13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

na wane wakaanguka wakamwabudu yeye aliye hai milele na milele» (Ufunuo 5, 13-14).Ushuhuda ya Madiko Takatifu ni usafi kabisa. Ndani ya maandiko yake Kristuanaonekana «Mungu wa kweli toka Mungu wa Kweli, aliyezaliwa mbele ya wakati na bilauharibifu toka asili ya Mungu-Baba, sawa vile inazaliwa neno toka akili ao moto nuru tokamoto. Basi, ni wa mwanzo umoja pamoja na Baba na wa milele na wa asili moja, asiyeuharibifu, aliyejua wowote, ma fasi wote. Eko na hali umoja na Mungu-Baba lakini siweko wa mungu wa wili, lakini ni Mungu moja. Hawa watu wanakataa hii mafundisho nawanafundisha Habari Njema (Evangelio) ingine wanapashwa kusoma ma sauti ya MutumePaulo, anasema kwa barua ya Wagalatia 1, 8.Mbele ya kufunga hii sura ya Bwana Yesu, iko nzuri kuandika na ushuhuda inginetoka Mapokeo Takatifu juu ya Mwana na Neno ya Mungu. Hii fundisho inatokea yaMakutano wa Ine Kubwa:«Kufatana na sisi Wapadri Watakatifu wetu, tunaamini kwa Mwana na Bwana wetuYesu Kristu sawa vile sisi wote tunafundisha ya kama Huyu ni Mungu mukamilifu na mutumukamilifu, Mungu wa kweli na mutu wa kweli, kwani eko na na nafsi na mwili ya mutu;tena ni wa asili moja na Baba katika umungu na wa asili moja katika kimutu, bila zambi.Aliyezaliwa mbele ya wakati katika hali kimungu, lakini kwa masiku haya alikuja kwetukwa wokovu wetu toka Maria Bikira na Mzazi-Mungu sawa mutu na alikuwa pamoja nahali kimungu bila ma hali wa wili kuwa na kuchanga, bila kuwa mbali, bila kuharabika,bila kuachana. Hii ma hali wake wa wili walikuwa pa Uso moja bila kuachanishwa aokupasukwa, lakini alikuwa moja Mwana wa pekee, Neno Mungu, Bwana Yesu Kristu,sawa vile na Manabii walisema kwake na Huyu Bwana Yesu Kristu alitufundisha.12. MASHUHUDA <strong>YA</strong> <strong>WASHUHUDA</strong> <strong>YA</strong> <strong>YEHOVA</strong> KUPIGA<strong>NA</strong>HALI KIMUNGU <strong>YA</strong> KRISTUSisi, tunasadiki, ya kama tuliandika mashuhuda yote juu ya kuonyesha halikimungu ya Bwana Yesu Kristu, lakini sasa tutaandika na mashuhuda ya Washuhuda yaYehova na tutaonyesha ya kama ma shairi yao ni ya bure:1) «Maneno haya anasema yeye Amina, aliye Mushuhuda mwaminifu na wakweli, mwanzo wa viumbe vya Mungu» (Ufunuo 3, 14); anaandika Yoano juu ya Kristumu Ufunuo. Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama hii neno: «mwanzo wa viumbevya Mungu» maana yake ni «kiumbe wa kwanza».a) Sisi tunajibu ya kama hii shairi ni umoja na shairi ingine ya huyuMwandishi: «Katika mwanzo alikuwa Neno» (Yoano 1, 1), (nikusema katika mwanzoya kiumba Neno alikuwa) pahali Neno Mungu anaonyeshwa asiye na mwanzo na wamilele, kwani alikuwa mbele ya kila kiumbe «na pasipo yeye hakikufanyika hata kitukimoja kilichofanyika» (Yoano 1, 3). Hakuna namna kusadiki sisi ya kama «mwanzo waviumbe vya Mungu» kuwa na maana: «kiumbe wa kwanza».b) Jina «Amina» (nikusema wa kweli kabisa) ni kwa Mungu na hapana kwa kiumbekimoja: Kwa Nabii Isaya (65, 16) inaandikwa ya kama hile wakati ya Mwokozi waaminifu«atajibariki kwa Mungu wa kweli; naye anayeapa duniani ataapa kwa Mungu wa kweli».Andiko ya waEbrania inaandika pa neno: «Mungu wa kweli», inaandika: «Mungu waAmina». Kwa sababu, basi, katika Nabii Isaya «Mungu wa Amina» (Mungu wa kweli) niYakhve, inaonekana safi ya kama Kristu ni «Amina» ya Ufunuo na anasharikiwa naYakhve. Basi, hakuna namna kuwa kiumbe.c) Neno «mwanzo» mu lugha kigreki maana yake haina paka ya wakati, lakini maramingi iko na maana na hivi:49

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!