11Sheria ya Agano la kale, lakini iliandikwa toka Roho Mtakatifu pa jiwa wa mwili, ni kusemandani ya ma roho ya waaminifu: «Maana hili ni agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli,nyuma ya siku zile, anasema Bwana; nitatia amri zangu katika nia zao, na katika mioyoyao nitaziandika: Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu» (Wa Ebrania8, 10 na 10, 16 Barua wa mpili ya Korinto 3, 3 na Yeremia 31, 31-33). Katika hii neno « Nyumbaya Israeli» maana yake ni Israeli mupya ya Neema ya Kristu, nikusema Waaminifu wa YesuKristu.Andiko ya hii sheria wa Kristu, hapana ndani ya vitabu, lakini ndani ya akili na roho yawaaminifu iko Mapokeo Takatifu, kwani ni maarifa katika Roho Mutakatifu.Kama sheria ya Mungu iliandikwa na ndani ya vitabu, ilifanyikwa hivi kwa ajili ya kosa yawatu, wenye hawaweze kuchunga ndani ya ma roho na akili yao hii sheria ya Munguna wekonalazima kusoma katika vitabu sauti ya Mungu.Sauti ya mwisho ni hii: Ya kama Kanisa katika Mapokeo yake Takatifu, yenye inapokeatena na Madiko Takatifu ni shina wa pekee ya Imani wa Kristu.Wa shuhuda ya Yehova wanatumia hii shairi kupigana ya Mapokeo Takatifu: «Watu hawawananiheshimu kwa midomo, lakini mioyo yao iko mbali nami. Wananiabudu bulewakifundisha mafundisho yaliyo amri za watu» (Marko 7, 6-7).Lakini hii ma neno haina na mapatano moja na Mapokeo Takatifu ya Kanisa wa Kristu,kwa sababu waliandikwa juu ya Wafarisayo ya hile nyakati na walitengeneza tena na mafundishowa watu: «(Yesu) Akawaambia: Isaya alitabiri vema juu yenu, wadanganyifu, kamailivyoandikwa: . . . . Munaacha amri ya Mungu, munafuata desturi ya watu (Kama kuoshavikombe, na vyungu, na vyombo vya shaba) (Mark. 7, 4). Akawaambia: Kweli, munakataaamri ya Mungu, mupate kutii desturi yenu. Maana Musa alisema: . . . Lakini ninyimunasema.. . Mulitangua Neno la Mungu kwa desturi yenu muliyopokeleza. Tenamunafanya maneno mengi sawasawa na maneno haya» (Marko 7, 6-13). Basi, sauti hii yaWashuhuda ya Yehova haina na mapatanao moja na Mapokeo Takatifu. Hivi tunaweza kusemana kwa shairi ya (Wa Galatia 2, 8).Kwa kusema sasa na sauti kifupi, tunasema mara ingine ya kama Mapokeo Takatifu nimaarifa (Tendo) isiyo kusimama ya Roho Mutakatifu ndani ya Kanisa. Ni uzima ya Kanisakatika Roho Mutakatifu, kwani Kanisa ni Mwili ya Kristu. Ni maarifa isiyosimama kutoka sikuya Pentikosti mpaka mwisho ya milele. Hii endeleo isiyo kusimama ya mapokeo wa Mitume niufananisho ya kanisa wa kweli ya Kristu. Kwa hivyo, ninyi wote walipasuka hii endeleo aowaliumba ma «Kanisa» ingine, kisha Siku Kuu ya Pentikosti (sawa walifanya Washuhuda yaYehova), hawakuwa na hata mapatano moja na Yesu Kristu na Kanisa Yake.3. MADIKO TAKATIFUSawa vile sisi tulisema, Washuhuda ya Yehova (tena na ma kundi ya Waprotestanti wote),wanasadiki ya kama shina (chemchem) ya imani wa Kristu ni paka moja: Madiko Takatifu nakabisa» Agano Jipya. Mukuwa na usingi hii Kitabu, wanakankamana kupata ao kuonyesha inafaikuwa nani kanisa wa kweli ya Kristu na imani ukweli.Hii sauti yao ni ukosefu kabisa kwa sababu:1) Madiko Takatifu na kabisa Agano Jipya, kwa sababu tunasema juu ya Kanisa waKristu, haiweze kuwa paka hii wa pekee shina ya imani wa Kristu, wala msaada kwa kanisaukweli, kwa sababu imani wa Kristu na Kanisa wa Kristu walikuwa zamani ku mbele ya AganoJipya. Kanisa, katika mwangaza ya Roho Mtakatifu «alizala» Agano Jipya na hapana Agano jipya«alizala» Kanisa.2) Tunda ya hii jambo ni ya kama fundisho ya Agano Jipya ni ya kweli, kwani inatokeaya ushuhuda ya Kanisa. Nikusema Kanisa ni Hile inatukikisha ya kama Agano Jipya iliandikwa
12katika pumuzi kimungu ya Roho Mutakatifu (na vitabu vyote ya Madiko Takatifu). Kamatutakataa hii ushuhuda ya Kanisa, hasitaweze hata mutu moja kutuonyesha ya kama Agano Jipyailiandikwa katika pumuzi kimungu.3) Sawa vile tunajua sisi, Agano Jipya inaikaa na vitabu makumi saba (27). Hii vitabuwalichaguliwa toka Kanisa katikati ya vitabu vingine (yenye walikuwa na walitawala hile wakatiya Mitume na jina yao) juu ya kufanya Kundi ya vitabu wa kweli ya Agano Jipya.Sisi tunajua ya kama katikati ya milele wa wili ya Kanisa wa Kristu walitawala«Evangelia» mengi na vitabu vingine na walikuwa na jina ya Mitume, sawa vile Evangelio wakwanza ya Yakobo, Evangelion ya Mtume Petro, ya Mtume Thomas, ya wa Ebrania, Evangelionya Mitume kumi na mbili, Matendo wa siri ya Mitume, Kuhubiri ya Petro na vitavu vingine.. .Katikati yao walikuwa na Evangelia hile tukona yo ndani ya Agano Jipya (Katika Matayo,Marko, Luka na Yoano) na Barua yao.Kanisa yetu katikati ya hii Evangelia mengi kwa saidio ya Wapadri Watakatifu naMakutano matakatifu wetu alichagua paka vitabu makumi saba (27) na alisema ya kama hiiVitabu waliandikwa katika pumuzi ya Roho Mtakatifu. Tena mambo ingine wa ajabu ni hii: Yakama Kanisa yetu aliitika kupokea na Evangelia, waliiandika hapana Wanafunji ya Kristu, lakiniwatoto wa roho yao, nikusema Marko na Luka. Lakini Evangelia ingine alikataa, sawa Evangelioya Yakobo, ya Thomas, ya Petro na ya Mitume kumi na mbili. Tena, vitabu ya watoto wa roho yaMitume, sawa Marko na Luka, Kanisa yetu aliipokea, lakini vitabu ya watoto wa roho wengineya Mitume, sawa askofu ya Roma Klimis na askofu ya muji Smirni, jina lake Pilikarpos, Kanisaalikataa kuipokea na alikamata mpango ya kama hii vitabu yao haikuandikwe na pumuzi ya RohoMutakatifu.Basi, ilikuwa nani kintu ya kufamia na nani anatukikisha ya kama Marko na Luka aoYuda (ndugu ya Yakobo) waliandika katika pumuzi ya Roho Mutakatifu na wengine hapana?Toka Hadisi ya Kanisa tunafunda ya kama ulazimisho juu ya kutengeneza vitabu vya naniwalikuwa wa kweli ilionekana ku mwisho ya milele wa mbili. Hile wakati walimu wa wongo(sawa Markioni) walikombana kutengeneza mustari ya vitabu vyao ya Agano Jipya. Kwa hivyoWapadri Watakatifu wengine ya Kanisa yetu, sawa Irineos, askofu ya muji Lugduno ya Fransa.Ipolitos, askofu ya Roma, Tertilianos wa muji Karkidona ya Afrika, Klimis wa muji Aleksandria,Origenis, Efsevios na wengine walianza kusema na kutengeneza Mustari ya vitabu wa naniwalikuwa wa kweli na waliandikwa katika nuru ya Roho Mutakatifu.Hii mambo ya kutengeneza vitabu ya Agano Jipya iliisha katikati ya milele wa inne, hilewakati Kanisa alipokea sauti ya Athanasios Mkubwa, patriarki ya Aleksandria wa Misri. Huyumu mwaka 367, kisha uzalio ya Kristu, alioleta mara ya kwanza mu Hadisi ya Kanisa yetumustari moja muzima na Vitabu ya Agano Jipya. Hii Vitabu ni mpaka sasa bile Vitabu Kanisayetu anayapokea. Hii Mustari ya Vitabu makumi mbili na Saba ilifamiwa na mu Kanisa yaMagaribi (Kanisa wa Roma) mu mwaka 397 katika Baraza ya muji Karthageni ya Livii waAfrika.Mpango wa mwiho ilikuwa tunda ya mazungumuzo wingi, ma shaka na mawazo yambalimbali. Paka toka mfalme wa Konstantinopoli jina lake Yustinianos ilisimamisha kila shakana mabishano juu ya vitabu ya Agano Jipya.Pa hile fasi tunaweka ulizo moja ukubwa: Namna gani Wapadri ya Kanisa yetu namakutano walikamata mpango na walisema vitabu wa nani na wa ngapi waliandikwa katika nuruya Mungu na wingine hapana? Jibu ni paka moja: Msaada ilikuwa Mapokeo Takatifu.Nikusema bile vitabu walipatana katika ukadiri na mafundisho yao pamoja na Mapokeo Takatifuya Kanisa yetu (nikusema walikuwa pamoja na imani, fundisho, desturi ya ma Fumbo ya kanisana uzima ya Kanisa katika Roho Mtakatifu) walipokelewa sawa vitabu wa mwangaza ya RohoMtakatifu. Lakini, ninyi wote hawakupatane pamoja na Mapokeo Takatifu ya Kanisa yetu,waliacha inje ya Mustari ya vitabu ya Agano Jipya.
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64:
62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66:
64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68:
66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70:
68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72:
70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74:
72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76:
74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78:
76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU