ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
RASIMU<br />
Mameneja <strong>wa</strong> Benki Wasimamizi (pamoja na GEF)<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong>kioomba fedha<br />
za kuongezea kwenye zile zilizoku<strong>wa</strong>po ili kuweza kutoa malipo mazuri k<strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />
uliokubali<strong>wa</strong> 2002. Jibu la msingi la Benki, baada ya majadiliano zaidi, liliku<strong>wa</strong> ni<br />
kutaka kupe<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Utekelezaji <strong>wa</strong> Uhamishaji <strong>wa</strong>tu ambao utaku<strong>wa</strong> unaendana<br />
na Sera ya Uendeshaji (OP 4. 12) ya Benki, na hati hii ya sasa ina<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> katika jumla<br />
ya kutekeleza masharti hayo.<br />
• Wakati huohuo, kadri vuguvugu la Oktoba 2005, la kugombea urais lilipozidi,<br />
mamlaka husika <strong>wa</strong>kaanza ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>is<strong>wa</strong>si juu ya chuki iliyoku<strong>wa</strong> ikiongeza katika<br />
Wilaya ya Muheza kuhusu ucheleweshaji <strong>wa</strong> malipo ya fidia (mas<strong>wa</strong>li yakauliz<strong>wa</strong><br />
Bungeni). Hali hiyo ilisababisha hatua mpya ya kuanzisha malipo hayo, na Wizara ya<br />
Maliasili na Utalii ikatoa 50% ya ki<strong>wa</strong>ngio kilichoku<strong>wa</strong> kinadai<strong>wa</strong> (kiasi kama milioni<br />
600). Baada ya kuhakiki ratiba za malipo kijiji baada ya kijiji 50% ya malipo yaliyoku<strong>wa</strong><br />
yameamuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> 2002/2003 yalilip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>nakijiji<br />
aliyeathirika, kati ya Oktoba 3 -10, 2005. (Uchaguzi iliku<strong>wa</strong> ufanyike Oktoba 30, lakini<br />
uliahirish<strong>wa</strong> hadi Desemba 14). Muda huo uliku<strong>wa</strong> ni miaka mitatu na nusu tangu mazao<br />
yalipoorodhesh<strong>wa</strong> katika <strong>ushoroba</strong> huo.<br />
16 Ama kuhusu ulipaji <strong>wa</strong> fidia katika Derema, kufikia katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2006<br />
kuliku<strong>wa</strong> na mas<strong>wa</strong>li kadhaa yaliyoku<strong>wa</strong> yanahitaji majibu toshelevu, na Mpango huu <strong>wa</strong><br />
Uhamishaji ulipe<strong>wa</strong> dhima ya kuyatafakari:<br />
(a) Je, tathmini iliyokubali<strong>wa</strong> Tanzania, mnamo m<strong>wa</strong>ka 2003, iliku<strong>wa</strong> inakubaliana<br />
na sera ya Benki ya Dunia (OP 4.12) inayotumika kuhusu uhamishaji <strong>wa</strong>tu?<br />
Kama sivyo, ni marekebisho gani kuhusu maamuzi ya 2003 ya ulipaji fidia (na<br />
hatua nyingine) yanahitajika kufany<strong>wa</strong>?<br />
(b) Kutokana na kupita muda mrefu toka mazao yalipohesabi<strong>wa</strong> na kuorodhesh<strong>wa</strong>,<br />
inahitajika tathmini mpya au namna fulani ya malipo ya riba, ambayo ni zaidi ya<br />
malipo ya fidia yaliyokubali<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002 na 2003? Je, mahesabu ya ziada<br />
yoyote ya aina hiyo yafanywe vipi?<br />
(c) Je, Benki ya Dunia italikubali <strong>wa</strong>zo la kuhamisha fedha katika Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi<br />
na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu (MHUMT)(Tanzania Forest Conservation and<br />
Management Project (TFCMP)). Kutumika katika kulipia fidia ya Ushoroba <strong>wa</strong><br />
18