jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri imeendelea kuelimisha <strong>wa</strong>fugaji<br />
kuhusu kutekeleza Sheria <strong>ya</strong> Maeneo <strong>ya</strong> Malisho na Rasilimali za V<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong><br />
Mifugo Na. 13 <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 2010 ambayo, pamoja na mambo mengine,<br />
ina<strong>wa</strong>taka <strong>wa</strong>fugaji kufuga mifugo kulingana na uwezo <strong>wa</strong> ardhi; kutunza<br />
malambo na v<strong>ya</strong>nzo v<strong>ya</strong> maji; kuendeleza na kuhifadhi malisho; na kutenga<br />
maeneo <strong>ya</strong> akiba k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kiangazi.<br />
(iv) Serikali isimamie k<strong>wa</strong> ufanisi mkub<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> kopa ng’ombe/mbuzi,<br />
lipa ng’ombe/mbuzi kama hatua <strong>ya</strong> kueneza ufugaji <strong>wa</strong> kisasa wenye tija<br />
kub<strong>wa</strong>.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imewezesha upatikanaji <strong>wa</strong> mitamba bora <strong>ya</strong> mazi<strong>wa</strong> 10,470 kupitia<br />
Mashamba <strong>ya</strong> Kuzalisha Mitamba <strong>ya</strong> Kitulo, Mabuki, Nangaramo, Ngerengere<br />
na Sao Hill pamoja na Ranchi za NARCO na Mipango <strong>ya</strong> Kopa Ng’ombe lipa<br />
Ng’ombe. Vilevile, mbuzi <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> 3,216 <strong>wa</strong>mesambaz<strong>wa</strong> kupitia Mpango<br />
<strong>wa</strong> Kopa Mbuzi lipa Mbuzi.<br />
(v) Kuendeleza elimu k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji ili <strong>wa</strong>jue ku<strong>wa</strong> mifugo <strong>wa</strong>liyonayo ni mali<br />
inayoweza kuvun<strong>wa</strong> katika umri na uzito muafaka unaokidhi mahitaji <strong>ya</strong><br />
soko, ili ku<strong>wa</strong>ondolea umaskini <strong>wa</strong>o badala <strong>ya</strong> kuridhika na wingi <strong>wa</strong><br />
mifugo iliyo duni na maisha <strong>ya</strong> kuhamahama.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Halmashauri na Asasi mbalimbali kama vile L<strong>and</strong><br />
O’ Lakes, Heifer Project Tanzania (HPT), World Vision na Care Tanzania<br />
imetoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji 8,796 kuhusu mbinu za ufugaji bora <strong>wa</strong><br />
mifugo. Aidha, jitihada za makusudi za kuchochea uvunaji na uuzaji <strong>wa</strong><br />
mifugo na mazao <strong>ya</strong>ke katika maeneo <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji zimefanyika k<strong>wa</strong> kuwekeza<br />
katika ujenzi <strong>wa</strong> machinjio <strong>ya</strong> kisasa Simanjiro na Monduli. Pia, ki<strong>wa</strong>nda cha<br />
kusindika mazi<strong>wa</strong> kimejeng<strong>wa</strong> Simanjiro k<strong>wa</strong> lengo hilo hilo.<br />
(vi) Uzalishaji <strong>wa</strong> mitamba upanuliwe k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Serikali<br />
kuvutia na kuwezesha sekta binafsi katika uzalishaji na ufugaji <strong>wa</strong> kisasa.<br />
Utekelezaji:<br />
Wizara imeendelea kuboresha mashamba <strong>ya</strong> kuzalisha mifugo ili kuongeza<br />
upatikanaji <strong>wa</strong> mitamba ambapo ng’ombe <strong>wa</strong>zazi 77 <strong>wa</strong>menunuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili<br />
<strong>ya</strong> mashamba hayo. Aidha, mitamba 712 ilizalish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
6