13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

71MA SHI<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> IMANI WA KRISTUKANISA-MAPOKEO KIMUNGU-MADIKO TAKATIFUKizungumuzo moja iko namna kufanya watu wa wili kama weko na usingiu moja. Kwamfano, kwa kizungumuzo ya wakristu, usingi umoja juu ya kusimama na kutafuta mafundishoyote ni ma shina ya Imani wa Kristu. Hii Ma Shina inafai kuwa na mwanzo juu ya kupata hawawanazungumuza yeyuko ya kila mambo yao.Lakini, kama kizungumuzo inafai kujifanya pamoja na Washuhuda ya Yehova ao nawakubwa ya ma Fitina ingine ya Wa Protestani mambo ni munene, kwa sababu hawa walimu wawongo wanasuburia paka na Kitabu ya Madiko Takatifu na wanakataa Mapokeo Kimungu.Lakini Madiko Takatifu haina paka hii wa pekee. Tunaweza kuisoma paka katika nuru yaMapokeo Takatifu.Kwa hivyo na sisi tunalazimishwa ndani ya hii Kitabu kutumia sawa usingi paka naMadiko Takatifu na tunasadiki ya kama, hata huu Kitabu wa pekee, Madiko Takatifu, bilaMapokeo Takatifu itaweza kujibu ku mbele ya mafundisho ya wongo ya Washuhuda ya Yehova.Kwa kuendelea tutajibu juu ya nini Madiko Takatifu haiweze hii wenyewe kuwa shina yaImani wa Kristu na juu ya nini inalazimishwa na ushuhuda ya Kanisa na mapokeo Takatifu.1. KANISAHuku sisi tutaandika mafundisho kidogo juu ya Kanisa ya Kristu, kusudi kusaidia kila mtukwa usikio ya fundisho yetu ya Mapokeo Kimungu na Madiko Takatifu. (Fundisho ya kanisatutafundisha mu ukurasa ingine mu sura ingine).Hadisi ya Kanisa inaanza ku zamani sana, tangu wakati ya watu wa kwanza, Adamu naEva. Na kweli, kama tutarudia ku mukongo, tutaona ya kama Adamu na bibi yake Eva waliishimu Paradizo katika amani na furaha, kwani waliishi pamoja na Mungu. Makadaza yao ilikuwawafike katika utii na moyo yao kwa mapenzi kitakatifu ya Mungu kwa uzima kimungu. Nikusema wafate uzima takatifu ya Mungu katika neema Yake. Lakini ilikuja unyanganyi ya utiiyao, uharibifu na ondokeo yao ku Paradizo. Matunda ya hii kosa yao ilikuwa wa matata: Kwaajili ya zambi zao ilipasuka ushirika yao pamoja na Mungu na mtu alifanyika adui ya Mungu,mutumwa ya shetani ya ya zambi na mutumwa mu uharibifu na mu lufu. Milele kwa milele mtumupotevu aliishi mu dunia na aliomba ukombozi. Wakati fulani, ilikuja utimizo ya wakati. HuyuMukombozi walimuongojea kizazi ya kizazi alikuja. Huyu alikuwa Mwana na Neno wa Mungu(Uso wa mbili ya Utatu Mutakatifu), aliyefanyika mtu bila kusimama kuwa na mtu pamoja.(Yoano 1, 14), «aliyetolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili tuhesabiwe haki»Wa Roma 4, 25), «Akakuwa mwenye kutii hata mauti, ndiyo mauti ya musalaba» (Wafilipo2, 8). Sandaka wa musalaba na Ufufuo ya Mukombozi wetu walikuwa kwa sisi shina ya uzimamupya na uzima isiyo kwarabika. Vile, Mwana wa Mungu alitakasa na tendo Yake asili wauharibifu yetu na aliiuhuru toka utumwa ya shetani na minyororo ya lufu. (Wa Ebrania 2, 14-15na Barua wa Pili ya Timotheo 1, 10). Yesu Kristu alikuwa Adamu wa mbili na alifanya uzalio wambili na uzima mupya ya asili ubinadamu, utakaso yake na ushirika yake mu uzima ya NeemaTakatifu, mu ushirika na ungano pamoja na Mungu wa Uso Tatu. Niku sema Yesu Kristualikuwa Muzazi wa kwanza ya ubinadamu mupya, iliyeokolewa na ilitakazwa katika NeemaYake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!