15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Vilevile, vyuo hivyo vimeendelea kutoa mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fugaji<br />

k<strong>wa</strong> ushirikiano kati <strong>ya</strong> Wizara na Wafadhili mbalimbali <strong>wa</strong>kiwemo HPT, World<br />

Vision, Taasisi za Dini, MVIWATA na Halmashauri. Jumla <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>fugaji 8,796<br />

<strong>wa</strong>lipati<strong>wa</strong> mafunzo katika n<strong>ya</strong>nja za ufugaji <strong>wa</strong> ng’ombe na mbuzi <strong>wa</strong><br />

mazi<strong>wa</strong>, nyuki, kuku, uendelezaji <strong>wa</strong> malisho na zao la ngozi, usindikaji <strong>wa</strong><br />

mazi<strong>wa</strong> na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />

56. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Serikali imeendelea kujenga uwezo <strong>wa</strong> vyuo v<strong>ya</strong><br />

mafunzo <strong>ya</strong> mifugo k<strong>wa</strong> kukarabati miundombinu na kununua vifaa v<strong>ya</strong><br />

kufundishia ambapo jumla <strong>ya</strong> madarasa manne (4), hosteli tano (5) na<br />

b<strong>wa</strong>lo moja (1) vimekarabati<strong>wa</strong> pamoja na kuendelea kuimarisha majengo <strong>ya</strong><br />

mifugo katika vyuo hivyo. Aidha, vyuo hivyo vimepati<strong>wa</strong> vitendea kazi<br />

vikiwemo kompyuta 12, basi moja (1), trekta tatu (3) na zana zake,<br />

mada<strong>wa</strong>ti na viti 55, vit<strong>and</strong>a na magodoro 68. Pia, <strong>wa</strong>kufunzi saba (7)<br />

<strong>wa</strong>nafadhili<strong>wa</strong> masomo ambapo shahada <strong>ya</strong> uzamili ni <strong>wa</strong>tano (5), uzamivu<br />

<strong>wa</strong>wili (2) na 12 <strong>wa</strong>mehudhuria mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi ndani na nje <strong>ya</strong><br />

nchi.<br />

57. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itatekeleza<br />

<strong>ya</strong>fuatayo:-<br />

(i) Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> vyuo v<strong>ya</strong> mifugo ili kuweza kuchukua<br />

<strong>wa</strong>nafunzi 2,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka <strong>wa</strong>kiwemo 1,000 <strong>wa</strong> Astashahada na<br />

1,000 <strong>wa</strong> Stashahada. M<strong>wa</strong>ka huu vyuo vitaku<strong>wa</strong> na jumla <strong>ya</strong><br />

<strong>wa</strong>nafunzi 1,500;<br />

(ii) Kukamilisha taratibu za kuanzisha <strong>wa</strong>kala <strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> mifugo;<br />

(iii) Ku<strong>wa</strong>endeleza <strong>wa</strong>kufunzi 20 k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>patia mafunzo katika ngazi<br />

mbalimbali; na<br />

(iv) Kuendelea na taratibu za kukamilisha ithibati k<strong>wa</strong> vyuo vyote v<strong>ya</strong><br />

Mifugo.<br />

(ii) Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />

58. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara kupitia mradi <strong>wa</strong><br />

MACEMP na <strong>wa</strong>fadhili wengine imeendelea kugharamia mafunzo <strong>ya</strong> muda<br />

mrefu na mfupi <strong>ya</strong> taaluma za uvuvi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tumishi 44, <strong>wa</strong>kiwemo <strong>wa</strong>tano<br />

(5) <strong>wa</strong> Shahada <strong>ya</strong> Uzamivu; 17 <strong>wa</strong> Shahada <strong>ya</strong> Uzamili; <strong>wa</strong>tano (5) <strong>wa</strong><br />

Shahada <strong>ya</strong> K<strong>wa</strong>nza na 17 <strong>wa</strong> mafunzo <strong>ya</strong> muda mfupi. Aidha, Wizara<br />

imeendelea kutoa mafunzo <strong>ya</strong> uvuvi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafunzi 481 katika vyuo v<strong>ya</strong><br />

Uvuvi v<strong>ya</strong> Mbegani na Nyegezi (Jed<strong>wa</strong>li Na. 3) katika ngazi za Stashahada<br />

(236) na Astashahada (245). Pia, vyuo hivyo vimetoa mafunzo <strong>ya</strong> ufundi<br />

mchundo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nafunzi 40. Watakaohitimu m<strong>wa</strong>ka huu ni 176 ambapo 102<br />

ni <strong>wa</strong> Astashahada na 74 ni <strong>wa</strong> Stashahada.<br />

34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!