Baba, anayefananishwa mara ingine na hii namna (Barua wa mbili ya wa Korinto 11, 31.Wa Roma 1, 25 na Marko 14, 61).Hii shairi inatuonyesha ya kama Kristu ni Mungu na mutu pamoja. Huyu «aliye juuya maneno yote, Mungu mubarikiwa kwa milele», alizaliwa toka uzao ya Wa Izraeli katikamwili, nikusema katika hali kimutu Yake. Ya kwanza ni «aliye juu ya maneno yote» na yambili Huyu alizaliwa kama mutu toka uzao ya WaIsraeli.4) «Hata mumoja wa watawala wa dunia hii hakuijua: kwa sababu kamawangalijua wasingasulibisha Bwana wa utukufu» (Barua ya mbili kwa Wa Korinto 2,8). Lakini «Bwana wa utukufu» ni paka Mungu wa kweli (Matendo 7, 2: «Ili Mungu waBaba wetu Yesu Kristu, Baba ya utukufu, awape ninyi roho ya hekima na ya ufufuokatika kumujua yeye» (Wa Efeso 1, 17. Zaburi 24, 7-10). Kwa hivyo, «Bwana wautukufu» waliyemusulibisha hasikukuwe mwingine paka Mungu wa kweli.5) «Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungumkubwa, Mwokozi wetu Yesu Kristu» (Tito 2, 13). Kweli, paka moja ni Mungumukubwa na hapa anasharikiwa na Yesu Kristu.6) «Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupasisi ili tumujue yeye aliye wa kweli, nasi tuko ndani yake yeye aliye wa kweli, ndaniya Mwana wake Yesu Kristu. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele».(Barua ya kwanza ya Yoano 5, 20).Basi, Mwana wa Mungu, ni hapana paka : Mungu wa kweli», lakini na «uzima wamilele» na hii sauti inaandika mara mingi Madiko Takatifu (barua ya kwanza ya Yoano 1,1-2. 5, 11-12). Lakini paka Mungu wa kweli ni Chemchem ya Uzima.7) «Maana katika yeye unakaa, utimilifu wote wa Mungu kwa mwili» (WaKolosayi 2, 9). Nikusema, ndani ya Kristu inakaa kweli umungu muzima ndani ya mwiliyake. Lakini namna gani iko namna Mungu asiye mupaka aikae muzima ndani ya mwili yamutu-Kristu? Hii iko namna kufanyika kama Mungu, (bila kusimama kuwa Mungu)atachukua tena na hali kimutu. Kweli, hii tendo ilifanyika. Neno-Mungu alikuwa mwili,nikusema mutu (Yoano 1, 14), sawa vile inatwaambia Madiko Takatifu. Hii inatuonyeshaya kama hii mwili (nikusema mutu-Kristu) haikukuwe uso ingine, lakini ilikuwa HuyuNeno-Mungu mumoja katika mwili. Kwa hivyo, hali kimungu ya Neno Yesu Kristuilikuwa na hali kimungu ya mutu-Kristu. Paka katika hii maana iko namna kuikaa ndani yamutu-Kristu na kutumika pamoja na hali kimungu muzima.Lakini na Mtume Paulo anatimiza: «Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifuwote ukae; na kwa yeye kupatanisha vitu vyote kwake, akiwa amefanya salama kwanjia ya damu ya musalaba wake, kwa yeye, kama ni vitu duniani ao vitu mbinguni»(Wa Kolosayi 1, 19-20). Nikusema Mungu aliyekuwa katika Kristu alipatanisha vituvyote na Maungo Yake. (Hapa maana yake ni hii upatanisho ilifanyika katikati ya Munguna mutu, iliyemalizwa kwa sandaka pa Musalaba ya Kristu). Lakini, kwa sababu Kristuhasikukuwe Uso moja ingine, lakini alikuwa Neno-Mungu katika mwili, hii sauti:«alipatanisha vitu vyote kwake» inaonyesha ya kama Neno-Mungu anasharikiwa pamoja naMungu katika hali kimungu. Kwa sababu, juu ya kupatanisha watu pamoja na maugo Yake,inatuonyesha ya kama Huyu alikuwa mumoja Mungu na sisi mbele yake tulikuwawakosefu. (Sawa vile tunajua, sisi tulikosa hapana mbele ya kiumbe moja ya dunia, lakinikupigana ya Mungu mumoja na Muumba wetu). Basi, Kristu kwani ni Neno-Mungu, nipamoja na wa asili moja pamoja na Mungu-Baba, Mungu mukamilifu na mutu mukamilifu.(Ona tena na barua ya mbili ya wa Korinto 5, 19): «Mungu alikuwa ndani ya Kristu,akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe»).37
Pa hii fasi tunaweza kuandika na maneno ya Mwandishi ya Kitabu Mezali,anayeandika ya kama: «Fundisha mwenye hekima (nikusema Mwana wa Mungu), nayeatazidi kuwa na hekima» (Mezali 9, 9), maana ni mwili ubinadamu iliyechukua, wakatialikuja duniani juu ya kuikaa ndani ya hii mwili. Basi, «utimilifu wote wa Mungu» (WaKolosayi 2, 9) aliyeikaa ndani ya mwili ubinadamu ya Kristu, haina kitu kingine pakaHekima-Mwana wa Mungu. Basi, Hekima-Kristu= «utimilifu wote wa Mungu». NikusemaKristu anasharikiwa na umungu muzima.8) Maneno ingine ya Kristu mu kitabu Ufunuo wanaandika, bila shaka, ya kamaHuyu ni Mungu wa kweli: a) «Tazama anakuja (Kristu) na mawingu; na kila jicholitamwona, nawale waliomuchoma; na mataifa yote ya dunia wataomboleza kwa ailiyake. Ndiyo. Amina. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, anasema BwanaMungu, yeye aliye sasa, na aliyekuwa na atakayekuja, Mwenyezi» (Ufunuo 1, 7-8).b) «Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho» (Ufunuo 21, 6).c) «Tazama, ninakuja upesi na mushahara wangu ni pamoja nami, kulipa kilamutu kama ilivyo kazi yake. Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanzana wa mwisho» (Ufunuo 22, 12-13).d) «Usiogope, mimi ni wa kwanza na wa mwisho; na aliye hai; nami nilikuwanimekufa, na tazama, mimi ni hai hata milele na milele. Nami nina funguo za mauti,na za Hadeze» (Ufunuo 1, 17-18).Ma sauti «(Huyu) atakayekuja», «Tazama ninakuja upesi», na «nami nilikuwanimekufa» wanatuonyesha ya kama hii ma shairi wanasema juu ya Bwana Yesu Kristu.Basi, Kristu ni Huyu mumoja «Bwana Mungu, Mwenyezi».Tena, «Maneno haya anasema yeye aliye mutakatifu, aliye wa kweli.. . »(Ufunuo 3, 7), lakini «Mutakatifu na aliye wa kweli» ni paka Mungu «Ufunuo 6, 9-10).9) Ufunuo inamuita tena: «Bwana wa bwana na mufalme wa wafalme» (17, 14na 19, 16). Lakini Bwana wabwana ni paka Mungu (Danieli 2, 47 na barua yakwanza kwa Timotheo 6, 15).10) Mu Kitabu Ufunuo ya mtume Yoano iko na ushuhuda ingine nguvu:«Akaniambia (malaika): Maneno haya ni amini na kweli. Na Bwana Mungu, wa manabiiwatakatifu alituma malaika yake kuonyesha watumishi wake mambo yaliyopaswa kuwaupesi.. . Mimi, Yesu nimetuma malaika yangu kuwashuhudia ninyi mambo haya katrikamakanisa.. . » (22, 6 na 16). Yesu anasharikiwa pamoja na «Bwana Mungu wa manabiiwatakatifu», na Yehova-Mungu.11) «Mujiangalie wenyewe, na kundi lote, Roho Mutakatifu alilowapa ninyi kuwawasimamishi ndani yake mupate kulisha kanisa la Mungu alilolinunua kwa damu yakemwenyewe (nikusema Hii Kanisa Mungu alijenga na Damu Yake) » (Matendo 20, 28).Basi, damu iliyemwangishwa pa Musalaba ilikuwa Damu ya Mungu mumoja. Mutu-Kristu,basi, alikuwa Mungu «katika mwili».12) «Na pasipo shaka, siri ya utawa ni kubwa: Mungu alionekana katikamwili.. . » (Barua ya kwanza kwa Timotheo 3, 16). Washuhuda ya Yehova wanakataahii shairi.13) Ku mwisho, kupatana na madiko Takatifu, Muhukumu mu Ufikisho wa Mbili atakuwaKristu na hapana Baba-Mungu: a) «Maana Baba hamuhukumu, hata mutu mumoja,lakini amemupa Bwana hukumu yote» (Yoano 5, 22). b) Evangelio ya Hukumu wa38
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86: 84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88: 86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU