13.07.2015 Views

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

ORTHODOKSIA NA WASHUHUDA YA YEHOVA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

33kama «Kondoo wa Mungu», ya kunyanyua zambi zote ya dunia muzima (Yoano 1, 29. Barua yakwanza ya Petro 2, 24 na barua ya kwanza ya Yoano 3, 5) na kisha alitoa maungo Yake sandakakwa Baba-Mungu (Wa Efeso 5, 2) «kwa ajili ya uzima wa dunia» (Yoano 6, 51. Barua yakwanza ya Yoano 4, 9). Katika hii sandaka «alihukumu zambi (ndani yake ilikuwa nguvu yashetani) katika mwili» (Wa Roma 2, 14), na katika Damu yake kimungu, «Yesu, Mwanawake, inatusafisha zambi zote» (Barua ya kwanza ya Yoano 1, 7. Ufunuo 1, 5 na barua yakwanza ya Petro 1, 18-19) na hivi alitakasa hali ubinadamu. Tena, katika Ufufuo Wake alishindalufu, aliharabisha mamlaka na nguvu ya shetani na malaika wake na «akizishangilia katikamusalaba huu» (Wa Kolosayi 2, 15). Hivi, Kristu, katika Musalaba na Ufufuo Wake alivunjakichwa ya nyoka (shetani) (Mwanzo 3, 15) na «imenifanyiza huru kwa sheria ya zambi nakufa» (Wa Roma 8, 2). Ufufuo ya Kristu ni tangu hile wakati mwanzo ya ufufuo ya watu woteya dunia na itafanyika kwa Ufikisho ya Mbili ya Yesu Kristu. (Barua ya kwanza ya wa Korinto15, 20).Katika Musalaba na Ufufuo ya Kristu mutu alikobozwa (Tito 2, 14) na alitakaswa (barua yakwanza ya wa Korinto 6, 11), alizaliwa mara ya mbili katika roho (Yoano 3, 3-5), alikuwa«kiumbe kipya» (barua ya mbili ya wa Korinto 5, 17), alipata ushirika pamoja na Mungu. (Baruaya mbili ya wa Korinto 13, 13), alikuwa «wenyeji pamoja na watakatifu na watu wa nyumba yaMungu» (Wa Efeso 2, 19), «na alitufufua pamoja naye na kutukalisha pamoja naye katika pahalipa mbingu, katika Kristu Yesu» (Wa Efeso 2, 6), «tupate kupokea hali ya wana» toka Mungu(Wa Galatia 4, 5), tena mutu alikuwa mushiriki wa tabia ya Mungu» (barua ya mbili ya Petro 1,4) na alifanana na Mungu. (Bartua ya kwanza ya Yoano 3, 2). Tena aliikaa pa hii kiti aliikaa naYesu Kristu (Ufunuo 3, 21) na atawala pamoja na Yeye kwa milele. Hivi Yesu Kristu katikaufikisho yake duniani katika mwili alikuwa Adamu wa mbili, alimaliza tendo ya Mungu kwakiumba ya mutu «kwa mufano na kwa sura» Wake. Yesu alikuwa mutu wa kweli, mufanomukamilifu na kufatana na sisi, Mungu katika Ufikisho wake wa mbili atatutukuza na tutakuwakwa kufanana katika sura ya Mwana Wake. (Wa Roma 8, 29). Hile kitu hasikuweze kuipataAdamu wa kwanza, aliipata Adamu wa Mbili, Yesu Kristu. Hile kitu aliharabisha Adamu wakwanza kwa ajili ya kosa na majivuno yake, aliitengeneza Adamu wa Mbili Yesu Kristu, katikaunyenyekevu na utii wake mpaka lufu Yake. Huyu Adamu wa Mbili, Yesu Kristu, alikuwamufano ya mutu wa kweli. Kwani Yesu ni pamoja Mungu mukamilifu na mutu mukamilifuanatupatia Mufano mukamilifu ya Baba-Mungu wetu. (Wa Kolosayi 1, 15) na mara mojaanatupatia na mufano ya mutu wa kweli. Yesu Kristu pa Uso Yake aliungana hali kimungu nakimutu na alipeleka mutu kwa kifuo ya Umungu. Huyu alikuwa Mungu katika mwili wetu, bilazambi zetu, juu ya kukuwa sisi watu wabebaji Mungu.Hii tendo paka Mungu moja ataweza kuimaliza. Paka Mungu ni Uzima na hii Uzima nidawa ya kufa lufu. Hii unyenyekevu ya Mwana wa Mungu aliyekuja kuchukua mwili mu duniayetu, bila kusimama kuwapamoja na Mungu, alivumilia matusi, mateso, tena na mauti tokamikono ya watu, wenye Huyu aliwaumba, inaitwa mu lugha ya Madiko Takatifu «Kuwa hanautukufu» (Wa Filipi 2, 5-8). Hapana, kwa sababu ilishuka ao ilipotea utukufu ya hali kimunguYake, lakini, kwani hali kimutu alipokea hii unyenyekevu ukamilifu na hii hali ilikuwa halikimutu ya Mwana wa Mungu Yesu Kristu. Vile, huyu aliyekufa pa Musalaba na alifufuka kwawokovu wetu alikuwa Mungu. Pa Musalaba alikufa katika hali kimutu yake, kwa sababu halikimungu isiyo na mauti. Kisha Yesu Kristu, katika hali kimutu Yake alipanda, kisha Ufufuowake, mbinguni, aliingia mu «Vitakatifu ya Watakatifu» ya mbingu, pahali ni Musaidizi katikatiya Mungu na watu, ni «askofu katika Sheria ya Melkisedeki» anaomba kwa Baba-Mungu kwasisi na anatoa wokovu kwa wale wanakuja katika Huyu kwa Mungu. (Wa Ebrania 4, 14. 6, 20. 7,25. 8, 1-2. 9, 24-26 na ma fasi ingine).Hii Tendo kubwa ya Yesu Kristu kwa wokovu ya watu wanaivunja Washuhuda ya Yehova,kwa sababu wanakataa hali kimungu ya Mwokozi wetu na wanafundisha ya kama HuyuMwokozi yetu ni kiumbe ya Mungu, ni mutumwa moja ya Mungu, sawa viumbe vyote vya dunia.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!