15.01.2013 Views

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(ii) Kituo cha karantini cha K<strong>wa</strong>la (Kibaha) kimeimarish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kujenga zizi<br />

la mbuzi na kuweka vibao v<strong>ya</strong> kuonyesha mipaka <strong>ya</strong> Kituo; na<br />

(iii) Kusimamia uingizaji <strong>wa</strong> vifaranga v<strong>ya</strong> kuku <strong>wa</strong> ma<strong>ya</strong>i 719,963 na<br />

ma<strong>ya</strong>i <strong>ya</strong> kutotolesha vifaranga 8,231,207 na kukagua ng’ombe 1,041<br />

na mazao <strong>ya</strong> mifugo kabla <strong>ya</strong> kusafirisha nje <strong>ya</strong> nchi.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012 Wizara itaendelea kuimarisha vituo 18 k<strong>wa</strong><br />

kuvipatia vitendea kazi pamoja na mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam kuhusu utambuzi<br />

na ufuatiliaji magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> mifugo.<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> Ubora na Usalama <strong>wa</strong> V<strong>ya</strong>kula Vitokanavyo na Mifugo<br />

87. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara imeendelea<br />

kusimamia usalama na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo. Wizara k<strong>wa</strong><br />

kushirikiana na Shirika la Vi<strong>wa</strong>ngo la Taifa ilitoa mafunzo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalam 40<br />

juu <strong>ya</strong> u<strong>and</strong>aaji <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo v<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>kula na 25 kuhusu udhibiti <strong>wa</strong> usalama<br />

na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula. Aidha, jumla <strong>ya</strong> vipeperushi 1,000 v<strong>ya</strong> kuelimisha jamii<br />

kuhusu usalama na ubora <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> na n<strong>ya</strong>ma vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na kutole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>dau katika maonesho <strong>ya</strong> Nanenane. Vilevile, vipindi v<strong>ya</strong> redio kuhusu<br />

usalama na ubora <strong>wa</strong> chakula vili<strong>and</strong>ali<strong>wa</strong> na kurush<strong>wa</strong> he<strong>wa</strong>ni.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kusimamia usalama na ubora <strong>wa</strong><br />

v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo k<strong>wa</strong> ku<strong>and</strong>aa vijarida 2,000 na vipindi viwili<br />

(2) v<strong>ya</strong> redio v<strong>ya</strong> kuhamasisha jamii. Aidha, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na FAO<br />

itaendelea ku<strong>wa</strong>jengea uwezo <strong>wa</strong> kudhibiti usalama <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula <strong>wa</strong>taalam 25.<br />

Pia, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na nchi za SADC ita<strong>and</strong>aa mpango <strong>wa</strong> kuboresha<br />

usalama na ubora <strong>wa</strong> v<strong>ya</strong>kula vitokanavyo na mifugo.<br />

Usimamizi <strong>wa</strong> Usalama na Ubora <strong>wa</strong> Pembejeo za Mifugo<br />

88. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana<br />

na Mamlaka <strong>ya</strong> Chakula na Da<strong>wa</strong> (TFDA) iliendelea kusimamia ubora <strong>wa</strong><br />

da<strong>wa</strong>, chanjo na vifaa tiba vinavyoingiz<strong>wa</strong> nchini k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> magonj<strong>wa</strong> <strong>ya</strong><br />

mifugo. Aidha, jamii imeendelea kuhamasish<strong>wa</strong> kutumia pembejeo za mifugo<br />

ambazo zimesajili<strong>wa</strong>. Vilevile, Wizara k<strong>wa</strong> kushirikiana na Taasisi <strong>ya</strong> Utafiti <strong>wa</strong><br />

Viuatilifu nchini (TPRI) ilisimamia uingizaji <strong>wa</strong> viuatilifu vinavyoingia nchini.<br />

Jumla <strong>ya</strong> maduka 50 <strong>ya</strong> pembejeo za mifugo katika K<strong>and</strong>a za Zi<strong>wa</strong> (10) na<br />

N<strong>ya</strong>nda za Juu Kusini (40) na vi<strong>wa</strong>nda vitatu (3) v<strong>ya</strong> kusindika v<strong>ya</strong>kula v<strong>ya</strong><br />

mifugo vilikaguli<strong>wa</strong> na ushauri juu <strong>ya</strong> hifadhi <strong>ya</strong> malighafi na v<strong>ya</strong>kula<br />

vilivyosindik<strong>wa</strong> ili kudhibiti ubora na usalama ulitole<strong>wa</strong>.<br />

Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara itaendelea kusimamia ubora na usalama <strong>wa</strong><br />

pembejeo za mifugo ili ku<strong>wa</strong>hakikishia <strong>wa</strong>fugaji upatikanaji <strong>wa</strong>ke. Aidha,<br />

<strong>wa</strong>kaguzi 30 <strong>wa</strong>tapati<strong>wa</strong> mafunzo juu <strong>ya</strong> udhibiti <strong>wa</strong> pembejeo za mifugo na<br />

48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!