15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri imeendelea kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji<br />

kuhusu kutekeleza Sheria <strong>ya</strong> Maeneo <strong>ya</strong> Malisho na Rasilimali za V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong><br />

Mifugo Na. 13 <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 2010 ambayo, pamoja na mambo mengine,<br />

ina<strong>wa</strong>taka <strong>wa</strong>fugaji kufuga mifugo kulingana na uwezo <strong>wa</strong> ardhi; kutunza<br />

malambo na v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji; kuendeleza na kuhifadhi malisho; na kutenga<br />

maeneo <strong>ya</strong> akiba k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kiangazi.<br />

(iv) Serikali isimamie k<strong>wa</strong> ufanisi mkub<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> kopa ng’ombe/mbuzi,<br />

lipa ng’ombe/mbuzi kama hatua <strong>ya</strong> kueneza ufugaji <strong>wa</strong> kisasa wenye tija<br />

kub<strong>wa</strong>.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara imewezesha upatikanaji <strong>wa</strong> mitamba bora <strong>ya</strong> mazi<strong>wa</strong> 10,470 kupitia<br />

Mashamba <strong>ya</strong> Kuzalisha Mitamba <strong>ya</strong> Kitulo, Mabuki, Nangaramo, Ngerengere<br />

na Sao Hill pamoja na Ranchi za NARCO na Mipango <strong>ya</strong> Kopa Ng’ombe lipa<br />

Ng’ombe. Vilevile, mbuzi <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> 3,216 <strong>wa</strong>mesambaz<strong>wa</strong> kupitia Mpango<br />

<strong>wa</strong> Kopa Mbuzi lipa Mbuzi.<br />

(v) Kuendeleza elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji ili <strong>wa</strong>jue ku<strong>wa</strong> mifugo <strong>wa</strong>liyonayo ni mali<br />

inayoweza kuvun<strong>wa</strong> katika umri na uzito muafaka unaokidhi mahitaji <strong>ya</strong><br />

soko, ili ku<strong>wa</strong>ondolea umaskini <strong>wa</strong>o badala <strong>ya</strong> kuridhika na wingi <strong>wa</strong><br />

mifugo iliyo duni na maisha <strong>ya</strong> kuhamahama.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri na Asasi mbalimbali kama vile L<strong>and</strong><br />

O’ Lakes, Heifer Project Tanzania (HPT), World Vision na Care Tanzania<br />

imetoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji 8,796 kuhusu mbinu za ufugaji bora <strong>wa</strong><br />

mifugo. Aidha, jitihada za makusudi za kuchochea uvunaji na uuzaji <strong>wa</strong><br />

mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke katika maeneo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji zimefanyika k<strong>wa</strong> kuwekeza<br />

katika ujenzi <strong>wa</strong> machinjio <strong>ya</strong> kisasa Simanjiro na Monduli. Pia, ki<strong>wa</strong>nda cha<br />

kusindika mazi<strong>wa</strong> kimejeng<strong>wa</strong> Simanjiro k<strong>wa</strong> lengo hilo hilo.<br />

(vi) Uzalishaji <strong>wa</strong> mitamba upanuliwe k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Serikali<br />

kuvutia na kuwezesha sekta binafsi katika uzalishaji na ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />

Utekelezaji:<br />

Wizara imeendelea kuboresha mashamba <strong>ya</strong> kuzalisha mifugo ili kuongeza<br />

upatikanaji <strong>wa</strong> mitamba ambapo ng’ombe <strong>wa</strong>zazi 77 <strong>wa</strong>menunuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili<br />

<strong>ya</strong> mashamba hayo. Aidha, mitamba 712 ilizalish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!