8. KRISTU NI MUNGU MUKAMILIFU <strong>NA</strong> MUTU MUKAMILIFUKwa ajili ya hii mashuhuda tuliandika mpaka sasa tunaona ya kama, bila shaka,inaonyeshwa ya kama Kristu ni MUTU <strong>NA</strong> MUNGU.1) «Katika mwanzo alikuwa Neno.. . na Neno alikuwa Mungu.. . Na Nenoalifanyika mwili (Mutu)» (Yoano 1, 1, 14).2) Hile wakati Kristu alikuwa pa inchi yetu (Mwana wa mutu»), mara moja alikuwana mbinguni kama Mungu Neno («Na hapana mutu aliyepanda mbinguni ila yeyealiyeshuka toka mbinguni») (Yoano 3, 13 na Yoano 1, 18).3) Kristu alikuwa ya kwanza «aliye juu ya maneno yote, Mungu mubarikiwa kwamilele» na, mara moja, alikuwa mutu Yesu Kristu, aliyekuja «kwa namna ya mwili» tokakabila ya Wayuda. (Wa Roma 9, 5).4) «Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa mwili», «Kwa kuwakatika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae» (Wa Kolosayi 2, 9. 1, 19). Na «Mungualikuwa ndani ya Kristu, akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe.. . » (Barua yambili kwa Wakorinto 5, 19).5)Namna gani Kristu alikuwa mara moja Mungu na Mutu, hii ni Fumbo kubwa yaUtawa wetu na sisi tunapashwa paka kuisujudu: «Na pasipo shaka, siri (fumbo) yautawa ni kubwa: Mungu alionekana katika mwili, alihesabiwa kuwa na haki katikaRoho, alionekana na malaika, alihubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katikaulimwengu, alipokewa katika utukufu» (Barua ya kwanza kwa Timotheo 3, 16).9. ROHO MUTAKATIFU NI ROHO <strong>NA</strong> WA BABA <strong>NA</strong> WA MWA<strong>NA</strong>Onyesho ingine kubwa ya hali kimungu ya yesu Kristu na usawa wake pamoja naMungu-Baba ni jabo ya kama Roho Mutakatifu wakati ingine anaitwa «Roho wa Mungu»ao «Roho wa Baba», na wakati ingine anaitwa «Roho wa Kristu» ao «Roho wa Mwana».Kwa sababu Roho Mutakatifu, wala ni Uso anayetoka toka Mungu-Baba (Yoano 15, 26),sawa vile sisi waorthodoksi tunaamini, wala ni «nguvu moja» ya Mungu-Baba, sawa vilehivi wanaamini Washuhuda ya Yehova, hakuna namna kuwa na kwa Mungu-Baba na kwaMwana mwake, kama Mwana Yesu Kristu alikuwa kiumbe.1) (a) Roho Mutakatifu anaitwa «Roho wa Mungu»» (matayo 3, 16. 12, 28.WaRoma 8, 9, 14. Barua ya mbili ya WaKorinto 2, 11. 3, 16 na pa fasi ingine) ao «Rohowa Baba» (Matayo 10, 20).b) Roho Mutakatifu anaitwa «Roho wa Mwana» (Wa Galatia 4, 6) ao «Roho waYesu Kristu» (Wa Filipi 1, 19. barua ya kwanza ya Petro 1, 11).c) Roho ya Mungu na Roho ya Mwana anasharikiwa: (Wa Roma 8, 9).2). Usawa na usharikiwa katikati ya Baba na Mwana inaonekana safi na kwa sababuRoho Mutakatifu anatumwa duniani na toka Baba na toka Mwana: Anatumwa toka Baba(Ona shairi 14, 26) na toka Mwana: (Yoano 15, 26 na 16, 7).10. KRISTU NI MUNGU <strong>YA</strong>KHVE <strong>YA</strong> AGANO LA KALEWashuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama Yakhve (Mungu ya Agano la Kale) niMungu-Baba na paka yeye wa pekee (lakini Mwana mwake ni kiumbe ya Yakhve). LakiniMadiko Takatifu inatuonyesha ya kama na Mwana ni Mungu Yakhve. Tena na RohoMutakatifu ni Mungu Yakhve. Nikusema Yakhve anasharikiwa pamoja na UtatuMutakatifu ya Agano Jipya. Sasa tutaangalia mashuhuda mengi toka Madiko Takatifu,yenye wanatuonyesha ya kama Kristu ni Mungu-Yakhve. Hii mashuhuda ni onyesho nguvukabisa juu ya hali kimungu ya Kristu:43
1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika unabii ya malaika kwa Nabii Zakaria kwamambo ya mwana wake Yoano Mutangulizi: «Maana atakuwa mukubwa mbele yaBwana (Yakhve inaandika Madiko Takatifu), .. . na wengi wa wana wa Israeliarawageuza kwa Bwana Mungu wao (Yakhve); naye (Yoano) atatangulia mbele yake(Ya Bwana Mungu wa Israeli, nikusema Yakhve) mwenye roho na nguvu za Elia,kugeuza mioyo ya baba kwa watoto wao.. . » (Luka 1, 15-17).Sisi wote tunajua ya kama Yoano alikuwa «Mutangulizi» ya Kristu na hapana yaBaba. Kwa hivyo, Huyu anayeandikwa pa hii shairi yulu «Bwana Mungu ya wa wana yaIsraeli», nikusema Yakhve, kwake alikuwa «mutangulizi» Yoano, hakuna mwingine pakaYesu Kristu, kwani paka kwake alikuwa mutangulizi Yoano.Lakini na Nabii Zakaria alisema unabii moja: «Atukuzwe Bwana Mungu waIsraeli; kwani amekuja kwa watu wake, na kuwakumboa.. . Nawe, Mutoto, utaitwanabii lake Mungu aliye juu; kwa maana utatangulia mbele ya uso wake Bwana(Yakhve), kutengeneza njia zake; (Luka 1, 68, 76).Ma «Jina» «Bwana» na «aliye juu» ni «jina ya Yakhve, aliyekuwa «Mungu waIsraeli», sawa vile hivi wanasadiki Washuhuda ya Yehova. Na, kwani Yoano alikuwamutangulizi ya Kristu na hapana ya Baba wake, inaonekana safi ya kama na huku,«Bwana» na «aliye juu» hana mwingine paka Yesu Kristu.Umoja na hii ushuhuda ni na unabii kubwa ya Isaya juu ya Yoano Mutangulizi:«Sauti ya Mutu anayelia katika jangwa, tengenezeni njia ya Bwana (Yakhve katikaandiko ya Wa Ebrania)Nyosheni mapito katika jangwa kwa Mungu wetu! (Isaya 40,3).Kupatana na Agano Jipya (Marko 1, 2-3), Bwana (Yakhve), njia Yake Yoano«anatayarisha» hana mwingine paka Yesu Kristu. Lakini na huyu mumoja Isaya inatuelejeaya kama Hule, mapito yake atanyolosha Yoano mu jangwa, nikusema Mwokozi Kristu, nimumoja «Mungu wetu».Lakini na kwa nabii malaki Yakhve anaandika juu ya Yoano na hii maana,mukusema hivi: «Tazameni, ninatuma mujumbe wangu, naye atatayarisha njia mbneleyangu» (Malaki 3, 1). Inaonekana huku ya kama Yakhve anayesema huku anasharikiwapamoja na Kristu.2) Kwa Nabii Isaya Mungu Yakhve anahubiri: «Mimi, mimi ni Bwana; napasipo mimi hapana mwokozi mwingine» (Isaya 43, 11). Mu Agano Jipya, Huyu Munguwa pekee anasharikiwa na Kristu:a) «Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kuchukua Maria muke wako, maanamimba yake ni kwa uwezo wa Roho Mutakatifu. Naye atazaa mwana; nawe utamwitajina lake Yesu= Yekhosua (maana yake: Yakhve (Mungu) anaokoa), kwa sababundiye atakayeokoa watu wake toka zambi zao.. . Nao watamwita jina lake Emanueli;maana yake Mungu pamoja nasi» (Matayo 1, 20-23).b) «Kwa sababu leo amezaliwa kwenu katika muji wa Daudi, Mwokozi, ndiyeKristu Bwana» (Luka 2, 10-11).c) «Sasa tunaamini.. na tunajua kweli huyu ni Mwokozi wa ulimwengu»(Yoano 4, 42).d) Mutume Paulo anashariki Mungu-Mwokozi (toka andiko ya Isaya) pamoja naKristu: «Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungumkubwa, Mwokozi wetu Yewu Kristu» (Tito 2, 13).e) Hii anakikiri na Mutume Petro wakati anahubiri ya kama: «Wala hakunawokovu katika mwingine, kwa maana hakuna jina lingine chini ya mbinguwaliopewa watu tupate kuokolewa nalo» (Matendo 4, 12).44
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86: 84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88: 86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90: 8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92: 90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94: 92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU