13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Baba, anayefananishwa mara ingine na hii namna (Barua wa mbili ya wa Korinto 11, 31.Wa Roma 1, 25 na Marko 14, 61).Hii shairi inatuonyesha ya kama Kristu ni Mungu na mutu pamoja. Huyu «aliye juuya maneno yote, Mungu mubarikiwa kwa milele», alizaliwa toka uzao ya Wa Izraeli katikamwili, nikusema katika hali kimutu Yake. Ya kwanza ni «aliye juu ya maneno yote» na yambili Huyu alizaliwa kama mutu toka uzao ya WaIsraeli.4) «Hata mumoja wa watawala wa dunia hii hakuijua: kwa sababu kamawangalijua wasingasulibisha Bwana wa utukufu» (Barua ya mbili kwa Wa Korinto 2,8). Lakini «Bwana wa utukufu» ni paka Mungu wa kweli (Matendo 7, 2: «Ili Mungu waBaba wetu Yesu Kristu, Baba ya utukufu, awape ninyi roho ya hekima na ya ufufuokatika kumujua yeye» (Wa Efeso 1, 17. Zaburi 24, 7-10). Kwa hivyo, «Bwana wautukufu» waliyemusulibisha hasikukuwe mwingine paka Mungu wa kweli.5) «Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungumkubwa, Mwokozi wetu Yesu Kristu» (Tito 2, 13). Kweli, paka moja ni Mungumukubwa na hapa anasharikiwa na Yesu Kristu.6) «Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupasisi ili tumujue yeye aliye wa kweli, nasi tuko ndani yake yeye aliye wa kweli, ndaniya Mwana wake Yesu Kristu. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele».(Barua ya kwanza ya Yoano 5, 20).Basi, Mwana wa Mungu, ni hapana paka : Mungu wa kweli», lakini na «uzima wamilele» na hii sauti inaandika mara mingi Madiko Takatifu (barua ya kwanza ya Yoano 1,1-2. 5, 11-12). Lakini paka Mungu wa kweli ni Chemchem ya Uzima.7) «Maana katika yeye unakaa, utimilifu wote wa Mungu kwa mwili» (WaKolosayi 2, 9). Nikusema, ndani ya Kristu inakaa kweli umungu muzima ndani ya mwiliyake. Lakini namna gani iko namna Mungu asiye mupaka aikae muzima ndani ya mwili yamutu-Kristu? Hii iko namna kufanyika kama Mungu, (bila kusimama kuwa Mungu)atachukua tena na hali kimutu. Kweli, hii tendo ilifanyika. Neno-Mungu alikuwa mwili,nikusema mutu (Yoano 1, 14), sawa vile inatwaambia Madiko Takatifu. Hii inatuonyeshaya kama hii mwili (nikusema mutu-Kristu) haikukuwe uso ingine, lakini ilikuwa HuyuNeno-Mungu mumoja katika mwili. Kwa hivyo, hali kimungu ya Neno Yesu Kristuilikuwa na hali kimungu ya mutu-Kristu. Paka katika hii maana iko namna kuikaa ndani yamutu-Kristu na kutumika pamoja na hali kimungu muzima.Lakini na Mtume Paulo anatimiza: «Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifuwote ukae; na kwa yeye kupatanisha vitu vyote kwake, akiwa amefanya salama kwanjia ya damu ya musalaba wake, kwa yeye, kama ni vitu duniani ao vitu mbinguni»(Wa Kolosayi 1, 19-20). Nikusema Mungu aliyekuwa katika Kristu alipatanisha vituvyote na Maungo Yake. (Hapa maana yake ni hii upatanisho ilifanyika katikati ya Munguna mutu, iliyemalizwa kwa sandaka pa Musalaba ya Kristu). Lakini, kwa sababu Kristuhasikukuwe Uso moja ingine, lakini alikuwa Neno-Mungu katika mwili, hii sauti:«alipatanisha vitu vyote kwake» inaonyesha ya kama Neno-Mungu anasharikiwa pamoja naMungu katika hali kimungu. Kwa sababu, juu ya kupatanisha watu pamoja na maugo Yake,inatuonyesha ya kama Huyu alikuwa mumoja Mungu na sisi mbele yake tulikuwawakosefu. (Sawa vile tunajua, sisi tulikosa hapana mbele ya kiumbe moja ya dunia, lakinikupigana ya Mungu mumoja na Muumba wetu). Basi, Kristu kwani ni Neno-Mungu, nipamoja na wa asili moja pamoja na Mungu-Baba, Mungu mukamilifu na mutu mukamilifu.(Ona tena na barua ya mbili ya wa Korinto 5, 19): «Mungu alikuwa ndani ya Kristu,akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe»).37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!