jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Vilevile, uzalishaji <strong>wa</strong> ma<strong>ya</strong>i uliongezeka kutoka bilioni 2.9 m<strong>wa</strong>ka<br />
2009/2010 hadi ma<strong>ya</strong>i bilioni 3.34 m<strong>wa</strong>ka 2010/2011 (Jed<strong>wa</strong>li Na. 4).<br />
Katika juhudi za kuhamasisha ufugaji <strong>wa</strong> kuku <strong>wa</strong> asili, Wizara k<strong>wa</strong><br />
kushirikiana na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) na Halmashauri<br />
zimeendelea kuhamasisha teknolojia rahisi <strong>ya</strong> kukuza vifaranga k<strong>wa</strong> kasha<br />
maalum linaloweza kutumika kwenye maeneo <strong>ya</strong> vijijini ambako nishati <strong>ya</strong><br />
umeme haipatikani kirahisi. Vilevile, <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi 40 <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> tasnia <strong>ya</strong><br />
kuku <strong>wa</strong>mehamasish<strong>wa</strong> kuunda chama cha <strong>wa</strong>zalishaji <strong>wa</strong> kuku nchini.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> 2011/2012, Wizara itaendelea kuhamasisha uzalishaji <strong>wa</strong><br />
ma<strong>ya</strong>i na matumizi <strong>ya</strong> teknolojia sahihi za ufugaji <strong>wa</strong> kuku ikiwemo <strong>ya</strong><br />
utumiaji <strong>wa</strong> kasha la kutunzia vifaranga katika mikoa kumi (10) <strong>ya</strong> Singida,<br />
Dodoma, Tabora, Shin<strong>ya</strong>nga, M<strong>wa</strong>nza, P<strong>wa</strong>ni, Morogoro, Kagera, Arusha na<br />
Man<strong>ya</strong>ra.<br />
66. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ufugaji <strong>wa</strong> nguruwe nchini umeendelea kukua<br />
kutokana na kuongezeka k<strong>wa</strong> mahitaji. Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, uzalishaji<br />
<strong>wa</strong> n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> nguruwe umeongezeka k<strong>wa</strong> asilimia 12.5 kutoka tani 38,180<br />
m<strong>wa</strong>ka 2009/2010 hadi tani 43,643. Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara<br />
itaendelea kuimarisha uzalishaji <strong>wa</strong> nguruwe nchini k<strong>wa</strong> kuendeleza shamba<br />
la Ngerengere k<strong>wa</strong> kulipatia nguruwe <strong>wa</strong>zazi madume <strong>wa</strong>tano (5) k<strong>wa</strong> ajili<br />
<strong>ya</strong> kuzalisha na kusambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji. Aidha, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />
Halmashauri itaendelea kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika ufugaji <strong>wa</strong><br />
nguruwe <strong>wa</strong> kisasa.<br />
Ufugaji <strong>wa</strong> Asili<br />
67. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, uendelezaji <strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> asili unahitaji kutenga<br />
maeneo <strong>ya</strong> malisho, ku<strong>ya</strong>endeleza na ku<strong>ya</strong>simamia ambapo ni pamoja na<br />
kutathmini uwezo <strong>wa</strong>ke na ku<strong>ya</strong>wekea miundombinu muhimu. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />
2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Ardhi, Nyumba na<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Makazi na TAMISEMI zimetenga maeneo <strong>ya</strong> malisho hekta<br />
858,995.45 na kufan<strong>ya</strong> eneo lililoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili hiyo kufikia hekta milioni<br />
2.3 katika vijiji 440 v<strong>ya</strong> Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> 49 (Jed<strong>wa</strong>li Na. 6).<br />
68. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili kuendeleza malisho <strong>ya</strong> mifugo nchini, ni muhimu<br />
kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba mbegu bora za malisho zinapatikana karibu na <strong>wa</strong>fugaji.<br />
Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara imeendelea kuimarisha mashamba <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
mbegu za malisho <strong>ya</strong> Vikuge (P<strong>wa</strong>ni), Langwira (Mbe<strong>ya</strong>), Kizota (Dodoma),<br />
PRC Kong<strong>wa</strong> (Dodoma), Mabuki (M<strong>wa</strong>nza), Sao Hill (Iringa) na LRC (Tanga)<br />
k<strong>wa</strong> ku<strong>ya</strong>patia vitendea kazi muhimu. Jumla <strong>ya</strong> tani 48 za mbegu bora za<br />
malisho na marobota 770,100 <strong>ya</strong> hei <strong>ya</strong>mezalish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>fugaji. Kati <strong>ya</strong> hayo, marobota 350,000 <strong>ya</strong>mezalish<strong>wa</strong> kutoka katika<br />
38