31anasharikiwa na Baba-Mungu, «alivyoangalia Mataifa kusudi achagua toka kwao watu kwa jinalake».Hii sauti anatukikiri na Mtume Paulo mukusema ya kama huyu atachagua taifa kwa jinalake ni Kristu: «Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungumkubwa, Mwokozi wetu Yesu Kristu: aliyejitoa mwenyewe kwa ajili yetu atukomboe tokauovu wote, na kujisafishia watu wawe mali yake mwenyewe, wenye bidii sana katika kazinjema» (Tito 2, 13-14).Kupindua, jina « Washuhuda ya Yehova» ilikuja duniani mara ya kwanza mu mwaka1931 ku Yosefu Roderfont na ilijipatia mu kundi yao, lakini mpaka mu mwkaa 1931 walikuwana jina: «Wasomaji ya Madiko».6) «Na itakuwa kila mutu atakayeomba kwa jina la Bwana (Yakhve), ataokolewa»(Yoeli 2, 32 na Matendo 2, 14-21 na wa Roma 10, 13).Sawa vile nitaonyesha na kwa sura ya umungu ya Kristu, Wakristu wa kwanza walifatahii unabii, bila kuita jina Yakhve, lakini Jina ya Yesu Kristu; na hii sauti inatuonyesha, ya kamaKristu ni Mungu Yakhve ya Agano la Kale (Matendo 7, 59. 9, 14, 21 na Barua ya kwanza ya waKorinto 1, 2).7) Washuhuda ya Yehova wanasingi pa hii shairi: «Maneno haya anasema yeye Amina,aliye Mushuhuda mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa viumbe vya Mungu» (Ufunuo 3, 14)wanaambia ya kama Kristu alikuwa «Mushuhuda» wa Yehova.Lakini Madiko Takatifu inatupatia fundisho ingine sana. Yesu Kristu alipatia ushuhudakwa Mungu wa kweli: Kwa Baba, kwa Maungo Yake na kwa Roho Mutakatifu. (Ona Yoano 17,3-4. 14, 6. 8, 12, 18. 14, 26. 15, 26. 16, 13. Matayo 28, 19) Na ma fasi ingine. Hii ufunuo yaMungu wa kweli sawa Baba, Mwana na Roho Mutakatifu na kazi yote ya Kristu MadikoTakatifu inafananisha «kukiri kwema» aliyeshuhuda Yesu Kristu mbele ya Pontio Pilato. (Baruaya kwanza ya Timotheo 6, 13).Tena, ila tu, Madiko Takatifu inasema ya kama na Baba mumoja na Roho Mutakatifumumoja ni «washuhuda» ya Kristu:a) Baba-Mungu ni mushuhuda ya Kristu: «Matayo 3, 17. 17, 5. Barua ya kwanza yaYoano 5, 9-12 na Yoano 8, 18).b) Roho Mutakatifu ni mushuhuda ya Kristu: «Yoano 15, 26, Matendo 5, 32 na barua yakwanza ya Yoano 5, 6).c) Yesu Kristu ni mushuhuda ya maungo yake: (Yoano 8, 14, 18. 11, 25. 14, 6 na 18,37).Ni na ma shairi ingine mengi toka Madiko Takatifu inatuonyesha «jina» ya Mungu.Lakini hii fundisho tuliandika mpaka sasa inenea kujibu kwa Washuhuda ya Yehova.12. <strong>YA</strong>KHVE NI MUNGU WA UTATU MUTAKATIFUWashuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama na jina Yakhve Madiko Takatifu inawazapaka Baba-Mungu na hapana Yesu Kristu, (wanamusadiki kiumbe ya Yakhve) na RohoMutakatifu (wanamusadiki sawa nfuvu moja ya Yakhve). Washuhuda ya Yehova wanasadiki yakama ndani ya Madiko Takatifu ni maonyesha mengi ya kama Yakhve ya Agano la Kale hainapaka Baba-Mungu, lakini na Mwana na Roho Mutakatifu; nikusema ni pamoja Utatu Mutakatifu.Lakini ma sehemu ya Umungu ya Yesu Kristu na ya Roho Mutakatifu, kisha hii fundishonitaandika maonyesho mengi.Mungu Yakhve, basi, ya Agano la Kale haina paka Mungu, lakini ni na Mwana na RohoMutakatifu, Utatu Mutakatifu asiyekuachana na aliye na asili moja, Mungu wa kweli mumoja nawa pekee. Mu Agano Jipya Kristu alikombola hii jina (Yakhve) na jina: «Baba, Mwana naRoho Mutakatifu» (Matayo 28, 19), kwani huu jina na ma uso tatu inatuonyesha safi kabisa
32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na namna siri ndani ya mafundisho ya Agano la Kale na alionekanana nuru kimungu ya Agano Jipya katika Yesu Kristu (Barua ya mbili kwa wa Korinto 3, 14).Kwa hii jina ya Utatu Mutakatifu alihamuru Kristu wanafunzi Wake kuhubiri na kubatizamataifa yote na hapana kwa jina ya Yehova (Matayo 28, 19).4UMUNGU WA KRISTUKRISTU NI MUNGU MUKAMILIFU <strong>NA</strong> MUTU MUKAMILIFUMWANZOSawa tulisema mpaka sasa Washuhuda ya Yehova wanakataa Mungu ya ma Uso Tatu. Juuya kufika pale, ililazimishwa wakatale ku mbele umungu ya Yesu Kristu na Roho Mutakatifu.Juu ya Yesu Kristu wanafundisha ya kama alikuwa kiumbe wa kwanza ya Mungu na kwa ajiliyake aliumba Mungu viumba vyote. Tena wanasadiki ya kama Yesu Kristu ni malaika Mikhaeli.Kwa sababu wanaona mafundisho yote ya Kristu katika akili ugonjwa wao, hawakusikie Fumbokubwa ya Ufikisho ya Yesu Kristu duniani na wanachekelea wakritu waorthodoksi sawa wafwasiya wamungu wingi. Mbele ya kuonyesha umungu ya Yesu Kristu, nitaandika sasa mafundisho yaYesu Kristu katika theologia orthodokse na theologia wa wokovu:Sawa vile tunajua, Mungu aliumba mutu «kwa mufano» Wake na makadaza ya mwishokwa kuwa «katika sura» Yake, nikusema kila mutu eko na makadaza kufika kwa uzima kitakatifukatika neema ya Mungu. Lakini mutu wa kwanza alikanyanga amri ya Mungu na alifukuzwa injeya paradizo. Matunda ya zambi ya Adamu ilikuwa mabaya, kwa sababu ilikuja uharibifu mojamunene ndani ya uzima na akili yake: Ilisimamishwa ushirika katikati ya mutu na MunguMuumba yake. Tunda ingine mara moja ilikuwa «lufu» ya mutu na utumwa wake kwa shetani naufwasi wake kwa sheria ya zambi na lufu (Wa Roma 7, 15-24 na Yoano 8, 34 na Mwanzo 2, 17na 3, 19). Hivi lufu katika zambi ilitawala kwa watu wote (Wa Roma 5, 12) na shetani alikuwa«mkubwa ya hii dunia» (Wa Efeso 6, 12 na Yoano 14, 30).Ndani ya hii hali ya «kivuli ya lufu» alikuwa mutu miaka ma elfu mengi mukuongojeaMukombozi, aliyeisha kumulaka Mungu kwa Adamu ya kama siku fulani atamutuma (Mwanzo3, 15). Lakini matunda ya kosa ya watu wa kwanza, ilikuwa munene sana na hakuna mtumwingine aliweza kumaliza kazi ya wokovu ya watu, paka Mungu mumoja. Kwa hivyo, «wakatialipomalizwa, Mungu alituma Mwana wake, aliyezaliwa na mwanamuke, aliyezaliwa chiniya sheria, ili awakomboe waliokuwa chini ya sheria, tupate kupokea hali ya wana» (WaGalatia 4, 4-5). Mwana wake wa pekee mwenye eko na asili moja na mwanzo moja, ni Uso wambili ya Utatu Mutakatifu, chemchem (shina) ya Uzima (Yoano 11, 25. 14, 6). Huyu alikamatampango kuleta uzima mupya kwa mutu aliyeisha kufa na kutengeneza «sura ya Mungu» aliyeishakuharibifu na amupatie sura yake wa kwanza.Kwa sababu watu weko na mwili na damu, kw ahivyo na Mwana wa Mungu, juu yakumaliza tendo Yake wa wokovu, alichukua na Yeye mwili na damu, bila kusimama kuwa maramoja na Mungu wa kweli: «Katika mwanzo alikuwa Neno (Yesu Kristu).. na Neno alikuwaMungu.. . Na Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu» (Yoano 1, 1, 14). Alifanyika mutu bilakusimama kuwa mara moja na Mungu, juu ya kuweza kufa, «hata kwa njia ya kufa apatekuharibu yeye aliyekuwa na nguvu za kufa, ndiye Shetani» (Wa Ebrania 2, 14-15). «Kwakusudi hili Mwana wa Mungu alionekana, ili avunje kazi za Shetani» (Barua ya kwanza yaYoano 3, 8), na alivunja matendo ya shetani katika Musalaba na Ufufuo Wake. Kweli, hiiuvunjo ya shetani ilimalizwa, wakati Mwana wa Mungu, alifanyika mutu na alikamata mpango
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU