na wane wakaanguka wakamwabudu yeye aliye hai milele na milele» (Ufunuo 5, 13-14).Ushuhuda ya Madiko Takatifu ni usafi kabisa. Ndani ya maandiko yake Kristuanaonekana «Mungu wa kweli toka Mungu wa Kweli, aliyezaliwa mbele ya wakati na bilauharibifu toka asili ya Mungu-Baba, sawa vile inazaliwa neno toka akili ao moto nuru tokamoto. Basi, ni wa mwanzo umoja pamoja na Baba na wa milele na wa asili moja, asiyeuharibifu, aliyejua wowote, ma fasi wote. Eko na hali umoja na Mungu-Baba lakini siweko wa mungu wa wili, lakini ni Mungu moja. Hawa watu wanakataa hii mafundisho nawanafundisha Habari Njema (Evangelio) ingine wanapashwa kusoma ma sauti ya MutumePaulo, anasema kwa barua ya Wagalatia 1, 8.Mbele ya kufunga hii sura ya Bwana Yesu, iko nzuri kuandika na ushuhuda inginetoka Mapokeo Takatifu juu ya Mwana na Neno ya Mungu. Hii fundisho inatokea yaMakutano wa Ine Kubwa:«Kufatana na sisi Wapadri Watakatifu wetu, tunaamini kwa Mwana na Bwana wetuYesu Kristu sawa vile sisi wote tunafundisha ya kama Huyu ni Mungu mukamilifu na mutumukamilifu, Mungu wa kweli na mutu wa kweli, kwani eko na na nafsi na mwili ya mutu;tena ni wa asili moja na Baba katika umungu na wa asili moja katika kimutu, bila zambi.Aliyezaliwa mbele ya wakati katika hali kimungu, lakini kwa masiku haya alikuja kwetukwa wokovu wetu toka Maria Bikira na Mzazi-Mungu sawa mutu na alikuwa pamoja nahali kimungu bila ma hali wa wili kuwa na kuchanga, bila kuwa mbali, bila kuharabika,bila kuachana. Hii ma hali wake wa wili walikuwa pa Uso moja bila kuachanishwa aokupasukwa, lakini alikuwa moja Mwana wa pekee, Neno Mungu, Bwana Yesu Kristu,sawa vile na Manabii walisema kwake na Huyu Bwana Yesu Kristu alitufundisha.12. MASHUHUDA <strong>YA</strong> <strong>WASHUHUDA</strong> <strong>YA</strong> <strong>YEHOVA</strong> KUPIGA<strong>NA</strong>HALI KIMUNGU <strong>YA</strong> KRISTUSisi, tunasadiki, ya kama tuliandika mashuhuda yote juu ya kuonyesha halikimungu ya Bwana Yesu Kristu, lakini sasa tutaandika na mashuhuda ya Washuhuda yaYehova na tutaonyesha ya kama ma shairi yao ni ya bure:1) «Maneno haya anasema yeye Amina, aliye Mushuhuda mwaminifu na wakweli, mwanzo wa viumbe vya Mungu» (Ufunuo 3, 14); anaandika Yoano juu ya Kristumu Ufunuo. Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama hii neno: «mwanzo wa viumbevya Mungu» maana yake ni «kiumbe wa kwanza».a) Sisi tunajibu ya kama hii shairi ni umoja na shairi ingine ya huyuMwandishi: «Katika mwanzo alikuwa Neno» (Yoano 1, 1), (nikusema katika mwanzoya kiumba Neno alikuwa) pahali Neno Mungu anaonyeshwa asiye na mwanzo na wamilele, kwani alikuwa mbele ya kila kiumbe «na pasipo yeye hakikufanyika hata kitukimoja kilichofanyika» (Yoano 1, 3). Hakuna namna kusadiki sisi ya kama «mwanzo waviumbe vya Mungu» kuwa na maana: «kiumbe wa kwanza».b) Jina «Amina» (nikusema wa kweli kabisa) ni kwa Mungu na hapana kwa kiumbekimoja: Kwa Nabii Isaya (65, 16) inaandikwa ya kama hile wakati ya Mwokozi waaminifu«atajibariki kwa Mungu wa kweli; naye anayeapa duniani ataapa kwa Mungu wa kweli».Andiko ya waEbrania inaandika pa neno: «Mungu wa kweli», inaandika: «Mungu waAmina». Kwa sababu, basi, katika Nabii Isaya «Mungu wa Amina» (Mungu wa kweli) niYakhve, inaonekana safi ya kama Kristu ni «Amina» ya Ufunuo na anasharikiwa naYakhve. Basi, hakuna namna kuwa kiumbe.c) Neno «mwanzo» mu lugha kigreki maana yake haina paka ya wakati, lakini maramingi iko na maana na hivi:49
-Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa Efeso 1, 21 na Wakolosayi 2, 10) na pa fasiingine.-Tendo, hali: «Hata malaika wasiolinda enzi yao wenyewe, lakini wakaachamakao yao, .. . kwa hukumu ya siku ile kubwa» (Yuda, 6).-Sababu ya huyu anayeleta mwanzo.Kama tunajua hii mafafanusho yote juu, tunaweza kuelejea hivi hii shairi yaUfunuo: «Maneno haya anasema yeye Amina, aliye Mushuhuda mwaminifu na wakweli, chemchem (shina), sababu na mwanzo ya kiumba, mkubwa na mwenyemamlaka ya kiumbe ya Mungu».2) «Kwa sababu ninakwenda kwa Baba, kwa maana Baba yangu ni mukubwakuliko mimi» (Yoano 14, 28), alisema Kristu kwa wanafunzi wake hile usiku ya utoajiyake.Tunajibu ya kama Kristu, sawa vile inaonyesha Madiko Takatifu, alikuwa Mungumukamilifu na mutu mukamilifu. Sawa Mungu ni sawasawa na wa asili moja pamoja naBaba, sawa vile ilionyeshwa. Sawa mutu, lakini, alikuwa wa chini ku Baba. Hapa Kristuanasuburia sawa mutu, sawa mwokozi na musaidizi ya watu, aliye pashwa kutembea kwaBaba, katika Mateso, Ufufuo na Kupanda mbinguni (Marko 16, 19). Hapa Neno Mungu,alikuwa daima pamoja na Baba «Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiyealiyemufunua» (Yoano 1, 18).Tena tunaweza kuelejea ya kama Mwana alikuwa mudogo mbele ya Baba wakehapaka katika hali kimungu, lakini katika fasi yake, kwa sababu Baba alikuwa Muzaziyake, chemchem ya Umungu na toka Yake wanazaliwa ma uso ingine ya Utatu Mutakatifu.Ya kusema na ma sauti ingine: Baba, kwani ni chemchem ya Umungu ni mu fasi wakwanza katikati ya ma Uso wengine, bila lakini kuharabika usawa wao wa tatu.3) «Lakini kwenda kwa ndugu zangu, ukawaambie: Ninapanda kwa Babayangu na Baba yenu; na kwa Baba wangu na Mungu wenu» (Yoano 20, 17) anasemamwenye Ufufuo Kristu kwa Maria Magdalena.Ni usafi huku ya kama anasuburia Kristu sawa «mwana wa mutu», katika halikimutu yake. Ni Mwokozi ya watu aliyekufa na alifufuka kwa wokovu wetu na atasimamakama mutu mbele ya Baba wake kuwa musaidizi ya watu katika maombi yake mbele yaBaba-Mungu. Kristu sawa mutu mukamilifu ni kiumbe na kwani ni kiumbe na yeye eko naMungu-Baba, Mungu Yake, sawa wekona yo viumbe vyote. Sauti yake: «Ninapanda kwaBaba» inatukikiri bila hata shaka kidogo ya kama anasuburia mutu-Kristu, kwa maana,sawa Mungu-Neno ni pamoja masiko yote na Baba ««Mwana pekee aliye katika kifua chaBaba, huyu ndiye aliyemufunua» (Yoano 1, 18). Hii ni ufafanusho na mu shairi: «Ufufnuo3, 12).4). «Na huu ni uzima wa milele, wakujue wewe Mungu pekee wa kweli, nayesu Kristu, uliyemutuma» (Yoano 17, 3). Aliomba Kristu kwa Mungu-Baba hile usikuya utoaji.Ni kweli ya kama na huku Kristu anaomba sawa mutu, sawa Mwokozi, sawaMusaidizi katika ya Mungu na watu, sawa Kuhani wa tayari ya kutoa sandaka kubwa yake,sandaka ya Maugo Yake kwa wokovu ya dunia. Basi, sawa Musaidizi anaomba kwaMungu-Baba, «Mungu wa kweli wa pekee» na maana ya kama Huyu ni chemchem yaumungu, kwa maana toka Yake anazaliwa Mwana na anatokea Roho Mutakatifu. Mungu-Baba kama chemchem ya Umungu na Muzazi ya ma Uso Matakatifu wengine wa wiliwenye wa asili moja na wa milele, kama Umungu muzima ni Mungu wa pekee wa kweli.Hii haishushe Mwana na Roho Mutakatifu, wenye wanasharikiwa na Baba katika Umungu.50
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86: 84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88: 86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90: 8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92: 90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94: 92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96: 942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98: 96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100: 98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU