71MA SHI<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> IMANI WA KRISTUKANISA-MAPOKEO KIMUNGU-MADIKO TAKATIFUKizungumuzo moja iko namna kufanya watu wa wili kama weko na usingiu moja. Kwamfano, kwa kizungumuzo ya wakristu, usingi umoja juu ya kusimama na kutafuta mafundishoyote ni ma shina ya Imani wa Kristu. Hii Ma Shina inafai kuwa na mwanzo juu ya kupata hawawanazungumuza yeyuko ya kila mambo yao.Lakini, kama kizungumuzo inafai kujifanya pamoja na Washuhuda ya Yehova ao nawakubwa ya ma Fitina ingine ya Wa Protestani mambo ni munene, kwa sababu hawa walimu wawongo wanasuburia paka na Kitabu ya Madiko Takatifu na wanakataa Mapokeo Kimungu.Lakini Madiko Takatifu haina paka hii wa pekee. Tunaweza kuisoma paka katika nuru yaMapokeo Takatifu.Kwa hivyo na sisi tunalazimishwa ndani ya hii Kitabu kutumia sawa usingi paka naMadiko Takatifu na tunasadiki ya kama, hata huu Kitabu wa pekee, Madiko Takatifu, bilaMapokeo Takatifu itaweza kujibu ku mbele ya mafundisho ya wongo ya Washuhuda ya Yehova.Kwa kuendelea tutajibu juu ya nini Madiko Takatifu haiweze hii wenyewe kuwa shina yaImani wa Kristu na juu ya nini inalazimishwa na ushuhuda ya Kanisa na mapokeo Takatifu.1. KANISAHuku sisi tutaandika mafundisho kidogo juu ya Kanisa ya Kristu, kusudi kusaidia kila mtukwa usikio ya fundisho yetu ya Mapokeo Kimungu na Madiko Takatifu. (Fundisho ya kanisatutafundisha mu ukurasa ingine mu sura ingine).Hadisi ya Kanisa inaanza ku zamani sana, tangu wakati ya watu wa kwanza, Adamu naEva. Na kweli, kama tutarudia ku mukongo, tutaona ya kama Adamu na bibi yake Eva waliishimu Paradizo katika amani na furaha, kwani waliishi pamoja na Mungu. Makadaza yao ilikuwawafike katika utii na moyo yao kwa mapenzi kitakatifu ya Mungu kwa uzima kimungu. Nikusema wafate uzima takatifu ya Mungu katika neema Yake. Lakini ilikuja unyanganyi ya utiiyao, uharibifu na ondokeo yao ku Paradizo. Matunda ya hii kosa yao ilikuwa wa matata: Kwaajili ya zambi zao ilipasuka ushirika yao pamoja na Mungu na mtu alifanyika adui ya Mungu,mutumwa ya shetani ya ya zambi na mutumwa mu uharibifu na mu lufu. Milele kwa milele mtumupotevu aliishi mu dunia na aliomba ukombozi. Wakati fulani, ilikuja utimizo ya wakati. HuyuMukombozi walimuongojea kizazi ya kizazi alikuja. Huyu alikuwa Mwana na Neno wa Mungu(Uso wa mbili ya Utatu Mutakatifu), aliyefanyika mtu bila kusimama kuwa na mtu pamoja.(Yoano 1, 14), «aliyetolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili tuhesabiwe haki»Wa Roma 4, 25), «Akakuwa mwenye kutii hata mauti, ndiyo mauti ya musalaba» (Wafilipo2, 8). Sandaka wa musalaba na Ufufuo ya Mukombozi wetu walikuwa kwa sisi shina ya uzimamupya na uzima isiyo kwarabika. Vile, Mwana wa Mungu alitakasa na tendo Yake asili wauharibifu yetu na aliiuhuru toka utumwa ya shetani na minyororo ya lufu. (Wa Ebrania 2, 14-15na Barua wa Pili ya Timotheo 1, 10). Yesu Kristu alikuwa Adamu wa mbili na alifanya uzalio wambili na uzima mupya ya asili ubinadamu, utakaso yake na ushirika yake mu uzima ya NeemaTakatifu, mu ushirika na ungano pamoja na Mungu wa Uso Tatu. Niku sema Yesu Kristualikuwa Muzazi wa kwanza ya ubinadamu mupya, iliyeokolewa na ilitakazwa katika NeemaYake.
8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake. Madiko Takatifu inaiita Mwili ya Kristu naKichwa yake ni huyu mumoja Muzazi na Mukombozi yake, Yesu Kristu. Tangu hile wakati watuwote waliitwa toka Kristu na Mitume wake juu ya kukataa mutu wao wa zamani, «Adamu wakwanza», na kukuwa mateule ya hii Mwili Mupya ya «Adamu wa Mbili», nikusema Yesu Kristu,na ndani ya hii Mwili yake (Kanisa yake) ni namna wote ya wokovu wao. Hii Mwili ni Bibi-Arusi ya Kristu, ni Safina ya wokovu, ni sanduku ya Neema na Mulinzi ya fundisho ukweli,iliyeonekana kwa sisi.Ushirika hii mupya katika Neema takatifu, hii desturi mupya alitengeneza na alileta Kristuhapa duniani, Kanisa Yake, haina kintu ingine, paka Ufalme wa Mungu pa inchi yetu. (Nikusemani utawalo ya ufalme wa mbingu pa inchi yetu). Vile waliiona ma Nabii, vile, aliihubiri Mt.Yoano Mutangulizi, vile aliionyesha Yesu Kristu.Hii Kanisa ya Kristu ni wa milele na isiyo uharibifu (Matayo 16, 18) na mulinzi yafundisho kweli, kwani inaongozwa ku Roho Mtakatifu (Yoano 16, 13), kwa hivyo inaitwa«Nguzo na musingi wa kweli» (Barua wa kwanza ya Timotheo 3, 15).2. MAPOKEO KIMUNGUHile amri aliipatia Yesu Kristu kwa Wanafunji wake, mbele ya kupanda mbinguni ilikuwahii: «Kwendeni basi mukafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mukiwabatiza kwa jina laBaba na la Mwana na la Roho Mutakatifu; mukiwafundisha kushika maneno yoteniliyowaamuru ninyi; » (Matayo 28, 19-20).Lakini ku mbele aliwaambia hivi: «Musaidizi, Roho Mutakatifu, Baba atakayemutumakwa jina langu, yeye atawafundisha ninyi yote, na kuwakumbusha ninyi yoteniliyowaambia ninyi» (Yoano 14, 26). Na tena aliwaambia: «Ninganli na maneno mengi yakuwaambia ninyi, lakini hamuwezi kuyabeba sasa; lakini wakati anapokuja yule Roho yakweli, atawaongoza ninyi katika yote yaliyo kweli.. . » (Yoano 16, 12-13).Kweli, hile siku ya Pentikoste (masiku makumi tano, kisha Ufufuo ya Kristu) Wanafunji yaKristu na wengine (wote walikuwa watu 120) walikuwa mu muji Yerusalema ndani ya nyumbamoja na alishuka Roho Mutakatifu na aliangazie wote (Matendo ya Mitume 2, 1-4). Hile sikuilikuwa na kuhubiri wa kwanza ya Mtume Petro ku mbele ya taifa wa Yudea, na walisadiki watuma elfu tatu (3000) (Matendo ya Mitume 2, 41). Tangu hile siku Kanisa, yenye mpaka hile sikualikuwa na paka wafwasi ya Kristu, ilianza kunenepa na kutawala ma fasi yote ya dunia.Uzima ya Kanisa katika Roho Mutakatifu na Kuhubiri ya Habari Njema (Evangelio)ilitawala mu ulimwengu yote (Wa Kolosayo 1, 23) na hivi ilikuwa Mapokeo Takatifu.Washuhuda ya Yehova kwani walikataa utakaso na isiyo kosa na isiyoharibifu ya Kanisa yaKristu, walikataa na Mapokeo Takatifu. Hivi wanapokea sawa shina (chemchem) ya UfufnuoKimungu paka Madiko Takatifu. Ma fundisho ingine, wanasema, ni «mafundisho na ma shauriana mawazo ya watu na ufumbuo ya shetani». Kwa hivyo, wanasema, ma kanisa ya waaminifu,wapadri, ma Fumbo Matakatifu na uzima ya Liturgia, Watakatifu ya imani wa Kristu, WapadriWakubwa ya Kanisa ni hawa wote watumishi ya shetani. Kwa hivyo Washuhuda ya Yehova siwana wala ma kanisa, wala uzima wa ma Fumbo na Liturgia kimungu, wala Watakatifu, walaufwasi ya Mitume, hata ushirika ya imani pamoja na Kanisa ya Mitume, yenye aliiumba Munguhile siku ya Pentikosti. Nikusema, ya kusema na sauti kidogo, walipasukwa toka Kanisa yaKristu na toka uzima katika Neema ya Roho Mutakatifu.Kwa sababu, tunapashwa kujua sisi, ya kama Mapokeo Takatifu haina kintu kingine, pakauzima ya Kanisa katika Roho Mutakatifu, katikati ya ma milele yote. Kwa hivi, maonyesho yoteya hii uzima katika Roho Mutakatifu, nikusema, utawalo ya fundisho wa kweli, ufwasi yaMitume, uzima katika ma Fumbo na Liturgia Kimungu, fundisho wa kweli na ufafanusho yafundisho ya Evangelio toka Wapadri Watakatifu, maharifa ya uzima ya waaminifu wetu, katika
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60:
5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62:
606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64:
62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66:
64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68:
66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70:
68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72:
70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74:
72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76:
74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78:
76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU