13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

8. KRISTU NI MUNGU MUKAMILIFU <strong>NA</strong> MUTU MUKAMILIFUKwa ajili ya hii mashuhuda tuliandika mpaka sasa tunaona ya kama, bila shaka,inaonyeshwa ya kama Kristu ni MUTU <strong>NA</strong> MUNGU.1) «Katika mwanzo alikuwa Neno.. . na Neno alikuwa Mungu.. . Na Nenoalifanyika mwili (Mutu)» (Yoano 1, 1, 14).2) Hile wakati Kristu alikuwa pa inchi yetu (Mwana wa mutu»), mara moja alikuwana mbinguni kama Mungu Neno («Na hapana mutu aliyepanda mbinguni ila yeyealiyeshuka toka mbinguni») (Yoano 3, 13 na Yoano 1, 18).3) Kristu alikuwa ya kwanza «aliye juu ya maneno yote, Mungu mubarikiwa kwamilele» na, mara moja, alikuwa mutu Yesu Kristu, aliyekuja «kwa namna ya mwili» tokakabila ya Wayuda. (Wa Roma 9, 5).4) «Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu kwa mwili», «Kwa kuwakatika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae» (Wa Kolosayi 2, 9. 1, 19). Na «Mungualikuwa ndani ya Kristu, akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe.. . » (Barua yambili kwa Wakorinto 5, 19).5)Namna gani Kristu alikuwa mara moja Mungu na Mutu, hii ni Fumbo kubwa yaUtawa wetu na sisi tunapashwa paka kuisujudu: «Na pasipo shaka, siri (fumbo) yautawa ni kubwa: Mungu alionekana katika mwili, alihesabiwa kuwa na haki katikaRoho, alionekana na malaika, alihubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katikaulimwengu, alipokewa katika utukufu» (Barua ya kwanza kwa Timotheo 3, 16).9. ROHO MUTAKATIFU NI ROHO <strong>NA</strong> WA BABA <strong>NA</strong> WA MWA<strong>NA</strong>Onyesho ingine kubwa ya hali kimungu ya yesu Kristu na usawa wake pamoja naMungu-Baba ni jabo ya kama Roho Mutakatifu wakati ingine anaitwa «Roho wa Mungu»ao «Roho wa Baba», na wakati ingine anaitwa «Roho wa Kristu» ao «Roho wa Mwana».Kwa sababu Roho Mutakatifu, wala ni Uso anayetoka toka Mungu-Baba (Yoano 15, 26),sawa vile sisi waorthodoksi tunaamini, wala ni «nguvu moja» ya Mungu-Baba, sawa vilehivi wanaamini Washuhuda ya Yehova, hakuna namna kuwa na kwa Mungu-Baba na kwaMwana mwake, kama Mwana Yesu Kristu alikuwa kiumbe.1) (a) Roho Mutakatifu anaitwa «Roho wa Mungu»» (matayo 3, 16. 12, 28.WaRoma 8, 9, 14. Barua ya mbili ya WaKorinto 2, 11. 3, 16 na pa fasi ingine) ao «Rohowa Baba» (Matayo 10, 20).b) Roho Mutakatifu anaitwa «Roho wa Mwana» (Wa Galatia 4, 6) ao «Roho waYesu Kristu» (Wa Filipi 1, 19. barua ya kwanza ya Petro 1, 11).c) Roho ya Mungu na Roho ya Mwana anasharikiwa: (Wa Roma 8, 9).2). Usawa na usharikiwa katikati ya Baba na Mwana inaonekana safi na kwa sababuRoho Mutakatifu anatumwa duniani na toka Baba na toka Mwana: Anatumwa toka Baba(Ona shairi 14, 26) na toka Mwana: (Yoano 15, 26 na 16, 7).10. KRISTU NI MUNGU <strong>YA</strong>KHVE <strong>YA</strong> AGANO LA KALEWashuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama Yakhve (Mungu ya Agano la Kale) niMungu-Baba na paka yeye wa pekee (lakini Mwana mwake ni kiumbe ya Yakhve). LakiniMadiko Takatifu inatuonyesha ya kama na Mwana ni Mungu Yakhve. Tena na RohoMutakatifu ni Mungu Yakhve. Nikusema Yakhve anasharikiwa pamoja na UtatuMutakatifu ya Agano Jipya. Sasa tutaangalia mashuhuda mengi toka Madiko Takatifu,yenye wanatuonyesha ya kama Kristu ni Mungu-Yakhve. Hii mashuhuda ni onyesho nguvukabisa juu ya hali kimungu ya Kristu:43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!