17mazungumuzo yao pamoja na Abrahamu wanaonyesha ungano na usawa moja katikati yao:walikuwa kweli ma Uso tatu ya Umungu moja. (Kisha Abrahamu hawa ma Uso wa wiliwalienda kama «malaika» mu muji Sodomka kusudi «waaambie», kwa Loti uharibifu ya mujikisha wakati kidogo).Uwazo ya Washuhuda ya Yehova ya kama «malaika tatu ya Yehova, walichukua mwilina walionekana kwa Abrahamu (Ona kitabu yao: Kikomo wa milele ya Mungu inashinda sasa»hakuna namna kuwa ya kweli, kwa sababu Madiko Takatifu anasema ya kama, «Bwanaalionekana.. . na tazama watu wa tatu.. . ».4)Onyesho wa inne: «Mutakatifu, Mutakatifu, Mutakatifu ni Bwana wa majeshi:dunia nzima imejaa utukufa wake» (Isaya 6, 3). Hii neno mara tatu: «Mutakatifu» ni onyeshokubwa juu ya ma Uso tatu ya Utatu Mutakatifu.5) Mashuhuda toka Agano la kale juu ya Mwana wa pekee Yesu Kristu:Ila tu maonyeso wa yulu, tunapata na mashuhuda safi toka Agano la Kale juu ya Mwanana Roho Mutakatifu, lakini bila masafisho na mafafanusho mengi, kwa sababu, sawa tulisema,ufunuo nzima ya Mungu na Uso Tatu itakuwa mu Agano Jipya. Mashuhuda kwa Uso ya Mwanawa pekee ni hii:a) «Wewe ni Mwana wangu; leo nimekuzaa» anasema Baba-Mungu kwa Mwana wake.Na Nabii Daudi anatushauria «Busuni (mupendeni) Mwana asikasirike, nanyi munapoteanjiani.. . » (Zaburi 2, 7, 12).b) «Bwana anamwambia bwana yangu: Uketi kwa mukono wangu wa kuume, hatanifanye adui zako kuwa kiti cha miguu yako» (Zaburi 110, 1). Kupatana na Luka 20, 41-44)na (Matendo 2, 34-36), Bwana wa kwanza ni Mungu-Baba na Bwana wa mbili ni Mwana, kamaMwokozi Kristu.c) «Kiti chako cha ufalme, ee Mungu, ni cha milele na milele; fimbo ya ufalme wakoni fimbo ya haki.. . » (Zaburi 45, 6). Hapa Mungu ni Mwana, katika shairi na kwa WaEbrania1, 8).d) Mu Kitabu ya Mezali, Solomono anasema juu ya Hekima (anayekuja katika mwili) yaMungu, nikusema Mwana wake (Mwana Yesu ni Hekima ya Baba katika shairi ya barua yakwanza ya Korinto 1, 24, 30), mwenye anaumba pamoja na Baba wake ulimwengu: «Bwanaalikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, mbele ya kazi zake za zamani.Nimesimamishwa tangu milele, tangu mwanzo, wakati dunia isipokuwa bado. Wakativisipokuwa vilindi, nilizaliwa; wakati zisipokuwa chemchemi zinazojaa maji. wakatimilima isipowekwa bado, mbele ya vilima nilizaliwa» (Mezali 8, 22-25).e) Mu Sura 30, ya kitabu Mezali ni na hii ushuhuda nzuri kabisa: «Ni nani aliyepandambinguni na kushuka chini? ». Eko Mwana wa Mungu, Yesu Kristu, katika sauti ya MtumeYoano 3, 13 mu Agano Jipya. «Ni nani aliyekusanya upepo ndani ya makonzi yake? (Nipaka Mungu).. .. «Ni nani aliyefunga maji ndani ya vazi lake? (Ni paka Mungu).«Aliyesimamisha miisho yote ya inchi? Jina lake ni nani, na jina la mwana wake ni nanikama unajua? (Mezali 30, 4).f) Ku mwisho, kwani daima mu ulimwengu muzima «Mungu ni mapendo» (Barua yakwanza ya Yonao 4, 8, 16), hakuna namna kuwa paka Uso moja, kwa sababu mapendo ni fazilawa ushirika na inapashwa kuwa ma uso yulu ya moja. Hii ma uso tatu ndani ya Utatu Mutakatifuwanapendana kwa milele. Ndani ya Mezali, sura 8 tunasoma: «Halafu nilikuwa pamoja naye,kama fundi la kazi: Nikakuwa furaha yake kila siku, nikifurahi siku zote mbele yake»(Mezali 8, 30). Hii funja inatufunua mapendo wa milele ni katikati ya Baba na Mwana: Mwanani «furaha yake (ya Baba) kila siku»; mara moja na Baba-Mungu ni furaha wa Mwana.Kama Mwana alikuwa kiumbe na Roho Mtakatifu alikuwa nguvu moja isiyona Uso, sawavile wanasadiki Washuhuda ya Yehova, basi, mbele ya kiumba, Baba, kwani alikuwa paka usomoja, haitakuwa namna kuwa «mapendo». Lakini Mungu «hasibadilishwe» na kwa hivyo nidaima «mapendo». Basi, alikuwa daima ku[ita ma Uso mengi na hapana paka moja. Hapa ni
18fundisho ya kama mapendo inaonekana paka na uso kupita moja, ao mbili ao tatu. Sasa tunaonahapa Fundisho ya Utatu Mutakatifu mu Agano la Kale.6) Mashuhuda toka Agano la Kale juu ya Roho Mutakatifu:Sawa vile Kristu alitufunua, Roho Mutakatifu hana moja nguvu ya Mungu, bila uso (sawavile wanachabula Washuhuda ya Yehova), lakini ni Uso wa Tatu ya Umungu moja, ni Mufariji(Musaidizi) (Yoano 14, 26, 15, 26-27). Agano la Kale inajaza na mistari ya mafundisho juu yaRoho Mutakatifu, lakini bila mafafanusho mengi.a) «Roho yako ni mwema; uniongoze inchi ya haki» (Zaburi 143, 10).b) «Niende wapi mbali na roho yako? ao nikimbie wapi toka uso wako? (Zaburi139, 7). Hapa tunasikia ya kama Baba ni mwingine na sisi tusiweze kukimbia toka uso yake, naMwingine ni Roho yake na toka huyu sisi tusiweze kukimbia. Ma fasi yote ni moja, ma fasi yoteya dunia ni na mwingine.Tutaacha sasa maonyesho na ma shairi ingine ya Agano la Kale juu ya Roho Mutakaitfuna tuende mu Agano Jipya kuona ufunuo muzima ya Utatu Mutakatifu.2. AGANO JIP<strong>YA</strong>: UFUNUO MUZIMA <strong>YA</strong> UTATU MUTAKATIFUMu Agano Jipya tusina na paka maonyesho manyofu juu ya Umungu na ma Uso Tatu,lakini tukona ufunuo muzima ya Utatu Mutakatifu:1) «Kwendeni basi mukafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mukiwabatiza kwajina la Baba na laq Mwana na la Roho Mutakatifu» (Matayo 28, 19), anaambia Kristu kwaWanafunzi wake.Hakuna namna kuonekana mustari ingine kuliko safi sawa hii mustari, pahali tunaona yakama Mungu ni na ma Uso tatu: Baba, Mwana na Roho Mutakatifu. Hakuna namna kusadiki sisiya kama Baba-Mungu anaweka mu usawa umoja Mwana wake, kama Huyu Mwana wake nikiumbe, sawa vile wanasema Washuhuda ya Yehova; wala kuweka Maungo Yake pempeni nasifa umoja na Roho Mutakatifu, kama Huyu Roho eko nguvu ya Mungu, sawa vile wanachabulaWashuhuda ya Yehova. Ufananisho munene pa hii mustari ni hii: Hasiseme: «kwa ma jina»lakini aliandika: «kwa jina», nikusema hapa tunasikia ya kama Mungu Utatu Mutakatifu eko naasili moja ya ma Uso Tatu. Nikusema kwa jina ya Utatu Mutakatifu.2) «Neema ya Bwana Yesu Kristu, na mapendo ya Mungu, na ushirika wa RohoMutakatifu ukae pamoja nanyi wote» (barua ya mbili ya Korinbto 13, 14). Hapa inaonekanasafi ya kama Mutume Paulo anaandika kwa jina ya Utatu Mutakatifu.3) Uhushuda munene ya Utatu Mutakaitfu ilikuwa kwa Ubatizo na Ugeuzo ya Sura yaBwana Yesu Kristu (Matayo 3, 16-17 na Matayo 17, 1-7). pale pamoja na Kristu ilisikiwa nasauti ya Baba, lakini Roho Mutakatifu alionekana na mfano ya ndege mu Ubatizo ya Kristu namavazi ya Kristu walikuwa meupe sawa nuru, kwa Mageuzo ya Sura ya Kristu.4) «Mutakatifu, Mutakatifu, Mutakatifu, Bwana Mungu Mwenyezi» (Ufunuo 4, 8).Na hii mwimbo Mtume Yoano anasikia mu Ufunuo atukuzwe Mungu. Ulazimisho nini ilikuwajina ya Mutakatifu mara tatu, kama Mungu hasikukuwe na ma Uso tatu?5) Wokovu ya kizazi ubinadamu ni tendo umoja ya Utatu Mutakatifu. Kwa hivyo nidaima ungano moja pa matendo na maarifa ya ma Uso Matakatifu tatu. Hivi:a) Hata mtu moja hasiweze kusadiki ya kama Kristu ni Mungu na Mwokozi, kamahasitaangaziwa ku Roho Mutakatifu: «Wala hakuna mutu anayeweza kusema Yesu niBwana, ila katika Roho Mutakatifu» (Barua ya kwanza kwa WaKorinto 12, 3).b) Hata mutu moja hasiweze kukaribisha Baba-Mungu, ila kama ataongozwa Kwake kuYesu Kristu: «Mutu hakuji kwa Baba, ila kwa mimi» (Yoano 14, 6).c) Hata mutu moja hasiweze akuje kwa Kristu ila kama atamuongoza Baba: «Hakunamutu anayeweza kuja kwangu ila Baba aliyenituma amuvute; nami nitamufufua siku ya mwisho»(Yoano 6, 44).
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33 and 34: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 35 and 36: 34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazi
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70:
68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72:
70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74:
72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76:
74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78:
76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80:
78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82:
80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84:
82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU