33kama «Kondoo wa Mungu», ya kunyanyua zambi zote ya dunia muzima (Yoano 1, 29. Barua yakwanza ya Petro 2, 24 na barua ya kwanza ya Yoano 3, 5) na kisha alitoa maungo Yake sandakakwa Baba-Mungu (Wa Efeso 5, 2) «kwa ajili ya uzima wa dunia» (Yoano 6, 51. Barua yakwanza ya Yoano 4, 9). Katika hii sandaka «alihukumu zambi (ndani yake ilikuwa nguvu yashetani) katika mwili» (Wa Roma 2, 14), na katika Damu yake kimungu, «Yesu, Mwanawake, inatusafisha zambi zote» (Barua ya kwanza ya Yoano 1, 7. Ufunuo 1, 5 na barua yakwanza ya Petro 1, 18-19) na hivi alitakasa hali ubinadamu. Tena, katika Ufufuo Wake alishindalufu, aliharabisha mamlaka na nguvu ya shetani na malaika wake na «akizishangilia katikamusalaba huu» (Wa Kolosayi 2, 15). Hivi, Kristu, katika Musalaba na Ufufuo Wake alivunjakichwa ya nyoka (shetani) (Mwanzo 3, 15) na «imenifanyiza huru kwa sheria ya zambi nakufa» (Wa Roma 8, 2). Ufufuo ya Kristu ni tangu hile wakati mwanzo ya ufufuo ya watu woteya dunia na itafanyika kwa Ufikisho ya Mbili ya Yesu Kristu. (Barua ya kwanza ya wa Korinto15, 20).Katika Musalaba na Ufufuo ya Kristu mutu alikobozwa (Tito 2, 14) na alitakaswa (barua yakwanza ya wa Korinto 6, 11), alizaliwa mara ya mbili katika roho (Yoano 3, 3-5), alikuwa«kiumbe kipya» (barua ya mbili ya wa Korinto 5, 17), alipata ushirika pamoja na Mungu. (Baruaya mbili ya wa Korinto 13, 13), alikuwa «wenyeji pamoja na watakatifu na watu wa nyumba yaMungu» (Wa Efeso 2, 19), «na alitufufua pamoja naye na kutukalisha pamoja naye katika pahalipa mbingu, katika Kristu Yesu» (Wa Efeso 2, 6), «tupate kupokea hali ya wana» toka Mungu(Wa Galatia 4, 5), tena mutu alikuwa mushiriki wa tabia ya Mungu» (barua ya mbili ya Petro 1,4) na alifanana na Mungu. (Bartua ya kwanza ya Yoano 3, 2). Tena aliikaa pa hii kiti aliikaa naYesu Kristu (Ufunuo 3, 21) na atawala pamoja na Yeye kwa milele. Hivi Yesu Kristu katikaufikisho yake duniani katika mwili alikuwa Adamu wa mbili, alimaliza tendo ya Mungu kwakiumba ya mutu «kwa mufano na kwa sura» Wake. Yesu alikuwa mutu wa kweli, mufanomukamilifu na kufatana na sisi, Mungu katika Ufikisho wake wa mbili atatutukuza na tutakuwakwa kufanana katika sura ya Mwana Wake. (Wa Roma 8, 29). Hile kitu hasikuweze kuipataAdamu wa kwanza, aliipata Adamu wa Mbili, Yesu Kristu. Hile kitu aliharabisha Adamu wakwanza kwa ajili ya kosa na majivuno yake, aliitengeneza Adamu wa Mbili Yesu Kristu, katikaunyenyekevu na utii wake mpaka lufu Yake. Huyu Adamu wa Mbili, Yesu Kristu, alikuwamufano ya mutu wa kweli. Kwani Yesu ni pamoja Mungu mukamilifu na mutu mukamilifuanatupatia Mufano mukamilifu ya Baba-Mungu wetu. (Wa Kolosayi 1, 15) na mara mojaanatupatia na mufano ya mutu wa kweli. Yesu Kristu pa Uso Yake aliungana hali kimungu nakimutu na alipeleka mutu kwa kifuo ya Umungu. Huyu alikuwa Mungu katika mwili wetu, bilazambi zetu, juu ya kukuwa sisi watu wabebaji Mungu.Hii tendo paka Mungu moja ataweza kuimaliza. Paka Mungu ni Uzima na hii Uzima nidawa ya kufa lufu. Hii unyenyekevu ya Mwana wa Mungu aliyekuja kuchukua mwili mu duniayetu, bila kusimama kuwapamoja na Mungu, alivumilia matusi, mateso, tena na mauti tokamikono ya watu, wenye Huyu aliwaumba, inaitwa mu lugha ya Madiko Takatifu «Kuwa hanautukufu» (Wa Filipi 2, 5-8). Hapana, kwa sababu ilishuka ao ilipotea utukufu ya hali kimunguYake, lakini, kwani hali kimutu alipokea hii unyenyekevu ukamilifu na hii hali ilikuwa halikimutu ya Mwana wa Mungu Yesu Kristu. Vile, huyu aliyekufa pa Musalaba na alifufuka kwawokovu wetu alikuwa Mungu. Pa Musalaba alikufa katika hali kimutu yake, kwa sababu halikimungu isiyo na mauti. Kisha Yesu Kristu, katika hali kimutu Yake alipanda, kisha Ufufuowake, mbinguni, aliingia mu «Vitakatifu ya Watakatifu» ya mbingu, pahali ni Musaidizi katikatiya Mungu na watu, ni «askofu katika Sheria ya Melkisedeki» anaomba kwa Baba-Mungu kwasisi na anatoa wokovu kwa wale wanakuja katika Huyu kwa Mungu. (Wa Ebrania 4, 14. 6, 20. 7,25. 8, 1-2. 9, 24-26 na ma fasi ingine).Hii Tendo kubwa ya Yesu Kristu kwa wokovu ya watu wanaivunja Washuhuda ya Yehova,kwa sababu wanakataa hali kimungu ya Mwokozi wetu na wanafundisha ya kama HuyuMwokozi yetu ni kiumbe ya Mungu, ni mutumwa moja ya Mungu, sawa viumbe vyote vya dunia.
34Lakini, kupita nzuri sasa ni lazima kuacha Madiko Takatifu atuonyeshe ni nini Fundisho yaBwana wetu Yesu Kristu. Washuhuda wa Yehova watasikia ya kama Huyu Yesu Kristu niMungu mukamilifu na mutu mukamilifu.1. KRISTU NI MUNGU WA MILELE BILA MWANZO <strong>NA</strong> MUUMBA<strong>YA</strong> ULIMWENGU1) «Katika mwanzo alikuwa Neno, (Yesu Kristu) na Neno alikuwa pamoja naMungu na Neno alikuwa Mungu.. . Vitu vyote vilifanyika kwa huyu; na pasipo yeyehakikufanyika hata kitu kimoja» (Yoano 1, 1-3).b) ««Katika mwanzo alikuwa Neno»: Nikusema, wakati ilikuwa mwanzo yakuumba, Neno «alikuwa». Basi, alikuwa na mbele ya kila wakati na mbele ya kila kuumba.Kwa hivyo Neno-Mungu ( nikusema, Mwana wa Mungu) ni asiyemwanzo, sawa vile ni naBaba-Mungu. Haikukuwe wakati na Neno hasikukuwe. Basi, pasopo mingi: Haipashwekusema: «katika mwanzo alifanyikwa Neno» sawa vile wanafafanusha Washuhuda yayehova, lakini tunapashwa kusema: «katika mwanzo ya kuumba Neno alikuwa». Mwanawa Mungu, basi, hasina kiumbe, hasikufanyike, lakini alikuwa. Kupindua, kwa kusemaMadiko Takaitfu juu ya viumbe vyote, inatumia sauti: «Kuumba», kwa mufano: «Katikamwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia» (Mwanzo 1, 1) na wakati ingine anatumiasauti: Kuzaliwa» kwa mufano: «Mbele Abrahamu hajaliwa, mimi niko» (Yoano 8, 58)anasema Kristu kwa WaYudea. Anatumia sauti «kujaliwa» juu ya Abrahamu, mwenye nikiumbe, lakini juu ya maungo Yake anatumia sauti «niko», maana yake ni kwa milele.b) «Na Neno alikuwa pamoja na Mungu»: Hii sauti inatuonyesha ya kama Nenoni Uso sawa vile ni na Mungu na alikuwa pamoja na Mungu mbele ya mwanzo.c) «Na Neno alikuwa Mungu»: Nikusema Neno alikuwa na yeye Mungu, sawavile Baba. Washuhuda ya Yehova wanafafanusha jina: «Mungu» huku na maana hapana yaMungu wa pekee na wa kweli, lakini na maana ya Mungu wa nguvu, lakini haina hivi. Kwasababu tunapata ma shairi ingine na maana ya Mungu ni paka maana ya Mungu wa kwelina wa pekee. Kwa mufano: «Hakuna mutu aliyeona Mungu wakati wo wote» (Yoano 1,18) na barua ya kwanza ya Yoano 4, 12). «Ni neno la kuogopa kuanguka katrikamikono ya Mungu aliye hai» (Wa Ebrania 10, 31). Kupindua tunapata ma shairi pahaliKristu anaitwa Mungu sawa: Bwana yangu na Mungu wangu» (Yoano 20, 28),«Tukitazamia tumaini la baraka, na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mukubwa,Mwokozi wetu Yesu Kristu» (Tito 2, 13), «Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wamilele» (barua ya kwanza ya Yoano 5, 20).d) Vitu vyote vilifanyika kwa huyu; na pasipo yeye hakikufanyika hata kitu kimoja»: Nikusema vitu vyote hakikufanyika kwa ajili yake na bila Huyu hasikufanyike kiumbekimoja. Basi, Huyu (Yesu Kristu» hasina kiumbe, hasikuumbwa. Kwa hivyo Huyu ni asiyena mwanzo na hasiye kuumbwa na wa milele pamoja na Mungu-Baba.Washuhuda ya Yehova wanasadiki ya kama Neno ya Mungu (Yesu Kristu) nikidogo cheni mbele Yake (Mungu-Baba) kwa sababu Madiko Takatifu anaandika: «kwahuyu», nikusema, katika ufafanusho ya Washuhuda ya Yehova, Yesu Kristu ni chombomoja pa mikono ya Mungu-Baba juu ya kuumba «kwa Huyu» dunia. Halafu neno: «Kwa»hakuna namna kushusha Neno (Yesu Kristu) mbele ya Mungu-Baba, kwa sababu hii nenoinatumiwa na kwa jina ya Mungu-Baba. Kwa mufano: «Mungu ni mwaminifumuliyeitwa naye katika ushirika wa mwana wake Yesu Kristu Bwana wetu» (Baruaya kwanza ya WaKorinto 1, 9). Hapa Mungu-Baba ni kidogo chini mbele ya Mwanawake na anaonekana sawa chombo moja pa mikono ya Mwana wake? Hapana, hapana!Kupindua ni na ma shairi ingine pahali Madiko Takatifu inasema juu ya Neno Muumba
- Page 1 and 2: YA PADRI NA MUTAWASOFRONIOS MIKAILI
- Page 3 and 4: 2ROHO MUTAKATIFU NI USO WA KWELI, K
- Page 5 and 6: 4UTANGULIZI YA MUANDISHIYesu Kristu
- Page 7 and 8: 6nabii kweli ya Mungu. Alipokelea m
- Page 9 and 10: 8Hii Ubinadamu Mupya ni Kanisa Yake
- Page 11 and 12: 10Takatifu. Na kweli, mukusoma Agan
- Page 13 and 14: 12katika pumuzi kimungu ya Roho Mut
- Page 15 and 16: 14anaandika ya kama hii mafundisho
- Page 17 and 18: 16Agano la Kale haiko ufunuo nzima
- Page 19 and 20: 18fundisho ya kama mapendo inaoneka
- Page 21 and 22: 205) Bunduki-sauti ingine ya Washuh
- Page 23 and 24: 22inapaswa kuwachanisha na jina yao
- Page 25 and 26: 5. JINA YA YEHOVA HAKUNA NDANI YA A
- Page 27 and 28: 26Basi, sisi tusiitwe kusadiki na k
- Page 29 and 30: 28waliokolewa»(Matendo 2, 47), «W
- Page 31 and 32: 30Hii maneno ya Kristu wanaitumia W
- Page 33: 32Utatu Mutakatifu, aliyekuwa na na
- Page 37 and 38: nikusema Huyu ni asiye mwanzo. «Na
- Page 39 and 40: Pa hii fasi tunaweza kuandika na ma
- Page 41 and 42: inatuonyesha ushariki na umoja usaw
- Page 43 and 44: pa fasi ingine. Tena hakuna namna k
- Page 45 and 46: 1). Ushuhuda wa kwanza tunaandika u
- Page 47 and 48: Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa
- Page 49 and 50: sababu walikunywa katika mwamba ule
- Page 51 and 52: -Mamlaka (Luka 12, 11 na 20, 20. Wa
- Page 53 and 54: Kristu wakati atakuja mara ya Mbili
- Page 55 and 56: wanaona uso ya Baba wetu aliye mbin
- Page 57 and 58: Mbele ya hii mafafanusho yao wa bur
- Page 59 and 60: 5814) Anatupenda kabisa mupaka wivu
- Page 61 and 62: 606MUNGU NI MA FASI YOTE YA DUNIAWa
- Page 63 and 64: 62Kristu alisema juu ya Ufufuo ya m
- Page 65 and 66: 64macho ya Maria hakuna namna kutaz
- Page 67 and 68: 66zilitenda kazi katika viungo vyet
- Page 69 and 70: 68kufufuliwa pasipo kuonekana ku mw
- Page 71 and 72: 70utumishi hata mwili wa Kristu (ni
- Page 73 and 74: 72wokovu wetu na katika hii Fumbo i
- Page 75 and 76: 74wa Korinto 5, 18), na hawa paka n
- Page 77 and 78: 76ni damu ya Agano iliyomwangika kw
- Page 79 and 80: 78kwa mbingu katikati Kristu (sawa
- Page 81 and 82: 80dunia nzima na wakubwa watakuwa A
- Page 83 and 84: 82wafwasi wao (wenye wanawafuata sa
- Page 85 and 86:
84Katika hii ma shairi haya Washuhu
- Page 87 and 88:
86B. KRISTU ALIKUWA MUFALME TANGU H
- Page 89 and 90:
8829). Mupaka hile siku ya apizo ya
- Page 91 and 92:
90anapokwenda. Hawa wamenunuliwa ka
- Page 93 and 94:
92nyumba isiyofanywa kwa mikono, il
- Page 95 and 96:
942) «Wewe Bwana, katika mwanzo um
- Page 97 and 98:
96Ila tu, mustari: «kwa milele»,
- Page 99 and 100:
98kama mwizi; katika siku hii mbing
- Page 101 and 102:
100Mungu: kwa sababu maneno haya ni
- Page 103 and 104:
102kutubu (sawa alikuwa mutajiri) y
- Page 105 and 106:
104akafufuliwa katika roho, katika
- Page 107 and 108:
106Tena ma fasi ingine ndani ya Mad
- Page 109 and 110:
108«Mutu», anayekuwa vitu vya wil
- Page 111 and 112:
110Hapa Mwandishi Mtume Yoano alisa
- Page 113 and 114:
112alisemaka kwa Kristu: «Ninajua
- Page 115 and 116:
114Tena, ya kama wenye wasiyo imani
- Page 117 and 118:
116c) «Na yule Diabolo, mwenye kuw
- Page 119 and 120:
1183) «Binti za wafalme ni kati ya
- Page 121 and 122:
120Kwa sababu «muzaliwa wa kwanza
- Page 123 and 124:
122f) «Halafu wenye haki watangaa
- Page 125 and 126:
1245) «Mutu akiona ndugu yake anat
- Page 127 and 128:
126Musiharibu nafsi zenu na kujifan
- Page 129 and 130:
1282. USUJUDU HESHIMIWA YA MA IKONE
- Page 131 and 132:
130Nikusema mpaka ku mwaka 1931 Mus
- Page 133 and 134:
1326) Mutume Paulo anaandika: «Lak
- Page 135 and 136:
134hatufanye nvita ya kuiba vipande
- Page 137 and 138:
13619UBADILISHO YA MADIKO TAKATIFU