sisi wa mungu katika hali kimungu, sawa vile Yeye eko. Tena neno ya Munguinatwaambia ya kama Mungu ni fumbo wa siri: «Tazameni namna ya utajiri wa akili namaarifa ya Mungu! Hukumu zake hazivumbulikani, na njia zake hazitafutikani! Maana ninani aliyejua nia ya Bwana? Ao ni nani aliyekuwa mushauri wake? (Wa Roma 11, 33-34),na «Siri ya utawani kubwa» (Barua ya kwanza kwa Timotheo 3, 16). Angalia na Yobu 36,26 na 37, 23).7) Hana paka Mungu mumoja siri, lakini na Evangelio Yake, hile paka katika mwangazaya Roho Mutakatifu tunaweza kuisikia: (Wa Efeso 1, 17-19, 3, 8-9, 14-19) nma pa fasi ingine.Basi, inapashwa kusopoka hii sauti yetu Washuhuda ya Yehova, wenye walishusha kabisaMungu pa fasi ya akili wa ubinadamu na wanasadiki ya kama hii Siri (Fumbo) ni wa bure (Baruawa kwanza ya Wakorinto 1, 17), na walikuwa watumwa ya akili wa ubinadamu, sawa vilewakosefu wote kwa imani ya Kristu.Sasa, kwani tuliisha kuandika ma shairi yote juu ya Fundisho ya Utatu Mutakatifu,tutaenbdelesha kuandika ma shairi ingine juu ya Umungu ya Mwana wa pekee na RohoMutakatifu, lakini mbele nitamifundisha juu ya «jina» ya Mungu.
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72:
70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74:
72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76:
74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78:
76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU