jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
jamhuri ya muungano wa tanzania - Ministry of Livestock and ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Makusanyo <strong>ya</strong> Maduhuli<br />
17. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika kipindi cha m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara<br />
ilitarajia kukusan<strong>ya</strong> kiasi cha shilingi 13,633,400,000.00. Kati <strong>ya</strong> hizo,<br />
shilingi 3,528,502,000.00 (26%) ni kutoka sekta <strong>ya</strong> mifugo na shilingi<br />
10,104,898,000.00 (74%) ni kutoka sekta <strong>ya</strong> uvuvi. Hadi mwezi Juni,<br />
2011 jumla <strong>ya</strong> shilingi 13,721,094,895.36 zimekusany<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> ni asilimia<br />
100.6 <strong>ya</strong> lengo la makusanyo. Katika m<strong>wa</strong>ka 2011/2012, Wizara inatarajia<br />
kukusan<strong>ya</strong> kiasi cha shilingi 19,635,527,000.00. Kati <strong>ya</strong> hizo shilingi<br />
8,248,525,000.00 zitatoka kwenye Sekta <strong>ya</strong> Mifugo na shilingi<br />
11,387,002,000.00 zitatoka kwenye Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi.<br />
Matumizi <strong>ya</strong> Fedha<br />
18. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, katika m<strong>wa</strong>ka 2010/2011, Wizara ilitenge<strong>wa</strong> jumla<br />
<strong>ya</strong> shilingi 62,233,483,080. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 15,074,016,887 k<strong>wa</strong> ajili<br />
<strong>ya</strong> mishahara <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tumishi (PE); shilingi 20,912,414,193 k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />
matumizi mengine (OC); na shilingi 25,347,052,000 k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> kutekeleza<br />
miradi <strong>ya</strong> maendeleo. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 8,717,387,000 ziliku<strong>wa</strong> fedha za<br />
ndani na shilingi 16,629,665,000 ni fedha za nje.<br />
19. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, hadi kufikia mwezi Juni, 2011, jumla <strong>ya</strong> shilingi<br />
31,576,111,004.44 zimetole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> ka<strong>wa</strong>ida, sa<strong>wa</strong> na<br />
asilimia 85.6. Kati <strong>ya</strong> hizo, shilingi 15,974,016,887.00 ni k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />
Mishahara na shilingi 15,602,094,117.44 ni k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> Matumizi Mengine<br />
(OC). Kati <strong>ya</strong> fedha hizo, jumla <strong>ya</strong> shilingi 31,561,010,270 (asilimia 99.9)<br />
zimetumika. Aidha, katika kipindi hicho, jumla <strong>ya</strong> shilingi 14,220,033,650<br />
(asilimia 56.1) zimetole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> miradi <strong>ya</strong> maendeleo.<br />
Kati <strong>ya</strong> hizo, fedha za ndani ni shilingi 1,689,897,497 na shilingi<br />
12,530,136,153 ni za nje. Kati <strong>ya</strong> fedha hizo, jumla <strong>ya</strong> shilingi<br />
14,201,545,970 (asilimia 99.87) zimetumika.<br />
Ubunifu na Utekelezaji <strong>wa</strong> Sera na Sheria za Sekta<br />
Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo (2006)<br />
20. Mheshimi<strong>wa</strong> Spika, Wizara imeendelea kusambaza na kutoa elimu k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>dau kuhusu Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Mifugo <strong>ya</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006. Jumla <strong>ya</strong> nakala<br />
7,500 za Sera hii zimesambaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau na elimu kuhusu Sera hiyo<br />
imeendelea kutole<strong>wa</strong> kupitia matukio mbalimbali <strong>ya</strong> kitaifa <strong>ya</strong>kiwemo, Sikukuu<br />
<strong>ya</strong> Wakulima Nanenane, Wiki <strong>ya</strong> Uhamasishaji Uny<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Mazi<strong>wa</strong>, Wiki <strong>ya</strong><br />
Utumishi <strong>wa</strong> Umma pamoja na mikutano mbalimbali <strong>ya</strong> kitaaluma na <strong>ya</strong><br />
<strong>wa</strong>dau.<br />
16