13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

27mupaka kufika mu dunia Yosefu Roderfont (mutawalo wa mbili ya kundi ya Washuhuda yaYehova) juu ya kuvumbua, mu mwaka 1931, hii jina na ataipatia kwa wafwasi wake.Kweli, hii jina «Washuhuda ya Yehova», mara ya kwanza iliingia mu Kundi yao mumwaka 1931, ile wakati walikuwa na makutano moja wakubwa wao mu muji Okhayo yaAmerika. Hii jina inafanishwa ku hawa wenyewe kama «Jina moja mupya».Lakini, Agano Jipya, inayekuwa na fundisho muzima na ukamilifu ya mapenzi ya Mungu,inasema ma sauti ingine. Kwa sababu Mwokozi wa pekee ni Yesu Kristu na kwa sababu hakunajina ingine kwa ajili yake tunaweza kuokolewa paka jina ya Yesu Kristu, mwana wa Mungu, kwahivyo Madiko Takatifu inatuita kuwa na «Washuhuda» ya Kristu na ya Ufufuo wake, na hapanakwa mwingine:1). Ya kwanza Kristu mumoja aliita waaminifu wote kuwana «washuhuda» Wake: «Lakinimutapokea nguvu waakti Roho Mutakatifu anapokuja juu yenu, nanyi mutakuwawashuhuda wangu katika Yerusalema, na katika Yudea yote, na Samaria hata mupaka wadunia» (Matendo 1, 8).Tusisahau ya kama Mungu-Baba alishuhuda juu ya Mwana wake na alisema kwa watuwote amutii Kwake: «Huyu ni Mwana wangu, mupendwa wangu, ninayependezwa naye; sikieniyeye» (Matayo 17, 5). Basi, sisi tuliitwa kuwa washuhuda ya Kristu na hapana washuhuda yaYehova. Hivi, hawa watu wanayeitwa «Washuhuda ya Yehova» wanafanya zambi mara wa wili,kwa sababu wanakanyanga amri na ya Baba-Mungu na ya Mwana Wake. Tena, «AnayeaminiMwana ana uzima wa milele; na asiyetii Mwana uzima, lakini gazabu ya Mungu inakaajuu yake» (Yoano 3, 36).2) Kufatana mapenzi ya Mungu Mitume wake wanaita maungo wao «Washuhuda» yaKristu. (Ona Matendo 2, 32. 3, 15. 5, 30-32. 10, 39-41. 13, 30-31 na barua ya kwanza ya Petro 5,1). Zamani Kristu amewaita «Washuhuda» ya ma jabo ya Mateso na Ufufuo Wake (Luka 24, 45-48).Ufananishwa sana ni na mfano ya Mtume Paulo, aliyemuita Kristu kuwa na «mushuhudawake kwa watu wote. (Matendo 22, 15 na 26, 16).3) Kuhubiri ya Mitume inaitwa «Ushuhuda ya Yesu Kristu»:a) Kwa kuhubiri ya Mitume, «Ushuhuda wa Kristu ulivyosibitishwa ndani yenu» (baruaya kwanza ya wa Korinto 1, 6).b) Mtume Paulo anaandika kwa Timotheo «Usione haya kwa ushuhuda wa Bwana wetu»(Barua ya mbili kwa Timotheo 1, 8).c) Muevangelizaji Yoano alitumwa sawa mutumwa mu Kisanga Patemo ya Grekia:«Nilikuwa katika kisanga kinachoitwa Patemo kwa ajili ya Neno la Mungu na kwa ushuhuda waYesu Kristu» (Ufunuo 1, 9).4) Wale wanakufa kwa imani wanaitwa «Washuhuda» ya Kristu ao wale wanachunga«ushuhuda»=fundisho ya imani ya Yesu. Kwa mfano: Yesu Kristu anatukuza«malaika»=muchungaji ya roho ya Kanisa ya muji Pergamo kumusema kwake: «.. naweunashika sana jina langu, wala hukukana imani yangu, hata katika siku za Antipamushuhuda wangu waminifu, aliyeuawa kati yenu, pahali.. . » (Ufunuo 2, 13). «Nikaonayule mwanamuke amelewa kwa damu ya watakatifu na kwa damu ya washuhuda wa yesu»(Ufunuo 17, 6. Tena angalia mu sura 6, 9. 12, 17 na 20, 4).5) Kwa ajili yao inatokea sauti ya mwisho ya kama sisi tuliitwa kuwa na Washuhuda yaKristu na hapana ya mwingine: «Basi kila mutu anayenikiri mbele ya watu, nitamukikirivilevilembele ya Baba yangu aliye mbinguni. Lakini kila mutu atakayenikana mbele yawatu, nitamukana vilevile mbele ya Baba yangu aliye mbinguni» Na; «Naye anayeonauzima wake ataupoteza; naye anayepoteza uzima wake kwa ajili yangu, atauona» (Matayo10, 32-33, 39). 6) «Wakristu»:Basi, waaminifu hawakuitwa kuwana «Washuhuda ya Yehova», lakini washuhuda yakristu na Ufufuo Wake. Kwa hivyo, hata mara moja waliitwa «Washuhuda ya Yehova». TokaMadiko Takatifu tunaona ya kama waliitwa «wanafunzi» (Matendo 6, 1), «wenye

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!