13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Yakhve, basi, anayesema ya kama ila yake Mwokozi mwingine hakuna,anasharikiwa na Mwokozi-Kristu.3). Nabii Isaya mu sura 6 (sita) ya Kitabu yake anaandika ya kama aliona utukufukubwa wa Mungu Yakhve, aliyemwambia: «Kwenda; na utawaambia watu hawa:Kusikia mutasikia, lakini hamutafahamu; na kuona mutaona lakini hamutajua.Ufanyize moyo wa watu hawa kuona, na ufanyize masikio yao mazito, na ufungemacho yao; hata wasione na macho yao, na kusikia na masikio yao, na kufahamu namoyo wao, na kugeuka na kupona» (Isaya 6, 9-10).Mwevangelizaji Yoano anatumia hii unabii kwa Uso ya Kristu na anasharikiYakhve pamoja na Kristu: «Lakini hata alikuwa amefanya (Kristu) alama nyingi mbeleyao, hawakumwamini: .. . kwa sababu Isaya alisema tena: Amepofusha macho yao,na amefanya migumu mioyo yao, wasije wakaona kwa macho yao, wakafahamu kwamioyo yao, wakageuka, nikawaponyesha. Maneno haya aliyasema Isaya, kwa sababu.a l i o n a u t u k u f u w a k e (Kristu) na alisema habari zake» (Yoano 12, 37-41).Basi, Yakhve, utukufu yake aliiona Isaya hasikukuwe mwingine paka Mwana wa Mungu.Kwa hivyo Kristu alisema ya kama, « Mimi na Baba tuko pamoja» na «Huyu aliyenionaaliona Baba».4) Mu Sura 35 ya Kitabu ya Isaya inaandikwa hadishi ya kurudia Wayuda kwaotoka utumwa ya muji Babeloni; hii tendo yao ya kurudia kwao ni maana ya kama hiviwatarudia watu kwa Mwokozi ya dunia. Anasema: «jangwa na inchi kavu zitafurahi; najangwa litashangilia na kutoa maua kama waridi.. . Wataona (Palestini) utukufu waBwana, enzi ya Mungu wetu. Mutie nguvu mikono iliyo zaifu, musimamishe magotiyaliyolegea. Muwaambie walio na moyo wa woga: Mukae na nguvu, musiogope;tazama, Mungu wenu atakuja na kisasi, na malipo ya Mungu. atakuja yeye (Mungu)mwenyewe nakuwaokoa ninyi. Ndipo macho ya vipofu yatafunguliwa, na masikio yaviziwi yatafunguliwa. Ndipo kiwete atarukaruka kama ayala, na ulimi wa bubuutaimba; .. . » (Isaya 35, 1-6).Maneno haya wanatuwaambia juu ya wakati wa Mwokozi. Kwa hivyo Kristualiitimiza kwa Maugo yake: «Na wakati Yoane (mutangulizi) aliposikia katika kifungomatendo ya Kristu, alituma wanafunzi wake akamwambia: Wewe ni yeye anayekuja,ao tutazamie mwingine? Yesu akajibu, akawaambia: Kwendeni zenu mumwambieYoane maneno muliyosikia na kuona; vipofu wanapata kuona kwao, na viwetewanatembea, wakoma wanasafishwa, na viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa, namasikini wanahubiriwa Habari Njema. Abarikiwe yeye asiyechukizwa nami»(Matayo 11, 2-6).Katika hii jibu Kristu alikikisha Yoano ya kama Huyu alikuwa «aliyekuja», Mungu(Yakhve), aliye pashwa kuja katika Isaya aokoe taifa lake na hivi watatunzwa vipofu, wabubu, wenye vilema. Hile wakati «Ndipo macho ya vipofu yatafunguliwa, na masikio yaviziwi yatafunguliwa». Kwa kusema na maneno madogo Kristu alikuwa «aliyekujaMungu». Tena hii shairi: «Abarikiwe yeye asiyechukizwa nami» iko na mafaa mingi. KamaKristu hasikukuwe Yakhve na alikuwa kiumbe moja, hakuna mambo kama mtu mojaatachukizwa kwa ajili Yake. Tena shairi ingine inayetuonyesha ya kama unabii ya nabiiIsaya inaonyesha nyakati ya Mwokozi, ni na hii sauti anasema Mtume Paulo kwa Wakristuya wakati wake: «Kwa sababu hii nyosheni mikono iliyolejea, na magoti yenye kupooza»(Wa Ebrania 12, 12).5) Nabii Daudi mu Zaburi 78 anaandika maneno ya Mungu Yakhve na hii manenoyake inatuonyesha wakati ya Mwokozi Yesu: «Sikilizeni, ee watu wangu, sheria yangu:45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!