13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

31anasharikiwa na Baba-Mungu, «alivyoangalia Mataifa kusudi achagua toka kwao watu kwa jinalake».Hii sauti anatukikiri na Mtume Paulo mukusema ya kama huyu atachagua taifa kwa jinalake ni Kristu: «Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungumkubwa, Mwokozi wetu Yesu Kristu: aliyejitoa mwenyewe kwa ajili yetu atukomboe tokauovu wote, na kujisafishia watu wawe mali yake mwenyewe, wenye bidii sana katika kazinjema» (Tito 2, 13-14).Kupindua, jina « Washuhuda ya Yehova» ilikuja duniani mara ya kwanza mu mwaka1931 ku Yosefu Roderfont na ilijipatia mu kundi yao, lakini mpaka mu mwkaa 1931 walikuwana jina: «Wasomaji ya Madiko».6) «Na itakuwa kila mutu atakayeomba kwa jina la Bwana (Yakhve), ataokolewa»(Yoeli 2, 32 na Matendo 2, 14-21 na wa Roma 10, 13).Sawa vile nitaonyesha na kwa sura ya umungu ya Kristu, Wakristu wa kwanza walifatahii unabii, bila kuita jina Yakhve, lakini Jina ya Yesu Kristu; na hii sauti inatuonyesha, ya kamaKristu ni Mungu Yakhve ya Agano la Kale (Matendo 7, 59. 9, 14, 21 na Barua ya kwanza ya waKorinto 1, 2).7) Washuhuda ya Yehova wanasingi pa hii shairi: «Maneno haya anasema yeye Amina,aliye Mushuhuda mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa viumbe vya Mungu» (Ufunuo 3, 14)wanaambia ya kama Kristu alikuwa «Mushuhuda» wa Yehova.Lakini Madiko Takatifu inatupatia fundisho ingine sana. Yesu Kristu alipatia ushuhudakwa Mungu wa kweli: Kwa Baba, kwa Maungo Yake na kwa Roho Mutakatifu. (Ona Yoano 17,3-4. 14, 6. 8, 12, 18. 14, 26. 15, 26. 16, 13. Matayo 28, 19) Na ma fasi ingine. Hii ufunuo yaMungu wa kweli sawa Baba, Mwana na Roho Mutakatifu na kazi yote ya Kristu MadikoTakatifu inafananisha «kukiri kwema» aliyeshuhuda Yesu Kristu mbele ya Pontio Pilato. (Baruaya kwanza ya Timotheo 6, 13).Tena, ila tu, Madiko Takatifu inasema ya kama na Baba mumoja na Roho Mutakatifumumoja ni «washuhuda» ya Kristu:a) Baba-Mungu ni mushuhuda ya Kristu: «Matayo 3, 17. 17, 5. Barua ya kwanza yaYoano 5, 9-12 na Yoano 8, 18).b) Roho Mutakatifu ni mushuhuda ya Kristu: «Yoano 15, 26, Matendo 5, 32 na barua yakwanza ya Yoano 5, 6).c) Yesu Kristu ni mushuhuda ya maungo yake: (Yoano 8, 14, 18. 11, 25. 14, 6 na 18,37).Ni na ma shairi ingine mengi toka Madiko Takatifu inatuonyesha «jina» ya Mungu.Lakini hii fundisho tuliandika mpaka sasa inenea kujibu kwa Washuhuda ya Yehova.12. <strong>YA</strong>KHVE NI MUNGU WA UTATU MUTAKATIFUWashuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama na jina Yakhve Madiko Takatifu inawazapaka Baba-Mungu na hapana Yesu Kristu, (wanamusadiki kiumbe ya Yakhve) na RohoMutakatifu (wanamusadiki sawa nfuvu moja ya Yakhve). Washuhuda ya Yehova wanasadiki yakama ndani ya Madiko Takatifu ni maonyesha mengi ya kama Yakhve ya Agano la Kale hainapaka Baba-Mungu, lakini na Mwana na Roho Mutakatifu; nikusema ni pamoja Utatu Mutakatifu.Lakini ma sehemu ya Umungu ya Yesu Kristu na ya Roho Mutakatifu, kisha hii fundishonitaandika maonyesho mengi.Mungu Yakhve, basi, ya Agano la Kale haina paka Mungu, lakini ni na Mwana na RohoMutakatifu, Utatu Mutakatifu asiyekuachana na aliye na asili moja, Mungu wa kweli mumoja nawa pekee. Mu Agano Jipya Kristu alikombola hii jina (Yakhve) na jina: «Baba, Mwana naRoho Mutakatifu» (Matayo 28, 19), kwani huu jina na ma uso tatu inatuonyesha safi kabisa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!