13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

11Sheria ya Agano la kale, lakini iliandikwa toka Roho Mtakatifu pa jiwa wa mwili, ni kusemandani ya ma roho ya waaminifu: «Maana hili ni agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli,nyuma ya siku zile, anasema Bwana; nitatia amri zangu katika nia zao, na katika mioyoyao nitaziandika: Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu» (Wa Ebrania8, 10 na 10, 16 Barua wa mpili ya Korinto 3, 3 na Yeremia 31, 31-33). Katika hii neno « Nyumbaya Israeli» maana yake ni Israeli mupya ya Neema ya Kristu, nikusema Waaminifu wa YesuKristu.Andiko ya hii sheria wa Kristu, hapana ndani ya vitabu, lakini ndani ya akili na roho yawaaminifu iko Mapokeo Takatifu, kwani ni maarifa katika Roho Mutakatifu.Kama sheria ya Mungu iliandikwa na ndani ya vitabu, ilifanyikwa hivi kwa ajili ya kosa yawatu, wenye hawaweze kuchunga ndani ya ma roho na akili yao hii sheria ya Munguna wekonalazima kusoma katika vitabu sauti ya Mungu.Sauti ya mwisho ni hii: Ya kama Kanisa katika Mapokeo yake Takatifu, yenye inapokeatena na Madiko Takatifu ni shina wa pekee ya Imani wa Kristu.Wa shuhuda ya Yehova wanatumia hii shairi kupigana ya Mapokeo Takatifu: «Watu hawawananiheshimu kwa midomo, lakini mioyo yao iko mbali nami. Wananiabudu bulewakifundisha mafundisho yaliyo amri za watu» (Marko 7, 6-7).Lakini hii ma neno haina na mapatano moja na Mapokeo Takatifu ya Kanisa wa Kristu,kwa sababu waliandikwa juu ya Wafarisayo ya hile nyakati na walitengeneza tena na mafundishowa watu: «(Yesu) Akawaambia: Isaya alitabiri vema juu yenu, wadanganyifu, kamailivyoandikwa: . . . . Munaacha amri ya Mungu, munafuata desturi ya watu (Kama kuoshavikombe, na vyungu, na vyombo vya shaba) (Mark. 7, 4). Akawaambia: Kweli, munakataaamri ya Mungu, mupate kutii desturi yenu. Maana Musa alisema: . . . Lakini ninyimunasema.. . Mulitangua Neno la Mungu kwa desturi yenu muliyopokeleza. Tenamunafanya maneno mengi sawasawa na maneno haya» (Marko 7, 6-13). Basi, sauti hii yaWashuhuda ya Yehova haina na mapatanao moja na Mapokeo Takatifu. Hivi tunaweza kusemana kwa shairi ya (Wa Galatia 2, 8).Kwa kusema sasa na sauti kifupi, tunasema mara ingine ya kama Mapokeo Takatifu nimaarifa (Tendo) isiyo kusimama ya Roho Mutakatifu ndani ya Kanisa. Ni uzima ya Kanisakatika Roho Mutakatifu, kwani Kanisa ni Mwili ya Kristu. Ni maarifa isiyosimama kutoka sikuya Pentikosti mpaka mwisho ya milele. Hii endeleo isiyo kusimama ya mapokeo wa Mitume niufananisho ya kanisa wa kweli ya Kristu. Kwa hivyo, ninyi wote walipasuka hii endeleo aowaliumba ma «Kanisa» ingine, kisha Siku Kuu ya Pentikosti (sawa walifanya Washuhuda yaYehova), hawakuwa na hata mapatano moja na Yesu Kristu na Kanisa Yake.3. MADIKO TAKATIFUSawa vile sisi tulisema, Washuhuda ya Yehova (tena na ma kundi ya Waprotestanti wote),wanasadiki ya kama shina (chemchem) ya imani wa Kristu ni paka moja: Madiko Takatifu nakabisa» Agano Jipya. Mukuwa na usingi hii Kitabu, wanakankamana kupata ao kuonyesha inafaikuwa nani kanisa wa kweli ya Kristu na imani ukweli.Hii sauti yao ni ukosefu kabisa kwa sababu:1) Madiko Takatifu na kabisa Agano Jipya, kwa sababu tunasema juu ya Kanisa waKristu, haiweze kuwa paka hii wa pekee shina ya imani wa Kristu, wala msaada kwa kanisaukweli, kwa sababu imani wa Kristu na Kanisa wa Kristu walikuwa zamani ku mbele ya AganoJipya. Kanisa, katika mwangaza ya Roho Mtakatifu «alizala» Agano Jipya na hapana Agano jipya«alizala» Kanisa.2) Tunda ya hii jambo ni ya kama fundisho ya Agano Jipya ni ya kweli, kwani inatokeaya ushuhuda ya Kanisa. Nikusema Kanisa ni Hile inatukikisha ya kama Agano Jipya iliandikwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!