13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

RASIMU<br />

makini sana katika sehemu hiyo. Mwisho, katika miaka ya m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> 2000,<br />

uanzishaji <strong>wa</strong> miji kote Tanzania, vuvumko jipya la matumizi ya mkonge kama nyuzi<br />

asilia (na ubiofueli), na kuongezeka thamani nyanda za chini zilizo jirani, k<strong>wa</strong> ajili ya<br />

kilimo cha matunda mapya, njugu na mazao ya chakula, vyote vinaleta vivutio vipya k<strong>wa</strong><br />

familia za Usambara; <strong>wa</strong>kati huu <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong>nafikiria kuelekeza shughuli zao za<br />

uchumi mbali na milima. K<strong>wa</strong> ufupi, familia za vijiji hivi zimeku<strong>wa</strong> na historia ya<br />

kukumb<strong>wa</strong> na mabadiliko makub<strong>wa</strong> ya mara k<strong>wa</strong> mara katika shughuli zao za kujipatia<br />

riziki; kiasi k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>mefikia mahali pa kuona k<strong>wa</strong>mba kila baada ya miaka kama<br />

ishirini hivi mabadiliko katika mielekeo ya uchumi au sera vina<strong>wa</strong>lazimisha kuangalia<br />

upya mbinu zao za kujikimu kimaisha. Wakulima kulazimish<strong>wa</strong> kuacha mazao yao ya<br />

viungo katika mashamba ya misituni, na ambayo yaliku<strong>wa</strong> yana<strong>wa</strong>ingizia kipato kizuri,<br />

ni moja<strong>wa</strong>po ya mabadiliko ya hivi karibuni.<br />

Mradi Wenyewe<br />

8. Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania ulipitish<strong>wa</strong> mnano mwezi<br />

Februari 2001, na ulianza rasmi mnamo mwezi Mei, 2002. Mradi huu ulichukua nafasi ya<br />

mradi <strong>wa</strong> sekta ya misitu ulioku<strong>wa</strong> unafadhili<strong>wa</strong> na IDA. Mradi <strong>wa</strong> pamoja kati ya Mradi<br />

<strong>wa</strong> Hifadhi ya Misitu ya Tao la Mashariki na Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi ulipitish<strong>wa</strong> mnamo<br />

mwezi Julai 2003 na ukaanza rasmi Mei 2005. Malengo ya jumla ya miradi hiyo miwili<br />

yaliku<strong>wa</strong>:<br />

(i) Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> Tanzania katika kuratibu na kuongoza shughuli za<br />

kuhifadhi ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> misitu.<br />

(ii) Kusaidia uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mradi shirikishi <strong>wa</strong> majaribio katika eneo la hifadhi<br />

lililochaguli<strong>wa</strong> ili kuweza kupata matokeo endelevu kuhusu ubioanu<strong>wa</strong>i na<br />

maendeleo ya binadamu.<br />

(iii) Kuboresha mbinu na uwezo <strong>wa</strong> kiasasi <strong>wa</strong> kushughulikia hifadhi ya ubioanu<strong>wa</strong>i<br />

<strong>wa</strong> misitu, na<br />

(iv) Kuanzisha na kutekeleza, k<strong>wa</strong> njia ya majaribio, mbinu endelevu za upatikanaji<br />

<strong>wa</strong> fedha k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli za Hifadhi katika Misitu ya Tao la Mashariki.<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!