27mupaka kufika mu dunia Yosefu Roderfont (mutawalo wa mbili ya kundi ya Washuhuda yaYehova) juu ya kuvumbua, mu mwaka 1931, hii jina na ataipatia kwa wafwasi wake.Kweli, hii jina «Washuhuda ya Yehova», mara ya kwanza iliingia mu Kundi yao mumwaka 1931, ile wakati walikuwa na makutano moja wakubwa wao mu muji Okhayo yaAmerika. Hii jina inafanishwa ku hawa wenyewe kama «Jina moja mupya».Lakini, Agano Jipya, inayekuwa na fundisho muzima na ukamilifu ya mapenzi ya Mungu,inasema ma sauti ingine. Kwa sababu Mwokozi wa pekee ni Yesu Kristu na kwa sababu hakunajina ingine kwa ajili yake tunaweza kuokolewa paka jina ya Yesu Kristu, mwana wa Mungu, kwahivyo Madiko Takatifu inatuita kuwa na «Washuhuda» ya Kristu na ya Ufufuo wake, na hapanakwa mwingine:1). Ya kwanza Kristu mumoja aliita waaminifu wote kuwana «washuhuda» Wake: «Lakinimutapokea nguvu waakti Roho Mutakatifu anapokuja juu yenu, nanyi mutakuwawashuhuda wangu katika Yerusalema, na katika Yudea yote, na Samaria hata mupaka wadunia» (Matendo 1, 8).Tusisahau ya kama Mungu-Baba alishuhuda juu ya Mwana wake na alisema kwa watuwote amutii Kwake: «Huyu ni Mwana wangu, mupendwa wangu, ninayependezwa naye; sikieniyeye» (Matayo 17, 5). Basi, sisi tuliitwa kuwa washuhuda ya Kristu na hapana washuhuda yaYehova. Hivi, hawa watu wanayeitwa «Washuhuda ya Yehova» wanafanya zambi mara wa wili,kwa sababu wanakanyanga amri na ya Baba-Mungu na ya Mwana Wake. Tena, «AnayeaminiMwana ana uzima wa milele; na asiyetii Mwana uzima, lakini gazabu ya Mungu inakaajuu yake» (Yoano 3, 36).2) Kufatana mapenzi ya Mungu Mitume wake wanaita maungo wao «Washuhuda» yaKristu. (Ona Matendo 2, 32. 3, 15. 5, 30-32. 10, 39-41. 13, 30-31 na barua ya kwanza ya Petro 5,1). Zamani Kristu amewaita «Washuhuda» ya ma jabo ya Mateso na Ufufuo Wake (Luka 24, 45-48).Ufananishwa sana ni na mfano ya Mtume Paulo, aliyemuita Kristu kuwa na «mushuhudawake kwa watu wote. (Matendo 22, 15 na 26, 16).3) Kuhubiri ya Mitume inaitwa «Ushuhuda ya Yesu Kristu»:a) Kwa kuhubiri ya Mitume, «Ushuhuda wa Kristu ulivyosibitishwa ndani yenu» (baruaya kwanza ya wa Korinto 1, 6).b) Mtume Paulo anaandika kwa Timotheo «Usione haya kwa ushuhuda wa Bwana wetu»(Barua ya mbili kwa Timotheo 1, 8).c) Muevangelizaji Yoano alitumwa sawa mutumwa mu Kisanga Patemo ya Grekia:«Nilikuwa katika kisanga kinachoitwa Patemo kwa ajili ya Neno la Mungu na kwa ushuhuda waYesu Kristu» (Ufunuo 1, 9).4) Wale wanakufa kwa imani wanaitwa «Washuhuda» ya Kristu ao wale wanachunga«ushuhuda»=fundisho ya imani ya Yesu. Kwa mfano: Yesu Kristu anatukuza«malaika»=muchungaji ya roho ya Kanisa ya muji Pergamo kumusema kwake: «.. naweunashika sana jina langu, wala hukukana imani yangu, hata katika siku za Antipamushuhuda wangu waminifu, aliyeuawa kati yenu, pahali.. . » (Ufunuo 2, 13). «Nikaonayule mwanamuke amelewa kwa damu ya watakatifu na kwa damu ya washuhuda wa yesu»(Ufunuo 17, 6. Tena angalia mu sura 6, 9. 12, 17 na 20, 4).5) Kwa ajili yao inatokea sauti ya mwisho ya kama sisi tuliitwa kuwa na Washuhuda yaKristu na hapana ya mwingine: «Basi kila mutu anayenikiri mbele ya watu, nitamukikirivilevilembele ya Baba yangu aliye mbinguni. Lakini kila mutu atakayenikana mbele yawatu, nitamukana vilevile mbele ya Baba yangu aliye mbinguni» Na; «Naye anayeonauzima wake ataupoteza; naye anayepoteza uzima wake kwa ajili yangu, atauona» (Matayo10, 32-33, 39). 6) «Wakristu»:Basi, waaminifu hawakuitwa kuwana «Washuhuda ya Yehova», lakini washuhuda yakristu na Ufufuo Wake. Kwa hivyo, hata mara moja waliitwa «Washuhuda ya Yehova». TokaMadiko Takatifu tunaona ya kama waliitwa «wanafunzi» (Matendo 6, 1), «wenye
28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «Watakatifu» (matendo 9, 41), «wenye waliitwa» (Wa Roma 1,7)na barua ya kwanza ya Korinto 1, 2, 24), «Waaminifu»» (Matendo 10, 45) na barua ya mbili yawa Korinto 6, 15, WaEfeso 1, 1), «Wandugu» (Barua ya kwanza ya wa Korinto 7, 12 na, kumwisho «Wakristu ao Wakristiani» (Matendo 11, 26 na hii jina ku mwisho ilibakia daima.Tena hii jina «Wakristu ao Wakristiani». ilibakia tangu wakati ya Mitume tunajua na mashuhuda ingine:a) Wakati Mtume Paulo alijibu mbele ya mutawalo Filika na mfalme Agripa mu mujiKesaria ya Palestini, ku mwisho mfalme Agripa alisema kwa Paulo: «Na Agripa alimwaambiaPaulo: Kwa maneno machache unazani kunishahishi kuwa Mukristu» (Matendo 26, 28).b) Mtume Petro alishauria kwa waaminifu hapana kuteswa hata mtu moja katikati yaosawa mwuaji, mwizi ao mutenda mabaya.. . na anasema ku mwisho: «lakini mutu akiteswakwa sababu yeye ni Mukristu, asione haya; lakini atukuze Mungu katika jina hili» (Baruaya kwanza ya Petro 4, 15-16).«Wakristu», basi, ilikuwa tangu hile waakati wa kwanza jina ya waaminifu na hapana«Washuhuda ya Yehova».9. MITUME <strong>NA</strong> WATUMISHI WENGINE <strong>YA</strong> EVANGELION WALITOAYOYOTE <strong>NA</strong> UZIMA WAO, HAPA<strong>NA</strong> KWA JI<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> «<strong>YEHOVA</strong>»,LAKINI KWA JI<strong>NA</strong> <strong>YA</strong> KRISTUHalafu Petro akajibu, akamwambia: Tazama, sisi tumeacha yote, na kukufuata, sisitutapata nini basi? Yesu akawaambia: . . . Na kila mutu aliyeacha nyumba, ao ndugu, aodada wake, ao baba, ao mama, ao watoto, ao mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapewamara mia na atariti uzima wa milele» (Matayo 19, 27-29).2) «Kama wakinitesa mimi-anasema Kristu kwa wanafunzi wake-watawatesa ninyivilevile.. . lakini maneno haya yote watawafanyia ninyi kwa ajili ya jina langu.. . » (Yoano15, 20-21).3) «Lakini mbele ya maneno haya yote, watawakamata ninyi na kuwatesa,watawapeleka ninyi mbele ya masunagogi na katika vifungo, mutapelekwa mbele yawafalme, na maliwali kwa ajili ya jina langu. Lakini yatakuwa ushuhuda kwenu» (Luka21, 12). «Na mutachukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu» (Luka 21, 17).4) Mitume Paulo na Varnava wanaitwa watu wenye kuhatarisha maisha yao kwa ajiliya jina la Bwana yetu Yesu Kristu» (Matendo 15, 26). Tena ufananisho ingine ni ya kama,wakati Kristu aliita Mtume Ananias kwa kumukuta mufukuzi wa zamani Paulo (kisha ono muniia ya muji Damasiki) alimwaambia: «Kwenda zako; kwa maana mutu huyu ni chombokichagulifu kwangu, achukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana waIsraeli. Maana nitamwonyesha mambo makubwa mangapi atakayoteswa kwa ajili ya Jinalangu. (Matendo 9, 15-16). Wakati ingine, saa ya hatari Paulo atasema: «Kwani mimi ni tayarisi kufungwa tu, lakini kufa katika Yerusalema kwa ajili ya jina la Bwana Yesu» (Matendo 21,13).5) Mwisho, wakati Mitume waliteswa na walifukuzwa kwa ajili ya kuhubiri ya Evangelion,«Wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kama wamestahili kupata mateso kwa ajili yaJina lake Yesu» (Matendo 5, 41). Tazama ilikuwa nani furaha ya Mitume: Ya kamawalifukuzwa kwa ajili ya Jina ya Kristu na hapana kwa jina ya Yehova. Basi, Washuhuda yaYehova haipashwe kujivuna, kama Waaminifu waorthodoksi wanawafukuza toka nyumba yao,wanasadiki ya kama wanafukuzwa sawa vile zamani Mitume ya Kristu.
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU