Yakhve, basi, anayesema ya kama ila yake Mwokozi mwingine hakuna,anasharikiwa na Mwokozi-Kristu.3). Nabii Isaya mu sura 6 (sita) ya Kitabu yake anaandika ya kama aliona utukufukubwa wa Mungu Yakhve, aliyemwambia: «Kwenda; na utawaambia watu hawa:Kusikia mutasikia, lakini hamutafahamu; na kuona mutaona lakini hamutajua.Ufanyize moyo wa watu hawa kuona, na ufanyize masikio yao mazito, na ufungemacho yao; hata wasione na macho yao, na kusikia na masikio yao, na kufahamu namoyo wao, na kugeuka na kupona» (Isaya 6, 9-10).Mwevangelizaji Yoano anatumia hii unabii kwa Uso ya Kristu na anasharikiYakhve pamoja na Kristu: «Lakini hata alikuwa amefanya (Kristu) alama nyingi mbeleyao, hawakumwamini: .. . kwa sababu Isaya alisema tena: Amepofusha macho yao,na amefanya migumu mioyo yao, wasije wakaona kwa macho yao, wakafahamu kwamioyo yao, wakageuka, nikawaponyesha. Maneno haya aliyasema Isaya, kwa sababu.a l i o n a u t u k u f u w a k e (Kristu) na alisema habari zake» (Yoano 12, 37-41).Basi, Yakhve, utukufu yake aliiona Isaya hasikukuwe mwingine paka Mwana wa Mungu.Kwa hivyo Kristu alisema ya kama, « Mimi na Baba tuko pamoja» na «Huyu aliyenionaaliona Baba».4) Mu Sura 35 ya Kitabu ya Isaya inaandikwa hadishi ya kurudia Wayuda kwaotoka utumwa ya muji Babeloni; hii tendo yao ya kurudia kwao ni maana ya kama hiviwatarudia watu kwa Mwokozi ya dunia. Anasema: «jangwa na inchi kavu zitafurahi; najangwa litashangilia na kutoa maua kama waridi.. . Wataona (Palestini) utukufu waBwana, enzi ya Mungu wetu. Mutie nguvu mikono iliyo zaifu, musimamishe magotiyaliyolegea. Muwaambie walio na moyo wa woga: Mukae na nguvu, musiogope;tazama, Mungu wenu atakuja na kisasi, na malipo ya Mungu. atakuja yeye (Mungu)mwenyewe nakuwaokoa ninyi. Ndipo macho ya vipofu yatafunguliwa, na masikio yaviziwi yatafunguliwa. Ndipo kiwete atarukaruka kama ayala, na ulimi wa bubuutaimba; .. . » (Isaya 35, 1-6).Maneno haya wanatuwaambia juu ya wakati wa Mwokozi. Kwa hivyo Kristualiitimiza kwa Maugo yake: «Na wakati Yoane (mutangulizi) aliposikia katika kifungomatendo ya Kristu, alituma wanafunzi wake akamwambia: Wewe ni yeye anayekuja,ao tutazamie mwingine? Yesu akajibu, akawaambia: Kwendeni zenu mumwambieYoane maneno muliyosikia na kuona; vipofu wanapata kuona kwao, na viwetewanatembea, wakoma wanasafishwa, na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, namasikini wanahubiriwa Habari Njema. Abarikiwe yeye asiyechukizwa nami»(Matayo 11, 2-6).Katika hii jibu Kristu alikikisha Yoano ya kama Huyu alikuwa «aliyekuja», Mungu(Yakhve), aliye pashwa kuja katika Isaya aokoe taifa lake na hivi watatunzwa vipofu, wabubu, wenye vilema. Hile wakati «Ndipo macho ya vipofu yatafunguliwa, na masikio yaviziwi yatafunguliwa». Kwa kusema na maneno madogo Kristu alikuwa «aliyekujaMungu». Tena hii shairi: «Abarikiwe yeye asiyechukizwa nami» iko na mafaa mingi. KamaKristu hasikukuwe Yakhve na alikuwa kiumbe moja, hakuna mambo kama mtu mojaatachukizwa kwa ajili Yake. Tena shairi ingine inayetuonyesha ya kama unabii ya nabiiIsaya inaonyesha nyakati ya Mwokozi, ni na hii sauti anasema Mtume Paulo kwa Wakristuya wakati wake: «Kwa sababu hii nyosheni mikono iliyolejea, na magoti yenye kupooza»(Wa Ebrania 12, 12).5) Nabii Daudi mu Zaburi 78 anaandika maneno ya Mungu Yakhve na hii manenoyake inatuonyesha wakati ya Mwokozi Yesu: «Sikilizeni, ee watu wangu, sheria yangu:45
Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa changu. Nitafungua kinywa changu kwamezali; nitasema mafumbo ya kale: » (Zaburi 78, 1-2).Hii Unabii alitimiza Kristu kwa maugo Yake: «Maneno haya yote Yesuakawaambia kwa mifano, wala hakuwaambia kitu pasipo mufano; litimizwelililosemwa na nabii, akisema: Nitafungua kinywa changu kwa mifano; nitasemamaneno yaliyo siri tangu mwanzo wa dunia» (Matayo 13, 34-35). Basi, Mungu Yakhveatayefungula kwa mifano kinywa Yake hakuna mwingine paka Yesu Kristu mumoja.6) Nabii Daudi mu Zaburi 8 anasema kwa Mungu Yakhve: «Ee Bwana, Bwanawetu, jina lako ni lenye utukufu duniani mwote! Wewe uliyeweka utukufu wako juuya mbingu. Vinywani mwa watoto wachanga nao wanaonyonya umesimamishanguvu, kwa sababu ya adui zako» (Zaburi 8, 1-2).Hii unabii alitimiza kabisa Kristu kwa Maugo yake: «Lakini wakati wakubwa wamakuhani na waandishi walipoona maajabu aliyoyafanya, na watoto wakiliahekaluni wakisema: .. . Husikii maneno hawa wanayoyasema? Yesu akawaambia:Ndiyo, hamukusoma: Toka vinywa vya watoto wachanga nao wanaonyonya umepatasifa ya kutimia? (Matayo 21, 15-16). Hii unabii inanyoloka kabisa kwa uso ya Yakhve:Toka vinywa vya watoto atachanga wimbo kwa maugo Yake. Kwa utimizo ya hii unabiitunaona ya kama hii wimbo ya «watoto» ilinyolokwa kabisa kwa uso ya Kristu. Basi,Yakhve ya hii unabii ni Kristu mumoja.7) Mu Zaburi 68 Nabii Daudi anaimba Bwana (Yakhve Mungu) na anasema hivi:«Imbeni kwa Mungu.. . Jina lake ni JA=Bwana (Yakhve).. . Umepanda (ewe Yakhve)juu, umefunga utumwa wako, umepokea zawadi katikati ya watu, ndiyo, katikati ya waasivilevile, hata Bwana Mungu akae pamoja nao» (Zaburi 68, 4 na 18).Mutume Paulo anatuelejea ya kama Yakhve Mungu, kwa huyu anasema NabiiDaudi ni Kristu «wakati alipopanda juu, alifunga kifungo, akawapa watu zawadi», lakinizamani kwa lufu yake «alishuka vilevile mupaka pande za chini za inchi (nikusema muHadeze) na ku mwisho anasema: «Yeye aliyeshuka ndiye aliyepanda vilevile juu sanakupita mbingu zote ili ajaze vitu vyote». (Wa Efeso 4, 7-10).8) Mu Zaburi 102 Nabii Daudi anasema taabu yake mbele ya Yakhve Mungu nakatikati ya maneno ingine anasema: «Tangu mwanzo uliweka musingi wa inchi; nambingu ni kazi ya mikono yako. Hizi zitaharabika, lakini wewe utadumu: ndiyo, hizizote zitachakaa kama nguo; na kama vazi utazibadilisha, nazo zitabadilishwa; lakiniwewe ni sawasawa, na miaka yako haina mwisho» (Zaburi 102, 25-27).Na mara ingine Mutume Paulo anatimiza hii maneno kwa Kristu (Wa Ebrania 1,10-12) na anatuelejea ya kama Yakhve Mungu kwa huyu mwenye aliomba MwimbajiDaudi ni Kristu mumoja.9) Nabii Yoeli aliyeandika manabii juu ya ma siku wa mwisho anasema ya kama,«Na itakuwa kila mutu atakayeomba kwa jina la Bwana (Yakhve), ataokolewa» Yoeli2, 32).Mutume Petro anatimiza hii unabii mu wakati ya dini ya Kristu (Matendo 2, 14-21).Basi, masiku wa mwisho ni wakati ya dini ya Kristu na hapana mwisho ya dunia, sawa vilewanasadiki Washuhuda ya Yehova. tena mara moja Mtume Paulo anaelejea safi ya kamajina ya Bwana, katika hii kila mutu anaokolewa ni jina ya Kristu: «Kwa sababu kamaukikiri kwa kinywa chako ya kuwa Yesu ni Bwana, na kuamini moyoni mwako yakuwa Mungu alimufufua toka wafu, utaokolewa: kwa maana kwa moyo mutuanaamini hata kupata haki; na kwa kinywa anakiri hata kupata wokovu. Kwa46
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86: 84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88: 86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90: 8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92: 90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94: 92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96: 942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU