15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Vilevile, uzalishaji <strong>wa</strong> ma<strong>ya</strong>i uliongezeka kutoka bilioni 2.9 m<strong>wa</strong>ka<br />

2009/2010 hadi ma<strong>ya</strong>i bilioni 3.34 m<strong>wa</strong>ka 2010/2011 (Jed<strong>wa</strong>li Na. 4).<br />

Katika juhudi za kuhamasisha ufugaji <strong>wa</strong> kuku <strong>wa</strong> asili, Wizara k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) na Halmashauri<br />

zimeendelea kuhamasisha teknolojia rahisi <strong>ya</strong> kukuza vifaranga k<strong>wa</strong> kasha<br />

maalum linaloweza kutumika kwenye maeneo <strong>ya</strong> vijijini ambako nishati <strong>ya</strong><br />

umeme haipatikani kirahisi. Vilevile, <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi 40 <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> tasnia <strong>ya</strong><br />

kuku <strong>wa</strong>mehamasish<strong>wa</strong> kuunda chama cha <strong>wa</strong>zalishaji <strong>wa</strong> kuku nchini.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong> 2011/2012, Wizara itaendelea kuhamasisha uzalishaji <strong>wa</strong><br />

ma<strong>ya</strong>i na matumizi <strong>ya</strong> teknolojia sahihi za ufugaji <strong>wa</strong> kuku ikiwemo <strong>ya</strong><br />

utumiaji <strong>wa</strong> kasha la kutunzia vifaranga katika mikoa kumi (10) <strong>ya</strong> Singida,<br />

Dodoma, Tabora, Shin<strong>ya</strong>nga, M<strong>wa</strong>nza, P<strong>wa</strong>ni, Morogoro, Kagera, Arusha na<br />

Man<strong>ya</strong>ra.<br />

66. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ufugaji <strong>wa</strong> nguruwe nchini umeendelea kukua<br />

kutokana na kuongezeka k<strong>wa</strong> mahitaji. Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, uzalishaji<br />

<strong>wa</strong> n<strong>ya</strong>ma <strong>ya</strong> nguruwe umeongezeka k<strong>wa</strong> asilimia 12.5 kutoka tani 38,180<br />

m<strong>wa</strong>ka 2009/2010 hadi tani 43,643. Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara<br />

itaendelea kuimarisha uzalishaji <strong>wa</strong> nguruwe nchini k<strong>wa</strong> kuendeleza shamba<br />

la Ngerengere k<strong>wa</strong> kulipatia nguruwe <strong>wa</strong>zazi madume <strong>wa</strong>tano (5) k<strong>wa</strong> ajili<br />

<strong>ya</strong> kuzalisha na kusambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji. Aidha, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na<br />

Halmashauri itaendelea kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika ufugaji <strong>wa</strong><br />

nguruwe <strong>wa</strong> kisasa.<br />

Ufugaji <strong>wa</strong> Asili<br />

67. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, uendelezaji <strong>wa</strong> ufugaji <strong>wa</strong> asili unahitaji kutenga<br />

maeneo <strong>ya</strong> malisho, ku<strong>ya</strong>endeleza na ku<strong>ya</strong>simamia ambapo ni pamoja na<br />

kutathmini uwezo <strong>wa</strong>ke na ku<strong>ya</strong>wekea miundombinu muhimu. Katika m<strong>wa</strong>ka<br />

2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Wizara <strong>ya</strong> Ardhi, Nyumba na<br />

Maendeleo <strong>ya</strong> Makazi na TAMISEMI zimetenga maeneo <strong>ya</strong> malisho hekta<br />

858,995.45 na kufan<strong>ya</strong> eneo lililoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili hiyo kufikia hekta milioni<br />

2.3 katika vijiji 440 v<strong>ya</strong> Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> 49 (Jed<strong>wa</strong>li Na. 6).<br />

68. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, ili kuendeleza malisho <strong>ya</strong> mifugo nchini, ni muhimu<br />

kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba mbegu bora za malisho zinapatikana karibu na <strong>wa</strong>fugaji.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara imeendelea kuimarisha mashamba <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

mbegu za malisho <strong>ya</strong> Vikuge (P<strong>wa</strong>ni), Langwira (Mbe<strong>ya</strong>), Kizota (Dodoma),<br />

PRC Kong<strong>wa</strong> (Dodoma), Mabuki (M<strong>wa</strong>nza), Sao Hill (Iringa) na LRC (Tanga)<br />

k<strong>wa</strong> ku<strong>ya</strong>patia vitendea kazi muhimu. Jumla <strong>ya</strong> tani 48 za mbegu bora za<br />

malisho na marobota 770,100 <strong>ya</strong> hei <strong>ya</strong>mezalish<strong>wa</strong> na kusambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>fugaji. Kati <strong>ya</strong> hayo, marobota 350,000 <strong>ya</strong>mezalish<strong>wa</strong> kutoka katika<br />

38

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!