jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Animal Production (TSAP) juu <strong>ya</strong> ushirikishaji <strong>wa</strong> sekta binafsi katika kutoa<br />
huduma mbalimbali za mifugo.<br />
13. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, k<strong>wa</strong> up<strong>and</strong>e <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi, Ilani imeelekeza<br />
sekta hii ku<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> kisasa zaidi na iweze kuchangia mchango mkub<strong>wa</strong> kwenye<br />
pato la Taifa. Hivyo, Serikali imeelekez<strong>wa</strong> kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
Mapinduzi <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
(i) Wizara ianzishe na kuendesha vyuo v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> uvuvi ili iweze ku<strong>and</strong>aa<br />
<strong>wa</strong>taalam wengi <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi kukidhi mahitaji yote <strong>ya</strong>nayotaki<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuboresha uvuvi nchini.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imeendelea kuimarisha vyuo v<strong>ya</strong>ke viwili (2) v<strong>ya</strong> uvuvi v<strong>ya</strong> Nyegezi<br />
na Mbegani k<strong>wa</strong> kukarabati, kujenga miundombinu, kuongeza vifaa v<strong>ya</strong><br />
mafunzo na <strong>wa</strong>kufunzi ambapo uwezo <strong>wa</strong> vyuo hivyo <strong>wa</strong> kuchukua <strong>wa</strong>nafunzi<br />
umeongezeka kutoka <strong>wa</strong>nafunzi 240 m<strong>wa</strong>ka 2007/2008 hadi 500 m<strong>wa</strong>ka<br />
2010/2011.<br />
(ii) Kuweka ulinzi madhubuti <strong>wa</strong> bahari zetu dhidi <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>vuvi haramu iki<strong>wa</strong> ni<br />
pamoja na kukamata vyombo v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> uvuvi na ku<strong>wa</strong>chukulia hatua k<strong>wa</strong><br />
mujibu <strong>wa</strong> sheria.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau imeendelea kusimamia matumizi endelevu<br />
<strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi katika bahari na maeneo mengine <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />
(a) Kufan<strong>ya</strong> doria <strong>ya</strong> siku-kazi 4,962 kwenye maji, angani na nchi kavu;<br />
(b) Kufan<strong>ya</strong> mikutano <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi kuhusu udhibiti <strong>wa</strong><br />
uvuvi na biashara haramu;<br />
(c) Kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau 193 k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong> mikutano kuhusu elimu <strong>ya</strong><br />
athari za uvuvi <strong>wa</strong> mabomu na kuhamasisha ushirikiano baina <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>dau<br />
<strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi katika kudhibiti uvuvi na biashara haramu <strong>ya</strong> uvuvi;<br />
(d) Kununua boti za doria 16 na kuziga<strong>wa</strong> katika Halmashauri za Mkinga,<br />
Bagamoyo, Mkuranga, Pangani na Lindi; Hifadhi za Bahari na Maeneo<br />
Tengefu; vituo v<strong>ya</strong> doria v<strong>ya</strong> Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mt<strong>wa</strong>ra;<br />
Idara <strong>ya</strong> Misitu; na<br />
(e) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha he<strong>wa</strong>ni vipindi v<strong>ya</strong> redio 26 na v<strong>ya</strong> luninga 6<br />
kuhusu usimamizi na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi.<br />
10