15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(iii) Kutoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 150 <strong>wa</strong> maabara, uhimilishaji na<br />

<strong>wa</strong>kaguzi kuhusu maadili na ukaguzi <strong>wa</strong> taaluma <strong>ya</strong> veterinari;<br />

(iv) Ku<strong>and</strong>aa nakala 3,000 za miongozo <strong>ya</strong> taaluma <strong>ya</strong> veterinari na<br />

kuzisambaza k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> uhamasishaji;<br />

(v) Kufan<strong>ya</strong> ukaguzi <strong>wa</strong> vituo 150 pamoja na maadili <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>toa huduma<br />

katika sekta za umma na binafsi;<br />

(vi) Kuhuisha miongozo <strong>ya</strong> kufundishia taaluma <strong>ya</strong> veterinari hapa nchini na<br />

nchi nyingine ili kuvitambua; na<br />

(vii) Kuijengea uwezo Sekretariati na <strong>wa</strong>jumbe tisa (9) <strong>wa</strong> Baraza<br />

kusimamia utekelezaji <strong>wa</strong> Sheria <strong>ya</strong> Veterinari.<br />

URATIBU WA UTAFITI NA MAFUNZO KATIKA SEKTA ZA MIFUGO NA<br />

UVUVI<br />

Uratibu <strong>wa</strong> Utafiti<br />

52. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kusimamia na kuratibu utafiti<br />

<strong>wa</strong> sekta za mifugo na uvuvi nchini. Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011 Wizara<br />

ilikamilisha ku<strong>and</strong>aa rasimu <strong>ya</strong> Agenda <strong>ya</strong> Utafiti <strong>wa</strong> Mifugo itakayoku<strong>wa</strong> dira<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tafiti <strong>wa</strong>naotaka kufan<strong>ya</strong> utafiti <strong>wa</strong> Mifugo katika nchi yetu. Aidha,<br />

Wizara imeendelea kushirikiana na <strong>wa</strong>dau mbalimbali <strong>wa</strong> utafiti <strong>wa</strong> mifugo<br />

<strong>wa</strong>kiwemo Wizara <strong>ya</strong> Ma<strong>wa</strong>siliano, Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia; Wizara <strong>ya</strong> Kilimo,<br />

Chakula na Ushirika; ASARECA; SUA; COSTECH; Climate Change, Agriculture<br />

<strong>and</strong> Food Security - CCAFS; Consultative Group for International Agricultural<br />

Research - CGIAR; International Atomic Energy Agency - IAEA; na EAC katika<br />

ku<strong>and</strong>aa na kupima mipango mbalimbali <strong>ya</strong> utafiti. Vilevile, Wizara<br />

imeshirikiana na <strong>wa</strong>dau hao kuta<strong>ya</strong>risha, pamoja na mambo mengine,<br />

mikakati <strong>ya</strong> utafiti katika maeneo muhimu kama vile ufugaji, mabadiliko <strong>ya</strong><br />

tabia-nchi, uhakika <strong>wa</strong> chakula, mbinu za kuzuia na kukabiliana na athari za<br />

ukame. Kupitia mradi <strong>wa</strong> East Africa Agricultural Productivity Project (EAAPP),<br />

vituo vitatu (3) v<strong>ya</strong> kuzalisha mbegu za malisho na kimoja (1) cha<br />

uhimilishaji (AI) na Maabara Kuu <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo (CVL) viliimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

kununuli<strong>wa</strong> vitendea kazi.<br />

53. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, k<strong>wa</strong> kutambua umuhimu <strong>wa</strong> utafiti katika<br />

maendeleo <strong>ya</strong> ufugaji, Wizara kupitia ASDP imeendelea kujenga uwezo <strong>wa</strong><br />

utafiti k<strong>wa</strong> kuimarisha Mifuko <strong>ya</strong> Utafiti na Maendeleo <strong>ya</strong> K<strong>and</strong>a saba (7) za<br />

utafiti <strong>wa</strong> mifugo (Zonal Agricultural Research, Developmet <strong>and</strong> Extension<br />

Fund – ZARDEF na Zonal Information <strong>and</strong> Extension Liaison Units - ZIELU)<br />

k<strong>wa</strong> kuzipatia jumla <strong>ya</strong> shilingi milioni 362.2 na vitendea kazi k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

kugharamia na kusimamia miradi <strong>ya</strong> utafiti kulingana na vipaumbele v<strong>ya</strong><br />

k<strong>and</strong>a husika na kuta<strong>ya</strong>risha matokeo <strong>ya</strong> utafiti huo katika mfumo rahisi na<br />

ku<strong>wa</strong>pelekea <strong>wa</strong>fugaji. Pia, miradi 43 <strong>ya</strong> utafiti <strong>wa</strong> mifugo imeendelea<br />

32

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!