ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
RASIMU<br />
makini sana katika sehemu hiyo. Mwisho, katika miaka ya m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> 2000,<br />
uanzishaji <strong>wa</strong> miji kote Tanzania, vuvumko jipya la matumizi ya mkonge kama nyuzi<br />
asilia (na ubiofueli), na kuongezeka thamani nyanda za chini zilizo jirani, k<strong>wa</strong> ajili ya<br />
kilimo cha matunda mapya, njugu na mazao ya chakula, vyote vinaleta vivutio vipya k<strong>wa</strong><br />
familia za Usambara; <strong>wa</strong>kati huu <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong>nafikiria kuelekeza shughuli zao za<br />
uchumi mbali na milima. K<strong>wa</strong> ufupi, familia za vijiji hivi zimeku<strong>wa</strong> na historia ya<br />
kukumb<strong>wa</strong> na mabadiliko makub<strong>wa</strong> ya mara k<strong>wa</strong> mara katika shughuli zao za kujipatia<br />
riziki; kiasi k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>mefikia mahali pa kuona k<strong>wa</strong>mba kila baada ya miaka kama<br />
ishirini hivi mabadiliko katika mielekeo ya uchumi au sera vina<strong>wa</strong>lazimisha kuangalia<br />
upya mbinu zao za kujikimu kimaisha. Wakulima kulazimish<strong>wa</strong> kuacha mazao yao ya<br />
viungo katika mashamba ya misituni, na ambayo yaliku<strong>wa</strong> yana<strong>wa</strong>ingizia kipato kizuri,<br />
ni moja<strong>wa</strong>po ya mabadiliko ya hivi karibuni.<br />
Mradi Wenyewe<br />
8. Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania ulipitish<strong>wa</strong> mnano mwezi<br />
Februari 2001, na ulianza rasmi mnamo mwezi Mei, 2002. Mradi huu ulichukua nafasi ya<br />
mradi <strong>wa</strong> sekta ya misitu ulioku<strong>wa</strong> unafadhili<strong>wa</strong> na IDA. Mradi <strong>wa</strong> pamoja kati ya Mradi<br />
<strong>wa</strong> Hifadhi ya Misitu ya Tao la Mashariki na Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi ulipitish<strong>wa</strong> mnamo<br />
mwezi Julai 2003 na ukaanza rasmi Mei 2005. Malengo ya jumla ya miradi hiyo miwili<br />
yaliku<strong>wa</strong>:<br />
(i) Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> Tanzania katika kuratibu na kuongoza shughuli za<br />
kuhifadhi ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> misitu.<br />
(ii) Kusaidia uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mradi shirikishi <strong>wa</strong> majaribio katika eneo la hifadhi<br />
lililochaguli<strong>wa</strong> ili kuweza kupata matokeo endelevu kuhusu ubioanu<strong>wa</strong>i na<br />
maendeleo ya binadamu.<br />
(iii) Kuboresha mbinu na uwezo <strong>wa</strong> kiasasi <strong>wa</strong> kushughulikia hifadhi ya ubioanu<strong>wa</strong>i<br />
<strong>wa</strong> misitu, na<br />
(iv) Kuanzisha na kutekeleza, k<strong>wa</strong> njia ya majaribio, mbinu endelevu za upatikanaji<br />
<strong>wa</strong> fedha k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli za Hifadhi katika Misitu ya Tao la Mashariki.<br />
10