15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Animal Production (TSAP) juu <strong>ya</strong> ushirikishaji <strong>wa</strong> sekta binafsi katika kutoa<br />

huduma mbalimbali za mifugo.<br />

13. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, k<strong>wa</strong> up<strong>and</strong>e <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi, Ilani imeelekeza<br />

sekta hii ku<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> kisasa zaidi na iweze kuchangia mchango mkub<strong>wa</strong> kwenye<br />

pato la Taifa. Hivyo, Serikali imeelekez<strong>wa</strong> kutekeleza <strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

Mapinduzi <strong>ya</strong> Uvuvi<br />

(i) Wizara ianzishe na kuendesha vyuo v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> uvuvi ili iweze ku<strong>and</strong>aa<br />

<strong>wa</strong>taalam wengi <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi kukidhi mahitaji yote <strong>ya</strong>nayotaki<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kuboresha uvuvi nchini.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara imeendelea kuimarisha vyuo v<strong>ya</strong>ke viwili (2) v<strong>ya</strong> uvuvi v<strong>ya</strong> Nyegezi<br />

na Mbegani k<strong>wa</strong> kukarabati, kujenga miundombinu, kuongeza vifaa v<strong>ya</strong><br />

mafunzo na <strong>wa</strong>kufunzi ambapo uwezo <strong>wa</strong> vyuo hivyo <strong>wa</strong> kuchukua <strong>wa</strong>nafunzi<br />

umeongezeka kutoka <strong>wa</strong>nafunzi 240 m<strong>wa</strong>ka 2007/2008 hadi 500 m<strong>wa</strong>ka<br />

2010/2011.<br />

(ii) Kuweka ulinzi madhubuti <strong>wa</strong> bahari zetu dhidi <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>vuvi haramu iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na kukamata vyombo v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> uvuvi na ku<strong>wa</strong>chukulia hatua k<strong>wa</strong><br />

mujibu <strong>wa</strong> sheria.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na <strong>wa</strong>dau imeendelea kusimamia matumizi endelevu<br />

<strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi katika bahari na maeneo mengine <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(a) Kufan<strong>ya</strong> doria <strong>ya</strong> siku-kazi 4,962 kwenye maji, angani na nchi kavu;<br />

(b) Kufan<strong>ya</strong> mikutano <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi kuhusu udhibiti <strong>wa</strong><br />

uvuvi na biashara haramu;<br />

(c) Kutoa elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau 193 k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong> mikutano kuhusu elimu <strong>ya</strong><br />

athari za uvuvi <strong>wa</strong> mabomu na kuhamasisha ushirikiano baina <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>dau<br />

<strong>wa</strong> sekta <strong>ya</strong> uvuvi katika kudhibiti uvuvi na biashara haramu <strong>ya</strong> uvuvi;<br />

(d) Kununua boti za doria 16 na kuziga<strong>wa</strong> katika Halmashauri za Mkinga,<br />

Bagamoyo, Mkuranga, Pangani na Lindi; Hifadhi za Bahari na Maeneo<br />

Tengefu; vituo v<strong>ya</strong> doria v<strong>ya</strong> Tanga, Dar es Salaam, Mafia na Mt<strong>wa</strong>ra;<br />

Idara <strong>ya</strong> Misitu; na<br />

(e) Ku<strong>and</strong>aa na kurusha he<strong>wa</strong>ni vipindi v<strong>ya</strong> redio 26 na v<strong>ya</strong> luninga 6<br />

kuhusu usimamizi na matumizi endelevu <strong>ya</strong> rasilimali za uvuvi.<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!