13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

RASIMU<br />

Mameneja <strong>wa</strong> Benki Wasimamizi (pamoja na GEF)<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong>kioomba fedha<br />

za kuongezea kwenye zile zilizoku<strong>wa</strong>po ili kuweza kutoa malipo mazuri k<strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />

uliokubali<strong>wa</strong> 2002. Jibu la msingi la Benki, baada ya majadiliano zaidi, liliku<strong>wa</strong> ni<br />

kutaka kupe<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Utekelezaji <strong>wa</strong> Uhamishaji <strong>wa</strong>tu ambao utaku<strong>wa</strong> unaendana<br />

na Sera ya Uendeshaji (OP 4. 12) ya Benki, na hati hii ya sasa ina<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> katika jumla<br />

ya kutekeleza masharti hayo.<br />

• Wakati huohuo, kadri vuguvugu la Oktoba 2005, la kugombea urais lilipozidi,<br />

mamlaka husika <strong>wa</strong>kaanza ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>is<strong>wa</strong>si juu ya chuki iliyoku<strong>wa</strong> ikiongeza katika<br />

Wilaya ya Muheza kuhusu ucheleweshaji <strong>wa</strong> malipo ya fidia (mas<strong>wa</strong>li yakauliz<strong>wa</strong><br />

Bungeni). Hali hiyo ilisababisha hatua mpya ya kuanzisha malipo hayo, na Wizara ya<br />

Maliasili na Utalii ikatoa 50% ya ki<strong>wa</strong>ngio kilichoku<strong>wa</strong> kinadai<strong>wa</strong> (kiasi kama milioni<br />

600). Baada ya kuhakiki ratiba za malipo kijiji baada ya kijiji 50% ya malipo yaliyoku<strong>wa</strong><br />

yameamuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> 2002/2003 yalilip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>nakijiji<br />

aliyeathirika, kati ya Oktoba 3 -10, 2005. (Uchaguzi iliku<strong>wa</strong> ufanyike Oktoba 30, lakini<br />

uliahirish<strong>wa</strong> hadi Desemba 14). Muda huo uliku<strong>wa</strong> ni miaka mitatu na nusu tangu mazao<br />

yalipoorodhesh<strong>wa</strong> katika <strong>ushoroba</strong> huo.<br />

16 Ama kuhusu ulipaji <strong>wa</strong> fidia katika Derema, kufikia katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2006<br />

kuliku<strong>wa</strong> na mas<strong>wa</strong>li kadhaa yaliyoku<strong>wa</strong> yanahitaji majibu toshelevu, na Mpango huu <strong>wa</strong><br />

Uhamishaji ulipe<strong>wa</strong> dhima ya kuyatafakari:<br />

(a) Je, tathmini iliyokubali<strong>wa</strong> Tanzania, mnamo m<strong>wa</strong>ka 2003, iliku<strong>wa</strong> inakubaliana<br />

na sera ya Benki ya Dunia (OP 4.12) inayotumika kuhusu uhamishaji <strong>wa</strong>tu?<br />

Kama sivyo, ni marekebisho gani kuhusu maamuzi ya 2003 ya ulipaji fidia (na<br />

hatua nyingine) yanahitajika kufany<strong>wa</strong>?<br />

(b) Kutokana na kupita muda mrefu toka mazao yalipohesabi<strong>wa</strong> na kuorodhesh<strong>wa</strong>,<br />

inahitajika tathmini mpya au namna fulani ya malipo ya riba, ambayo ni zaidi ya<br />

malipo ya fidia yaliyokubali<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002 na 2003? Je, mahesabu ya ziada<br />

yoyote ya aina hiyo yafanywe vipi?<br />

(c) Je, Benki ya Dunia italikubali <strong>wa</strong>zo la kuhamisha fedha katika Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi<br />

na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu (MHUMT)(Tanzania Forest Conservation and<br />

Management Project (TFCMP)). Kutumika katika kulipia fidia ya Ushoroba <strong>wa</strong><br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!