13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

25moja juu ya wokovu wake (ya mutu) na hii namna anaitimiza katika Mwana wake wa pekee.Wakati ilikuja utimizo ya wakati, Mwana wa Mungu alikuwa na mutu juu ya kutufanyishia sisiwana wa Mungu katika neema Yake (Yoano 1, 14, 12 na Wagalatia 4, 4-5). Mungu katikaMwana wake wa pekee anatupokea sawa wana wake na Yeye anakuwa B a b a wetu. Hii nitangazo kubwa, inayetupatia Mungu mu Agano Jipya.Jina Baba-Mungu inatuonyesha hii tendo kubwa ya upenzi-ubinadamu ya Mungu kwa sisi.Mungu ya Wakristu ni Mungu wa mapendo, na hana na kintu kimoja na «mungu» ya Washuhudaya Yehova, kwani huyu «mungu» yao hana na mafaa ingine paka kuonyesha uwezo ya jina yakeduniani!Agano Jipya inatuwaambia safi kabisa kwa hii mambo ya jina mupya ya Mungu, tangunyakati wa zamani ya Wakristu.1). Mtume Paulo anaweka mbele ya wamungu wa uwongo, Mungu kweli na anamuitaBaba na hapana Yehova: «.. . Lakini kwetu kuna Mungu mumoja, yeye Baba, na vitu vyotevimetoka kwake, nasi tunaishi kwake, na kuna Bwana mumoja Yesu Kristu, kwa yeye vitu vyotevimekuwa na sisi kwa yeye» (Barua ya kwanza ya waKorinto 8, 5-6). Mtume Paulo hasiseme:«Mungu mumoja, Yehova», sawa vile ilipashwa kusema, kama jina yake wa ebrania ilizimishwa.Hii sauti-bunduki yetu ni munene kupigana Washuhuda ya Yehova.2) Kwa sababu Mungu mu Agano Jipya anaitwa B a b a, Yesu Kristu mumoja anatuhamurukumuita na hii jina mu sala yetu: «Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe.. . »(Matayo 6, 9). Nikusema, jina yako (Baba) litukuzwe. Hasiseme: «Yehova yetu uliye mbinguni... » sawa vile ilipashwa kuandika kama Mungu alitaka kabisa sisi kumuita na jina Yehova!Lakini namna gani inatakasha jina ya Mungu? Jina ya Mungu «inatakaswa» kama sisi,wenye tunasema ya kama tuko watoto wake, tunakuwa sababu katika uzima ufazili yetukutukuzwa na kusifiwa Mungu, sawa vile mtoto moja, anayeishi nzuri, anasifu baba yake. Basi,mukristu moja anatakasa jina ya Baba-Mungu, kama anatii amri yote ya Mungu. Vilewanaandika na Washuhuda ya Yehova. Kupindua, kama sisi hatuishi katika amri Wake, hivitunafanya kibego ao tunachabula ao tunazarau jina ya Mungu. Ya kusema na ma sauti kidogo,Mungu «anatakaswa» (anasifiwa ao anatukuzwa) ao anajichabula, kama sisi tunaishi ao hatuishikatika mapenzi Yake. (Soma mu Matayo 5, 16. Yoano 15, 8 na Barua ya kwanza ya Petro 2, 12na wa Roma 2, 24) na ma fasi ingine.Hii shairi» Jina lako litukuzwe» inasharikiwa na shairi: «Lakini takaseni Kristu kuwaBwana mioyoni mwenu, mukiwa tayari wakati wote kujibu kila mutu anayeuliza habari zatumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole nakuogopa» (barua ya kwanza ya Petro 3, 15).3) Onyesho nguvu kabisa ya kama Mungu anataka sisi tumuite B a b a tangu wakati yakwanza ya dini ya Kristu ni ya kama Roho Mutakatifu mumoja anatufundisha ndani ya ma rohoyetu chini kabisa, tusali kwa Mungu na hii jina: «Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho yaMungu, hawa ndio wana wa Mungu. Kwa maana hamupokea tena roho ya utumwainayoleta woga, lakini mulipokea roho ya kufanywa wana, kwa sababu hii tunalia: Aba,Baba» (Wa Roma 8, 14-15). «Lakini kwa sababu ninyi ni wana, Mungu alituma Roho yaMwana wake katika mioyo yetu, anayelia: Aba, Baba» (Wa Galatia 4, 6). Basi, hapana Aba(baba) Yehova, lakini Aba, Baba.4)Agano Jipya inasadiki ya kama iliandikwa daima jina: «Baba»: «Nina maneno mengiya kusema na kuhukumu juu yenu; lakini yeye aliyenituma ni mwenye kweli; namininasema katika dunia maneno yale niliyoyasikia kwake. Hawakujua ya kama aliwaambiamaneno ya Baba» (Yoano 8, 26-27). Lakini, kama Mungu aliendelea kuitwa Yehova, MtumeYoano ilipashwa kuandika: « Hawakujua ya kama aliwaambia maneno ya Yehova».5) Ku mwisho, tunaweza kusema ya kama mu Agano Jipya ilitupatiwa na jina inginekuliko muzima na ukamilifu na ya kutimizwa: Ni jina: «Baba, Mwana na Roho Mutakatifu».Kwa hii jina nzima, jina ya Mungu wa kweli, Kristu alihamuru wabatizwe waaminifu:«Kwendeni basi mukafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mukiwabatiza kwa jina la Babana la Mwana na la Roho Mutakaitfu.. . » (Matayo 28, 19).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!