ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
RASIMU<br />
mbao katika Hifadhi hiyo yaliingiz<strong>wa</strong> katika mikataba ya <strong>wa</strong>navijiji --- <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>lilalamikia masharti ambayo mikataba ya eneo lililozuili<strong>wa</strong> iliweka, lakini zaidi hasa<br />
juu ya kutokuwepo na taarifa zozote muhimu. Watu <strong>wa</strong>liahidi<strong>wa</strong> ardhi mpya nje ya<br />
Amani, lakini ikaja kudhihirika k<strong>wa</strong>mba ardhi hiyo haiku<strong>wa</strong> kub<strong>wa</strong> ya kuweza<br />
ku<strong>wa</strong>tosha <strong>wa</strong>kulima wote <strong>wa</strong>lioathirika. Zaidi ya nusu ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> eneo hilo <strong>wa</strong>liona<br />
k<strong>wa</strong>mba miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> eneo hilo <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>liambulia kidogo sana katika<br />
kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA. Waandishi <strong>wa</strong> utafiti huu <strong>wa</strong>kahitimisha k<strong>wa</strong>mba “mahitaji ya<br />
jamii ya eneo hilo na ya Taifa yanagongana na yale ya <strong>wa</strong>linzi ubioanu<strong>wa</strong> (uk.38). Chuki<br />
iliyoripoti<strong>wa</strong> katika vijiji vya Amani katikati ya miaka ya tisini, ilikwishadhihirika pia<br />
katika vijiji vya Derema katika miaka ya 2000.<br />
24. Utafiti <strong>wa</strong> Pili: Utafiti <strong>wa</strong> pili uliku<strong>wa</strong> ni <strong>wa</strong> athari za kijamii za Ushoroba <strong>wa</strong><br />
Derema wenyewe, uliofany<strong>wa</strong> kabla mipaka ya hifadhi haijapim<strong>wa</strong> au hasara za upotevu<br />
<strong>wa</strong> mazao hazijatathmini<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> kutumia hojaji maalumu na majadiliano ya kikundi<br />
maalumu cha <strong>wa</strong>navijiji kama 300 na viongozi <strong>wa</strong> vijiji, utafiti ulifanya mchanganuo <strong>wa</strong><br />
sifa za kijamii-kiuchumi za <strong>wa</strong>tu ambao <strong>wa</strong>ngeathirika katika vijiji vitano pembizoni<br />
m<strong>wa</strong> Ushoroba. Utafiti ulijaribu pia kupata uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>o kuhusu athari ambazo<br />
zinge<strong>wa</strong>pata juu ya kilimo chao k<strong>wa</strong> kuupoteza Ushoroba, na masuala <strong>wa</strong>liyoibua juu ya<br />
hifadhi hiyo kutangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mali ya serikali<br />
25. Watu <strong>wa</strong> Milimani. Watu <strong>wa</strong> milima ya Usambara Mashariki hutoka sehemu<br />
mbalimbali. Takribani wote, tukiacha <strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong>chache, <strong>wa</strong>limu, na<br />
<strong>wa</strong>fanyakazi <strong>wa</strong> ujira, huishi k<strong>wa</strong> kutegemea kilimo chao au ujira <strong>wa</strong> kufanya kazi katika<br />
mashamba makub<strong>wa</strong> pamoja na vyakula vyao wenyewe. Ni asilimia takribani 56 tu ya<br />
<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>ishio katika vile vijiji vitano ndio <strong>wa</strong>liozali<strong>wa</strong> maeneo hayo. Theluthi moja ya<br />
idadi ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> hapo <strong>wa</strong>litoka katika maeneo mengine ya wilaya, ama kutoka vijiji<br />
vingine vya milimani au kutoka kwenye tambarare zinazozunguka milima. Moja ya kumi<br />
ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> hao hutoka katika wilaya nyingine mkoani Tanga, na asilimia 1 ya mwisho<br />
<strong>wa</strong>natoka sehemu nyingine za Tanzania. Uhamiaji mkub<strong>wa</strong> katika maeneo haya<br />
ulisababish<strong>wa</strong> na fursa za kazi zilizoku<strong>wa</strong>ko huko milimani. Kazi ya ukataji magogo<br />
(halali na haramu), iliyofanyika mapema zaidi, na baadaye zaidi mashamba ya chai,<br />
22