13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

17mazungumuzo yao pamoja na Abrahamu wanaonyesha ungano na usawa moja katikati yao:walikuwa kweli ma Uso tatu ya Umungu moja. (Kisha Abrahamu hawa ma Uso wa wiliwalienda kama «malaika» mu muji Sodomka kusudi «waaambie», kwa Loti uharibifu ya mujikisha wakati kidogo).Uwazo ya Washuhuda ya Yehova ya kama «malaika tatu ya Yehova, walichukua mwilina walionekana kwa Abrahamu (Ona kitabu yao: Kikomo wa milele ya Mungu inashinda sasa»hakuna namna kuwa ya kweli, kwa sababu Madiko Takatifu anasema ya kama, «Bwanaalionekana.. . na tazama watu wa tatu.. . ».4)Onyesho wa inne: «Mutakatifu, Mutakatifu, Mutakatifu ni Bwana wa majeshi:dunia nzima imejaa utukufa wake» (Isaya 6, 3). Hii neno mara tatu: «Mutakatifu» ni onyeshokubwa juu ya ma Uso tatu ya Utatu Mutakatifu.5) Mashuhuda toka Agano la kale juu ya Mwana wa pekee Yesu Kristu:Ila tu maonyeso wa yulu, tunapata na mashuhuda safi toka Agano la Kale juu ya Mwanana Roho Mutakatifu, lakini bila masafisho na mafafanusho mengi, kwa sababu, sawa tulisema,ufunuo nzima ya Mungu na Uso Tatu itakuwa mu Agano Jipya. Mashuhuda kwa Uso ya Mwanawa pekee ni hii:a) «Wewe ni Mwana wangu; leo nimekuzaa» anasema Baba-Mungu kwa Mwana wake.Na Nabii Daudi anatushauria «Busuni (mupendeni) Mwana asikasirike, nanyi munapoteanjiani.. . » (Zaburi 2, 7, 12).b) «Bwana anamwambia bwana yangu: Uketi kwa mukono wangu wa kuume, hatanifanye adui zako kuwa kiti cha miguu yako» (Zaburi 110, 1). Kupatana na Luka 20, 41-44)na (Matendo 2, 34-36), Bwana wa kwanza ni Mungu-Baba na Bwana wa mbili ni Mwana, kamaMwokozi Kristu.c) «Kiti chako cha ufalme, ee Mungu, ni cha milele na milele; fimbo ya ufalme wakoni fimbo ya haki.. . » (Zaburi 45, 6). Hapa Mungu ni Mwana, katika shairi na kwa WaEbrania1, 8).d) Mu Kitabu ya Mezali, Solomono anasema juu ya Hekima (anayekuja katika mwili) yaMungu, nikusema Mwana wake (Mwana Yesu ni Hekima ya Baba katika shairi ya barua yakwanza ya Korinto 1, 24, 30), mwenye anaumba pamoja na Baba wake ulimwengu: «Bwanaalikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, mbele ya kazi zake za zamani.Nimesimamishwa tangu milele, tangu mwanzo, wakati dunia isipokuwa bado. Wakativisipokuwa vilindi, nilizaliwa; wakati zisipokuwa chemchemi zinazojaa maji. wakatimilima isipowekwa bado, mbele ya vilima nilizaliwa» (Mezali 8, 22-25).e) Mu Sura 30, ya kitabu Mezali ni na hii ushuhuda nzuri kabisa: «Ni nani aliyepandambinguni na kushuka chini? ». Eko Mwana wa Mungu, Yesu Kristu, katika sauti ya MtumeYoano 3, 13 mu Agano Jipya. «Ni nani aliyekusanya upepo ndani ya makonzi yake? (Nipaka Mungu).. .. «Ni nani aliyefunga maji ndani ya vazi lake? (Ni paka Mungu).«Aliyesimamisha miisho yote ya inchi? Jina lake ni nani, na jina la mwana wake ni nanikama unajua? (Mezali 30, 4).f) Ku mwisho, kwani daima mu ulimwengu muzima «Mungu ni mapendo» (Barua yakwanza ya Yonao 4, 8, 16), hakuna namna kuwa paka Uso moja, kwa sababu mapendo ni fazilawa ushirika na inapashwa kuwa ma uso yulu ya moja. Hii ma uso tatu ndani ya Utatu Mutakatifuwanapendana kwa milele. Ndani ya Mezali, sura 8 tunasoma: «Halafu nilikuwa pamoja naye,kama fundi la kazi: Nikakuwa furaha yake kila siku, nikifurahi siku zote mbele yake»(Mezali 8, 30). Hii funja inatufunua mapendo wa milele ni katikati ya Baba na Mwana: Mwanani «furaha yake (ya Baba) kila siku»; mara moja na Baba-Mungu ni furaha wa Mwana.Kama Mwana alikuwa kiumbe na Roho Mtakatifu alikuwa nguvu moja isiyona Uso, sawavile wanasadiki Washuhuda ya Yehova, basi, mbele ya kiumba, Baba, kwani alikuwa paka usomoja, haitakuwa namna kuwa «mapendo». Lakini Mungu «hasibadilishwe» na kwa hivyo nidaima «mapendo». Basi, alikuwa daima ku[ita ma Uso mengi na hapana paka moja. Hapa ni

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!