ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA<br />
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII<br />
IDARA YA MISITU NA UFUGAJI NYUKI<br />
MRADI WA HIFADHI NA USIMAMIZI WA MISITU TANZANIA<br />
(TFCMP) IDA CREDIT 3604-TA<br />
USHOROBA WA MSITU WA DEREMA:<br />
MILIMA YA USAMBARA MASHARIKI<br />
MPANGO WA KUHAMISHA SHUGHULI ZA KIPATO<br />
(MKUSHUKI) KWA WALIOCHUKULIWA MASHAMBA<br />
YAO KWA AJILI YA HIFADHI YA UBIOANUWAI<br />
KATIKA USHOROBA WA MSITU WA DEREMA<br />
IMETAYARISHWA KWA MADHUMUNI YA KUOMBEA MSAADA WA<br />
KIFEDHA KATIKA BENKI YA DUNIA KWA AJILI YA MALIPO YA FIDIA<br />
September 2006
RASIMU<br />
MPANGO WA UANZISHAJI WA MASHAMBA MAPYA<br />
(MKUSHUKI) KWA WALIOCHUKULIWA MASHAMBA YAO<br />
KWA AJILI YA HIFADHI YA UBIOANUWAI KATIKA USHOROBA<br />
WA MSITU WA DEREMA<br />
YALIYOMO<br />
Utangulizi: Usuli ………………………………………………………… 6<br />
Mradi Wenyewe ………………………………………………………… 10<br />
Athari za Mradi<br />
Kupunguza makali ya Athari<br />
Watu <strong>wa</strong>lioathirika …………………………………………………….. 21<br />
Mitaala ya kijamii-kiuchumi<br />
Utafiti <strong>wa</strong> K<strong>wa</strong>nza<br />
Utafiti <strong>wa</strong> Pili<br />
Watu <strong>wa</strong> Milimani<br />
Kiunzi cha Kisheria …………………………………………………… 26<br />
Sheria ya Tanzania<br />
Mbinu za Tathmini<br />
Sera ya Benki ya Dunia, na kulinganish<strong>wa</strong><br />
na Sheria ya Tanzania<br />
Kuliingiza Tao la Mashariki katika sera ya Benki ya Dunia ………… 30<br />
Kuhamish<strong>wa</strong> katika Ushoroba ………………………………………… 32<br />
Wajibu <strong>wa</strong> Kiasasi Tanzania<br />
Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia<br />
Tathmini na Ulipaji fidia ya hasara: zoezi la 2002<br />
Tathmini na Ulipaji fidia ya hasara: masharti ya Benki<br />
ya Dunia kuhusu hasara ya upotevu <strong>wa</strong> mazao na miti<br />
Mchanganuo <strong>wa</strong> Mahesabu uliorekebish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
kufuata Kanuni za Benki ya Dunia<br />
Hatua za kurejesha upatikanaji <strong>wa</strong> mapato<br />
Uga<strong>wa</strong>ji Ardhi …………………………………………………………… 43<br />
Majukumu ya Uongozi …………………………………………………. 47<br />
Malipo ya fidia<br />
Umiliki <strong>wa</strong> Ardhi<br />
2
RASIMU<br />
Ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Jamii ………………………………………………… 51<br />
Mbinu za Kushughulikia Malalamiko ………………………………… 53<br />
Usimamizi na Tathmini ya MKUSHUKI ……………………………... 56<br />
Ratiba ya Utekelezaji ………………………..…………………………. 58<br />
Bajeti k<strong>wa</strong> ajili ya Utekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI …….……………….. 59<br />
Orodha ya Majed<strong>wa</strong>li<br />
Jed<strong>wa</strong>li 1: Ushoroba <strong>wa</strong> Derema: Idadi ya <strong>wa</strong>tu katika<br />
kila kijiji, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika na<br />
Mashamba yaliyochukuli<strong>wa</strong> ………………………. 20<br />
Jed<strong>wa</strong>li 2: Vi<strong>wa</strong>ngo vya Riba na Mfumuko <strong>wa</strong> Bei:<br />
2002-2006 Tanzania ……………………………….. 38<br />
Jed<strong>wa</strong>li 3: Jumla iliyorekebish<strong>wa</strong> ya malipo ya fidia<br />
yanayopas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> mwishoni m<strong>wa</strong> 2006<br />
k<strong>wa</strong> mazao yote yaliyoorodhesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila<br />
kijiji (Sh. Tz) ……………………………………… 39<br />
Jed<strong>wa</strong>li 4: Vyanzo vya fedha k<strong>wa</strong> ajili ya matayarisho<br />
na utekelezaji MKUSHUKI ………………………. 60<br />
Jed<strong>wa</strong>li 5: Bajeti ya utekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI …………. 61<br />
Vielelezo<br />
Kielelezo 1: Hatua za Kuwezesha Umiliki <strong>wa</strong> Ardhi katika<br />
Nyanda za chini k<strong>wa</strong> Wakulima <strong>wa</strong> Derema …… 50<br />
Kielelezo 2: Ratiba ya Utekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI …………. 58<br />
Orodha ya Viambatisho<br />
Kiambat. 1a: Mchanganuo <strong>wa</strong> mapato <strong>wa</strong> kila fungu au zao.... 62<br />
Kiambat. 1b: Mpangilio <strong>wa</strong> mapato ya mazao Derema:<br />
Tathmini ya fidia: mazao ya shambani.. ……….. 64<br />
Kiambat. 2: Jumla ya malipo ya fidia yaliyorekebish<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> mazao yote, kijiji hadi kijiji …………….….. 65<br />
Kiambat. 3: Sampuli za orodha ya mazao (kutoka kampuni<br />
ya Proper Consult, 2002) ………………………… 66<br />
Kiambat. 4: Orodha ya Watu <strong>wa</strong>lioomb<strong>wa</strong> kutoa taarifa …… 67<br />
Kiambat. 5: Ratiba ya Safari za Ushauri ……………………… 69<br />
3
RASIMU<br />
Ramani 1: Ushoroba <strong>wa</strong> Hifadhi ya Mazingira ya Amani na<br />
Vijiji vitano vilivyoathirika ……………………… 12<br />
4
RASIMU<br />
MPANGO WA KUHAMISHA SHUGHULI ZA KIPATO (MKUSHUKI)<br />
KUCHUKUA NAFASI YA MASHAMBA YALIYOCHUKULIWA KWA AJILI<br />
YA KUULINDA NA KUUTANGAZA RASMI USHOROBA KUWA MALI YA<br />
TAIFA<br />
Kati kati ya m<strong>wa</strong>ka 2002, <strong>wa</strong>kulima 1128 <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kiishi sehemu ya kaskazini<br />
mashariki ya Tanzania, kwenye miteremko mikali ya milima ya Usambara Mashariki,<br />
<strong>wa</strong>liambi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba mazao katika mashamba yao madogomadogo katika misitu, nje ya<br />
vijiji vyao ilibidi yafyekwe ili kuihifadhi misitu hiyo. “Ushoroba Mpya <strong>wa</strong> Derema”<br />
utaku<strong>wa</strong> ni kiungo kati ya hifadhi mbili za misitu ambayo inalind<strong>wa</strong> na mwendelezo <strong>wa</strong><br />
makazi ya mamia ya ndege, <strong>wa</strong>nyama <strong>wa</strong>tambaao, <strong>wa</strong>dudu, spishi za <strong>wa</strong>dudu na mimea<br />
ambayo ni adimu sana, na mingine ambayo inatishi<strong>wa</strong> kutoweka. Wakulima <strong>wa</strong>lilip<strong>wa</strong><br />
fidia ya mazao ambayo yaliku<strong>wa</strong> katika mpaka wenye upana <strong>wa</strong> mita tatu kuzunguka<br />
<strong>ushoroba</strong>; mpaka ambao uliwek<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kufyeka mimea iliyoku<strong>wa</strong> katika mpaka huo.<br />
Mazao yao ndani mpaka –yenye thamani kub<strong>wa</strong>, yale ya iliki, mdalasini, karafuu na<br />
pilipili manga, pamoja na baadhi ya miti ya matunda – yalihesabi<strong>wa</strong> na kuorodhesh<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> ajili ya kulipi<strong>wa</strong> fidia baadaye.<br />
Wakulima <strong>wa</strong>kaacha kuyatunza mazao yao. Hata hivyo, fedha iliyoku<strong>wa</strong> imeteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
ajili ya kulipia fidia iliku<strong>wa</strong> kidogo sana kuliko iliyohitajika. Mnamo mwka 2004<br />
mamlaka husika ya Tanzania ikaiomba Benki ya Dunia kusaidia kulipia sehemu kub<strong>wa</strong><br />
ya fedha ya fidia. Hatimaye katika m<strong>wa</strong>ka 2006 serikali ikaamua kupeleka maombi rasmi<br />
kutenge<strong>wa</strong> fedha katika mradi <strong>wa</strong> misitu unaofadhili<strong>wa</strong> na Benki ili kupata bakaa ya<br />
fedha ya fidia iliyoku<strong>wa</strong> ikitakikana.<br />
Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) unatoa taarifa kamili ya suala<br />
hili, na ndiyo hati ya msingi inayotumi<strong>wa</strong> na Benki kutolea maamuzi yake. Suala hili<br />
limetokezea ku<strong>wa</strong> changamani sana, na <strong>wa</strong>la si suala la kujaziliza kiasi cha fedha<br />
kinachokoseakana tu.<br />
5
RASIMU<br />
Utangulizi: Usuli<br />
1. Milima ya Usambara Mashariki ni sehemu ya Tao la Mashariki la milima<br />
iliyojitenga ya kusini mashariki kisha ikaelekea kusini kutoka Mlima Kilimanjaro<br />
kaskazini m<strong>wa</strong> Tanzania. Kuanzia mwishonimwishoni m<strong>wa</strong> miaka ya 1980 Wizara ya<br />
Tanzania ya Maliasili na Utalii imechukua hatua za kuilinda na kuifanya mali ya hifadhi<br />
Milima ya Tao la Mashariki kutokana na thamani kub<strong>wa</strong> ya ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong>ke, thamani<br />
yake ya hali za he<strong>wa</strong> zinazoleta mvua ambazo ni chanzo kizuri cha bidhaa za kilimo za<br />
hali ya juu na uweza <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> kuongeza vyanzo vya utalii <strong>wa</strong> kiekolojia.<br />
2. K<strong>wa</strong> miongo mingi Milima ya Usambara Mashariki iliku<strong>wa</strong> ikichukuli<strong>wa</strong> na<br />
kutazam<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sura na sera tafautitafauti. Katika mfululizo <strong>wa</strong> vipindi kadhaa kuka<strong>wa</strong><br />
na kilimo cha kaha<strong>wa</strong> kwenye miteremko ya milima, ukataji mbao, na kilimo cha chai;<br />
kuchukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sehemu fulani fulani za <strong>msitu</strong> kama hifadhi za taifa; na kushawishika<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> maeneo hayo kuishi maisha maalumu kutokana na sifa za pekee za tabia<br />
ya nchi na ekolojia ya eneo lao.<br />
3. Kipindi cha sasa ambacho serikali imeazimia kushughulikia masuala ya hifadhi<br />
kimeshuhudia mwendelezo <strong>wa</strong> jitihada za kuiweka <strong>wa</strong>zi mipaka ya misitu ambayo tayari<br />
imekwishatangaz<strong>wa</strong> rasmi ku<strong>wa</strong> mali ya taifa, kuongeza misitu mingine mipya kwenye<br />
misitu ambayo tayari inalind<strong>wa</strong>, na kuboresha usimamizi <strong>wa</strong> kisayansi <strong>wa</strong> rasilimali za<br />
ubioanu<strong>wa</strong>i katika misitu. K<strong>wa</strong> kutumia msaada kutoka Serikali ya Ufini tangu miaka ya<br />
1980 pamoja na misaada midogo midogo kutoka katika mashirika ya kimataifa na ya<br />
humu humu Tanzania, yajishughulishayo na mazingira, Milima ya Usambara Mashariki<br />
imetokezea ku<strong>wa</strong> moja<strong>wa</strong>po ya hazina za asili adhimu kabisa katika nchi. Ina ki<strong>wa</strong>ngo<br />
kikub<strong>wa</strong> sana cha spishi za aina mbalimbali za miti na <strong>wa</strong>nyama k<strong>wa</strong> eneo kuliko sehemu<br />
nyingine yoyote ulimwenguni. Iki<strong>wa</strong> imechaguli<strong>wa</strong> na Programu ya Binaadamu na Anga<br />
ku<strong>wa</strong> sehemu ambayo inapas<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> ulinzi <strong>wa</strong> hali ya juu kabisa, na kisha ikapata<br />
msaada, katika miaka ya m<strong>wa</strong>nzom<strong>wa</strong>nzo ya muongo huu, kutoka Mfuko <strong>wa</strong> Utanda<strong>wa</strong>zi<br />
<strong>wa</strong> Mazingira (GEF), Milima ya Usambara ni sehemu kiini kabisa ya programu, pana<br />
zaidi, ya Tao la Mashariki . Kituo cha Hifadhi ya Mazingira cha Amani (HIMAA)<br />
6
RASIMU<br />
kilichoanzish<strong>wa</strong> mnamo m<strong>wa</strong>ka 1997, baada ya mipango ya muda mrefu, ndicho kitovu<br />
cha juhudi zote za hifadhi. Kiki<strong>wa</strong> na hekta 8329 (iki<strong>wa</strong> ni pamoja na eneo la ardhi<br />
ambalo ni shamba la chai ambalo liko chini ya mkataba <strong>wa</strong> uangilizi chini ya HIMAA),<br />
HIMAA ndio ukanda mkub<strong>wa</strong> kabisa <strong>wa</strong> misitu ulio chini ya usimamizi <strong>wa</strong> pamoja<br />
katika Tao la Mashariki, na kuchukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke ku<strong>wa</strong> hifadhi ya mazingira (ya k<strong>wa</strong>nza<br />
katika nchi nzima), kunakipa dhima maalumu katika shughuli za kitaifa za hifadhi.<br />
4 Sehemu muhimu kabisa katika mipango ya hifadhi ya Milima ya Usamabara ni<br />
kule kuung<strong>wa</strong>nish<strong>wa</strong>, taratibu, k<strong>wa</strong> kiasi cha hifadhi za misitu ipatayo kama ishirini na<br />
mine, iliyotengana katika milima, na nyanda za chini zinazoelekeana nayo, yote iki<strong>wa</strong> na<br />
ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> hekta 32,352. HIMAA tayari imekwisha jumuisha misitu sita, ambayo hapo<br />
a<strong>wa</strong>li iliku<strong>wa</strong> hifadhi ya misitu iliyoku<strong>wa</strong> inajitegemea, na kupata ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> hekta 7265<br />
au asilimia 22 ya eneo lote. K<strong>wa</strong>mba sehemu hizi za misitu ni hifadhi mbalimbali<br />
zilizotengana inadhihirisha mmeguko, katika vipandevipande, <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> ambao hapo<br />
a<strong>wa</strong>li uliku<strong>wa</strong> ni mwendelezo <strong>wa</strong> ukanda mmoja <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> ulioku<strong>wa</strong> umeifunika milima<br />
hiyo. Mwendelezo huo unakatiz<strong>wa</strong> na sehemu sehemu zinazokali<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu kwenye<br />
mabonde na barabara za milima; na maeneo yaliyoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kilimo cha chai na misitu<br />
ya biashara. Kutokana na kuongezeka k<strong>wa</strong> mmeguko <strong>wa</strong> misitu ubioanu<strong>wa</strong>i unapotea.<br />
Hii haiwi tu kupunguza, k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong>, idadi ya <strong>wa</strong>nyama na mimea katika maeneo<br />
yanayopotea, bali pia inapunguza ubioanu<strong>wa</strong>i wenyewe, katika idadi ya spishi<br />
mbalimbali zilizomo katika misitu; hii ni k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> nadharia ya kiekolojia na<br />
uchunguzi <strong>wa</strong> muda mrefu uliofany<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> kisayansi katika misitu hii.<br />
Kadri muda unavyopita shinikizo zaidi juu ya spishi hizo 1 na kupotea k<strong>wa</strong>ke kunaweza<br />
kuharibu kabisa urari <strong>wa</strong> kiekolojia katika eneo-bio hili lilo adimu. K<strong>wa</strong> hiyo Programu<br />
ya muda mrefu ya kujaribu kuufufua mwendelezo <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> kadri inavyowezekana,<br />
inahusiana moja k<strong>wa</strong> moja na utunzaji <strong>wa</strong> ubioanu<strong>wa</strong>i.<br />
1 Katika Tao la Mashariki mnapatikana <strong>wa</strong>nyama wenye uti <strong>wa</strong> mgongo <strong>wa</strong>patao 35 (ambao ha<strong>wa</strong>patikani<br />
kwingineko nje ya misitu hii) na spishi nyingine 42 zinazopatikana katika Tao na maeneo jirani. Katika<br />
Milima ya Usambara mnapatikana pia <strong>wa</strong>nyama adimu sana wenye uti <strong>wa</strong> mgongo 4, maarufu kabisa<br />
aki<strong>wa</strong> “Urujuani <strong>wa</strong> Afrika” (Saintpaulias spp.). Hapa pia ndicho chanzo cha mimea ipand<strong>wa</strong>yo katika<br />
vyungu, ambayo hujulikana sana kama maua ya nyumbani.<br />
7
RASIMU<br />
5. Nyongeza ya k<strong>wa</strong>nza kwenye <strong>msitu</strong> itakayofany<strong>wa</strong> ni <strong>ushoroba</strong> <strong>wa</strong> Derema.<br />
Uki<strong>wa</strong> na hekta 790 utatunza eneo la <strong>msitu</strong> ambalo limeku<strong>wa</strong> linatoweka taratibu kati ya<br />
HIMAA na eneo jingine litakalochukuli<strong>wa</strong> rasmi, kaskazini, Longuza (kaskazini).<br />
Takribani Derema yote ni <strong>msitu</strong>, asilimia 60 iki<strong>wa</strong> kwenye vilima vyenye miteremko<br />
mikali na asilimia nyingine kwenye miteremko ya nyanda za chini, chini ya altitudi ya m<br />
850. K<strong>wa</strong> pamoja Derema na Longuza zinaongeza hekta 2643 kwenye HIMAA, na<br />
kupanua eneo la mwendelezo <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> k<strong>wa</strong> theluthi moja.<br />
6. K<strong>wa</strong> sasa hivi Derema haijatangaz<strong>wa</strong> rasmi ku<strong>wa</strong> hifadhi ya <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong> taifa lakini<br />
ni mali isiyo rasmi (“hifadhi ya <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong> umma”) ya vijiji vilivyo pembizoni m<strong>wa</strong>ke (taz.<br />
ramani ukurasa <strong>wa</strong> 12). Takribani sehemu yake yote (asilimia 86) iliainish<strong>wa</strong> 2 kama<br />
“kilimo ndani ya <strong>msitu</strong>” na mtafiti <strong>wa</strong> zamani K. Hyytiäinen. Uainishaji huo una maana<br />
k<strong>wa</strong>mba uoto unaofunika misiti umehifadhika lakini picha za angani, za <strong>wa</strong>kati huo<br />
zilizopo, ambazo si sahihi sana, zilionyesha kilimo cha mazao cha hapa na pale chini ya<br />
miavuli ya miti. Haina maana k<strong>wa</strong>mba sehemu yote chini ya miti ya misitu imejaa<br />
mazao; na k<strong>wa</strong> hakika upandaji miti na mazao mengine ya m<strong>wa</strong>ka katika <strong>msitu</strong><br />
ulita<strong>wa</strong>nyika hapa na pale <strong>msitu</strong>ni, inga<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> kiliku<strong>wa</strong> karibu na vijiji vidogo<br />
(small hamlets) nje kidogo tu ya eneo la <strong>msitu</strong> (maeneo ya makazi hayakujumuish<strong>wa</strong><br />
katika hesabu za <strong>msitu</strong>ni). Msitu <strong>wa</strong> Derema uko nyuma ya vijiji na huko ndiko<br />
<strong>wa</strong>meku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kipata kuni na bidhaa nyingine zisizo za mbao.<br />
7. Ni muhimu kutambua k<strong>wa</strong>mba hali za maisha ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> Milima ya Usambara<br />
zimeku<strong>wa</strong> zikita<strong>wa</strong>li<strong>wa</strong> na kubadilikabadilika k<strong>wa</strong> mambo ya kisera ambayo yameku<strong>wa</strong><br />
yakifany<strong>wa</strong> nje ya maisha ya vijiji hivyo. Katika kipindi cha Wajerumani, kuanzia miaka<br />
ya 1890 hadi Vita vya K<strong>wa</strong>nza vya Dunia, kuliku<strong>wa</strong> na matumizi makub<strong>wa</strong> sana ya<br />
misitu ya Usambara, lakini <strong>wa</strong>kati huo huo wenyeji <strong>wa</strong> maeneo hayo ha<strong>wa</strong>kuruhusi<strong>wa</strong><br />
kutumia raslimali yoyote ya misitu hiyo. Maeneo makub<strong>wa</strong> ya ardhi yalichukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
2 Data hii na nyingine humu kuhusu majina na ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> hifadhi na maeneo yake zimechukuli<strong>wa</strong> kutoka<br />
Stig Johansson na Richard Sunday, Protected Areas and Public Lands: Land Use in the Usambara<br />
<strong>Mountains</strong> (Maeneo Yaliyozuili<strong>wa</strong> naArdhi ya Umma: Matumizi ya Ardhi katika Milima ya Usambara)<br />
Technical Paper 28 ya mradi <strong>wa</strong> East Usambara Catchment Forest Project, Idara ya Misitu na Ufugaji<br />
Nyuki na Finish Forest and Park Service, na National Soil Service, Dar es Salaam na Vantaa, 1996.<br />
Maeneo na asilimia ni makadirio ya kuaminika kutokana na mazoezi mbalimbali ya upimaji ramani<br />
m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> 1990; hakuna makadirio mengi yaliyo makini sana katika upimaji <strong>wa</strong> siku hizi.<br />
8
RASIMU<br />
ajili ya kilimo cha kaha<strong>wa</strong>. Baadaye maeneo haya yakabadilish<strong>wa</strong> na kutumi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
kilimo cha chai, kule kwenye altitudi za juu, na mashamba ya mkonge katika nyanda za<br />
chini. Reli ya kutoka Tanga kwenda kwenye milima ya Usambara ikatumi<strong>wa</strong> kusafirishia<br />
mbao; na ukataji huo <strong>wa</strong> miti na kuacha u<strong>wa</strong>zi ukaanza kuleta mmeguko <strong>wa</strong> mapema <strong>wa</strong><br />
misitu iliyobaki. Ukataji, na baadaye upandaji, miti vikatoa fursa za ajira, na <strong>wa</strong>tu kutoka<br />
nje ya maeneo hayo <strong>wa</strong>kaja katika nchi ya wenyeji, Washambaa (au Shambara, neno<br />
ambalo kutokana nalo likapatikana Usambara, yaani mahali pa Washambaa), milimani na<br />
katika maeneo ya nyanda za chini yaliyozunguka milima ambako Wabondei, ambao<br />
<strong>wa</strong>nahusiana nao, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kiishi. Kubadilisha maeneo ya mbao na mashamba ya<br />
kaha<strong>wa</strong> na kuyafanya mashamba ya chai na mkonge kukaleta fursa tele za ajira huko<br />
milimani; inga<strong>wa</strong> inaelekea k<strong>wa</strong>mba Washambaa ha<strong>wa</strong>kupendelea sana kufanya kazi hizi<br />
ambazo ziliku<strong>wa</strong> na malipo kidogo sana. Biashara ya mbao, na baadaye juhudi za<br />
baadaye za kujaribu kunusu mabaki ya misitu, vilisababisha kuondole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji<br />
katika baadhi ya maeneo au kuzui<strong>wa</strong> kupata mahitaji yoyote kutoka misituni, mara nyingi<br />
pasi na kuwepo fidia yoyote. Programu ya Vijiji vya Ujamaa katika Tanzania mnamo<br />
miaka ya mwishoni m<strong>wa</strong> 1960 ili<strong>wa</strong>kusanya <strong>wa</strong>tu katika kaya, na <strong>wa</strong>kati huohuo<br />
kushuka k<strong>wa</strong> tasniya mbalimbali katika kipindi hicho (mahuruji (bidhaanje) yakashuka<br />
k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha asilimia 90, toka tani 200,000 k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka hadi tani 20,000 k<strong>wa</strong><br />
m<strong>wa</strong>ka), kukapunguza k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> sana ajira za kulip<strong>wa</strong> katika eneo lote. Bustani<br />
ya mimea na miche vilivyoanzish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nzoni kabisa na Wajerumani m<strong>wa</strong>ka 1902,<br />
katika jitihada za kurejesha uotaji miti, viliifanya serikali, katika miaka ya 1980,<br />
i<strong>wa</strong>shawishi <strong>wa</strong>tu kulima mazao ya viungo vyenye thamani kub<strong>wa</strong>. Hivyo, basi mazao<br />
hayo yakaenea k<strong>wa</strong> haraka katika misitu. Iliki, zao lenye thamani kub<strong>wa</strong> zaidi, hustawi tu<br />
katika sehemu zenye unyevunyevu na zenye vivuli vya misitu. Pilipili manga, huota k<strong>wa</strong><br />
kutambaa kwenye miti yenye vivuli, ambapo karafuu huota ama katika vijiji au misitu.<br />
Zao la mdalasini ni nadra sana kupatikana vijijini. Kuanzia miaka ya 1970 viungo hivi<br />
vine vya thamani kub<strong>wa</strong> (haikuruhusi<strong>wa</strong> kutoa karafuu Zanzibar, lakini hata hivyo ilianza<br />
kupand<strong>wa</strong>) vikaleta nguvu mpya katika mapato ya miji ya <strong>wa</strong>tu katika Milima ya<br />
Usambara Mashariki. Masuala ya hifadhi ya mazingira yalipozidi kuonekana muhimu<br />
sana, <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>ka<strong>wa</strong> tena wenye kuathiri<strong>wa</strong> na mabadiliko ya sera, kuendelea<br />
kudorora k<strong>wa</strong> ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> asili <strong>wa</strong> misituni lilipoanza ku<strong>wa</strong> suala la kuangali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
9
RASIMU<br />
makini sana katika sehemu hiyo. Mwisho, katika miaka ya m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> 2000,<br />
uanzishaji <strong>wa</strong> miji kote Tanzania, vuvumko jipya la matumizi ya mkonge kama nyuzi<br />
asilia (na ubiofueli), na kuongezeka thamani nyanda za chini zilizo jirani, k<strong>wa</strong> ajili ya<br />
kilimo cha matunda mapya, njugu na mazao ya chakula, vyote vinaleta vivutio vipya k<strong>wa</strong><br />
familia za Usambara; <strong>wa</strong>kati huu <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> sasa <strong>wa</strong>nafikiria kuelekeza shughuli zao za<br />
uchumi mbali na milima. K<strong>wa</strong> ufupi, familia za vijiji hivi zimeku<strong>wa</strong> na historia ya<br />
kukumb<strong>wa</strong> na mabadiliko makub<strong>wa</strong> ya mara k<strong>wa</strong> mara katika shughuli zao za kujipatia<br />
riziki; kiasi k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>mefikia mahali pa kuona k<strong>wa</strong>mba kila baada ya miaka kama<br />
ishirini hivi mabadiliko katika mielekeo ya uchumi au sera vina<strong>wa</strong>lazimisha kuangalia<br />
upya mbinu zao za kujikimu kimaisha. Wakulima kulazimish<strong>wa</strong> kuacha mazao yao ya<br />
viungo katika mashamba ya misituni, na ambayo yaliku<strong>wa</strong> yana<strong>wa</strong>ingizia kipato kizuri,<br />
ni moja<strong>wa</strong>po ya mabadiliko ya hivi karibuni.<br />
Mradi Wenyewe<br />
8. Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania ulipitish<strong>wa</strong> mnano mwezi<br />
Februari 2001, na ulianza rasmi mnamo mwezi Mei, 2002. Mradi huu ulichukua nafasi ya<br />
mradi <strong>wa</strong> sekta ya misitu ulioku<strong>wa</strong> unafadhili<strong>wa</strong> na IDA. Mradi <strong>wa</strong> pamoja kati ya Mradi<br />
<strong>wa</strong> Hifadhi ya Misitu ya Tao la Mashariki na Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi ulipitish<strong>wa</strong> mnamo<br />
mwezi Julai 2003 na ukaanza rasmi Mei 2005. Malengo ya jumla ya miradi hiyo miwili<br />
yaliku<strong>wa</strong>:<br />
(i) Kuimarisha uwezo <strong>wa</strong> Tanzania katika kuratibu na kuongoza shughuli za<br />
kuhifadhi ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> misitu.<br />
(ii) Kusaidia uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> mradi shirikishi <strong>wa</strong> majaribio katika eneo la hifadhi<br />
lililochaguli<strong>wa</strong> ili kuweza kupata matokeo endelevu kuhusu ubioanu<strong>wa</strong>i na<br />
maendeleo ya binadamu.<br />
(iii) Kuboresha mbinu na uwezo <strong>wa</strong> kiasasi <strong>wa</strong> kushughulikia hifadhi ya ubioanu<strong>wa</strong>i<br />
<strong>wa</strong> misitu, na<br />
(iv) Kuanzisha na kutekeleza, k<strong>wa</strong> njia ya majaribio, mbinu endelevu za upatikanaji<br />
<strong>wa</strong> fedha k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli za Hifadhi katika Misitu ya Tao la Mashariki.<br />
10
RASIMU<br />
9. Hakuna shughuli yoyote, katika miradi yote miwili inayofadhili<strong>wa</strong> na Benki,<br />
ambayo inawekeza moja k<strong>wa</strong> moja katika ulinzi na upanuzi <strong>wa</strong> Hifadhi ya Mazingira ya<br />
Amani (HIMAA), au hata k<strong>wa</strong> ujumla zaidi, katika shughuli za misitu yenyewe ya<br />
milima ya Usambara. Mradi mpana zaidi <strong>wa</strong> Misitu, unaofadhili<strong>wa</strong> na IDA, una shughuli<br />
ambazo zinasaidia kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Huduma ya Misitu Tanzania, na kuboresha uwezo <strong>wa</strong><br />
usimamizi <strong>wa</strong> misitu na mapori; kuimarisha misaada ya usimamizi bora zaidi <strong>wa</strong><br />
mashamba ya misitu na mapori; kusaidia kuboresha taratibu za usimamiaji endelevu na<br />
mikakati ya kifedha k<strong>wa</strong> ajili ya hifadhi ya Tao la Mashariki. Hakuna uwekezaji <strong>wa</strong> moja<br />
k<strong>wa</strong> moja katika misitu. Mradi <strong>wa</strong> Tao la Mashariki, unaofadhili<strong>wa</strong> na GEF kupitia<br />
Benki, hutoa misaada k<strong>wa</strong> ajili ya kufanya mabadiliko, katika asasi, kuhusu hifadhi ya<br />
ubioanu<strong>wa</strong>i katika misitu, na husaidia katika uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Mfuko <strong>wa</strong> Hifadhi ya<br />
Milima ya Tao la Mashariki (<strong>Eastern</strong> <strong>Arc</strong> <strong>Mountains</strong> Conservation Endowment Fund)<br />
k<strong>wa</strong> kutoa kianzio cha dola milioni 7. Shughuli za aina hiyo za mradi <strong>wa</strong> GEF<br />
unaoendesh<strong>wa</strong> na Shirika la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa la Maendeleo (UNDP) huchangia katika<br />
Mkakati <strong>wa</strong> Pamoja <strong>wa</strong> Hifadhi ya Misitu ya Milima ya Tao la Mashariki, na shughuli<br />
nyingine za hifadhi ya misitu katika jamii za Milima ya Uluguru kusini m<strong>wa</strong> Milima ya<br />
Usambara. Wafadhili wengine <strong>wa</strong>natoa fedha k<strong>wa</strong> ajili ya <strong>wa</strong>linzi <strong>wa</strong> misitu katika<br />
Milima ya Usambara Mashariki na k<strong>wa</strong> ajili ya shughuli anu<strong>wa</strong>i za uzalishaji/kujipatia<br />
riziki katika vijiji vya milimani lakini ha<strong>wa</strong>toa msaada <strong>wa</strong> kugharamia moja k<strong>wa</strong> moja<br />
upanuzi <strong>wa</strong> HIMAA k<strong>wa</strong>ni ufadhili <strong>wa</strong> Ufini (DIDC) katika milima ya Usambara<br />
Mashariki ulikoma 2003<br />
10 Mpango <strong>wa</strong> kupanua eneo la hifadhi uliwezekana chini ya ufadhili <strong>wa</strong> a<strong>wa</strong>mu tatu<br />
uliotole<strong>wa</strong> na Ufini k<strong>wa</strong> Mradi <strong>wa</strong> Deltao ya Misitu ya Milima ya Usambara Mashariki<br />
(baadaye ulijulikana kama Mradi <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Deltao ya Milima ya Usambara)<br />
(East Usambara Catchment Management Forestry Project (EUCFP), later The East<br />
Usambara’s Catchment Management Project (EUCAMP). Watafiti na mameneja misitu<br />
k<strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong>katayarisha orodha, ramani na vigezo vya kisayansi kuhusu dhana ya<br />
kuacha shoroba za kiekolojia za kuunganisha hifadhi mbalimbali; na hivyo basi kupanua<br />
eneo lenye kulind<strong>wa</strong> muda wote. Mradi <strong>wa</strong> EUCAMP pia uligharamia ufyekaji uwekaji<br />
mipaka ya Derema na kufanya tathmini ya mazao yaliyotaki<strong>wa</strong> kuondole<strong>wa</strong> katika<br />
<strong>ushoroba</strong> huo.<br />
11
RASIMU<br />
RAMANI 1: HIFADHI YA MAZINGIRA, USHOROBA WA DEREMA, NA VIJIJI VITANO<br />
JIRANI VILIVYOTHIRIKA<br />
1 = KISIWANI 2 = MSASA IBC 3 = KWEZITU 4 = KWEMDIMU 5 = KAMBAI<br />
12
RASIMU<br />
11. Ili kuweza kuele<strong>wa</strong> matatizo ya mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia ya mazao katika<br />
<strong>ushoroba</strong> <strong>wa</strong> Derema, kuna haja ya kuurejea mchakato uliotumika kulipia fidia ya mazao<br />
yaliyofyek<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati mpaka <strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> ulipowek<strong>wa</strong>. Chini ya msaada <strong>wa</strong> Ufini hakuna<br />
vigezo vya kimataifa vya ulipaji fidia vilivyotumika, pamoja na Ufini yenyewe kufuata<br />
kikamilifu maelekezo ya OECD kuhusu uhamishaji <strong>wa</strong>tu na ulipaji <strong>wa</strong> fidia, ambayo<br />
yameku<strong>wa</strong> yakitumika tangu 1991. Badala yake hapa, sheria ya Tanzania ndiyo ilitumika.<br />
12. Mapema m<strong>wa</strong>ka 2001, k<strong>wa</strong> kutumia mipango iliyokubali<strong>wa</strong> na EUCAMP,<br />
mipaka ya Ushoroba w Derema ilipim<strong>wa</strong>. Mpaka uliopim<strong>wa</strong> uliku<strong>wa</strong> na urefu <strong>wa</strong><br />
kilomita 27.226 na eneo lililozunguk<strong>wa</strong> liliku<strong>wa</strong> ni hekta 956.34. Mnamo mwezi<br />
Septemba, mazao yaliyoku<strong>wa</strong> katika upana <strong>wa</strong> mita tatu za mpaka yalihesabi<strong>wa</strong> na<br />
kufyek<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> hesabu ya kila zao (mazao yote ya viungo na matunda) kati ya hekta 8.1<br />
zilizofyek<strong>wa</strong> 92.5% iliku<strong>wa</strong> ni mimea ya iliki, na 6.5% iliku<strong>wa</strong> ni migomba. Karibu<br />
<strong>wa</strong>kati huohuo likatokea tatizo kuhusu njia ya kutumia katika kutayarisha mahesabu ya<br />
malipo ya fidia k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima. Hadi Sheria Mpya ya Ardhi ilipopitish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 1999,<br />
njia iliyotumi<strong>wa</strong> kulipa fidia iliku<strong>wa</strong> imekit<strong>wa</strong> kwenye Sheria ya Kumiliki Ardhi ya<br />
m<strong>wa</strong>ka 1967, kuki<strong>wa</strong> na marekebisho madogomadogo ya kila mara ya taratibu za<br />
ukadiriaji thamani ya mazao; marekebisho ya karibuni kabisa yaki<strong>wa</strong> yamefany<strong>wa</strong><br />
mnamo m<strong>wa</strong>ka 1997/98. Mahesabu ya ka<strong>wa</strong>ida yalitumika kukadiria upotevu <strong>wa</strong> mazao,<br />
na k<strong>wa</strong> mazao yaliyoku<strong>wa</strong> yanazunguka eneo lililohusika kuliku<strong>wa</strong> na nyongeza kidogo<br />
juu ya mapendekezo ya 1998 ili kutatua suala la mpaka. Hata hivyo, Sheria Mpya ya<br />
Ardhi, Sheria ya Ardhi ya Vijiji na Kanuni za Ardhi, zinatoa utaratibu mpya <strong>wa</strong> kufanya<br />
tathmini ya upotevu <strong>wa</strong> ardhi, ambao ni changamani zaidi. Kutokana nahali hiyo, tarehe<br />
15 Oktoba mradi ulishauri<strong>wa</strong> rasmi na Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, k<strong>wa</strong>mba<br />
“utaratibu <strong>wa</strong> kufuata mapato ya m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> zao” kama inavyoelekez<strong>wa</strong> katika sheria<br />
mpya ilibidi ndio utumike k<strong>wa</strong> Derema badala ya ule utaratibu <strong>wa</strong> zamani. Kisha<br />
utaratibu huo mpya ulitumi<strong>wa</strong>, na hadi kufikia 7 Novemba njia hii mpya ilionyesha<br />
k<strong>wa</strong>mba badala ya kulipa Sh.Tz. milioni 9.31, ambazo ndizo gharama za ulipaji fidia<br />
zilizotegeme<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> ajili ya ufyekaji <strong>wa</strong> mpaka, k<strong>wa</strong> kutumia njia ya zamani jumla ya<br />
13
RASIMU<br />
fedha hizo sasa iliku<strong>wa</strong> Sh. Tz milioni 138 (baadaye zilirekebish<strong>wa</strong> na ku<strong>wa</strong> Sh.Tz<br />
milioni 138.77 kutokana na ongezeko la mara 12). Matumizi ya sheria mpya hayaku<strong>wa</strong><br />
yametegeme<strong>wa</strong>, na ni dhahiri k<strong>wa</strong>mba njia hii mpya ilileta mchanganyiko <strong>wa</strong> mambo na<br />
kuchelewesha mchakato: mbaya zaidi, tofauti kub<strong>wa</strong> kati ya thamani ya zamani na<br />
thamani mpya ambayo ililet<strong>wa</strong> na sheria mpya ili<strong>wa</strong>shtua <strong>wa</strong>tu wote <strong>wa</strong>liohusika, na<br />
mazungumzo ya kuweka ki<strong>wa</strong>ngo maalumu kiuta<strong>wa</strong>la (Wizara ya Ardhi iliku<strong>wa</strong><br />
imependekeza jumla isiyozidi Sh.Tz. milioni 50 mnamo mwezi Novemba, 2001)<br />
yakashindikana kutokana na uamuzi <strong>wa</strong> EUCAMP kufuata utaratibu <strong>wa</strong> sheria mpya. Ni<br />
mwishoni m<strong>wa</strong> mwezi Machi, 2002, ambapo hatimaye malipo yalifany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima<br />
172 <strong>wa</strong> mazao yaliyoku<strong>wa</strong> katika maeneo ya mpaka, kutokana na bajeti ya EUCAMP.<br />
13. Hata hivyo, <strong>wa</strong>shauri <strong>wa</strong> EUCAMP ha<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>meele<strong>wa</strong> vizuri matokeo ya<br />
hesabu hizo. K<strong>wa</strong> kutegemea tathmini ya mazao ya kwenye “<strong>ushoroba</strong>” (yale yaliyo<br />
katika mipaka) <strong>wa</strong>likadiria k<strong>wa</strong>mba i<strong>wa</strong>po <strong>wa</strong>kulima 127 <strong>wa</strong>lipata Sh.Tz. milioni 113<br />
k<strong>wa</strong> uwekaji mipaka basi kufidia <strong>wa</strong>kulima 1090 katika mipaka iliyokuwepo k<strong>wa</strong> pato<br />
hilohilo la m<strong>wa</strong>ka zingehitajika Sh.Tz. milioni 800. Hesabu hii, ambayo haiku<strong>wa</strong> rasmi,<br />
haikuzingatia k<strong>wa</strong>mba tafauti katika eneo lililolim<strong>wa</strong> mazao pia ingeku<strong>wa</strong> kub<strong>wa</strong> sana;<br />
ukweli uka<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba tafauti iliku<strong>wa</strong> hekta 8.1 katika maeneo ya mipaka na kufikia<br />
hekta 956 katika mashamba ya ndani ya mipaka. Siyo k<strong>wa</strong>mba mashamba yote yaliku<strong>wa</strong><br />
na mazao, lakini maeneo yaliyolim<strong>wa</strong> yaliku<strong>wa</strong> makub<strong>wa</strong> zaidi kuliko ule <strong>ushoroba</strong> <strong>wa</strong><br />
mita tatu.<br />
14. Katika kila eneo husika <strong>wa</strong>kulima mara moja <strong>wa</strong>kajifunza jambo moja muhimu<br />
na la <strong>wa</strong>zi zaidi, na bado <strong>wa</strong>naliongelea. Katika tathmini kamili ya mazao ya mipaka,<br />
k<strong>wa</strong> kutumia sheria mpya, kila mmea <strong>wa</strong> iliki ulipe<strong>wa</strong> thamani ya Sh.Tz. 28,800, k<strong>wa</strong><br />
msingi k<strong>wa</strong>mba hiyo ndiyo thamani ya miaka mitatu ya upotevu <strong>wa</strong> uzalishaji <strong>wa</strong> zao<br />
hilo toka lilipokat<strong>wa</strong> hadi hapo mazao mapya yangelilim<strong>wa</strong> katika mashamba mapya na<br />
kukomaa. Hii ina maana ya mapato makub<strong>wa</strong> sana k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong>, na<br />
baadhi yao (ambao idadi na shughuli <strong>wa</strong>lizofanya si rahisi kuzihakiki k<strong>wa</strong> sasa)<br />
<strong>wa</strong>kaanza mara moja kupandikiza iliki mpya na mazao mengine kabla kazi ya kufanya<br />
14
RASIMU<br />
tathmini ya mashamba ya ndani ya <strong>ushoroba</strong> haijafany<strong>wa</strong>. Hatua sasa iliku<strong>wa</strong> imefiki<strong>wa</strong><br />
ya kufanya tathmini ya mazao ndani ya mipaka ya <strong>ushoroba</strong>.<br />
15. Angalau mbinu za kuorodhesha na kutathmini mazao katika <strong>ushoroba</strong> ziliku<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>zi. Iliamuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> sheria mpya ndiyo itumike; kampuni ileile ya <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong><br />
tathmini ambayo ilifanya tathmini ya mipaka ndiyo ilichaguli<strong>wa</strong> kufanya kazi hiyo baada<br />
ya ushindani <strong>wa</strong> zabuni kuanguakia upande <strong>wa</strong>o tena. Kuhesabu mazao kulipang<strong>wa</strong><br />
kufanyika mnamo mwezi Mei na Juni 2002 na k<strong>wa</strong>mba ripoti ya tathmini kamili ilitaki<strong>wa</strong><br />
iwe tayari mwishoni m<strong>wa</strong> mwezi Juni. Kazi ya u<strong>wa</strong>ndani ilifany<strong>wa</strong> kikamilifu na kisha<br />
matukio haya muhimu yalifuata:<br />
• Ripoti ya rasimu ya tatu na “ya mwisho” juu ya “mazao ya <strong>ushoroba</strong>”<br />
ili<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> ushauri 8 Agosti, 2002 iki<strong>wa</strong> inaonyesha jumla ya pesa<br />
za malipo ya fidia ya Sh.Tz. bilioni 3.261<br />
• Iliamuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> pawepo na timu huru ya <strong>wa</strong>nasheria, kutoka Wizara ya Ardhi ,<br />
ambayo ndiyo ilipas<strong>wa</strong> kuipitisha hiyo ripoti ya <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini, na kutoka katika<br />
Muungano <strong>wa</strong> Kimataifa <strong>wa</strong> Hifadhi ya Mazingira (International Union for the<br />
Conservation of Nature (IUCN) ) Timu hiyo ya <strong>wa</strong>jumbe <strong>wa</strong>wili ilifanya kazi yake katika<br />
nusu ya k<strong>wa</strong>nza ya mwezi Februari 2003. Mjumbe kutoka Wizarani aliku<strong>wa</strong> Mshauri <strong>wa</strong><br />
Kisheria <strong>wa</strong> Wizara, na ndiye aliyepas<strong>wa</strong> pia kuikubali au kuikataa kazi hiyo. K<strong>wa</strong>mba<br />
iliku<strong>wa</strong> sahihi kumwita mjumbe <strong>wa</strong> Wizara “mkaguzi huru” ni suala la mjadala, k<strong>wa</strong>ni<br />
malipo ya mwisho ya fidia, k<strong>wa</strong> maoni ya <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini hutuoa picha ya<br />
wele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> nini serikali ilifanya katika kuanzisha mbinu mpya za tathmini, hasa k<strong>wa</strong><br />
ku<strong>wa</strong> hii iliku<strong>wa</strong> ni mara ya k<strong>wa</strong>nza k<strong>wa</strong> mbinu hizo kujaribi<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> hiyo mshauri<br />
ataku<strong>wa</strong> mtetezi <strong>wa</strong> pendekezo la mwisho, kama “mhakiki” na mmoja <strong>wa</strong> majaji katika<br />
<strong>wa</strong>dhifa <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> kiwizara.<br />
• K<strong>wa</strong> vyovyote, timu ilisifia kazi ya u<strong>wa</strong>ndani ya <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini katika<br />
kuhesabu mazao, <strong>wa</strong>kagundua makosa madogomadogo mengi katika uchanganuzi <strong>wa</strong>o<br />
<strong>wa</strong> matokeo, na <strong>wa</strong>lipata <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si zaidi k<strong>wa</strong> kutokuwepo na sababu za msingi za<br />
makadirio, ya <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong>tathmini, ya mapato ya kila mmea, ki<strong>wa</strong>ngo halisi<br />
kilichopelek<strong>wa</strong> sokoni na bei zilizopatikana<br />
15
RASIMU<br />
• Timu haikupendekeza mapato mbadala au bei, <strong>wa</strong>kingojea maelezo zaidi kutoka<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tathmini. Hata hivyo timu ilieleza katika ripoti yake na k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tathmini k<strong>wa</strong>mba<br />
“Timu ya Wakaguzi Huru” iliku<strong>wa</strong> inategemea k<strong>wa</strong>mba tathmini ya jumla ya mazao<br />
hatimaye itashuka na ku<strong>wa</strong> takribani theluthi moja ya ki<strong>wa</strong>ngo kilichopo”, au katika<br />
sehemu nyingine ya ripoti yake k<strong>wa</strong>mba “”Timu ya Wakaguzi Huru inatarajia k<strong>wa</strong>mba<br />
jumla ya pesa itapungua (kufikia kiasi kama 30% ya kiasi cha sasa. Hili litaku<strong>wa</strong> jambo<br />
muhimu la kuzingatia siyo tu k<strong>wa</strong> kuamulia kiasi na aina ya fidia, lakini zaidi ya yote<br />
katika kuamua kama mchakato huu unaweza kuendelea au la.” Hakuna chanzo chochote<br />
kilichoonyesh<strong>wa</strong> katika ripoti kuhusu mattarajio hayo, lakini k<strong>wa</strong> hakika matarajio hayo<br />
hayakutokana na uchunguzi mpya, uchangunuzi mwingine <strong>wa</strong> data kuhusu idadi ya<br />
mimea, mavuno, mazao yaliyouz<strong>wa</strong>, pendekezo la mbinu mbadala ya kutathmini, au<br />
wele<strong>wa</strong> mwingine <strong>wa</strong> nini sheria zinasema. Hata pendekezo k<strong>wa</strong>mba mchakato<br />
ungeweza kusimamish<strong>wa</strong> i<strong>wa</strong>po tathmini ya chini zaidi ingependekez<strong>wa</strong> haliku<strong>wa</strong><br />
limeangalia mambo k<strong>wa</strong> yakini. Timu ya Ukaguzi ilijua fika, kutokana na utafiti <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong><br />
u<strong>wa</strong>ndani k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>liacha kulima mimea yao au kuvuna viungo na matunda<br />
yao mara mazao yao yalipohesabi<strong>wa</strong>, miezi tisa kabla ya kazi yao. Inaelekea k<strong>wa</strong>mba<br />
mnamo mwezo Novemba 2001, <strong>wa</strong>kati “makubaliano” ya Sh.T milioni 50<br />
yalipopendekez<strong>wa</strong> na mshauri <strong>wa</strong> Wizara, Timu ya Wakaguzi iliku<strong>wa</strong> pia imependekeza<br />
“makubaliano” ya kiuanasheria kuhusu suala hili na si k<strong>wa</strong> kufanya tathmini mpya.<br />
• Shirika la tathmini halikuichukulia k<strong>wa</strong> dhati ripoti ya Timu ya Wakaguzi,<br />
isipoku<strong>wa</strong> katika kipengele kimoja muhimu. Lilileta rasmi nyingine tu ya tathmini, bila<br />
masahihisho ya ziada au sababu za kutumia mbinu zao za uchanganuzi. Halikubadilisha<br />
tarehe mweshoni m<strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong>ke, Julai 31, 2002. Lakini kwenye ukurasa huohuo wenye<br />
tarehe ya zamani ikatoa jumla tafauti ya malipo ya fidia, kijiji k<strong>wa</strong> kijiji. Jumla kub<strong>wa</strong><br />
ika<strong>wa</strong> Sh.Tz bilioni 1.61, pungufu ya bilioni 2.1 na kufikia 35% ya kiasi cha zamani. Bila<br />
maelezo ya ziada Mtathmini Mkuu <strong>wa</strong> Serikali akaipitisha ripoti hiyo ya ukaguzi tarehe<br />
23 Julai, 2003.<br />
• Wakati huo mradi <strong>wa</strong> EUCAMP uliku<strong>wa</strong> unafikia mwishoni. Baada ya a<strong>wa</strong>mu<br />
tatu za msaada kutoka Serikali ya Ufini, kuanzia m<strong>wa</strong>ka 1987, mradi ukafikia ukomo<br />
mnamo Desemba 2002. Ripoti ya kumalizika k<strong>wa</strong> mradi iliyotole<strong>wa</strong> na Meneja <strong>wa</strong><br />
Programu na Mshauri Mkuu <strong>wa</strong> Kiufundi inahitima k<strong>wa</strong>mba: “Sheria mpya ya Ardhi<br />
16
RASIMU<br />
imeathiri k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> zoezi la hifadhi ya Derema. Bei za fidia ya mazao imepanda<br />
k<strong>wa</strong> zaidi ya mara tano, k<strong>wa</strong> hiyo pesa iliyoku<strong>wa</strong> imeteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya fidia haikuweza<br />
kutosha. I<strong>wa</strong>po ulipaji <strong>wa</strong> fidia utashindikana wenyeji <strong>wa</strong> eneo hilo <strong>wa</strong>taku<strong>wa</strong> ha<strong>wa</strong>na<br />
imani na serikali, na hii inaweza kuathiri shughuli za hifadhi katika Milima ya Usambara,<br />
kutokana na mgongano <strong>wa</strong> maslahi unaoweza kutokea.” 3<br />
• Ripoti ya kukamilisha a<strong>wa</strong>mu ilieleza k<strong>wa</strong>mba “kiasi kikub<strong>wa</strong> cha fedha<br />
kinahitajika k<strong>wa</strong> ajili ya mchakato huo <strong>wa</strong> ulipaji fidia, kulitangaza rasmi eneo, na<br />
baadaye matayarisho ya mipango ya usimamizi halisi. I<strong>wa</strong>po hakutapatikana fedha za<br />
ziada nje ya mchango <strong>wa</strong> Serikali ya Tanzania, siyo tu k<strong>wa</strong>mba itashindikana kulitangaza<br />
rasmi eneo hilo na kupoteza kitegauchumi bali pia kutaku<strong>wa</strong> na mgongano baina ya<br />
wenyeji wenyewe k<strong>wa</strong> wenyewe, na <strong>wa</strong>tunga sera, na asasi za hifadhi katika mkoa <strong>wa</strong><br />
Tanga.” EUCAMP ilipofunga, pesa kadhaa nusunusu zikapatikana k<strong>wa</strong> ajili ya malipo<br />
yaliyopitish<strong>wa</strong> na maamuzi ya Mtathmini Mkuu <strong>wa</strong> Serikali (na utangazaji rasmi,<br />
usimamizi na uendeshaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong> eneo hilo utaku<strong>wa</strong> ni lengo linaloung<strong>wa</strong> mkono na<br />
Mfuko <strong>wa</strong> Hifadhi ya Milima ya Tao la Mashariki ambao unapata msaada kutoka GEF).<br />
Mnamo m<strong>wa</strong>ka 2004, Serikali ilitoa Sh. Tz. Milioni 100 k<strong>wa</strong> ajili ya zoezi la ulipaji fidia,<br />
Serikali ya Ufini ikakubali kutoa Euro 160,000, ambazo bado hazijalip<strong>wa</strong> zikingoja<br />
makubaliano ya jumla na Serikali zote mbili yakionyesha msaada <strong>wa</strong> Ufini. Mnamo<br />
mwezi Machi 2005 Conservational International (US) Global Conservational Fund ikatoa<br />
msaada <strong>wa</strong> dola za Kimarekani $ 350,000 k<strong>wa</strong> ajili ya zoezi hilo. Hatimaye mfuko <strong>wa</strong><br />
Critical Ecosystem Partnership Fund (WWF) umeahidi kutoa dola za Kimarekeni<br />
$150,000 kulipia uwezeshaji <strong>wa</strong> zoezi la ulipaji fidia, utangazaji rasmi <strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> na<br />
uanzish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Mkataba <strong>wa</strong> Usimamizi <strong>wa</strong> Pamoja na jumuia zilizopo katika hatua za<br />
m<strong>wa</strong>nzo. Fedha hizi zinaku<strong>wa</strong> ni kiasi kama $650,000 k<strong>wa</strong> ajili ya kulipia fidia,<br />
ukiongeza za CEPF $150,000. Lakini hadi kufikia Aprili 2005 ni Sh.Tz milioni64.8 tu<br />
(karibuUS $ 53,000) ndizo likwishafika katika akaunti ya benki ya Muheza, inayohusika<br />
na ulipaji fidia.<br />
• Mnamo mwezi Juni 2004 Wizara ya Maliasili na Utalii ilipeleka maombi k<strong>wa</strong><br />
3 Programu ya Usimamizi <strong>wa</strong> Hifadhi ya Eneo la Usambara Mashariki: Ripoti ya Kukamilisha A<strong>wa</strong>mu III<br />
(1999 – 2002), Ripoti ya Uta<strong>wa</strong>la 40, Wizara ya Maliasili na Utalii, Tanzania (Idara ya Misitu na Ufugaji<br />
Nyuki), na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje, Ufini (Indufor/Metsähallitus Group) Tanga, Desemba 2002,<br />
uk. 49.<br />
17
RASIMU<br />
Mameneja <strong>wa</strong> Benki Wasimamizi (pamoja na GEF)<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong>kioomba fedha<br />
za kuongezea kwenye zile zilizoku<strong>wa</strong>po ili kuweza kutoa malipo mazuri k<strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />
uliokubali<strong>wa</strong> 2002. Jibu la msingi la Benki, baada ya majadiliano zaidi, liliku<strong>wa</strong> ni<br />
kutaka kupe<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Utekelezaji <strong>wa</strong> Uhamishaji <strong>wa</strong>tu ambao utaku<strong>wa</strong> unaendana<br />
na Sera ya Uendeshaji (OP 4. 12) ya Benki, na hati hii ya sasa ina<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> katika jumla<br />
ya kutekeleza masharti hayo.<br />
• Wakati huohuo, kadri vuguvugu la Oktoba 2005, la kugombea urais lilipozidi,<br />
mamlaka husika <strong>wa</strong>kaanza ku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>is<strong>wa</strong>si juu ya chuki iliyoku<strong>wa</strong> ikiongeza katika<br />
Wilaya ya Muheza kuhusu ucheleweshaji <strong>wa</strong> malipo ya fidia (mas<strong>wa</strong>li yakauliz<strong>wa</strong><br />
Bungeni). Hali hiyo ilisababisha hatua mpya ya kuanzisha malipo hayo, na Wizara ya<br />
Maliasili na Utalii ikatoa 50% ya ki<strong>wa</strong>ngio kilichoku<strong>wa</strong> kinadai<strong>wa</strong> (kiasi kama milioni<br />
600). Baada ya kuhakiki ratiba za malipo kijiji baada ya kijiji 50% ya malipo yaliyoku<strong>wa</strong><br />
yameamuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> 2002/2003 yalilip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>nakijiji<br />
aliyeathirika, kati ya Oktoba 3 -10, 2005. (Uchaguzi iliku<strong>wa</strong> ufanyike Oktoba 30, lakini<br />
uliahirish<strong>wa</strong> hadi Desemba 14). Muda huo uliku<strong>wa</strong> ni miaka mitatu na nusu tangu mazao<br />
yalipoorodhesh<strong>wa</strong> katika <strong>ushoroba</strong> huo.<br />
16 Ama kuhusu ulipaji <strong>wa</strong> fidia katika Derema, kufikia katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2006<br />
kuliku<strong>wa</strong> na mas<strong>wa</strong>li kadhaa yaliyoku<strong>wa</strong> yanahitaji majibu toshelevu, na Mpango huu <strong>wa</strong><br />
Uhamishaji ulipe<strong>wa</strong> dhima ya kuyatafakari:<br />
(a) Je, tathmini iliyokubali<strong>wa</strong> Tanzania, mnamo m<strong>wa</strong>ka 2003, iliku<strong>wa</strong> inakubaliana<br />
na sera ya Benki ya Dunia (OP 4.12) inayotumika kuhusu uhamishaji <strong>wa</strong>tu?<br />
Kama sivyo, ni marekebisho gani kuhusu maamuzi ya 2003 ya ulipaji fidia (na<br />
hatua nyingine) yanahitajika kufany<strong>wa</strong>?<br />
(b) Kutokana na kupita muda mrefu toka mazao yalipohesabi<strong>wa</strong> na kuorodhesh<strong>wa</strong>,<br />
inahitajika tathmini mpya au namna fulani ya malipo ya riba, ambayo ni zaidi ya<br />
malipo ya fidia yaliyokubali<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002 na 2003? Je, mahesabu ya ziada<br />
yoyote ya aina hiyo yafanywe vipi?<br />
(c) Je, Benki ya Dunia italikubali <strong>wa</strong>zo la kuhamisha fedha katika Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi<br />
na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu (MHUMT)(Tanzania Forest Conservation and<br />
Management Project (TFCMP)). Kutumika katika kulipia fidia ya Ushoroba <strong>wa</strong><br />
18
RASIMU<br />
Derema? Je, Kamati Kuu ya Ardhi ya Benki ya Dunia pia itaridhia uhamishaji<br />
huo <strong>wa</strong> fedha, kulingana na sharti la OP 6.0, Kiambatisho A cha Aprili, 2004?<br />
Athari za Mradi<br />
17 MHUMT, unaofadhili<strong>wa</strong> na Benki ya Dunia, haukuingiza masuala ya<br />
vitegauchumi au misaada mingine katika Ushoroba <strong>wa</strong> Derema; <strong>wa</strong>la haikujishughulisha<br />
na hali iliyopo pale.<br />
18. Mikakati na kazi ya hifadhi ambayo imeku<strong>wa</strong> ikiendelea tangu miaka ya<br />
m<strong>wa</strong>nzoni m<strong>wa</strong> 1990 imedhihirisha k<strong>wa</strong>mba jitihada zinapas<strong>wa</strong> kufany<strong>wa</strong> kuzuia<br />
kuendelea kuharibika k<strong>wa</strong> misiti ya Usambara mashariki na pale ambapo inawezekana<br />
kubadilisha muundo na kufanya <strong>msitu</strong> mmoja unaoendelea. K<strong>wa</strong> kufanya hivyo tutaku<strong>wa</strong><br />
tunalinda eneo hili lenye ubioanu<strong>wa</strong>i k<strong>wa</strong> kuanzisha shoroba au kuongeza hifadhi ya<br />
ardhi ya taifa. Kituo cha Hifadhi ya Mazingira cha Amani (HIMAA) ilipoanzish<strong>wa</strong><br />
mnamo m<strong>wa</strong>ka 1998, k<strong>wa</strong> kuunganisha hifadhi sita za misitu zilizokuwepo na kipande<br />
kirefu cha <strong>msitu</strong> ulioku<strong>wa</strong> unamiliki<strong>wa</strong> na Kampuni ya Chai ya Usambara Mashariki,<br />
chini ya makubaliano rasmi ya kulilinda eneo hilo, hatua muhimu iliyoku<strong>wa</strong> inafuata<br />
iliku<strong>wa</strong> ni kuweka mipaka, kuulinda na kuutangaza rasmi Ushoroba <strong>wa</strong> Derema<br />
19. Ili kuweza kufanya hivyo mipaka ya Derema ilichor<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza na kisha eneo hilo<br />
likapim<strong>wa</strong> mnamo m<strong>wa</strong>ka 2001. Wakulima katika vijijini jirani <strong>wa</strong>lishauri<strong>wa</strong> juu ya<br />
usimamizi <strong>wa</strong> pamoja k<strong>wa</strong> njia ya kila kijiji kusimamia kipande fulani cha <strong>msitu</strong> <strong>wa</strong><br />
hifadhi; lakini <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>lipendelea zaidi mkakati <strong>wa</strong> kuwepo na Hifadhi ya Msitu ya Taifa,<br />
ambapo vijiji vingepe<strong>wa</strong> kusimamia maeneo ya hifadhi hiyo k<strong>wa</strong> utaratibu <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>o nao<br />
kupata marupurupu ya pamoja k<strong>wa</strong> kuutunza <strong>msitu</strong>. Utaratibu <strong>wa</strong> namna hii<br />
ulikwishakuwepo huko nyuma. Vijiji 16 katika eneo linalozunguka HIMAA viliunda<br />
umoja <strong>wa</strong> kulinda eneo moja lililozuili<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> makubaliano ya kulip<strong>wa</strong> sehemu ya<br />
mapato ya HIMAA na marupurupu mengine.<br />
19
RASIMU<br />
20 Vijiji vitano vilishiriki; vitatu viki<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> magharibi <strong>wa</strong> Derema na viwili<br />
viki<strong>wa</strong> mashariki (taz. Kiambatisho 1 kinachoonyesha ramani ya Derema). Vijiji hivyo ni<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni, Kwemdimu,Msasa IBC (jina linalotokana na Kampuni ya kukata magogo<br />
iliyokuwepo katika eneo hilo kuanzia miaka ya 1950 hadi miaka ya 1980), Kwezitu na<br />
Kambai. Sio kila mkulima aliku<strong>wa</strong> akilima Derema. Wakati wengi <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na shamba<br />
mojamoja <strong>msitu</strong>ni, <strong>wa</strong>chache <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> na mashamba mawili au zaidi. Jed<strong>wa</strong>li lifuatalo<br />
linaonyesha idadi ya <strong>wa</strong>tu, idadi ya <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika, na idadi ya mashamba<br />
yaliyoathirika katika kila kijiji.<br />
Jed<strong>wa</strong>li 1<br />
Ushoroba <strong>wa</strong> Derema: Idadi ya <strong>wa</strong>tu katika kila kijiji,<br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika na mashamba yaliyochukulia<br />
Kijiji<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni<br />
Kwemdimu<br />
Msasa IBC<br />
Kwezitu<br />
Kambai<br />
Jumla<br />
Idadi ya Watu (2006) Wakulima <strong>wa</strong>lioathirika Mashamba yaliyochukuli<strong>wa</strong><br />
689 59 74<br />
1617 244 265<br />
2200 570 744<br />
2311 216 420<br />
1061 39 44<br />
7878 1128 1547<br />
Chanzo:Idadi ya <strong>wa</strong>tu kutoka k<strong>wa</strong> makatibu <strong>wa</strong> vijiji; <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika na zoezi hilo kutoka Tathmini ya<br />
Proper Consult ya 2002<br />
21 Kupunguza Makali ya Athari: Sera ya Benki ya Dunia, ya Uhamishaji Makazi,<br />
ikienda pamoja na utunzaji mzuri <strong>wa</strong> mazingira inahitajia k<strong>wa</strong>mba athari zenye madhara<br />
makub<strong>wa</strong> ziepukwe au zipunguzwe sana. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Derema mchanganuo <strong>wa</strong><br />
kiekolojia ulionyesha k<strong>wa</strong>mba <strong>ushoroba</strong> huu ulihitaji kutangaz<strong>wa</strong> rasmi ku<strong>wa</strong> mali ya<br />
taifa na kufany<strong>wa</strong> hifadhi, k<strong>wa</strong>mba ulimaji mashamba katika <strong>ushoroba</strong> huo ulihitaji<br />
kukoma kabisa, na k<strong>wa</strong>mba k<strong>wa</strong> hapo baadaye iwe ni bidhaa chache kabisa za <strong>msitu</strong>ni<br />
ambazo zitaruhusi<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong>. Njia mbadala kadhaa zilifikiri<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong>nza katika<br />
vikao na <strong>wa</strong>navijiji mnamo m<strong>wa</strong>ka 2001 ilipendekez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba eneo hilo lisimamiwe<br />
kama misitu midogomidogo inayolind<strong>wa</strong> na vijiji kadhaa, kuki<strong>wa</strong> na taratibu za ndani ya<br />
20
RASIMU<br />
kila kijiji za ulimaji. K<strong>wa</strong> sababu ambazo hazikuandik<strong>wa</strong> pendekezo hili lilisemekana<br />
kukatali<strong>wa</strong> na badala yake ikapendekez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba pawe na ulinzi kamili <strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong><br />
huo kama hifadhi ya <strong>msitu</strong> ya taifa. Pili, hekta 956 za eneo lililopang<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong><br />
kama hifadhi zingeweza kurejesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nanchi ili kupunguza idadi ya mashamba<br />
ambayo yangeathirika. Tatu, mipaka ya hifadhi ingeweza kuhamish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> namna fulani<br />
ili kuchukua mashamba machache zaidi, ili kuacha maeneo ya kilimo cha chai. Hata<br />
hivyo, hatimaye hakuna hata moja kati ya mapendekezo haya lililokubali<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong><br />
vyovyote vile, hapakuhitajika uhamishaji <strong>wa</strong> makazi wowote k<strong>wa</strong>ni mpaka uliwek<strong>wa</strong><br />
mbali, sehemu ya kaskazini mashariki ili kuacha kijiji cha Kwemdimu kubakia<br />
kilipoku<strong>wa</strong> bila kuleta bughudha k<strong>wa</strong> makazi au mashamba ya chakula kwenye maeneo<br />
ambayo hayaku<strong>wa</strong> ya <strong>msitu</strong>.<br />
Watu Walioathirika<br />
22. Mitaala ya kijamii-kiuchumi: Mkazo unaowek<strong>wa</strong> kwenye ekolojia ya Milima<br />
ya Usambara Mashariki umewek<strong>wa</strong> sambamba na jamii zinazozunguka maeneo hayo.<br />
Hasa, shirika la WWF limefadhili tafiti mbili juu ya athari za kijamii zinazotokana na<br />
shughuli za hifadhi katika kituocha Hifadhi ya Mazingira cha Amani (HIMAA)) na<br />
Ushoroba <strong>wa</strong> Derema uliopendekez<strong>wa</strong> kuanzish<strong>wa</strong>.<br />
23. Utafiti <strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza, uliofahamika kama Conservation and Poverty: A Case Study<br />
of the Amani Nature Researve (Hifadhi na Umasikini: Uchunguzi Kifani <strong>wa</strong> Hifadhi ya<br />
Mazingira ya Amani 4 ) ulihusu vijiji vitatu katika eneo linalopakana na kituo kipya<br />
kilichoanzish<strong>wa</strong> cha HIMAA. Utafiti ulichunguza athari za kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA,<br />
m<strong>wa</strong>ka 1997 na kugundua matatizo mengi ambayo yangejitokeza tena na tena katika<br />
kuongezeka k<strong>wa</strong> eneo la Ushoroba <strong>wa</strong> Derema. Eneo lililozuili<strong>wa</strong> (buffer zone)<br />
lilianzish<strong>wa</strong> kuzunguka HIMAA, iki<strong>wa</strong> na maana k<strong>wa</strong>mba mamia kadhaa ya <strong>wa</strong>kulima<br />
ili<strong>wa</strong>bidi <strong>wa</strong>ache vi<strong>wa</strong>nja na mashamba yao, lakini ni kiasi cha asilimia 20 – 25 tu ya<br />
fidia iliyopas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> ndiyo ililip<strong>wa</strong>; moja ya sababu iki<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba baadhi ya mazao<br />
yalichukuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> hayalipiwi fidia. Aidha, siyo matumizi yote ambayo hayaku<strong>wa</strong> ya<br />
4 George Jambiya na Hussein Sosovele, Conservation and Poverty: A Case Sstudyof the Amani Nature<br />
Researve, Research on Poverty Alleviation (REPOA) rripoti 0.5. 2001, Dar es Slaam.<br />
21
RASIMU<br />
mbao katika Hifadhi hiyo yaliingiz<strong>wa</strong> katika mikataba ya <strong>wa</strong>navijiji --- <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>lilalamikia masharti ambayo mikataba ya eneo lililozuili<strong>wa</strong> iliweka, lakini zaidi hasa<br />
juu ya kutokuwepo na taarifa zozote muhimu. Watu <strong>wa</strong>liahidi<strong>wa</strong> ardhi mpya nje ya<br />
Amani, lakini ikaja kudhihirika k<strong>wa</strong>mba ardhi hiyo haiku<strong>wa</strong> kub<strong>wa</strong> ya kuweza<br />
ku<strong>wa</strong>tosha <strong>wa</strong>kulima wote <strong>wa</strong>lioathirika. Zaidi ya nusu ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> eneo hilo <strong>wa</strong>liona<br />
k<strong>wa</strong>mba miongoni m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>dau <strong>wa</strong> eneo hilo <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>liambulia kidogo sana katika<br />
kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA. Waandishi <strong>wa</strong> utafiti huu <strong>wa</strong>kahitimisha k<strong>wa</strong>mba “mahitaji ya<br />
jamii ya eneo hilo na ya Taifa yanagongana na yale ya <strong>wa</strong>linzi ubioanu<strong>wa</strong> (uk.38). Chuki<br />
iliyoripoti<strong>wa</strong> katika vijiji vya Amani katikati ya miaka ya tisini, ilikwishadhihirika pia<br />
katika vijiji vya Derema katika miaka ya 2000.<br />
24. Utafiti <strong>wa</strong> Pili: Utafiti <strong>wa</strong> pili uliku<strong>wa</strong> ni <strong>wa</strong> athari za kijamii za Ushoroba <strong>wa</strong><br />
Derema wenyewe, uliofany<strong>wa</strong> kabla mipaka ya hifadhi haijapim<strong>wa</strong> au hasara za upotevu<br />
<strong>wa</strong> mazao hazijatathmini<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> kutumia hojaji maalumu na majadiliano ya kikundi<br />
maalumu cha <strong>wa</strong>navijiji kama 300 na viongozi <strong>wa</strong> vijiji, utafiti ulifanya mchanganuo <strong>wa</strong><br />
sifa za kijamii-kiuchumi za <strong>wa</strong>tu ambao <strong>wa</strong>ngeathirika katika vijiji vitano pembizoni<br />
m<strong>wa</strong> Ushoroba. Utafiti ulijaribu pia kupata uele<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>o kuhusu athari ambazo<br />
zinge<strong>wa</strong>pata juu ya kilimo chao k<strong>wa</strong> kuupoteza Ushoroba, na masuala <strong>wa</strong>liyoibua juu ya<br />
hifadhi hiyo kutangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> mali ya serikali<br />
25. Watu <strong>wa</strong> Milimani. Watu <strong>wa</strong> milima ya Usambara Mashariki hutoka sehemu<br />
mbalimbali. Takribani wote, tukiacha <strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong>chache, <strong>wa</strong>limu, na<br />
<strong>wa</strong>fanyakazi <strong>wa</strong> ujira, huishi k<strong>wa</strong> kutegemea kilimo chao au ujira <strong>wa</strong> kufanya kazi katika<br />
mashamba makub<strong>wa</strong> pamoja na vyakula vyao wenyewe. Ni asilimia takribani 56 tu ya<br />
<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>ishio katika vile vijiji vitano ndio <strong>wa</strong>liozali<strong>wa</strong> maeneo hayo. Theluthi moja ya<br />
idadi ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> hapo <strong>wa</strong>litoka katika maeneo mengine ya wilaya, ama kutoka vijiji<br />
vingine vya milimani au kutoka kwenye tambarare zinazozunguka milima. Moja ya kumi<br />
ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> hao hutoka katika wilaya nyingine mkoani Tanga, na asilimia 1 ya mwisho<br />
<strong>wa</strong>natoka sehemu nyingine za Tanzania. Uhamiaji mkub<strong>wa</strong> katika maeneo haya<br />
ulisababish<strong>wa</strong> na fursa za kazi zilizoku<strong>wa</strong>ko huko milimani. Kazi ya ukataji magogo<br />
(halali na haramu), iliyofanyika mapema zaidi, na baadaye zaidi mashamba ya chai,<br />
22
RASIMU<br />
ndivyo vilivyoleta msukumo mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> uhamiaji huo. K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> Kibondei, lugha ya<br />
<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> nyanda za chini, na Kishambaa, lugha ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> milimani, ni lugha<br />
zinazoele<strong>wa</strong>na, na k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> vyovyote vile kila mmoja <strong>wa</strong>o anazungumza<br />
Kis<strong>wa</strong>hili, hakuna hali ya uhasama ya kutisha, au tofauti za kikazi au aina nyingine<br />
zilizokuwepo. Waislamu na Wakristo huishi k<strong>wa</strong> kuchanganyikana, hata katika familia<br />
zao. 97% ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> hapo ama <strong>wa</strong>na kiasi fulani cha elimu ya msingi au <strong>wa</strong>memaliza<br />
kabisa elimu ya msingi, inga<strong>wa</strong> kuwepo k<strong>wa</strong> ngazi hii ya kunazidi kupungua thamani<br />
katika Tanzania ya leo.<br />
26. Kuna umoja <strong>wa</strong> hali ya juu katika vitongoji vya vijiji katika hivyo vijiji vitano.<br />
Vitongoji hivyo huachana k<strong>wa</strong> umbali <strong>wa</strong> mita kadhaa pembizoni m<strong>wa</strong> njia au barabara<br />
chini kabisa ya miteremko ya milima ya misitu. Baadhi ya vitongoji hivyo ni vidogo na<br />
hukali<strong>wa</strong> na vikundi vya kinasaba ambavyo kila kimoja kiko chini ya mzee <strong>wa</strong> kiume<br />
mmoja. Vitongoji vingine ni vikub<strong>wa</strong> zaidi ambavyo vimekit<strong>wa</strong> katika mahusiano ya<br />
jamii pana zaidi au katika ujirani <strong>wa</strong> kijiografia baina ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naotumia maeneo ya<br />
<strong>wa</strong>zi ya kilimo chini ya miteremko ya vilima. Nyumba nyingi zilizoko hapo ni za<br />
vyumba kuanzia kimoja hadi vitatu, za mbavu za mb<strong>wa</strong> na zilizoezek<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> nyasi; ni<br />
nyumba chache tu zenye kuezek<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> bati. Kila kitongoji huchukulia k<strong>wa</strong>mba eneo lao<br />
linaanzia kwenye nyumba zao na kurudi nyuma hadi kufikia misituni. Ushoroba <strong>wa</strong><br />
Derema bado haujatangaz<strong>wa</strong> katika gazeti la serikali, na ndiyo sehemu ya juu ya vijiji<br />
hivi.<br />
27 Ukub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> mashamba hutofautiana, kuanzia eka 1 hadi eka 40, ploti<br />
zikihesabi<strong>wa</strong> ndani na nje ya misitu. Wakulima wote, kasoro asilimia 3 tu, wnasema<br />
“<strong>wa</strong>namiliki” mashamba yao, ama kutokana na kuyarithi (kama asilimia 37), kutokana na<br />
juhudi zao wenyewe za kuishughulikia ardhi ambayo iliku<strong>wa</strong> bado haijamiliki<strong>wa</strong> (kama<br />
asilimia 40), k<strong>wa</strong> kuyanunua (kama asilimia 20), au k<strong>wa</strong> kugawi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> mpango<br />
<strong>wa</strong> vijiji vya Ujamaa baada ya m<strong>wa</strong>ka 1967. Asilimia 5 <strong>wa</strong>nasema k<strong>wa</strong>mba hupata<br />
mapato ya ziada kutokana na kazi za ujira; asilimia 15 <strong>wa</strong>nasema hufanya biashara<br />
ndogondogo; na <strong>wa</strong>chache <strong>wa</strong>na maduka au stoo bubu za pombe za kienyeji. K<strong>wa</strong><br />
upande <strong>wa</strong> pesa taslimu <strong>wa</strong>kulima wengi hudai ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na moja<strong>wa</strong>po ya mazao makuu<br />
23
RASIMU<br />
ya biashara (iliki, karafuu, pilipili manga na mdalasini), lakini asilimia 20 tu (tarakimu<br />
ambayo karibu inaoana na orodha zilizoonyesh<strong>wa</strong> baadaye katika <strong>ushoroba</strong> ulioweke<strong>wa</strong><br />
mipaka) ndio <strong>wa</strong>lisema hayo yaliku<strong>wa</strong> ni sehemu ya <strong>msitu</strong>. Wakulima <strong>wa</strong>lidai k<strong>wa</strong>mba<br />
<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>napata mapato makub<strong>wa</strong> sana kutoka k<strong>wa</strong> mazao haya. Inga<strong>wa</strong> kuliku<strong>wa</strong> na<br />
tofauti kub<strong>wa</strong> baina ya vijiji hivyo vitano, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kila mkulima alidai ku<strong>wa</strong> aliku<strong>wa</strong><br />
akipata ShT milioni 1.4 kutokana na iliki, ShT 165,000 kutokana na mdalasini, ShT<br />
84,000 kutokana na pilipili manga, na ShT 21,000 kutokana na karafuu. Orodha rasmi ya<br />
baadaye inatilia shaka ripoti hizi za binafsi, hasa inapoku<strong>wa</strong> zilitole<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>kijua k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> mashamba yao kuchukuli<strong>wa</strong>.<br />
28. Wakulima <strong>wa</strong>najua faida za mazingira na utalii ambazo zingepatikana kutokana<br />
na kulind<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> --- Watanzania <strong>wa</strong>lio wengi katika milima <strong>wa</strong>naelekea<br />
kuele<strong>wa</strong> umuhimu <strong>wa</strong> ardhi yao kama chanzo cha maji. Hata hivyo, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> sahihi<br />
katika kufikiria hasara ambazo <strong>wa</strong>ngepata kutokana na kufung<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za kilimo<br />
katika eneo la Derema. Walijua <strong>wa</strong>tapata hasara ya kudumu ya mapato yaliyoku<strong>wa</strong><br />
yanatokana na mazao yao ya biashara katika maeneo ya <strong>msitu</strong>, mashamba machache ya<br />
mazao ya chakula, na ardhi katika <strong>msitu</strong> ambayo hadi <strong>wa</strong>kati huo ililku<strong>wa</strong> mali ya vijiji<br />
na familia zake. Walihofia kunyim<strong>wa</strong> hata mazao ya <strong>msitu</strong>ni ambayo si ya mbao, iki<strong>wa</strong><br />
ni pamoja na kuni, miti ya kujengea, mboga za majani, vyanzo vya maji, na njia muhimu<br />
za <strong>msitu</strong>ni ambazo huunganisha vijiji na mashamba. Walijua upotevu <strong>wa</strong> mapato uliku<strong>wa</strong><br />
ni kik<strong>wa</strong>zo upande <strong>wa</strong> matumizi yao, kulipia matibabu, ada za shule, kodi, na uwezo <strong>wa</strong>o<br />
<strong>wa</strong> kuweka akiba k<strong>wa</strong> ajili ya mambo makub<strong>wa</strong> kama kuoa na dharura za kifamilia.<br />
Walihofia k<strong>wa</strong>mba kadri usalama <strong>wa</strong> kijamii ulivyozidi kupungua <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si na kuweza<br />
kuathirika haraka vingeongezeka: <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ngeumia zaidi. K<strong>wa</strong> upande<br />
<strong>wa</strong>o akina mama <strong>wa</strong>li<strong>wa</strong>omba <strong>wa</strong>tafiti <strong>wa</strong>saidie kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba ha<strong>wa</strong>tanyim<strong>wa</strong><br />
kuni na mazao mengine madogo ya <strong>msitu</strong>ni mara <strong>ushoroba</strong> huo utakapotangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />
mali ya serikali. Ukiacha malipo ya faida na hasara, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> vijiji ambavyo iliku<strong>wa</strong><br />
viathirike baada ya muda si mrefu <strong>wa</strong>lichukiz<strong>wa</strong> na kuingili<strong>wa</strong> na serikali na kushuka<br />
k<strong>wa</strong> mapato yao ambako kungefuatia.<br />
24
RASIMU<br />
29. Wakifikiria matatizo <strong>wa</strong>takayopata baada ya kupata hasara hizo, <strong>wa</strong>kulima<br />
<strong>wa</strong>litaka kujua ni k<strong>wa</strong> vipi <strong>wa</strong>ngeweza kupata ardhi nyingine. Wanajua k<strong>wa</strong>mba baadhi<br />
ya vijiji katika milima, na vingi katika tambarare, <strong>wa</strong>na ardhi ambayo haijaendelez<strong>wa</strong> na<br />
ambayo ni zaidi ya mahitaji yao. Baadhi ya ardhi kama hiyo huuz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> bei kub<strong>wa</strong> sana<br />
milimani, na k<strong>wa</strong> bei rahisi kidogo katika tambarare. Hata Kambai na Kwemdimu, kati<br />
ya vijiji vilivyo pambizoni m<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong>, pia vina ardhi. Wanavijiji wengi <strong>wa</strong>litegemea<br />
k<strong>wa</strong>mba pesa ya fidia, i<strong>wa</strong>po ingeku<strong>wa</strong> ya kutosha, ingetumika kununulia ardhi. Kupata<br />
ardhi katika vijiji vingine au kwenye miteremko ya milima katika tambarare za jirani<br />
iliku<strong>wa</strong> ni dalili ya kulazimika kufanya hivyo; lakini pia ni ishara k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji ha<strong>wa</strong>,<br />
<strong>wa</strong>we <strong>wa</strong>mezali<strong>wa</strong> milimani au la, k<strong>wa</strong>mba sasa kuna mzunguko <strong>wa</strong> kizazi kingine, na<br />
k<strong>wa</strong>mba familia mpya zinazoanzish<strong>wa</strong>, zilizo na maisha bora zaidi, na familia zinazokosa<br />
ardhi katika eneo la Derema zitahitaji kutafuta fursa nyingine mbali na “nyumbani”<br />
k<strong>wa</strong>o. Wakulima wengi <strong>wa</strong>lionyesha k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>lijua kuliku<strong>wa</strong> na mashamba ya mkonge<br />
yaliyotelekez<strong>wa</strong> (na mashamba ambayo yalipe<strong>wa</strong> leseni lakini hayakuendelez<strong>wa</strong>), na<br />
k<strong>wa</strong>mba serikali ilikwishajadili uwezekano <strong>wa</strong> kuyaga<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema.<br />
30. Katika utafiti uliofany<strong>wa</strong> na Jambiya na Sosovele, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>liuliz<strong>wa</strong> hofu yao<br />
kuhusu kufung<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> kunakotegeme<strong>wa</strong> na fidia inayohusiana nako. Wao<br />
<strong>wa</strong>litaka <strong>wa</strong>pewe taarifa zaidi na kuwepo na mchakato shirikishi <strong>wa</strong> tathmini. Kutokana<br />
na yale yaliyotokea baada ya kutangaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA kama mali ya serikali, <strong>wa</strong>litaka<br />
kuhakikishi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba ulipaji <strong>wa</strong> fidia utafany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati na utaku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> haki.<br />
Wana<strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong>litaka mamlaka husika zifanye matayarisho makini ili <strong>wa</strong>ume zao<br />
<strong>wa</strong>sipoteze pesa za fidia inapoku<strong>wa</strong> fursa za kuzitumia vizuri hazikujitokeza mapema.<br />
Kila mmoja alitaka huduma bora zaidi za usafiri na kilimo kuweza ku<strong>wa</strong>ingiza katika<br />
a<strong>wa</strong>mu nyingine ya maisha yao k<strong>wa</strong> urahisi zaidi.<br />
31. K<strong>wa</strong> ufupi, vijiji vitano vya Derema vitakavyoathirika vilifanyi<strong>wa</strong> uchunguzi ili<br />
kuweka msingi na mwongozo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>namipango <strong>wa</strong> Derema. Watu katika vijiji hivyo,<br />
wengi <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Kishambaa na Kibondei, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>najua vizuri jinsi<br />
ambavyo sera na mipango ya kitaifa na ya vijijini k<strong>wa</strong>o inaathiri maisha yao k<strong>wa</strong><br />
ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong>. Ardhi ya vijiji vyao, majirani zao na hali za maisha vimeathiri<strong>wa</strong> sana<br />
25
RASIMU<br />
na upasuaji mbao, ardhi kugawi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima wenye mashamba makub<strong>wa</strong>, sera za vijiji,<br />
kujasiria kilimo cha mazao ya viungo na juhudi za hifadhi. Wakulima <strong>wa</strong> Derema<br />
<strong>wa</strong>najua kilicho<strong>wa</strong>tokea <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika na kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA. Waliku<strong>wa</strong> na<br />
<strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si, na wengi ha<strong>wa</strong>kupenda kabisa, juu ya athari zilizoku<strong>wa</strong> zinakuja kutokana na<br />
hasara za upotevu <strong>wa</strong> mazao yao, ambayo ndiyo ya<strong>wa</strong>leteayo sehemu kub<strong>wa</strong> ya kipato<br />
chao. Walitaka ku<strong>wa</strong> na hakika k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na fursa mpya zilizoku<strong>wa</strong> zimewek<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> ajili yao ili <strong>wa</strong>weze kuendelea na maisha vema.<br />
Kiunzi cha Kisheria<br />
32. Sheria ya Tanzania. Mwishoni m<strong>wa</strong> miaka ya 90, sheria ya ardhi na kanuni zake<br />
vilipiti<strong>wa</strong> na kufanyi<strong>wa</strong> marekebisho makub<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> miongo mingi ardhi iliku<strong>wa</strong><br />
imega<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika mafungu mawili makub<strong>wa</strong>: “Ardhi iliyosajili<strong>wa</strong>” iliyoku<strong>wa</strong> chini<br />
sheria ya kisasa (ya <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> ukoloni na baada ya ukoloni); na Ardhi ya Vijiji iliyoku<strong>wa</strong><br />
chini ya sheria ya kimila. Kuanzia urais <strong>wa</strong> Nyerere, Siasa ya Ujamaa, k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong><br />
Sheria ya Ardhi ya M<strong>wa</strong>ka 1967, iliipa serikali mamlaka kadhaa yaliyoiruhusu kuchukua<br />
raislimali k<strong>wa</strong> manufaa ya umma, kuga<strong>wa</strong> ardhi ambayo iliku<strong>wa</strong> haina mwenyewe na<br />
kuweka utaratibu mpya <strong>wa</strong> matumizi ya ardhi k<strong>wa</strong> madhumuni ya maendeleo. M<strong>wa</strong>nzoni<br />
m<strong>wa</strong> karne ya 21 sera mpya za uchumi <strong>wa</strong> soko zilizokuja katika Tanzania baada ya<br />
Nyerere zilihitajia Sheria ya Ardhi kupiti<strong>wa</strong> upya. Sheria mbili zikapitish<strong>wa</strong>: Sheria ya<br />
Ardhi Na. 4 ya m<strong>wa</strong>ka 1999, yenye kuhusu ardhi iliyosajili<strong>wa</strong>, na ambayo kanuni zake<br />
zilipitish<strong>wa</strong> miaka miwili iliyofuata; na Sheria ya Ardhi ya Vijiji (Na 5 ya m<strong>wa</strong>ka 1999),<br />
na ambayo Kanuni za Ardhi ya Vijiji (zinazoendana nayo) zilipitish<strong>wa</strong> zilipish<strong>wa</strong> mnamo<br />
m<strong>wa</strong>ka 2001, na kuchapish<strong>wa</strong> katika Tangazo la Serikali Na. 86 la tarehe 4.5.2001.<br />
Sheria Mpya ya Misitu ilitangaz<strong>wa</strong> rasmi m<strong>wa</strong>ka 2002; Sheria hii haipingani na sheria<br />
hizo nyingine mbili za m<strong>wa</strong>ka 1999 k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> kanuni za ardhi au kuchukuli<strong>wa</strong><br />
kama mali ya umma.<br />
33 Ushoroba <strong>wa</strong> Derema ni ardhi ya vijiji na iko chini ya Sheria ya Ardhi ya Vijiji na<br />
Kanuni zake. Kanuni 9, 10, na 13-18 zinaelezea misingi na taratibu za kufuat<strong>wa</strong> katika<br />
kufidia ardhi (na mali nyingine) inayochukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> manufaa ya umma. Sheria inaagiza<br />
malipo ya fidia yafanywe katika upotevu <strong>wa</strong> riba, au thamani katika mali inayoendelez<strong>wa</strong><br />
26
RASIMU<br />
na hasara katika shughuli nyingine zote za biashara, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na mazao. Pale<br />
ambapo yatahitajika malipo ya usumbufu, usafiri na malazi vifanywe. Ama k<strong>wa</strong> upande<br />
<strong>wa</strong> ardhi ambayo haina mmiliki malipo ya namna hiyo hayafanywi. Pale inapoku<strong>wa</strong><br />
hapana budi, na inapasa ku<strong>wa</strong>, Upotevu <strong>wa</strong> faida (Kanuni 15) utaainish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia<br />
mahesabu yaliyokaguli<strong>wa</strong>, na itachukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> msingi <strong>wa</strong> faida halisi k<strong>wa</strong> mwezi <strong>wa</strong><br />
shughuli inayoendesh<strong>wa</strong> kwenye ardhi inayohusika. Mazao ya <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>dogo nayo<br />
yatatathmini<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> namna hiyohiyo, ili kupata mtiririko <strong>wa</strong> mapato yanayopotea toka<br />
kipindi hicho hadi mazao mapya yanapokomaa na kufikia ki<strong>wa</strong>ngo cha kuleta mapato<br />
mbadala ya zao lililopotea. Utaratibu huu unaachana sana na mfumo <strong>wa</strong> zamani ulioku<strong>wa</strong><br />
ukifanya kazi chini ya Sheria ya Ardhi ya m<strong>wa</strong>ka 1967 ambapo kuliku<strong>wa</strong> na lazima ya<br />
ku<strong>wa</strong> na ratiba ya kufanya tathmini ya mazao kila baada ya kipindi fulani k<strong>wa</strong> msingi<br />
k<strong>wa</strong>mba bei za mazao haziku<strong>wa</strong> imara sana. Ni tofauti hii, ambayo ilifafanuli<strong>wa</strong> upya<br />
<strong>wa</strong>kati ulipaji fidia <strong>wa</strong> Derema ulipoku<strong>wa</strong> unajadili<strong>wa</strong>, na ambao ulileta thamani kub<strong>wa</strong><br />
zaidi kuliko mbinu zile za zamani, ambazo zilionekana kudhoofisha jitihada za kumaliza<br />
zoezi la kulipa fidia za Derema. Tarehe 15 Oktoba, Wizara ya Ardhi ilipoufahamisha<br />
mradi <strong>wa</strong> EUCAMP, k<strong>wa</strong>mba sasa itatumia Sheria na Kanuni mpya, mradi uliamini<br />
k<strong>wa</strong>mba sheria hiyo mpya ingezingatia ulipaji malipo kamili na yenye kuridhisha, tofauti<br />
na ratiba za zamani.<br />
34. Mbinu za Tathmini. Njia za kukokotoa “faida iliyopotea” haikuelez<strong>wa</strong> katika<br />
kanuni, lakini imeach<strong>wa</strong> mikononi m<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tathmini <strong>wa</strong> umma na <strong>wa</strong> binafsi, mradi tu<br />
zithibitishwe na Mtathmini Mkuu <strong>wa</strong> Serikali. Ama kuhusu mali nyingine, mazao<br />
yanaweza kutathmini<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia mbinu za mapato na uzalishaji. Katika Tanzania hii<br />
si kazi rahisi, k<strong>wa</strong>ni uzalishaji na masoko ya vijijini haviangaliwi k<strong>wa</strong> makini, <strong>wa</strong>la<br />
hakuna mahesabu yanayokaguli<strong>wa</strong> ya mashamba ya <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>dogo. Wala hakuna<br />
ratiba zilizokubali<strong>wa</strong> za mazao ya kila mmea k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> hali ya mazingira ya kijiji.<br />
Ili kukokotoa faida za matunda, na hasa k<strong>wa</strong> yale mazao ya viungo, iliku<strong>wa</strong> ni lazima<br />
kujua <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>liuza kiasi gani k<strong>wa</strong> mtu <strong>wa</strong> kati katika biashara ya nje, na kujua kiasi<br />
hicho k<strong>wa</strong> kuangalia <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> kiasi cha zao lililouz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mmea. Wastani <strong>wa</strong> bei ya<br />
mazao haya k<strong>wa</strong> kilo hutunz<strong>wa</strong> katika ofisi ya Afisa Mazao <strong>wa</strong> Wilaya, lakini orodha<br />
hiyo haitoi taarifa yoyote kuhusu zao mojamoja au <strong>wa</strong>kulima wenyewe. Wakulima<br />
27
RASIMU<br />
ha<strong>wa</strong>weki rekodi ya mauzo <strong>wa</strong>la gharama za pembejeo zao (ambazo sehemu yake kub<strong>wa</strong><br />
ni nguvukazi ya <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> familia zao). Sheria nyingine zinaruhusu mabaraza ya vijiji<br />
kukusanya kodi za mazao ya <strong>wa</strong>kulima katika vijiji vyao, lakini jambo hili limeku<strong>wa</strong><br />
gumu kutekeleza.<br />
35. Badala ya kutumia taarifa za mauzo ya moja k<strong>wa</strong> moja na pembejeo, faida<br />
zinaweza kuhesabi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kutumia msingi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> mavuno ya zao k<strong>wa</strong> kila kizio,<br />
<strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> gharama za pembejeo, na kujua <strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> hasara inayopatikana k<strong>wa</strong> zao<br />
kabla ya kuingiz<strong>wa</strong> katika soko. Uzalishaji <strong>wa</strong> vijijini hutofautiana sana kulingana na hali<br />
zilizoko katika maeneo hayo mbalimbali, na suala la Derema linaku<strong>wa</strong> ni la k<strong>wa</strong>nza<br />
ambapo malipo yake ya fidia yanafany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> misingi ya Sheria Mpya za Ardhi.<br />
Kutokana na hali hiyo <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini (<strong>wa</strong>liochaguli<strong>wa</strong> katika hali ya ushindani)<br />
<strong>wa</strong>lionelea bora kuhesabu mazao na kuyapa baadhi yake vi<strong>wa</strong>ngo vya uzalishaji <strong>wa</strong>ke,<br />
toka yale ambayo ndio m<strong>wa</strong>nzo yaliku<strong>wa</strong> yamepand<strong>wa</strong> hadi kufikia yale ambayo<br />
yanaanza kuzeeka; toka yale yaliyoku<strong>wa</strong> yametunz<strong>wa</strong> vizuri hadi yale ambayo hayaku<strong>wa</strong><br />
yametunz<strong>wa</strong> vizuri sana. K<strong>wa</strong> hiyo, k<strong>wa</strong> mazao yaliyohesabi<strong>wa</strong>, na kutathmini<strong>wa</strong> na yale<br />
yaliyoku<strong>wa</strong> yamekomaa na kutunz<strong>wa</strong>, yalipe<strong>wa</strong> thamani pungufu katika tija na matumizi<br />
ya pembejeo. Tija ya mazao yaliyokomaa inaweza kufanyi<strong>wa</strong> mahesabu kutokana na<br />
ku<strong>wa</strong>ulizia <strong>wa</strong>zalishaji na <strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong> vijijini, lakini siyo k<strong>wa</strong> kutumia tofauti kati ya<br />
uzalishaji na vi<strong>wa</strong>ngo halisi vilivyouz<strong>wa</strong>. Hata hivyo, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> mazao ya viungo<br />
ni kiasi kidogo sana cha zao lililozalish<strong>wa</strong> hupotea katika msururu <strong>wa</strong> uuzaji, k<strong>wa</strong> sababu<br />
mazao yote manne – iliki, karafuu, mdalasini na pilipili manga – hukaush<strong>wa</strong> juani tu na<br />
kuuz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>chuuzi; hasa <strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong>naoishi vijijini au ambao <strong>wa</strong>nakuja vijijini<br />
kununua.<br />
36. K<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Derema, mradi <strong>wa</strong> EUCAMP, chini ya Wizara ya Maliasili na<br />
Utalii, ndio ulioanzisha shughuli hiyo. Iliweka mkataba na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini.<br />
Ilipotokea k<strong>wa</strong>mba thamani zilizoonyesh<strong>wa</strong> ziliku<strong>wa</strong> kub<strong>wa</strong> sana kuliko ilivyotaraji<strong>wa</strong><br />
mradi uliajiri “timu huru ya <strong>wa</strong>kadiriaji thamani” kupitia tathmini hiyo na kutoa ushauri.<br />
28
RASIMU<br />
Timu hiyo ili<strong>wa</strong>silisha ripoti yake ya mwisho 5 ya tathmini hiyo k<strong>wa</strong> Mthamini Mkuu <strong>wa</strong><br />
Serikali (taz. aya 15 hapo juu). Baadaye <strong>wa</strong>fanyakazi <strong>wa</strong> EUCAMP na <strong>wa</strong>shauri<br />
<strong>wa</strong>lipeleka maombi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>fadhili wengine ili kuchangia malipo ya fidia yaliyopitish<strong>wa</strong>,<br />
iki<strong>wa</strong> ni pamoja na kupeleka maombi k<strong>wa</strong> mradi <strong>wa</strong> misitu unaofadhili<strong>wa</strong> na Benki ya<br />
Dunia, ambao nao unasaidia Idara ya Misitu na Ufugaji Nyuki, katika Wizara ya<br />
Maliasili na Misitu 6<br />
37. Sera ya Benki ya Dunia ya mapato na kulinganish<strong>wa</strong> na sheria ya Tanzania.<br />
Sera ya Uendeshaji 4.12 (OP. 4, 12) ya Benki ya Dunia kuhusu makazi mapya<br />
yasiyokusudi<strong>wa</strong> inaelezea takribani kanuni zilezile za uhamishaji <strong>wa</strong>tu katika maeneo<br />
yenye mali za uchumi ambazo zimo katika Sheria na Kanuni za Tanzania . Hizo ni<br />
pamoja na:<br />
• Sharti la msingi la kulipa fidia kamili, ya haki na isiyochelewesh<strong>wa</strong><br />
• Kujumuisha gharama mbalimbali <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kufanya mahesabu ya fidia, ziki<strong>wa</strong><br />
zinalip<strong>wa</strong> kama masurufu ya gharama zisizo za moja k<strong>wa</strong> moja zinazohusiana na<br />
ubadilishaji <strong>wa</strong> mali (usumbufu, usafiri, n.k.)<br />
• Sharti kawmba fidia ya mazao ihesabiwe kama gharama ya jumla ya uzalishaji<br />
uliopotea katika kipindi ambacho shughuli mbadala zinatafut<strong>wa</strong> ili kurejesha<br />
mapato ya mhusika katika hali yake.<br />
38. Sheria ya Tanzania inaku<strong>wa</strong> pungufu kidogo katika kushughulikia mambo ya<br />
uhamish<strong>wa</strong>ji kuliko Sera ya Uendeshaji ya Benki ya Dunia katika namna ifuatayo:<br />
• Sera ya Uendeshaji ya Benki ya Dunia (OP 4.12) inahitajia k<strong>wa</strong>mba mambo yote<br />
yanayohusu mapato, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na mpango <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> malipo ya<br />
fidia na ubadili <strong>wa</strong> mali, yapangwe mapema, na yawe <strong>wa</strong>zi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le wote<br />
<strong>wa</strong>naohusika.<br />
5 “Ripoti juu ya Kuhesabu Mazao na Tathmini ya Mazao yaliyomo shambani katika Eneo lililoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
ajili ya Hifadhi ya Msitu <strong>wa</strong> Derema”, imetayarish<strong>wa</strong> na Proper Consult (T) Limited, Dar es Salaam, 31<br />
Julai 2002.<br />
6 EUCAMP uliku<strong>wa</strong> mradi ulioku<strong>wa</strong> unaisaidia ofisi ya Tanga Catchment Forest Office (TCFO), ya Idara<br />
ya Misitu na Ufugaji Nyuki. TFCO inayo mamlaka ya kudhibiti Catchment Forest Reserves katika Milima<br />
ya Usambara Mashariki (ambayo iko katika Wilaya mbili za Mkoa <strong>wa</strong> Tanga). Ndiyo iliyoanzisha na<br />
kupanga upya hifadhi kadhaa za misitu, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na HIMAA. Hata hivyo HIMAA ina<strong>wa</strong>jibika moja<br />
k<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong> Mkurugenzi <strong>wa</strong> FBD, siyo k<strong>wa</strong> TFCO<br />
29
RASIMU<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba mali zilipiwe fidia k<strong>wa</strong> thamani kamili na halisi<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naopoteza mali zao <strong>wa</strong>pewe fursa ya kuboresha hali<br />
zao za maisha, na uwezo <strong>wa</strong> kupata uzalishaji mali mbadala au namna nyingineyo<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba upangaji <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli uwe shirikishi, k<strong>wa</strong><br />
namna ambayo <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>takaoathirika <strong>wa</strong>elewe kikamilifu ni hatua gani<br />
zitachukuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba kuwe na mbinu na namna rahisi ambazo zinafanya kazi vizuri<br />
katika kutatua migogoro na malalamiko.<br />
39. Haitegemewi k<strong>wa</strong>mba kutaku<strong>wa</strong> na hatua zitakazochukuli<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong><br />
mradi huu, kuibadili sheria ya Tanzania na kanuni zake ili ilingane na mahitajio na<br />
masharti ya OP 4.12. Badala yake Wizara ya Maliasili na Utalii katika kutafuta msaada<br />
<strong>wa</strong> kifedha kutoka Benki ya Dunia k<strong>wa</strong> ajili ya kutatulia suala hili inakubali kutekeleza<br />
Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sera ya<br />
Uendeshaji ya Benki ya Dunia. Katika kipengele chochote cha mchakato huo ambapo<br />
masharti ya Tanzania na Benki ya Dunia yanatofautiana au kusigana Wizara inakubali<br />
kufuata zile taratibu ambazo ni muafaka k<strong>wa</strong> pande hizo mbili na taratibu zake. Pale<br />
ambapo sera ya Benki haisemi chochote kuhusu kipengele fulani, Wizara haitatafuta<br />
kipingamizi kutoka Benki ya Dunia kutekeleza mpango huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI k<strong>wa</strong><br />
mujibu <strong>wa</strong> taratibu na kanuni za Tanzania.<br />
40. Kuliingiza Tao la Mashariki Katika sera ya Benki ya Dunia. Mradi <strong>wa</strong><br />
Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania (Tanzania Forest Conservation and<br />
Management Project), ambao unafadhili<strong>wa</strong> na IDA una sehemu kuu mbili na muhimu:<br />
msaada <strong>wa</strong> FBD katika uwezo <strong>wa</strong> kusimamia na kulinda ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> taifa, iki<strong>wa</strong> ni<br />
pamoja na hifadhi ya misitu; na kusaidia shughuli za hifadhi katika milima ya Tao la<br />
Mashariki. Wakati mradi huo ulipo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kuidhinish<strong>wa</strong> na Benki ya Dunia, ilielez<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong>mba:<br />
“Serikali imekubali k<strong>wa</strong>mba i<strong>wa</strong>po itatokea, k<strong>wa</strong> bahati mbaya, k<strong>wa</strong>mba katika<br />
utekelezaji <strong>wa</strong> mradi kutaku<strong>wa</strong> na lazima ya <strong>wa</strong>tu kuhamish<strong>wa</strong> bila hiari yao, mpango<br />
makini <strong>wa</strong> uhamishaji utatayarish<strong>wa</strong> na kupelek<strong>wa</strong> IDA ili upitiwe vizuri kabla hatua<br />
zozote za uhamishaji hazijachukuli<strong>wa</strong>”.<br />
30
RASIMU<br />
Ombi hili la kupitish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> MKUSHUKI kusaidia kutangaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Derema katika<br />
Gazeti la serikali na ulipaji fidia ndivyo vinasababisha dharura hii. Katika kuomba<br />
msaada k<strong>wa</strong> ajili ya programu za vitegauchumi katika Tao la Mashariki, Wizara ya<br />
Maliasili na Utalii pia inaahidi ku<strong>wa</strong>silisha mipango ya MKUSHUKI k<strong>wa</strong> ajili ya<br />
uahamishaji zaidi na ulipaji fidia katika sehemu yoyote katika programu ya Tao la<br />
Mashariki, k<strong>wa</strong> kufuata sharti la OP 4.12 lisemalo k<strong>wa</strong>mba “Sera hii itahusu sehemu zote<br />
za mradi ambazo zinatokana na uhamishaji pasi na matak<strong>wa</strong> ya <strong>wa</strong>tu, bila kujali vyanzo<br />
vya upatikanaji <strong>wa</strong> fedha” (OP 4.12 aya ya 4). Hili ni sharti muhimu katika kuhakikisha<br />
k<strong>wa</strong>mba usimamizi katika Tao la Mashariki, kadri unavyozidi kuongeza shoroba na<br />
hifadhi ili kupata maeneo makub<strong>wa</strong> zaidi ya misitu, hauleti tena uhamish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>kulima k<strong>wa</strong> namna zilezile zisizo na uhakika ambazo zimetokea k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong><br />
Derema.<br />
41. Makala kutoka mradi <strong>wa</strong> GEF-UNDP yanabainisha maeneo, katika Tao la<br />
Mashariki, ambayo yanahitaji kulind<strong>wa</strong> 7 . Makala yanabainisha maeneo 11 ambayo<br />
“yanahitaji” kutangaz<strong>wa</strong> katika gazeti la serikali na, ambayo yatafanya eneo lote la<br />
hifadhi kuongezeka na ku<strong>wa</strong> zaidi ya hekta 76,000. Maeneo hayo ni pamoja na misitu<br />
katika Wilaya ya M<strong>wa</strong>nga (Kam<strong>wa</strong>la I na II, Kiverenge, M<strong>wa</strong>la, Kamwenda); Wilaya<br />
ya Muheza (ukiacha Derema, kuna Bamaba/K<strong>wa</strong>mgumi/Segoma, K<strong>wa</strong>mtili); Wilaya ya<br />
Kilosa (Mami<strong>wa</strong>-Kisara Kaskazini na Kusini); Wilaya ya Mp<strong>wa</strong>p<strong>wa</strong> (Kiboriani); Wila ya<br />
Kilolo (Kitonga, Kimala); na eneo kwenye Milima ya Rubeho. Pili, makala yanabainisha<br />
shoroba zinastahili kuunganish<strong>wa</strong>, ambazo ni muhimu katika kupunguza mmegeko mkali<br />
<strong>wa</strong> maeneo ya misitu mbalimbali: Maeneo hayo ni pamoja na u<strong>wa</strong>zi <strong>wa</strong> Bunduki kati ya<br />
Uluguru Kaskazini na Kusini, na u<strong>wa</strong>zi <strong>wa</strong> genge la Matundu-Udzung<strong>wa</strong> katika milima<br />
ya Udzung<strong>wa</strong>. Tatu, makala yanapendekeza kupandish<strong>wa</strong> hadhi hifadhi kadhaa ku<strong>wa</strong><br />
Hifadhi za Mazingira au Bustani za Taifa, hatua ambayo itayafanya matumizi ya maeneo<br />
hayo na binadamu kutoruhusi<strong>wa</strong> kisheria.<br />
7 Neil Burgess na Felician Kilahama: Ni kiasi gani cha Milima ya Tao la Mashariki kimelind<strong>wa</strong> na nini<br />
kinahitajika ili kukamilisha Mtandao <strong>wa</strong> Eneo Lililolind<strong>wa</strong>? Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Mradi <strong>wa</strong> Misitu ya<br />
Mlima ya Tao la Mashariki. Ripoti Na 2004/3 uk. 3<br />
31
RASIMU<br />
42. Maeneo haya yanabainish<strong>wa</strong> hapa k<strong>wa</strong> madhumuni ya kuonyesha tu k<strong>wa</strong>mba<br />
yanaweza ku<strong>wa</strong> maeneo ambayo yanatumi<strong>wa</strong> sana na <strong>wa</strong>tu, na ambayo <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> maeneo<br />
hayo <strong>wa</strong>naweza kudai ku<strong>wa</strong> ni maeneo yao. Wazo la kuyahifadhi au kuyapandisha hadhi<br />
linaweza ku<strong>wa</strong> muhimu na la lazima, lakini hatua hiyo haiwezi kuchukuli<strong>wa</strong> bila ya<br />
kufanya uchanganuzi makini <strong>wa</strong> suala zima, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uchanganuzi <strong>wa</strong> kina na<br />
<strong>wa</strong> kitaalamu <strong>wa</strong> gharama za binadamu zitakazotokana na kuchukua hatua hiyo. Aidha<br />
kutataki<strong>wa</strong> pia maelezo kamaili yanayohusu gharama zitakazotakikana katika mchakato<br />
<strong>wa</strong> kutangaz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke. Katika muktadha <strong>wa</strong> MKUSHUKI, na ili kulinda uhai <strong>wa</strong> mradi,<br />
ni muhimu kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba kuna uthabiti <strong>wa</strong> utekelezaji mambo, kusiwe na<br />
ugeuheu.<br />
Kuhamish<strong>wa</strong> katika Ushoroba<br />
43. Wajibu <strong>wa</strong> Kiasasi Tanzania. Katika Tanzania hakuna <strong>wa</strong>kala mkuu mwenye<br />
dhima ya usimamizi <strong>wa</strong> shughuli zote za uga<strong>wa</strong>ji ardhi k<strong>wa</strong> makazi mapya. Sheria ya<br />
Ardhi ya 1999, Sheria ya Ardhi ya Kijiji ya 2000, na sheria nyingine ndogo za kisekta<br />
zinaeleza taratibu zitakazotumika katika uga<strong>wa</strong>ji ardhi na usuluhishaji <strong>wa</strong> migogoro ya<br />
ardhi, lakini usimamizi <strong>wa</strong> sheria hizo umeach<strong>wa</strong> katika mamlaka ya serikali za mitaa,<br />
serikali kuu na mahakama. Wakala Mkuu atakayeshughulika na usimamizi <strong>wa</strong> utekelezaji<br />
<strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) ni Idara ya Misitu na<br />
Ufugaji Nyuki ya Wizara ya Tanzania ya Maliasili na Utalii (WMU). Tazama sehemu<br />
ifuatayo hapa chini kuhusu muundo <strong>wa</strong> majukumu mbalimbali ya asasi zinazohusika na<br />
utekelezi <strong>wa</strong> Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI).<br />
44 Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia. Kustahiki kulip<strong>wa</strong> fidia k<strong>wa</strong> ajili ya mashamba<br />
yaliyochukuli<strong>wa</strong> katika Ushoroba <strong>wa</strong> Derema ni jambo rahisi tu. Wale wote <strong>wa</strong>lioku<strong>wa</strong><br />
na mashamba <strong>wa</strong>nastahiki kulip<strong>wa</strong>. Mikutano iliyofanyika miaka kadhaa ikiendesh<strong>wa</strong> na<br />
Hifadhi ya Mazingira ya Amani (HIMAA), Wilaya, na <strong>wa</strong>shauri wengine <strong>wa</strong> mambo ya<br />
hifadhi <strong>wa</strong>likwisha<strong>wa</strong>tayarisha <strong>wa</strong>navijiji k<strong>wa</strong> ajili ya malipo hayo. Mnamo miezi ya Mei<br />
na Juni, m<strong>wa</strong>ka 2002, timu iliyoku<strong>wa</strong> ikiongoz<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> tathmini,<br />
<strong>wa</strong>kishirikiana na maafisa <strong>wa</strong> Wilaya ya Muheza, <strong>wa</strong> mazao, ardhi na kilimo, maafisa <strong>wa</strong><br />
misitu, na maafisa u<strong>wa</strong>ndani <strong>wa</strong>saidizi <strong>wa</strong>nne , kutoka vijiji vilivyoathirika <strong>wa</strong>lipita kila<br />
32
RASIMU<br />
kijiji. Wanavijiji <strong>wa</strong>liit<strong>wa</strong> kwenye mashamba yao, na viongozi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima na <strong>wa</strong> vijiji<br />
<strong>wa</strong>kahakiki mipaka na umiliki <strong>wa</strong> kila shamba. Kila zao lilihesabi<strong>wa</strong> mmea k<strong>wa</strong> mmea,<br />
na jani lilikat<strong>wa</strong> au lilipindish<strong>wa</strong> kuonyesha k<strong>wa</strong>mba mmea huo umekwishahesabi<strong>wa</strong>.<br />
Kila shamba lilipe<strong>wa</strong> alama yake ya utambulisho na kila mkulima alipig<strong>wa</strong> picha<br />
shambani k<strong>wa</strong>ke mbele ya mti ambao una alama ya utambulisho <strong>wa</strong> shamba hilo. Mimea<br />
ilikaguli<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati huohuo ili kutambua ukomavu na hali ya kutunz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke. Mahesabu<br />
yote hayo yaliorodhesh<strong>wa</strong> kwenye fomu za madai na kuti<strong>wa</strong> sahihi na mkulima mhusika<br />
pamoja na Afisa Ardhi <strong>wa</strong> Wilaya. Wakulima wote <strong>wa</strong>liambi<strong>wa</strong> kuweka katika kumbu<br />
kumbu alama za utambulisho <strong>wa</strong> mashamba yao na idadi ya mimea iliyohesabi<strong>wa</strong>, lakini<br />
ha<strong>wa</strong>kupe<strong>wa</strong> nakala za fomu zao <strong>wa</strong>kati huo. Waliahidi<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> nakala za fomu hizo<br />
zingepelek<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> wenyeviti <strong>wa</strong> vijiji; lakini k<strong>wa</strong> hakika hazikutole<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>la kupelek<strong>wa</strong><br />
huko. K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> matarajio ya a<strong>wa</strong>li kabisa ya makadirio yaliyofany<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati<br />
mazao ya “mpaka” yalipohesabi<strong>wa</strong> na kufyek<strong>wa</strong> (<strong>wa</strong>kati mpaka <strong>wa</strong> mita 3 za <strong>ushoroba</strong><br />
ulipopim<strong>wa</strong> kukat<strong>wa</strong> na kulipi<strong>wa</strong> fidia m<strong>wa</strong>ka uliopita), iliku<strong>wa</strong> imekadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba<br />
kungeku<strong>wa</strong> na mashamba 648; lakini kazi ya kuhesabu ilipomalizika idadi halisi ya<br />
mashamba yaliyohesabi<strong>wa</strong> iliku<strong>wa</strong> 1547. Hakuna shaka k<strong>wa</strong>mba sehemu ya ongezeko<br />
hili kub<strong>wa</strong> ilitokana na upandaji <strong>wa</strong> haraka <strong>wa</strong> mashamba, mara tu ilipotangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />
mashamba yangehesabi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kulipi<strong>wa</strong> fidia. Aidha, ni <strong>wa</strong>zi k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong><br />
na ongezeko jingine kub<strong>wa</strong> katika vijiji vilivyoongezeka baadaye. Hata hivyo, hata hayo<br />
makadirio yenyewe ya mashamba yaliyoku<strong>wa</strong> yamefany<strong>wa</strong> yaliku<strong>wa</strong> ya chini; na k<strong>wa</strong><br />
vyovyote vile, mashamba yakishaanzish<strong>wa</strong> baadaye huweza kutoa mazao. Kutokana na<br />
kutokuwepo k<strong>wa</strong> picha za mapema za mashamba hayo au njia nyingine ya upimaji<br />
mashamba ya kuwezesha kuweka tarehe ya mwisho ya stahiki ya kulip<strong>wa</strong> fidia, mradi na<br />
serikali haviku<strong>wa</strong> na njia nyingine isipoku<strong>wa</strong> kuridhia k<strong>wa</strong>mba kila shamba<br />
lililohesabi<strong>wa</strong> linastahiki fidia. Hakuna taarifa zilizokusany<strong>wa</strong> kuhusu jinsia, umri au sifa<br />
nyingine zozote za kijamii za <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> fidia; majina yao tu ndiyo yanaonyesha<br />
nani kaathirika. (K<strong>wa</strong> kuangalia orodha ya majina yaliyopo tunaweza kusema k<strong>wa</strong>mba<br />
pengine asilimia tano au kumi <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke). Baada ya kazi ya kuhesabu<br />
kukamilika, afisa misitu mmoja alibaki vijijini kushughulikia matatizo madogomadogo,<br />
iki<strong>wa</strong> ni pamoja na <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>kulima ambao ha<strong>wa</strong>kuwepo siku za kuhesabu mashamba na<br />
wenye malalamiko kuhusu umiliki au urithi <strong>wa</strong> mashamba. Kesi zote hizo hazikuchukua<br />
33
RASIMU<br />
muda kutatuli<strong>wa</strong>, pengine k<strong>wa</strong> sababu mashamba mengi hayaku<strong>wa</strong> na umiliki <strong>wa</strong> miaka<br />
mingi. Hakuku<strong>wa</strong> na suala jingine kuhusu kustahiki fidia; mashamba yote yalihesabi<strong>wa</strong>,<br />
na <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>katambuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> usahihi kabisa.<br />
45. Tathmini na Ulipaji fidia ya hasara: zoezi la m<strong>wa</strong>ka 2002. Njia iliyotumika<br />
kufanya tathmini imeelez<strong>wa</strong> hapo juu. Mazao yaliyohusika yaliku<strong>wa</strong> ni; iliki, pilipili<br />
manga, mdalasini, karafuu, miparachichi, migomba, minazi, viazi vikuu, mikaha<strong>wa</strong>,<br />
mipera, kweme, mifenesi, milimau, matunda Malaya, miembe, michikichi, michung<strong>wa</strong>,<br />
mipapai, mikarakara, minanasi, na mi<strong>wa</strong>. Paliku<strong>wa</strong> na jumla ya mazao 21. Yote haya ni<br />
mazao ya miti isipoku<strong>wa</strong> iliki, viazi vikuu, na minanasi, ambayo ni mimea inayootea<br />
chinichini, kila mmoja na nafasi kub<strong>wa</strong> kub<strong>wa</strong>, hali ambayo hufanya iwe rahisi<br />
kuihesabu; pilipili manga, mmea ambao huhesabi<strong>wa</strong> kama mtambaaji ambao huota k<strong>wa</strong><br />
kuitambalia miti yenye vivuli, na mi<strong>wa</strong>. Hapajatokea pingamizi lolote kuhusu<br />
kuhesabi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mimea, iwe ni k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima wenyewe au timu huru iliyoipitia na<br />
kuitolea maoni ripoti ya mtathmini.<br />
46. Kila mmea ulihesabi<strong>wa</strong> kulingana na ki<strong>wa</strong>ngo cha kuzaa, kuanzia ile ambayo<br />
ndiyo m<strong>wa</strong>nzo iliku<strong>wa</strong> imepand<strong>wa</strong> hadi ile iliyoku<strong>wa</strong> imekomaa na kuanza kuzeeka,<br />
ubora <strong>wa</strong> mmea wenyewe, kuanzia ile iliyoku<strong>wa</strong> imetunz<strong>wa</strong> vizuri hadi ile ambayo<br />
haiku<strong>wa</strong> imetunz<strong>wa</strong> vizuri kabisa. K<strong>wa</strong> mfano, iliki, zao lililo muhimu kuzidi mengine<br />
yote, limega<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika vi<strong>wa</strong>ngo vitatu vya kukua k<strong>wa</strong>ke, kuanzia upandaji mpya<br />
(ujulikanao kama “mmea <strong>wa</strong> siku moja,” inga<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> hakika upande <strong>wa</strong> iliki ni<br />
kipandikizi cha kishina-ukoka chenye kikonyo na jani moja), kufikia mmea mchanga<br />
uliopand<strong>wa</strong> miezi kadhaa iliyopita lakini ambao haujatoa mbegu, hadi kufikia mmea<br />
uliokomaa. Aidha mimea ya iliki iliyokomaa nayo iliga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika makundi matatu<br />
kulingana na ubora <strong>wa</strong> utunzaji <strong>wa</strong>ke, yaani, ambayo imetunz<strong>wa</strong> vizuri k<strong>wa</strong> kiasi<br />
kikub<strong>wa</strong>; ambayo imetunz<strong>wa</strong> vizuri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani; na ambayo utunzaji <strong>wa</strong>ke umeku<strong>wa</strong><br />
chini ya <strong>wa</strong>stani / karibu imetelekez<strong>wa</strong>. Katika hiki ki<strong>wa</strong>ngo cha mwisho, kutambua pia<br />
mimea ambayo inazeeka baada ya kuzaa. Ama kuhusu mimea ile ambayo haijachoka pia<br />
kuliku<strong>wa</strong> na makundi mawili, michanga na iliyokomaa. Migomba pia iliga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika<br />
makundi mawili ya mimea iliyokomaa, makundi mawili ya mimea ambayo haijakomaa,<br />
34
RASIMU<br />
na ile iliyopand<strong>wa</strong> hivi karibuni. Mazao mengi mengine pia yaliga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika kundi<br />
moja au mawili ya mimea iliyokomaa, na aghalabu kundi moja la mimea ambayo<br />
haijakomaa pamoja na kiasi cha upandaji mpya. Mga<strong>wa</strong>nyo kamili uliotumi<strong>wa</strong> na<br />
<strong>wa</strong>tathmini umeonyesh<strong>wa</strong> katika Kiambatisho 1: Kiambatisho hiki ndicho kile cha a<strong>wa</strong>li<br />
kilichoatayarish<strong>wa</strong> na kampuni ya Proper Consult, pamoja na marekebisho kidogo (taz.<br />
Chini)<br />
47. K<strong>wa</strong> kila zao, hatua iliyofuata ni kufanya mahesabu ya gharama za uendeshaji.<br />
Hizi ni pamoja na gharama za <strong>wa</strong>fanyakazi, kuanzia ufyekaji <strong>wa</strong> mashamba hadi<br />
usafirishaji na ukaushaji, na pembejeo ndogo (hasa miche, k<strong>wa</strong> sababu hakuna mbolea au<br />
viua <strong>wa</strong>dudu vitumikavyo k<strong>wa</strong> ajili ya mazao katika eneo hili). Makadirio ya matumizi<br />
ya nyumbani k<strong>wa</strong> kila zao lililohusika pia yalifany<strong>wa</strong>.<br />
48. Tukiacha tathmini hii ya mazao yaliyokuwepo shambani, makadirio ya bei za<br />
mauzo ya mazao yaliyokomaa yangeweza kufany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>uliza <strong>wa</strong>zalishaji na<br />
<strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong> vijijini. Hiyo iliacha pengo kati ya mahesabu ya uzalishaji <strong>wa</strong> kila ki<strong>wa</strong>ngo<br />
na ubora <strong>wa</strong> mmea (uzalishaji kwenye “lango la shamba”) k<strong>wa</strong> upande mmoja na kiasi<br />
halisi kilichoingiz<strong>wa</strong> katika soko k<strong>wa</strong> upande mwingine. Hii haikujulikana na<br />
ilitofautiana sana kati ya mazao ya viungo, ambayo ni kiasi kidogo tu kinachopotea<br />
katika ukaushaji juani, na mlolongo <strong>wa</strong> masoko (mazao huuz<strong>wa</strong> zaidi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nunuzi<br />
<strong>wa</strong>naoishi vijijini au <strong>wa</strong>naotembelea vijiji), na mazao yanayoharibika haraka, kama vile<br />
machung<strong>wa</strong> na mapera. Hata hivyo k<strong>wa</strong> kutumia uchunguzi mdogo na uchunguzi kadhaa<br />
<strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>ndani, kampuni ya Proper Consult <strong>wa</strong>lijitahidi sana kukadiria uzalishaji <strong>wa</strong><br />
mazao ya biashara k<strong>wa</strong> kuzingatia ukomavu na ubora <strong>wa</strong> utunzaji <strong>wa</strong> mazao.<br />
49. Dhana ya ulipaji fidia iliyomo katika Sheria ya Ardhi ya Vijiji, Tanzania<br />
inaelekeza ku<strong>wa</strong> ulipaji fidia uwe <strong>wa</strong> kulipa thamani ya upotevu <strong>wa</strong> uzalishaji <strong>wa</strong> mazao<br />
hadi hapo mazao mapya yatakapoku<strong>wa</strong> yamepand<strong>wa</strong>, yakakua na kufikia ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />
uzalishaji cha kiasi kama kile kilichopotez<strong>wa</strong>; ili kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba hakuna baki ya<br />
hasara ya mapato k<strong>wa</strong> kipindi chote hicho. Sheria ilichukua “<strong>wa</strong>stani” <strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong><br />
ukomavu <strong>wa</strong> zao ku<strong>wa</strong> miaka mitatu, na hivyo basi mfanya tathmini alifanya mahesabu<br />
35
RASIMU<br />
ya uzalishaji <strong>wa</strong> kila mwezi <strong>wa</strong> kila zao lililokomaa na kuzidisha mara 36 kupata jumla<br />
ya thamani ya zao linalohusika. K<strong>wa</strong> yale mazao ambayo yaliku<strong>wa</strong> bado kukomaa<br />
yalifany<strong>wa</strong> makadirio ya uzalishaji <strong>wa</strong> kila m<strong>wa</strong>ka na kuondoa vipengele ambavyo<br />
viliingiz<strong>wa</strong> katika mahesabu ya kipindi cha miezi 36. Hata hivyo mantiki hii haifanyi<br />
kazi k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> Derema. Hasa k<strong>wa</strong> mazao kama iliki na pilipili manga k<strong>wa</strong>ni<br />
mashamba ya <strong>msitu</strong>ni hayawezi ku<strong>wa</strong> na mbadala. Hii ni k<strong>wa</strong> sababu kivuli cha <strong>msitu</strong> na<br />
unyevu <strong>wa</strong>ke ni hali zilizo muhimu sana katika uzalishaji <strong>wa</strong> zao la iliki, zao ambalo<br />
linachukua asilimia 74 ya malipo yote ya fidia; pilipili manga pia hustawi vyema katika<br />
kivuli. Miti mingine na mazao ya shambani hutofautiana katika kutegemea hali za <strong>msitu</strong>.<br />
Hata hivyo ni kweli pia k<strong>wa</strong>mba katika vijiji vyote kuna vijiji vitatu (Msasa, Kwezitu, na<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni) ambavyo vinaishi<strong>wa</strong> ardhi k<strong>wa</strong> ajili ya kupanda mazao zaidi. Miti michache ya<br />
viungo au matunda yaweza kupand<strong>wa</strong> katika vijiji hivi, lakini hakuna kabisa nafasi ya<br />
ardhi ya kuanzisha tena mazao yaliyopotea k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo kilekile yalipopand<strong>wa</strong> <strong>msitu</strong>ni.<br />
50. Tathmini na Ulipaji fidia ya hasara: masharti ya Benki ya Dunia (OP 4.12)<br />
kuhusu hasara ya upotevu <strong>wa</strong> mazao na miti: Kanuni ya msingi ya ulipaji fidia, k<strong>wa</strong><br />
mujibu <strong>wa</strong> sera ya Benki ya Dunia, ni k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>napas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> fidia kamili ya<br />
thamani ya mali iliyopotea. Sera iko <strong>wa</strong>zi kabisa kuhusu mazao na miti ya biashara: kama<br />
ilivyo sera mpya ya Tanzania, sera ya Benki ya Dunia inahitajia k<strong>wa</strong>mba mahesabu<br />
yatakayofany<strong>wa</strong> yazingatie thamani kamili ya mazao yatakayopotea kuanzia <strong>wa</strong>kati huo<br />
hadi kipindi kingine ambacho mazao mapya yangepand<strong>wa</strong>, kukua na kufikia ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />
uzalishaji cha hayo yaliyochukuli<strong>wa</strong>. Ama kuhusu hali ya Derema mambo yafuatayo<br />
yanahitaji kuzingati<strong>wa</strong>:<br />
• Mazao hayakufyek<strong>wa</strong> na mamlaka husika baada ya kufanyi<strong>wa</strong> tathmini. Lakini,<br />
<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>liambi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>ngelip<strong>wa</strong> fidia ya mazao yao katika kipindi<br />
kisichozidi miezi sita; yaani kufikia mwisho <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002. Kama ilivyo<br />
ka<strong>wa</strong>ida ya <strong>wa</strong>tu wote duniani, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>kaacha kuyaendeleza mazao yao,<br />
<strong>wa</strong>kavuna kilichokuwepo, na kuyatelekeza mashamba yao. Katika hali na<br />
mazingira ya <strong>msitu</strong> hii iliku<strong>wa</strong> na maana k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>dudu na <strong>wa</strong>nyama<br />
<strong>wa</strong>haribifu <strong>wa</strong>lianza kuyashambulia mazao na baada ya miezi kadhaa kupita<br />
36
RASIMU<br />
<strong>msitu</strong> ukaanza kuota tena. Watu <strong>wa</strong>liotembelea maeneo yenye mashamba haya<br />
<strong>wa</strong>methibitisha k<strong>wa</strong>mba yametelekez<strong>wa</strong>.<br />
• Wakulima ha<strong>wa</strong>kupata ardhi mbadala au miche ambayo <strong>wa</strong>ngeweza kupanda<br />
katika maeneo ambayo yangeweza kupatikana, k<strong>wa</strong> mazao ambayo yangeweza<br />
kuota vijijini.<br />
• K<strong>wa</strong> hiyo <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>taku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mepoteza thamani ya mazao yao k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />
2003, 2004, 2005 na 2006<br />
• Aidha, k<strong>wa</strong> kutolip<strong>wa</strong> fidia yao (hadi malipo ya mwishoni m<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2005)<br />
<strong>wa</strong>lipoteza thamani ambayo fedha hizo zingeku<strong>wa</strong> nayo, kama <strong>wa</strong>ngelip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>kati kabla mazao hayajatelekez<strong>wa</strong>. Fedha zitakazolip<strong>wa</strong> sasa zitaku<strong>wa</strong><br />
zimeathiri<strong>wa</strong> na mfumuko <strong>wa</strong> bei; ambapo kama <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>ngeipata riba hata<br />
kama <strong>wa</strong>ngeziacha katika benki. Na k<strong>wa</strong> hakika uwezekano mkub<strong>wa</strong> ni k<strong>wa</strong>mba<br />
<strong>wa</strong>ngewekeza katika shughuli ambazo hazina uwezekano mkub<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> hasara<br />
(mazao au mifugo); shughuli ambazo haziathiriwi sana na mfumuko <strong>wa</strong> bei<br />
kuliko kuziweka benki.<br />
• Kama <strong>wa</strong>ngelip<strong>wa</strong> thamani ya uzalishaji <strong>wa</strong> mashamba yao kila m<strong>wa</strong>ka<br />
<strong>wa</strong>ngepata malipo ambayo <strong>wa</strong>ngeweza kuanza kuyawekeza <strong>wa</strong>kati huo. Hasara<br />
ya kila m<strong>wa</strong>ka, kutokana na kutokulip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>o k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati imesababisha<br />
kupungua thamani k<strong>wa</strong> fedha yao kuanzia <strong>wa</strong>kati ambapo <strong>wa</strong>lipas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong>.<br />
51. Mchanganuo <strong>wa</strong> mahesabu uliorekebish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kufuata Kanuni za Benki ya<br />
Dunia. Hadidu za Rejea zilizotumika katika ripoti hii zilihitajia uchanganuzi mpya <strong>wa</strong><br />
malipo ya fidia <strong>wa</strong>nayopas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima. Aidha Benki ya Dunia ilieleza <strong>wa</strong>zi<br />
k<strong>wa</strong>mba zoezi hili shurti lifuate vi<strong>wa</strong>ngo vya Benki ya Dunia kama benki itahitajika<br />
kuisaidia Serikali katika mpango <strong>wa</strong> ulipaji fidia uliorekebish<strong>wa</strong>.<br />
• K<strong>wa</strong>nza, mahesabu, uanishaji <strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo vya ubora <strong>wa</strong> mazao, na tija ya mazao<br />
yote (kasoro zao moja tu, taz. maelezo yafuatayo) vilichukuli<strong>wa</strong> kutoka thamini<br />
ya kampuni ya Proper Consult. K<strong>wa</strong> ujumla maelezo ya “<strong>wa</strong>kadiria thamani” na<br />
<strong>wa</strong>nakijiji <strong>wa</strong>liopatikana <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> utayarishaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI yanakubaliana<br />
k<strong>wa</strong>mba tarakimu hizi ni sahihi.<br />
37
RASIMU<br />
• K<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> hesabu za <strong>wa</strong>kadiria thamani iliki ilichukua asilimia 74 ya<br />
mazao yote yalioharibika. K<strong>wa</strong> hiyo utafiti <strong>wa</strong> kazi ya u<strong>wa</strong>ndani ulizingatia zaidi<br />
thamani ya iliki. Katika utafiti huo uchunguzi ulifany<strong>wa</strong> kuhusu uzalishaji <strong>wa</strong><br />
zao hili vijijini, kama zao bichi na kama zao lililokaush<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong>tumia<br />
<strong>wa</strong>kulima na <strong>wa</strong>fanyabiashara <strong>wa</strong>ke, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na <strong>wa</strong>le ambao <strong>wa</strong>liathirika<br />
na matokeo ya uzalishaji <strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>le ambao ha<strong>wa</strong>kuathirika nayo. Watafiti<br />
uligundua k<strong>wa</strong>mba mchanganuo <strong>wa</strong> 2002 uliku<strong>wa</strong> na makadiria ya juu mno ya<br />
uzalishaji <strong>wa</strong> iliki k<strong>wa</strong> kila mmea. K<strong>wa</strong> hiyo <strong>wa</strong>lirekebisha kiasi cha uzalishaji<br />
<strong>wa</strong> mmea mmoja k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka kutoka kilo 5 za iliki kavu hadi kilo 3.<br />
• Kutokana na mabadiliko hayo, mahesabu ya m<strong>wa</strong>nzo ya fidia yaliyofany<strong>wa</strong> na<br />
kampuni ya Proper Consult katika mis<strong>wa</strong>da yao ya a<strong>wa</strong>li, ya ripoti yao (kabla ya<br />
mabadiliko yaliyotaki<strong>wa</strong> baada ya “Ripoti ya Tathmini Huru”) yamekubali<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> uzalishaji (k<strong>wa</strong> vi<strong>wa</strong>ngo mbalimbali vya kukomaa k<strong>wa</strong> mimea,<br />
wingi na thamani ya soko, kasoro masahihisho madogomadogo ya makosa)).<br />
Mafaili, moja k<strong>wa</strong> kila mkulima, ya m<strong>wa</strong>ka 2002, yaliyotayarish<strong>wa</strong> na Proper<br />
Consult yakarekebish<strong>wa</strong> vilivyo, na yanapatikana katika mafaili ya mradi katika<br />
MNRT/FBD, ambayo yatatumika k<strong>wa</strong> ajili ya malipo.<br />
• Mfumuko <strong>wa</strong> Bei ya shilingi ya Tanzania, kuanzia m<strong>wa</strong>ka 2003 hadi m<strong>wa</strong>ka<br />
2006, <strong>wa</strong>kati halisi <strong>wa</strong> malipo, kutaongez<strong>wa</strong> kwenye malipo ili kuondoa hasara<br />
<strong>wa</strong>liyopata <strong>wa</strong>kulima k<strong>wa</strong> kutopata fedha zao mwishoni m<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002.<br />
Maelezo ya thamani ya malimbikizo ya mfumuko <strong>wa</strong> bei yanapatikana katika<br />
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwezeshaji kama ifuatavyo: Vi<strong>wa</strong>ngo vya Sasa ni<br />
kama vifuatavyo na vitarekebish<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> zoezi la utekelezaji <strong>wa</strong> malipo<br />
ya fidia ya MKUSHUKI:<br />
38
RASIMU<br />
Jed<strong>wa</strong>li 2<br />
MUUNDO WA VIWANGO VYA RIBA NA MFUMUKO WA BEI: TANZANIA (KTK %)<br />
2003 2004 2005 2006 /2<br />
Benki za Biashara:<br />
Vi<strong>wa</strong>ngo vya Uwekaji Benki- Sarafu ya TZ<br />
Akiba 2.5 2.4 2.6 2.6<br />
Ya Muda Maalumu (miezi 3-6) 3.5 4.3 4.4 4.4<br />
Riba ya Mali isiyohamishika /1 -1.0 -1.9 -1.9 -3.2<br />
Mfumuko <strong>wa</strong> Bei (<strong>wa</strong>stani <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka) 3.5 4.3 4.5 5.8<br />
Limbikizo la Mfumuko <strong>wa</strong> Bei Januari 2003 – Desemba 2006 18.1<br />
1/ Imetokana na vi<strong>wa</strong>ngo vya riba ya uwekaji akiba benki vya benki za biashara<br />
2/ Imechukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba tarakimu za Desemba 2005 zimelibakia zilezile m<strong>wa</strong>ka 2006<br />
Chanzo: Ofisi ya Rais – Mipango & Uwezeshaji, Jamhuri ya Muungani <strong>wa</strong> Tanznia, Uchunguzi <strong>wa</strong> Kiuchumi<br />
KIJIJI<br />
KISIWANI<br />
KAMBAI<br />
KWE-<br />
ZITU<br />
KWE-<br />
MDIMU<br />
• Tarakimu za thamani ya limbikizo la mfumuko <strong>wa</strong> bei iliongez<strong>wa</strong> kwenye malipo<br />
yote yaliyotaki<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong>, m<strong>wa</strong>ka 2002 (bila kutoa malipo ya mwishoni m<strong>wa</strong><br />
m<strong>wa</strong>ka 2005)<br />
• Jed<strong>wa</strong>li lifuatayo linaonyesha matokeo ya kila kijiji, k<strong>wa</strong> kila zao. Jed<strong>wa</strong>li la<br />
mwongozo k<strong>wa</strong> mazao yote na vijiji ni kama ifuatavyo:<br />
Jed<strong>wa</strong>li 3<br />
JUMLA YA FIDIA ILIYOREKEBISHWA AMBAYO INAPASWA KULIPWA KUFIKIA MWISHO<br />
WA MWAKA 2006, KWA MAZAO YOTE YALIYOORODHESHWA NA VIJIJI (Sh Tz)<br />
ILIKI<br />
PILIPILI<br />
MANGA<br />
MAZAO<br />
KARAFUU MDALA-<br />
SINI<br />
39<br />
NDIZI<br />
MENGI-<br />
NE YOTE<br />
JUMLA<br />
4, 610, 910 1, 319, 975 1, 003,200 96, 242 3,351,270 1,691,963 12,073,560<br />
6,025,191 186 685,140 2,300 200,021 435,611 7,348,449<br />
3,56,439,969 103, 465 6,289,940 321,747 12,983,802 4,944,736 381,083659<br />
445,802,512 1, 572,243 1,406,260 143,959 9,108,422 3,084,343 461,117,967
MSASA<br />
IBC<br />
JUMLA<br />
JUMLA NA<br />
MFUMUKO<br />
WA BEI<br />
RASIMU<br />
1,230,348,512 2,492,447 72,571,626 3,655,427 84,669,044 23,709,766 1,417,446,822<br />
2,043,227,322 5,488,316 81,956,166 4,219,675 110,312,559 33,866,419 2,279,070,457<br />
Chanzo: Hesabu mpya imekit<strong>wa</strong> kwenye hesabu na mchanganuo <strong>wa</strong> mazao <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2002.<br />
52 Mfumuko <strong>wa</strong> bei unaongeza asilimia 19.8 k<strong>wa</strong> kila moja<strong>wa</strong>po ya namba hizi, k<strong>wa</strong><br />
fidia ya kila mkulima, na hivyo basi k<strong>wa</strong> jumla ya pesa yote itaki<strong>wa</strong>yokulip<strong>wa</strong>. Jumla ya<br />
fidia inayopas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> kufikia mwishoni m<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 2006, iki<strong>wa</strong> pamoja na<br />
nyongeza ya mfumuko <strong>wa</strong> bei ni Sh. Tz 2, 730, 326, 407, au dola za Marekani $ 2, 184,<br />
261 k<strong>wa</strong> ki<strong>wa</strong>ngo cha Sh Tz. 1250 k<strong>wa</strong> kila dola. Maelezo zaidi kuhusu jed<strong>wa</strong>li hili<br />
yanahitajika. Kiasi kitakikanacho kulip<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> namna fulani, ni pungufu ya mahesabu<br />
yaliyoku<strong>wa</strong> yamefany<strong>wa</strong> na kampuni ya Proper Consult hapo a<strong>wa</strong>li, kutokana hasa hasa<br />
na kupunguka k<strong>wa</strong> tija ya iliki kulikotokea <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> zoezi la mchanganuo <strong>wa</strong> sasa.<br />
Kulipa nyongeza ya mfumuko <strong>wa</strong> bei hakuvunji sheria za Tanzania <strong>wa</strong>la kanuni za<br />
Benki. Inatoa m<strong>wa</strong>nya <strong>wa</strong> kulipa fidia ya haki, kitu ambacho ni msingi <strong>wa</strong> sheria<br />
linganishi ya kimataifa karibu kila mahali. Kulipa mfumuko <strong>wa</strong> bei ni utaratibu wenye<br />
manufaa zaidi kuliko kulipa k<strong>wa</strong> kutumia vi<strong>wa</strong>ngo vya riba za akaunti za akiba za benki<br />
za Tanzania, kama ambavyo inaonyesh<strong>wa</strong> pia katika Jed<strong>wa</strong>li 1; k<strong>wa</strong>ni riba za akaunti za<br />
akiba haziendi sa<strong>wa</strong> na mfumuko <strong>wa</strong> bei. Aidha, ni muhimu kukumbuka pia k<strong>wa</strong>mba<br />
katika kipindi hiki cha zaidi ya miaka minne ya mazao, tangu mazao yachukuliwe,<br />
nguvukazi ya m<strong>wa</strong>nakijiji imeku<strong>wa</strong> ikitumika kwingineko; k<strong>wa</strong> hiyo itaku<strong>wa</strong> ni haki pia<br />
kutoa gharama za nguvukazi na pembejeo nyingine katika thamani ya mazao<br />
yaliyolim<strong>wa</strong>, kama ilivyofany<strong>wa</strong> katika mahesabu.<br />
53. Hatua za kurejesha upatikanaji <strong>wa</strong> mapato: Hatua za ulipaji fidia ambazo<br />
zita<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>kulima kurejesha namna ya kupata mapato yao zinahitajika.<br />
Tukizingatia k<strong>wa</strong>mba katika hivyo vijiji vitano hakuna ardhi, kuna seti mbili kuu za hatua<br />
zitakazochukuli<strong>wa</strong>. Hatua ya k<strong>wa</strong>nza ni ile ambayo inaendelea na kupanuka ya<br />
ujasiriamali <strong>wa</strong> shughuli makini za kilimo ambazo zimeanzish<strong>wa</strong> katika vijiji<br />
40<br />
2,730,326,407
RASIMU<br />
vinavyozunguka kituo cha Hifadhi ya Mazingira cha Amani (HIMAA) (Amani Nature<br />
Reserve (ANR)), au katika vijiji vyote vya eneo hilo iki<strong>wa</strong> ni sehemu ya miradi ya<br />
Mashirika Yasiyo-ya-Kiserikali (NGOs), au kama hatua dhahiri za makusudi za<br />
kuboresha mapato katika Kanda iliyozuili<strong>wa</strong> ya HIMAA. Hatua ya pili ambayo itaweza<br />
kuleta kutengenea k<strong>wa</strong> mapato ni ku<strong>wa</strong>gawia <strong>wa</strong>tu ardhi katika maeneo yaliyoku<strong>wa</strong><br />
yamelim<strong>wa</strong> zamani, katika nyanda za chini mashariki ya Derema.<br />
54. HIMAA ilipoanzish<strong>wa</strong> mnamo m<strong>wa</strong>ka 1997, uongozi <strong>wa</strong>ke ulifikia mapatano na<br />
vijiji 18 vinavyozunguka kituo hicho na kulifanya eneo hilo ku<strong>wa</strong> Kanda iliyozuili<strong>wa</strong> na<br />
ambalo linaendesha Mpango <strong>wa</strong> Pamoja <strong>wa</strong> Utunzaji Misitu unaoendelea. Mpango huu<br />
umekit<strong>wa</strong> kwenye matokeo ya jitihada za IUCN katika miaka ya 1980 za kuanzish<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> Maendeleo ya Vijijini yaliyokit<strong>wa</strong> katika hifadhi 8 . Nia imeku<strong>wa</strong> ni kupunguza<br />
uharibifu <strong>wa</strong> misitu, k<strong>wa</strong> kuboresha kilimo katika maeneo jirani. Kutokana na<br />
kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA shughuli za uzalishaji mapato, elimu ya mazingira, na hifadhi<br />
ya misitu katika vijiji vikafany<strong>wa</strong> sehemu ya mpango <strong>wa</strong> kuvisaidia vijiji. Nao <strong>wa</strong>navijiji<br />
katika kuitikia mpango huo <strong>wa</strong>mekubali kupunguza ukusanyaji kuni <strong>msitu</strong>ni hadi kufikia<br />
mara mbili tu k<strong>wa</strong> wiki, kuchuma mimea ya da<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ruhusa maalumu tu (juhudi ziki<strong>wa</strong><br />
zinafany<strong>wa</strong> kuruhusu <strong>wa</strong>ganga <strong>wa</strong> jadi tu ndio <strong>wa</strong>chume mimea au miti inayohusika), na<br />
ku<strong>wa</strong>pa ushirikiano <strong>wa</strong>tafiti, mab<strong>wa</strong>na misitu, na <strong>wa</strong>nahifadhi. Motisha zimewek<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>zi: siyo tu k<strong>wa</strong>mba kuna shughuli za uzalishaji mali bali pia hivyo vijiji kumi na<br />
vinane huga<strong>wa</strong>na asilimia 20 ya kiingilio na malipo ya utafiti katika HIMAA, na kiasi<br />
cha mauzo ya mbao ambazo zimekat<strong>wa</strong> isivyo halali ambazo zimekamat<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> juhudi<br />
za <strong>wa</strong>navijiji. Hivi karibuni uga<strong>wa</strong>naji huu <strong>wa</strong> mapato umefikia takribani Sh. Tz. milioni<br />
2.6, au kiasi kama Sh. Tz. 145,000 k<strong>wa</strong> kila kijiji k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka. Viongozi <strong>wa</strong> kijiji cha<br />
Derema <strong>wa</strong>nataraji k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>taingiz<strong>wa</strong> pia katika mgao huo, Derema itakapochapish<strong>wa</strong><br />
katika gazeti la Serikali.<br />
55 Shughuli za uzalishaji mapato zimeku<strong>wa</strong> anu<strong>wa</strong>i (za aina mbalimbali). Zote<br />
zimeelekez<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nakijiji binafsi kufanya ubunifu <strong>wa</strong>ke kulingana na m<strong>wa</strong>nya<br />
8 Maelezo ya mipango hii yameelez<strong>wa</strong> katika Heini Vihemäki, “Politics of Participatory Forest<br />
Conservation: Cases from the Rast Usambara <strong>Mountains</strong>, Tanzania,” katika Journal of Transdisciplinary<br />
Environmental Studies, Vol. 4, no. 2, 2005, uk. 16. Kwenye Tovuti ni http://www.journal-tes.dk,<br />
41
RASIMU<br />
unaopatikana, mapendeleo na uwezo <strong>wa</strong> mtu mwenyewe. Vijiji vyote vya Amani<br />
vinashiriki katika programu hizi. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba pamekuwepo na malalamiko ku<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>nakijiji <strong>wa</strong>naojishirikisha zaidi na mambo ya siasa <strong>wa</strong>mepe<strong>wa</strong> programu fulani k<strong>wa</strong><br />
upendeleo tu, ma<strong>wa</strong>nda ya programu hizi sasa yamepanuka kufikia vijiji vyote. Baadhi ya<br />
programu hizo ni kama vile:<br />
• Uvunaji <strong>wa</strong> mbegu za masambu (Allanblackia): Mradi <strong>wa</strong> Tanga Forest<br />
Catchment umeku<strong>wa</strong> ukishirikiana na kitengo cha UNDP (Shirika la Maendeleo<br />
la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa) cha Growing Sustainable Business (Ukuzaji Biashara<br />
Endelevu), International Center for Research in Agro-Forestry (Kituo cha<br />
Kimataifa cha Utafiti katika Kilimo na Misitu), na Lever UK, ambayo hununua<br />
ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha mbegu za mti <strong>wa</strong> Allanblckia Stuhlmannii, ambazo<br />
hutumika katika kutengeneza sabuni na mafuta ya kula. Juhudi zinafany<strong>wa</strong> za<br />
kuwezesha upandaji <strong>wa</strong> mti huu katika hali ya mazingira ya kijijini, iki<strong>wa</strong> ni<br />
pamoja na upandikizaji ili kupunguza muda <strong>wa</strong> kukomaa k<strong>wa</strong>ke kufikia miaka 5-<br />
6. Mapema m<strong>wa</strong>ka 2006 tani 200 zilizovun<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima 645 zilipatikana; kiasi<br />
ambacho kilimpatia mvunaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kiasi cha dola za Kimarekeni $400;<br />
mapato k<strong>wa</strong> eneo lote yaki<strong>wa</strong> Sh Tz. Milioni 300.<br />
• Ufugaji <strong>wa</strong> Vipepeo: Katika m<strong>wa</strong>ka 2005 <strong>wa</strong>kulima 250 <strong>wa</strong>lipata pesa taslimu<br />
Sh. Tz. Milioni 32 katika programu iliyoanzish<strong>wa</strong> na Tanzania Forestry<br />
Conservation Group (Kikundi cha Hifadhi ya Misitu Tanzania) kikisaidi<strong>wa</strong> na<br />
Conservation International (kupitia mfuko <strong>wa</strong> The Critical Ecosystems<br />
Partnership Fund), World Vision, McKnight Foundation, na wengine. Wakulima<br />
hu<strong>wa</strong>kusanya na ku<strong>wa</strong>lisha lava <strong>wa</strong> aina fulani maalumu <strong>wa</strong> vipepeo mpaka<br />
<strong>wa</strong>napobadilika na ku<strong>wa</strong> pyupa, ambapo sasa ofisi ya mradi hununua vifukofuko<br />
vya pupa hao na kuvisafirisha kwenda k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nunuzi huko Marekani na Ulaya,<br />
k<strong>wa</strong> usafiri maalumu <strong>wa</strong> haraka.<br />
• Ufugaji Nyuki: Programu mpya imetoa k<strong>wa</strong> vijiji mizinga ya nyuki ya kisasa ili<br />
kuongeza uzalishji <strong>wa</strong> asali na nta. Mpaka sasa ni kama mizinga 20 tu ndio<br />
iliyokwishategesh<strong>wa</strong>; lakini inaonekana kuna hamasa ya <strong>wa</strong>tu kujiingiza katika<br />
shughuli hii.<br />
42
RASIMU<br />
• Ufugaji <strong>wa</strong> Ng’ombe <strong>wa</strong> Mazi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Kisasa: Mradi mdogo <strong>wa</strong> uendelezaji <strong>wa</strong><br />
zao la mazi<strong>wa</strong> umeanzish<strong>wa</strong> Tanga, k<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> Heifer International. Mradi<br />
huu umeku<strong>wa</strong> ukikuza ufugaji <strong>wa</strong> ng’ombe <strong>wa</strong> kisasa <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>, na ukusanyaji<br />
<strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong> katika eneo la Amani. Mpaka sasa kuna vipozaji viwili vya chuma cha<br />
pua kisichoshika kutu k<strong>wa</strong> ajili ya kuhifadhia mazi<strong>wa</strong>, na mamia ya <strong>wa</strong>kulima<br />
huleta mazi<strong>wa</strong> kila asubuhi. Kisha mazi<strong>wa</strong> hayo hupelek<strong>wa</strong> kwenye ushirika <strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> mazi<strong>wa</strong>, Tanga na huuz<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kampuni ya Tanga Fresh, hasa k<strong>wa</strong><br />
ajili ya kutengeneza mtindi.<br />
• Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya Samaki. Mpaka sasa kuna mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> ya samaki yapatayo 6 ambayo<br />
yanafanya kazi. Mab<strong>wa</strong><strong>wa</strong> hayo huzalisha kiasi cha kilo 30 za samaki kila miezi<br />
mitatu. Katika vijiji vya Amani protini ya nyama hupatikana k<strong>wa</strong> kiasi kidogo<br />
sana; k<strong>wa</strong> hiyo samaki <strong>wa</strong>na bei nzuri k<strong>wa</strong> muuzaji.<br />
56. Shughuli nyingine ni pamoja na kuhimiza kilimo cha viungo kwenye mashamba<br />
yaliyo nje ya <strong>msitu</strong>; uzalishaji <strong>wa</strong> matofali ya udongo mbichi lakini ambayo<br />
yameboresh<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> ajili ya ujenzi; mafunzo ya mbinu za kuzuia mmomonyoko <strong>wa</strong><br />
udongo, hasa katika mashamba ya mazao ya chakula; uwezekano <strong>wa</strong> kutumia majani ya<br />
limao kwenye kontua, kama njia ya kuzuia maji yasitiririke; na nyingine. Aidha,<br />
<strong>wa</strong>nafunzi kadhaa <strong>wa</strong>liomaliza shule ambao <strong>wa</strong>naoishi karibu na nyumba ya <strong>wa</strong>geni ya<br />
Amani <strong>wa</strong>mepe<strong>wa</strong> mafunzo ya kuongoza <strong>wa</strong>geni katika eneo hili. Ha<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nalip<strong>wa</strong> dola<br />
za Kimarekani 30 k<strong>wa</strong> kila siku <strong>wa</strong>fanyao kazi hiyo, ambapo asilimia 20 ya kiaso hicho<br />
huenda katika ofisi za HIMAA k<strong>wa</strong> ajili ya kutengenezea njia za kupitia ndani ya hifadhi.<br />
Mwisho HIMAA ina sera inayozingatia kutoa ajira, katika shughuli zake zote, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>naotoka katika vijiji vizungukavyo maeneo hayo tu.<br />
57. Uga<strong>wa</strong>ji Ardhi. Shughuli ndogondogo zilizoelez<strong>wa</strong> hapo juu ni nyongeza tu<br />
inayosaidia kuongeza mapato ya kifedha ya <strong>wa</strong>kulima lakini siyo zenye kuleta pato<br />
kub<strong>wa</strong> kama mashamba ya misituni, na baadhi ya shughuli hizo hazi<strong>wa</strong>fikii <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lio<br />
wengi. Aidha masoko kadhaa ya shughuli hizo yatafurika baada ya muda si mrefu.<br />
Muhimu zaidi ni kupata ardhi mbadala yenye maeneo ya kutosha kuweza kutumi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong><br />
ajili ya kilimo, na ambayo yatafidia ardhi iliyochukuli<strong>wa</strong> na hifadhi ya misitu. Serikali<br />
43
RASIMU<br />
imeazimia kuhakikisha ku<strong>wa</strong> ardhi ya namna hiyo inapatikana, iki<strong>wa</strong> ni sehemu ya<br />
MKUSHUKI.<br />
58 Mnamo mwezi Machi, m<strong>wa</strong>ka 1999 Wizara ya Ardhi iliamua ku<strong>wa</strong> ardhi ambayo<br />
hapo a<strong>wa</strong>li iliku<strong>wa</strong> imetole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kilimo cha mkonge, lakini ambayo ama<br />
haikuendelez<strong>wa</strong> kikamilifu au mradi huo hauku<strong>wa</strong> na mafanikio, irejeshwe katika<br />
mamlaka ya serikali za vijiji ili iweze kugawi<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida. Kila kijiji<br />
kilitaki<strong>wa</strong> kutayarisha orodha ya <strong>wa</strong>kulima ambao <strong>wa</strong>litaka kugawi<strong>wa</strong> ardhi, na Wizara<br />
ya Ardhi ikazielekeza Wilaya kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba ardhi inaga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> namna<br />
ambayo itaacha barabara za <strong>wa</strong>zi zitakazotumika kusafirishia mazao (taz. Kiambatisho<br />
B). Orodha ya mashamba iliandali<strong>wa</strong> ikionyesha vijiji ambavyo viligawi<strong>wa</strong> mashamba<br />
hayo. Hakuna hata kijiji kimoja cha Derema kilichoku<strong>wa</strong> katika orodha hiyo, lakini<br />
mashamba ya kwenye mteremko kuanzia vijiji vya Derema yalikuwemo. Mapema Agosti<br />
m<strong>wa</strong>ka 2001 Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya ya Muheza ali<strong>wa</strong>andikia barua Makatibu Tarafa<br />
kuhakikisha ku<strong>wa</strong> ardhi inagawi<strong>wa</strong> pia k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji vya eneo la Amani; moja ya<br />
sababu iki<strong>wa</strong> ni k<strong>wa</strong>mba baadhi ya vijiji ambavyo vilipe<strong>wa</strong> ardhi hiyo ya yaliyoku<strong>wa</strong><br />
mashamba ya mkonge viliku<strong>wa</strong> na ardhi yake vyenyewe, kub<strong>wa</strong> sana. Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya<br />
akatoa masharti ya uga<strong>wa</strong>ji mashamba hayo k<strong>wa</strong> kueleza k<strong>wa</strong>mba kila kipande cha ardhi<br />
kinachogawi<strong>wa</strong> mkulima kilipiwe Sh. Tz. 3,500 iki<strong>wa</strong> ni k<strong>wa</strong> ajili ya usajili na uwekaji<br />
mpaka; na k<strong>wa</strong>mba hakuna malipo yoyote ya fidia yatakayofany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mtu yeyote<br />
ambaye atadai ku<strong>wa</strong> ardhi hiyo iliku<strong>wa</strong> mali yake. Ardhi inayozungumzi<strong>wa</strong> hapa iko<br />
katika vijiji vya Mk<strong>wa</strong>juni na Misozwe (taz. Kiambatisho C). Haukupita hata muda<br />
<strong>wa</strong>kulima 438 kutoka vijiji saba vinavyozunguka eneo la Amani, viwili kati yake viki<strong>wa</strong><br />
vya Derema (Msasa IBC na Kisi<strong>wa</strong>ni), <strong>wa</strong>ka<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mekwishajiandikisha k<strong>wa</strong> ajili ya<br />
zoezi hili (taz. Kiambatisho D). Hatuwezi kusema k<strong>wa</strong> yakini kama hivyo vijiji vingine<br />
vitatu viliombe<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>liohitaji mashamba.<br />
59. Lakini baada ya kutayarisha orodha hizi na kuzipeleka makao makuu ya Wilaya<br />
hakuna lolote la msingi lililofanyika. Wanavijiji <strong>wa</strong> Derema <strong>wa</strong>nadai k<strong>wa</strong>mba<br />
ha<strong>wa</strong>kulifuatilia suala hili k<strong>wa</strong> sababu <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kisubiri utaratibu <strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />
ufanyike. Wanadai pia k<strong>wa</strong>mba hata kama <strong>wa</strong>ngeku<strong>wa</strong> na fedha kidogo za ku<strong>wa</strong>wezesha<br />
44
RASIMU<br />
kupata mgao <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong> mashamba, ha<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong> na fedha za kuweza kuyaendeleza, na<br />
<strong>wa</strong>kahofu k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>ngeweza kupoteza ardhi yao kama <strong>wa</strong>ngeshind<strong>wa</strong> kuyaendeleza<br />
mashamba yao katika kipindi kifupi. Lakini hii haituambii k<strong>wa</strong> nini <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>naotoka<br />
katika vijiji visivyo vya Derema ha<strong>wa</strong>kulifuatilia suala hili; k<strong>wa</strong>ni <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong><br />
ha<strong>wa</strong>tegemei kulip<strong>wa</strong> fidia ya ardhi <strong>wa</strong>kati huo. Inaelekea ku<strong>wa</strong> sababu kub<strong>wa</strong> ya<br />
kutokuwepo na matokeo mazuri ya zoezi hili kulitokana na mamlaka yanayohusika<br />
hayakuusukuma mchakato huu k<strong>wa</strong> kuwezesha ma<strong>wa</strong>siliano bayana na ya karibu baina<br />
ya <strong>wa</strong>navijiji na mamlaka ya vijiji yanayodhibiti ardhi iliyoteng<strong>wa</strong>.<br />
60 Jitihada za m<strong>wa</strong>ka 2001 za ku<strong>wa</strong>shawishi <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong> eneo la Amani<br />
kuhamishia angalau sehemu ya shughuli zao za uzalishaji kwenye maeneo ya nyanda za<br />
chini haziku<strong>wa</strong> na mafanikio sana. Hata hivyo, katika kipindi cha miaka mitano iliyopita<br />
kumekuwepo na ongezeko la thamani ya ardhi inayolimika katika nyanda hizo za chini.<br />
Kutokana na kuendelea kukua k<strong>wa</strong> uchumi <strong>wa</strong> Tanzania (na kwingineko Afrika<br />
Mashariki) katika miaka mitano iliyopita ardhi iliyo kwenye nyanda za p<strong>wa</strong>ni kati ya Dar<br />
es Salaam na Tanga imezidi ku<strong>wa</strong>vutia <strong>wa</strong>wekezaji. Soko la mazao kama matunda,<br />
karanga, korosho, na maharage linazidi kukua k<strong>wa</strong> haraka sana. Zao la mkonge, ambalo<br />
miaka 30 iliyopita liliku<strong>wa</strong> takribani limekufa kama zao la uzalishaji linaanza kufufuka<br />
tena na kutumika k<strong>wa</strong> kutengenezea nyuzi za asili zinazotumika badala ya zile za plastiki,<br />
na zao ambalo pia taka zake zinaweza kutumi<strong>wa</strong> kama biogesi ya kuzalishia umeme.<br />
Wakulima <strong>wa</strong> michung<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> Tanga <strong>wa</strong>meongeza mapato yao mara nne katika miaka<br />
mitano iliyopita, kupitia masoko ya ushirika na ujasiria masoko <strong>wa</strong>naoufanya huko<br />
Nairobi. Upatikanaji <strong>wa</strong> pembejeo, vitalu vya mimea, mlolongo <strong>wa</strong> masoko<br />
vinaanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kila moja<strong>wa</strong>po ya mazao haya. Utafiti mpana, utoaji <strong>wa</strong> pembejeo,<br />
mikopo midogo, asasi za masoko na usindikaji, makampuni na miradi mbalimbali<br />
vinafanya kazi ya kukiingiza katika soko kilimo cha mazao ya chakula katika Tanzania.<br />
61. K<strong>wa</strong> ufupi, kuna fursa mpya za uchumi zinazojitokeza katika nyanda za chini.<br />
Hii, pamoja na kukomesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kilimo cha viungo misituni, inatoa ujumbe <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema. Wachache kati yao (k<strong>wa</strong> mfano <strong>wa</strong>naotokea Kwezitu hadi<br />
Kwemdimu) <strong>wa</strong>mejipatia ardhi kutokana na juhudi zao wenyewe na <strong>wa</strong>nalima<br />
45
RASIMU<br />
michung<strong>wa</strong>, minazi, na mahindi. Kinachohitajika k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema<br />
<strong>wa</strong>lioathirika na hatua zilizochukuli<strong>wa</strong> na serikali ni ku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> pamoja <strong>wa</strong><br />
kuufanya uwezekano <strong>wa</strong> ardhi mbadala liwe jambo linalotekelezeka kikweli kweli, k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>le ambao <strong>wa</strong>nahitaji ardhi.<br />
62. Moja<strong>wa</strong>po ya makusudio muhimu katika kusimamia Kanda iliyozuili<strong>wa</strong> ni<br />
kupunguza kuingili<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Hifadhi ya Mazingira. Ama kuhusu HIMAA, Jambiya na<br />
Sosovele <strong>wa</strong>nasema:<br />
“Ukuzaji <strong>wa</strong> matumizi ya ardhi ambayo yanadumisha kuwepo k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kazi<br />
<strong>wa</strong>chache katika maeneo jirani, pengine ndio mkakati <strong>wa</strong> muda mrefu unaofaa.<br />
Lakini, pamoja na k<strong>wa</strong>mba utaratibu huo ndio unaofaa zaidi, tatizo kub<strong>wa</strong><br />
linaku<strong>wa</strong> ni k<strong>wa</strong> jinsi gani tunaweza kufanya idadi ya <strong>wa</strong>tu ikabakia ndogo<br />
katika maeneo hayo? ….. Katika maeneo kama ya Milima ya Tao la Mashariki<br />
nguvu ya ongezeko la <strong>wa</strong>tu ni kub<strong>wa</strong>” 9<br />
63. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA mnamo m<strong>wa</strong>ka 1998 kulieleza<br />
k<strong>wa</strong>mba “lengo [la hifadhi] lifikiwe k<strong>wa</strong> namna ambayo itahakikisha k<strong>wa</strong>mba hali za<br />
maisha ya <strong>wa</strong>tu haziathiriki na k<strong>wa</strong>mba shughuli zao ……… zina msingi endelevu,”<br />
nguvu ya kuongezeka k<strong>wa</strong> idadi ya <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> asili ni suala ambalo litachukua muda<br />
mrefu. Mara nyingi suala hili huonekana kama lisiloweza kubadilika, huchukuli<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naishi katika eneo fulani hu<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>na mizizi ya kale katika eneo hilo, na<br />
k<strong>wa</strong>mba kulihama eneo hilo au ku<strong>wa</strong>tafutia eneo jingine ni kuvuruga historia na<br />
utambulisho <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu. Kinyume kabisa na hivyo, maelezo yaliyotole<strong>wa</strong> hapo juu<br />
yanaonyesha k<strong>wa</strong>mba katika Tanzania k<strong>wa</strong> ka<strong>wa</strong>ida, 10 na milima ya Usambara ikiwemo,<br />
shuruti za mabadiliko ya kisiasa na masoko zimeku<strong>wa</strong> zikiendelea “kuandika upya”<br />
(kubadilisha) mikakati ya kimaisha ya <strong>wa</strong>navijiji. Kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za kiuchumi,<br />
na pengine baadaye makazi, katika nyanda za chini katika kipindi kisichoku<strong>wa</strong> na<br />
mivutano baina ya majirani, lakini kuki<strong>wa</strong> na kukinzana zaidi na malengo ya serikali,<br />
9 George Jambiya & Hussein Sosovele, “Conservation and Poverty: A case Study of the Amani Nature<br />
Reserve”, Research on Poverty Alleviation (REPOA) report 0.5, 2001, Dar es Salaam, pg. 13<br />
10 K<strong>wa</strong> maoni kuhusu Milima ya Usambara Magharibi, taz. Christopher A. Conte, “Colonial Science and<br />
Ecological Change: Tanzania’s Mlalo Basin 1888-1946,” Environmental History, April 1999, Conte<br />
anaonyesha jinsi ambavyo vijana katika Karne ya Kumi na Tisa <strong>wa</strong>livyoona tishio katika mfumo <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong><br />
kilimo na kujirekebisha kila ilipobidi: “<strong>wa</strong>lionyesha ku<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>o tayari kufanya majaribio na kuboresha<br />
kilimo chao kulingana na mabadiliko ya hali za kiekolojia, kidemografia na kiuchumi. Hakuna mtazamaji<br />
yeyote <strong>wa</strong> Ulaya aliyelekea kuele<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba mabadiliko ya vizazi viwili vya m<strong>wa</strong>siliano yana<strong>wa</strong>kilisha<br />
mwendeleo na kuachana na mazoea ya zamani.<br />
46
RASIMU<br />
hakuna vurugu zaidi kuliko hali ya kujirudiarudia ya historia ya mwelekeo <strong>wa</strong><br />
Wasambaa.<br />
64. Ikumbukwe k<strong>wa</strong>mba kupatikana k<strong>wa</strong> ardhi katika nyanda za chini na<br />
kuga<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji siyo namna fulani ya mpango uliojificha <strong>wa</strong> makazi<br />
mapya k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>takaochukua maeneo hayo. Hakuna haja ya kujenga nyumba<br />
sehemu nyingine. Ni familia chache tu zitakazoteremka kwenda mbali kidogo na jamaa<br />
zao <strong>wa</strong> karibu. Hakuna haja ya shule za ziada au huduma nyingine za kijamii<br />
zitakazohitajika katika maeneo haya mapya, ambayo sana sana yataku<strong>wa</strong> na vibanda vya<br />
muda vya kukaa <strong>wa</strong>kati shughuli za kilimo zimepamba moto. Mashamba ya Misozwe na<br />
Mk<strong>wa</strong>juni siyo mali au sehemu ya mali binafsi ya vijiji vinavyogawi<strong>wa</strong>; k<strong>wa</strong>ni ardhi<br />
<strong>wa</strong>liyope<strong>wa</strong> ilikwishachukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya kuendeleza mashamba makub<strong>wa</strong>, miongo<br />
kadhaa huko nyuma kutoka katika ardhi kub<strong>wa</strong> sana ambayo iliku<strong>wa</strong> haija<strong>wa</strong>hi ku<strong>wa</strong><br />
mali ya mtu yeyote. Hiyo ndiyo sababu Serikali ilichukua hadhari k<strong>wa</strong> kusema k<strong>wa</strong>mba<br />
vijiji jirani vitalip<strong>wa</strong> tu ada ya kujisajili; na pia ndiyo sababu ikaelez<strong>wa</strong> zaidi ku<strong>wa</strong><br />
hakuna fidia itakayolip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> ajili ya ardhi hii k<strong>wa</strong> mtu yeyote. K<strong>wa</strong> kufuata Sera ya<br />
Benki, ya Uhamaji usio <strong>wa</strong> hiari (Involuntary Resettlement Policy) haitachukuli<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong>mba kuna “jamii wenyeji” ambao <strong>wa</strong>napata <strong>wa</strong>wekezaji/ <strong>wa</strong>geni <strong>wa</strong>naokuja kukaa<br />
kwenye eneo lao.<br />
65. Majukumu ya Uongozi. Jukumu la utekelezaji <strong>wa</strong> mpango huu <strong>wa</strong><br />
MKUSHUKI (RAP) limejikita katika asasi mbalimbali ambazo k<strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong> miaka<br />
kadhaa zimeku<strong>wa</strong> zikifanya kazi pamoja katika kulilinda Tao la Mashariki (<strong>Eastern</strong> <strong>Arc</strong>)<br />
na juu ya suala la ulipaji fidia. K<strong>wa</strong> bahati nzuri asas hizi hufanya kazi k<strong>wa</strong> karibu sana<br />
na zina ushirikiano mzuri. Kazi muhimu za MKUSHUKI ni tatu:<br />
• Kupanga na kulipa fidia, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uthibitishaji <strong>wa</strong> rekodi zilizopo na<br />
utunzaji <strong>wa</strong> mafaili.<br />
• Kuanzisha tena na kufuatilia uga<strong>wa</strong>ji ardhi k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong> Derema, k<strong>wa</strong><br />
kuanza na <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika k<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong> mashamba yao, kisha<br />
wengine pia.<br />
47
RASIMU<br />
• Kuhakikisha upanuzi <strong>wa</strong> “Kanda iliyozuili<strong>wa</strong>”, sheria nyingine za maendeleo ya<br />
vijijini, shughuli, na marupurupu k<strong>wa</strong> ajili ya vijiji vya Derema.<br />
66. Malipo ya Fidia: Kuna hatua kub<strong>wa</strong> mbili zitakikanazo katika kukamilisha<br />
mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia. K<strong>wa</strong>nza mpango huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI pamoja na marekebisho<br />
yote yaliyopendekez<strong>wa</strong> kwenye sera ya zamani ya ulipaji fidia viwekwe <strong>wa</strong>zi k<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>navijiji wote, na k<strong>wa</strong> viongozi <strong>wa</strong> Wilaya na Mkoa. Baada ya ku<strong>wa</strong> uongozi <strong>wa</strong> vijiji<br />
na <strong>wa</strong>tu wote <strong>wa</strong>lioathirika <strong>wa</strong>melazimish<strong>wa</strong> kukubali mapendekezo mbalimbali ya<br />
malipo ya fidia huko nyuma, na baada ya ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mepinga vikali pendekezo la m<strong>wa</strong>ka<br />
2005 la kulip<strong>wa</strong> asilimia 50, <strong>wa</strong>nahitaji kujua na kutoa maoni yao juu ya mapendekezo<br />
yaliyotole<strong>wa</strong> sasa k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> sera ya Benki ya Dunia yanayohusu mchakato huu. Ili<br />
kulitekeleza hili maelezo kuhusu MKUSHUKI yatafsiriwe katika lugha rahisi ya<br />
Kis<strong>wa</strong>hili na yaweze kupatikana k<strong>wa</strong> urahisi. Kisha <strong>wa</strong>rsha na maelezo vitolewe k<strong>wa</strong><br />
vijiji vilivyoathirika. Timu ya WWF ya Tanzania, ambayo inafadhili<strong>wa</strong> na taasisi ya<br />
Critical Ecosystems Partnership Fund, iko tayari kufanya kazi hii. Timu hii iko katika<br />
nafasi nzuri ya kuifanya kazi hii, ikizingati<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba timu hii imeku<strong>wa</strong> ikijishughulisha<br />
na usimamizi na uchunguzaji <strong>wa</strong> athari za HIMAA k<strong>wa</strong> muongo mzima.<br />
67. Pili, mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia lazima ufanyike. Katika hatua hii, TFCMP,<br />
ikifanya kazi kupitia ofisi ya Tanga Catchment Office ilikwishaweka utaratibu <strong>wa</strong> malipo<br />
<strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> zoezi la kulipa sehemu ya malipo mnamo mwezi Oktoba m<strong>wa</strong>ka 2005.<br />
Maofisa <strong>wa</strong> FBD, <strong>wa</strong>kishirikiana na maofisa <strong>wa</strong> serikali za vijiji, <strong>wa</strong>tafanya kazi ya<br />
kuthibitisha bakaa (fedha iliyobaki) <strong>wa</strong>nayodai <strong>wa</strong>navijiji, orodha ya malipo<br />
yanayodai<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> na fomu zilizoti<strong>wa</strong> sahihi na <strong>wa</strong>kulima. Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya na Mkuu<br />
<strong>wa</strong> Mkoa <strong>wa</strong>tie saini zao kwenye ratiba (Fomu ya Ardhi Na. 23). Malipo yafanywe k<strong>wa</strong><br />
hundi, ambazo zitalip<strong>wa</strong> katika tawi la NMB ya Tanzania, mjini Muheza, ambayo ina<br />
akaunti iliyokwishaanzish<strong>wa</strong> ya ulipaji ya Derema, na ambayo ina halbaki hai. Siku ya<br />
malipo inawek<strong>wa</strong>, na malipo yanafany<strong>wa</strong> kijiji baada ya kijiji. Baada ya kuhakikisha<br />
k<strong>wa</strong>mba hundi ni sahihi, utaratibu <strong>wa</strong> ulipaji uko sa<strong>wa</strong>, na kuna maofisa <strong>wa</strong> NMB,<br />
Wilaya na <strong>wa</strong> FBD, thibitisha utambulisho <strong>wa</strong> mlip<strong>wa</strong>ji na kisha apewe hundi yake.<br />
Rekodi ya makabidhiano haya itiwe saini na pande zote mbili na kila upande ubaki na<br />
48
RASIMU<br />
nakala. Rekodi hiyo ionyeshe kiasi cha malipo yaliyofany<strong>wa</strong> ikioanish<strong>wa</strong> na hasara<br />
ambayo k<strong>wa</strong>yo malipo yanafany<strong>wa</strong>, na tarehe ya malipo. Baada ya mkulima kuonyesha<br />
kitambulisho chake, Benki ya NMB italipa hizo hundi bila kukata gharama yoyote; lakini<br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>na hiari ya kuingiza hundi hizo katika akaunti zao nyingine kama<br />
<strong>wa</strong>nazo.Timu ya Maendeleo Shirikishi ya WWF inaweza pia kuangalia kazi hiyo.<br />
68. Umiliki <strong>wa</strong> Ardhi: Maagizo ya 2001 juu ya ardhi kutoka serikali kuu na wilaya,<br />
yaliyoelez<strong>wa</strong> hapo juu bado yanafanya kazi. Kinachohitajika ni mpango <strong>wa</strong> dhati <strong>wa</strong><br />
utekelezaji <strong>wa</strong> kutembelea maeneo yaliyoteng<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>taraji<strong>wa</strong>,<br />
kushughulikia taratibu zote za maombi na kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba mahitajio yote ya<br />
kisheria yanatekelez<strong>wa</strong>. Aidha, ma<strong>wa</strong>siliano na <strong>wa</strong>husika (<strong>wa</strong> utafiti, upanuzi <strong>wa</strong> kilimo,<br />
pembejeo) na <strong>wa</strong>nunuzi (vyama vya ushirika, makampuni na <strong>wa</strong>tu binafsi) yanahitajika<br />
katika maeneo ya vijijini ili ku<strong>wa</strong>wezesha <strong>wa</strong>kulima kuamua mapema ni vitegauchumi<br />
gani <strong>wa</strong>ngependa kuweka, <strong>wa</strong>tahitaji muda gani, <strong>wa</strong>tahitaji fedha kiasi gani, na<br />
<strong>wa</strong>tegemee matokeo gani katika shughuli zao hizo. K<strong>wa</strong> mazao mengi ambayo yataweza<br />
kuanzish<strong>wa</strong> katika maeneo mapya, pengine haitaku<strong>wa</strong> lazima kuhamisha makazi kwenda<br />
bondeni, kwenye mashamba mapya; lakini k<strong>wa</strong> baadhi ya mazao kilele cha kazi za kilimo<br />
au thamani kub<strong>wa</strong> ya zao linalokaribia kukomaa huweza kuhitajia kujenga kijibanda<br />
kwenye shamba hilo jipya. K<strong>wa</strong> upande mwingine, baadhi ya <strong>wa</strong>tu – hasa <strong>wa</strong>kulima<br />
vijana ambao <strong>wa</strong>na maeneo madogo ya ardhi vijijini k<strong>wa</strong>o, <strong>wa</strong>naanza ku<strong>wa</strong> na familia<br />
zao mpya na ha<strong>wa</strong>na jinsi ya kufufua mazao ya viungo k<strong>wa</strong> ajili ya kujipatia fedha –<br />
pengine muda si muda <strong>wa</strong>tateremka kwenye nyanda za chini na kuanzisha makazi ya<br />
kudumu.<br />
69. Shughuli hii itahitaji uelekezi <strong>wa</strong> kitaalamu k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka miwili mpaka<br />
zoezi hili liwe limeshika na kueleweka vizuri k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le ambao baadaye <strong>wa</strong>tachukua<br />
nafasi ya ku<strong>wa</strong>ongoza wenzao. Mratibu <strong>wa</strong> Ulipaji Fidia na Maendeleo (F&M) atape<strong>wa</strong><br />
mkataba <strong>wa</strong> kufanya kazi katika ofisi ya mhifadhi <strong>wa</strong> HIMAA k<strong>wa</strong> muda <strong>wa</strong> miaka<br />
miwili. Atafanya kazi ya ku<strong>wa</strong> mtetezi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema – siyo <strong>wa</strong>le tu<br />
<strong>wa</strong>lioondole<strong>wa</strong> katika <strong>msitu</strong> bali pia <strong>wa</strong>navijiji wengine. Huyu ataanza kazi upesi<br />
iwezekanavyo, mara baada ya kuwek<strong>wa</strong> mkataba baina ya Idara ya Misitu na Ufugaji<br />
49
RASIMU<br />
Nyuki (IMUN) (FBD) na Benki ya Dunia k<strong>wa</strong>mba itatoa fedha za kulipia fidia na<br />
shughuli za maendeleo. Haina maana kuanza kujiingiza kwenye programu yenyewe hasa<br />
hadi hapo tarehe za malipo kamili ya fidia zitakapoku<strong>wa</strong> zimetangaz<strong>wa</strong> katika vijiji:<br />
k<strong>wa</strong>ni ni <strong>wa</strong>kati huo tu ambapo pataku<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>tu wenye uwezo <strong>wa</strong> kushughulikia<br />
maslahi yao ya <strong>wa</strong>kati huo. Programu hiyo itaku<strong>wa</strong> na hatua zifuatazo (bajeti ya<br />
programu imeonyesh<strong>wa</strong> hapa chini katika sehemu ya Bajeti ya MKUSHUKI).<br />
Kielelezo Na.1<br />
HATUA ZA KUWEZESHA UMILIKI WA ARDHI KATIKA NYANDA ZA CHINI ZA WAKULIMA WA<br />
DEREMA<br />
Shughuli Mwezeshaji Kuratibu(k<strong>wa</strong><br />
kushirikiana na)<br />
Tarehe<br />
Thibitisha k<strong>wa</strong> yakini nia<br />
ya dhati ya Wilaya kuhusu<br />
uga<strong>wa</strong>ji ardhi, k<strong>wa</strong> kutoa<br />
aula k<strong>wa</strong> vijiji 5 vya<br />
Derema; kubali k<strong>wa</strong>mba<br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>naweza<br />
kupata hadi mashamba 2<br />
yenye eka tatu tatu<br />
Wezesha uga<strong>wa</strong>nyaji <strong>wa</strong><br />
maeneo makub<strong>wa</strong> ya ardhi<br />
katika mashamba yenye<br />
eka tatu tatu<br />
Tembelea kila kijiji k<strong>wa</strong><br />
maelezo ya a<strong>wa</strong>li ya hatua<br />
za kuchukuli<strong>wa</strong>; weka<br />
orodha ya <strong>wa</strong>le ambao<br />
<strong>wa</strong>nahitaji hasa ardhi<br />
Warsha katika kila kijiji au<br />
Makao Makuu ya HIMAA<br />
juu ya faida, hasara na<br />
gharama za kila moja ya<br />
zao la nyanda za chini;<br />
ugharamiaji; vyanzo vya<br />
akiba, soko (siku 2? )<br />
Panga safari za basi za<br />
<strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>naopenda<br />
kutembelea sehemu<br />
zilizopim<strong>wa</strong> mashamba<br />
Ratibu mipango ya<br />
maombi k<strong>wa</strong> ajili ya<br />
mashamba na malipo<br />
Hakikisha kunakuwepo na<br />
utayarishaji na utoaji <strong>wa</strong><br />
hati za uhamishaji <strong>wa</strong><br />
mashamba<br />
Hakikisha k<strong>wa</strong>mba taarifa<br />
kuhusu chakula cha kilimo,<br />
pembejeo na masoko<br />
Mratibu <strong>wa</strong> Ulipaji Fidia<br />
na Maendeleo (F & M)<br />
katika ofisi ya mhifadhi <strong>wa</strong><br />
HIMAA<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M na<br />
maofisa Ardhi <strong>wa</strong> Wilaya<br />
na Wizara<br />
50<br />
Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa; Mkuu <strong>wa</strong><br />
Wilaya; Mkurugenzi <strong>wa</strong><br />
Maendeleo <strong>wa</strong> Wilaya;<br />
Maafisa Misitu, Ardhi,<br />
Serikali za Mitaa, Maafisa<br />
Watendaji <strong>wa</strong> maeneo ya<br />
mashamba; na maofisa<br />
wenyeji <strong>wa</strong> vijiji<br />
Mkaguzi (?), maofisa<br />
wenyeji <strong>wa</strong> vijiji<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M Maofisa <strong>wa</strong> serikali za<br />
vijiji katika vijiji vya<br />
Derema; <strong>wa</strong>kulima<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M na<br />
maafisa mazao/kilimo <strong>wa</strong><br />
Wilaya<br />
HIMAA, <strong>wa</strong>nunuzi <strong>wa</strong><br />
mazao na <strong>wa</strong>sindikaji <strong>wa</strong><br />
mazao katika mkoa <strong>wa</strong><br />
Tanga, <strong>wa</strong>gavi <strong>wa</strong><br />
pembejeo; <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong><br />
miradi na vituo vya utafiti<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M Kijiji mwenyeji kinachohusika;<br />
maofisa <strong>wa</strong><br />
serikali; maofisa <strong>wa</strong> mazao<br />
na ardhi <strong>wa</strong> Wilaya<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M Wizara ya Ardhi, vijiji<br />
wenyeji; wengine (?)<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M Wizara ya Ardhi; kijiji<br />
wenyeji; usajili <strong>wa</strong> ardhi<br />
Mratibu <strong>wa</strong> F & M, na<br />
<strong>wa</strong>dau wote<br />
Wizara ya Kilimo; miradi<br />
ya <strong>wa</strong>fadhili<br />
Anza miezi mitatu kabla ya<br />
kuanza kuga<strong>wa</strong> fidia;<br />
thibitishia Benki ya Dunia<br />
k<strong>wa</strong> barua za Mkuu <strong>wa</strong><br />
Wilaya na vijiji wenyeji<br />
zinazoonyesha nia ya dhati<br />
ya kushghulikia suala hili<br />
Anza <strong>wa</strong>kati mpango <strong>wa</strong><br />
ulipaji fidia uliorekebish<strong>wa</strong><br />
umekubali<strong>wa</strong> na Benki ya<br />
Dunia<br />
Anza <strong>wa</strong>kati mpango <strong>wa</strong><br />
ulipaji fidia uliorekebish<strong>wa</strong><br />
umekubali<strong>wa</strong> na Benki ya<br />
Dunia<br />
Anza inapoku<strong>wa</strong><br />
imethibitika k<strong>wa</strong>mba pesa<br />
zote za malipo ya fidia<br />
zimekwishaingiz<strong>wa</strong> katika<br />
akaunti ya benki ya NMB<br />
Muheza<br />
Anza <strong>wa</strong>kati mipango ya<br />
uga<strong>wa</strong>nyaji <strong>wa</strong> mashamba<br />
inaonyesha mashamba<br />
kamili na fedha zimo<br />
katika akaunti ya fedha<br />
Muheza<br />
Anza baada ya fedha za<br />
fidia kulip<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> vijiji<br />
vilivyoathirika<br />
Baada ya maombi<br />
kukubali<strong>wa</strong><br />
Uwiano <strong>wa</strong> miaka miwili<br />
ya mkataba <strong>wa</strong> Mratibu <strong>wa</strong><br />
F & M
zinatole<strong>wa</strong> katika <strong>wa</strong>kati<br />
ufaao<br />
RASIMU<br />
70. Kanda iliyozuili<strong>wa</strong> na Njia Mbadala za Maisha: Mratibu <strong>wa</strong> F & M atafanya<br />
kazi chini ya Mhifadhi Mkuu <strong>wa</strong> HIMAA, ambaye tayari ana naibu <strong>wa</strong>ke<br />
anayeshughulikia Utafiti, Mafunzo na Maendeleo ya Jamii. Baadhi ya shughuli hizo<br />
huendesh<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> msaada <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>shiriki wengine <strong>wa</strong> nje, lakini naibu mhifadhi ndiye<br />
mwenye madaraka kamili kuhusu ki<strong>wa</strong>ngo na idadi ya mikutano inayoongezeka na utafiti<br />
katika HIMAA. Mratibu <strong>wa</strong> F & M ataku<strong>wa</strong> katika nafasi nzuri ya kushiriki katika<br />
majukumu mbalimbali yanayohusu Maendeleo/Maisha ya Jamii. Ataratibu, akisaidi<strong>wa</strong> na<br />
<strong>wa</strong>shiriki anu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> shughuli ndogondogo za kijamii katika eneo linalozunguka Amani<br />
(iki<strong>wa</strong> ni pamoja na <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>pendeleao kuanzisha miradi mipya, ambapo wengi<br />
hupendelea kutumia mazao ya misitu yasiyo ya mbao (NTFP) (k.m. aina za<br />
kombamwiko, mimea ya da<strong>wa</strong> za kienyeji) kama vile ya masambu, ambayo yana<br />
uwezekano <strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> na matokeo geu kwenye HIMAA yenyewe. K<strong>wa</strong> namna hiyo<br />
atasaidia kusimamia vipengele vya maendeleo vya uhusiano kati ya kanda iliyozuili<strong>wa</strong> na<br />
vijiji.<br />
71. Ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Jamii. Maendeleo shirikishi yameku<strong>wa</strong> ni jambo la<br />
kuzingati<strong>wa</strong> katika mabadiliko ya njia za hifadhi katika maeneo ya Usambara Mashariki<br />
tangu m<strong>wa</strong>nzo. Shughuli za Wafini katika eneo hili hadi kufikia miaka ya 1980 ziliku<strong>wa</strong><br />
bado zimekit<strong>wa</strong> katika shughuli za misitu ya kibiashara. Mashinikizo kutoka Ufiini na<br />
k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> hifadhi na makundi mbalimbali katika Tanzania yalizifanya shughuli<br />
za Kifiini katika eneo hili zielekee zaidi kwenye hifadhi ya kiekolojia; na kuanzia m<strong>wa</strong>ka<br />
1992 IUCN ikashuhudia kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi ya Usambara Mashariki na<br />
Maendeleo ya Kilimo ambao ulifadhili<strong>wa</strong> na Ufiini na Ulaya (EUCADEP, baada<br />
ukajulikana kama EUCAMP) kama jaribio la kushirikiana katika kulinda ubioanu<strong>wa</strong>i<br />
pamoja na kutambua mahitaji ya <strong>wa</strong>tu. Tathmini ya Ushirikish<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> Jamii ya Vijijini<br />
ilitumi<strong>wa</strong> kuweka mipango ya vijiji 16 vya kanda iliyozuili<strong>wa</strong> kuzunguka HIMAA<br />
ilipoanzish<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 1998 na kuanzisha baadhi ya shughuli za mashambani ambazo<br />
51
RASIMU<br />
zilisaidia shughuli za hifadhi. Bodi ya ushauri k<strong>wa</strong> ajili ya HIMAA ilianzish<strong>wa</strong> iki<strong>wa</strong> na<br />
<strong>wa</strong>dau mbalimbali kama <strong>wa</strong>jumbe, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na maafisa <strong>wa</strong> serikali, makampuni<br />
ya chai, na <strong>wa</strong><strong>wa</strong>kilishi <strong>wa</strong>wili <strong>wa</strong> jamii inayozunguka eneo hilo (hata hivyo Bodi hiyo<br />
haiku<strong>wa</strong> inakutana mara k<strong>wa</strong> mara). Suala la Ushoroba <strong>wa</strong> Derema lilipoanzish<strong>wa</strong> PRA<br />
ilishauriana na vijiji vitano ambavyo viliku<strong>wa</strong> viathirike; kuka<strong>wa</strong> na matokeo ya muda ya<br />
vijiji kulikataa <strong>wa</strong>zo la hifadhi za <strong>msitu</strong> ya vijiji ku<strong>wa</strong> ndicho chombo cha kusimamia<br />
Derema.<br />
72. Ilipoamuli<strong>wa</strong> kuitangaza Derema katika Gazeti la Serikali kama sehemu ya<br />
hifadhi ya Taifa, na hivyo basi, kuondoa mashamba yote yaliyoku<strong>wa</strong> yakilim<strong>wa</strong>,<br />
kuliku<strong>wa</strong> na ma<strong>wa</strong>siliano na <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>kati wote. Tathmini ya athari za kijamii,<br />
ambayo imetole<strong>wa</strong> mapema katika maelezo haya, ilitoa maelezo mapana kuhusu mradi<br />
<strong>wa</strong> Derema na athari ambazo zina<strong>wa</strong>husu <strong>wa</strong>le ambao <strong>wa</strong>taathirika nao. Uwekaji mpaka<br />
ulifany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kushirikiana kikamilifu na <strong>wa</strong>navijiji, ambao wenyewe <strong>wa</strong>lifanya kazi ya<br />
kulifyeka eneo hilo, i<strong>wa</strong>po <strong>wa</strong>likuwepo <strong>wa</strong>lioathiri<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong> moja na zoezi hilo<br />
<strong>wa</strong>lilip<strong>wa</strong> fidia. Uwekaji hesabu na orodha ya mazao ulifanya kuwepo na ma<strong>wa</strong>siliano ya<br />
moja k<strong>wa</strong> moja kati ya <strong>wa</strong>navijiji, mamlaka za vijiji, maafisa Wilaya na Watathmini.<br />
73. Kuanzia katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2002 hadi katikati ya m<strong>wa</strong>ka 2006, yaani kuanzia<br />
<strong>wa</strong>kati tathmini ilipofany<strong>wa</strong> hadi kufikia <strong>wa</strong>kati ambapo ripoti hii iliandik<strong>wa</strong> kuliku<strong>wa</strong><br />
na ma<strong>wa</strong>siliano ya vipindivipindi baina ya <strong>wa</strong>navijiji na mamlaka yanayohusika na zoezi<br />
hili, huku hali ikiongezeka ku<strong>wa</strong> nyeti. Timu huru ya ukadiriaji ilitembelea HIMAA na<br />
maafisa <strong>wa</strong> serikali katikaTanga na Muheza mnamo mwezi Februari m<strong>wa</strong>ka 2003, katika<br />
utekelezaji <strong>wa</strong> kazi yao, lakini ha<strong>wa</strong>kufanya mikutano yoyote na <strong>wa</strong>navijiji. Mnamo<br />
mwezi Juni 2004 ujumbe <strong>wa</strong> Benki ya Dunia, <strong>wa</strong> usimamizi <strong>wa</strong> TFCMP (timu kub<strong>wa</strong>,<br />
iki<strong>wa</strong> inajumuisha UNDP, Danida, Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ufiini,<br />
NORAD, WWF na maafisa kadhaa <strong>wa</strong> ngazi za juu <strong>wa</strong> Tanzania) ulitembelea eneo hilo<br />
na <strong>wa</strong>kajionea wenyewe, pale Msasa IBC, jinsi <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>livyoku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>mekasirish<strong>wa</strong><br />
na uchelewesh<strong>wa</strong>ji <strong>wa</strong> malipo. Kufikia Juni 2005 <strong>wa</strong>shauri <strong>wa</strong> WWF <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>ki<strong>wa</strong>eleza maafisa <strong>wa</strong> Mkoa na Wilaya juu ya hasira na kutafrika k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji, na<br />
jinsi thamani ya ulip<strong>wa</strong>ji fidia ilivyoamuli<strong>wa</strong>. Jamii ziliku<strong>wa</strong> pia na <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si….. i<strong>wa</strong>po<br />
itatokea kukapatikana fidia toshelevu.<br />
52
RASIMU<br />
74. Mnamo mwezi Agosti 2005, Wizara ya Ardhi ilipokubali kuongeza pesa ya<br />
kutosha kwenye akaunti ya kulipia fidia Derema ili kuwezesha kulipa nusu ya malipo.<br />
Ofsi ya Misitu iliyoko Tanga ilianza kufanya kazi ya kuhakiki orodha ya mazao na<br />
kupata sahihi za <strong>wa</strong>kulima kuonyesha k<strong>wa</strong>mba fedha ambayo <strong>wa</strong>ngelip<strong>wa</strong> iliku<strong>wa</strong> halali.<br />
Hali katika kipindi hicho ikageuka ku<strong>wa</strong> ya <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si sana. Wakulima <strong>wa</strong>kaanza kudai<br />
riba k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka mitatu ambayo ilipita, tokea tathmini ilipofany<strong>wa</strong>; mbaya<br />
zaidi <strong>wa</strong>kakataa thamani ambayo mazao yao yalipe<strong>wa</strong>. Katika kijiji cha Kwezitu <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>liokuja kuthibitisha thamani iliyokadiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> mazao yao <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> chini ya asilimia<br />
50. Huko Msasa IBC <strong>wa</strong>nakijiji <strong>wa</strong>liilazimisha timu iliyoku<strong>wa</strong> inafanya zoezi la<br />
kutathmini mazao kuacha zoezi hilo; hadi ilibidi timu hiyo iokolewe na polisi. Katika<br />
kijiji cha Kambai hakuna hata mkulima mmoja aliyejitolea kwenye zoezi hilo. Barua<br />
kutoka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji zilitoa malalamiko juu ya thamani ambazo mazao yao yaku<strong>wa</strong><br />
yanape<strong>wa</strong>, pamoja na suala la riba; kiasi k<strong>wa</strong>mba Mbunge <strong>wa</strong> Wilaya ya Muheza na<br />
Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya <strong>wa</strong>kaingilia kati na kufanya ma<strong>wa</strong>siliano na Wizara ya Maliasili na<br />
Utalii, na pia ku<strong>wa</strong>tuliza <strong>wa</strong>nanchi. Ikakubali<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba malipo yakubaliwe na<br />
<strong>wa</strong>navijiji, lakini isichukuliwe k<strong>wa</strong>mba malipo hayo yaliku<strong>wa</strong> yana<strong>wa</strong>kilisha asilimia 50<br />
ya malipo yote. K<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>kulima ambao malipo yao yote yaliku<strong>wa</strong> kidogo sana<br />
ikashauri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba yalipwe yote k<strong>wa</strong> kutumia hundi moja; lakini <strong>wa</strong>kulima<br />
<strong>wa</strong>kang’amua k<strong>wa</strong>mba huenda <strong>wa</strong>ngeweza kuchukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>ngeku<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>melip<strong>wa</strong> kikamilifu. K<strong>wa</strong> hiyo, <strong>wa</strong>kadai nao <strong>wa</strong>lipwe kama wengine na <strong>wa</strong>endeleze<br />
mapambano yao. Uthibitishaji <strong>wa</strong> mahesabu ukakamilika katika kituo cha sehemu ya kati<br />
kutoka vijijini (Kituo cha Zigi, lango la HIMAA). Katika sehemu hiyo na pia <strong>wa</strong>kati<br />
malipo yalipofany<strong>wa</strong> Muheza kuliku<strong>wa</strong> na askari <strong>wa</strong> kulinda usalama.<br />
75. Kazi ya u<strong>wa</strong>ndani k<strong>wa</strong> ajili ya utekelezaji <strong>wa</strong> mpango huu ilifanyika katikati ya<br />
Juni, 2006. Kila kijiji kilitembele<strong>wa</strong> na kupe<strong>wa</strong> maelezo marefu na ya kina k<strong>wa</strong>mba<br />
serikali iliku<strong>wa</strong> imeomba msaada kutoka mradi <strong>wa</strong> misitu <strong>wa</strong> Benki ya Dunia ili kuweza<br />
kutatua suala la muda mrefu, la ulipaji fidia. Wanavijiji <strong>wa</strong>litoa malalamiko yao kuhusu<br />
hali iliyoku<strong>wa</strong> imetokea na kuelezea athari za hasara zao k<strong>wa</strong> kipindi cha miaka mine<br />
toka mazao yao yalipohesabi<strong>wa</strong> na kuach<strong>wa</strong>. Wakaelezea matarajio yao mema katika<br />
53
RASIMU<br />
kupata suluhisho la hali hiyo. Katika kijiji kimoja kuliku<strong>wa</strong> na tukio la kutupi<strong>wa</strong> mawe<br />
moja<strong>wa</strong>po ya magari yaliyoku<strong>wa</strong> yanatembelea vijiji; lakini tukiacha tukio hilo mikutano<br />
iliendesh<strong>wa</strong> vizuri na <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>lishiriki kikamilifu.<br />
76. Mbinu za Kushughulikia Malalamiko. Sera ya Benki ya Dunia inahitajia<br />
k<strong>wa</strong>mba pawepo na utaratibu <strong>wa</strong> kuweza kutatua migogoro ambayo inaweza kutokea<br />
katika kipengele chochote cha mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia na masuala ya maendeleo.<br />
Utaratibu huo uweze ku<strong>wa</strong> rahisi na usiwe na mizengwe, na k<strong>wa</strong>mba awepo mtu <strong>wa</strong> tatu ,<br />
mbali na pande hizo mbili, <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> shughuli hizo. Kama ilivyokwishaelez<strong>wa</strong>, katika<br />
Derema kumeku<strong>wa</strong> na malalamiko ya muda mrefu kuhusu namna shughuli ya kuhesabu<br />
mazao ilivyofany<strong>wa</strong>. Patahitajika ku<strong>wa</strong>po na juhudi kub<strong>wa</strong> za masikilizano baina ya<br />
mamlaka na <strong>wa</strong>navijiji ili kuweza kupata utatuzi <strong>wa</strong> tatizo lililopo hivi sasa; haitarajiwi<br />
k<strong>wa</strong>mba haja ya kutaka kumaliza utekelezaji <strong>wa</strong> suala hili itatosha kuondoa malalamiko<br />
yote.<br />
77. K<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kiasi kikub<strong>wa</strong> inakubalika k<strong>wa</strong>mba hesabu za mazao ziliku<strong>wa</strong><br />
sahihi na za kuridhisha, haitarajiwi k<strong>wa</strong>mba kutaku<strong>wa</strong> na malalamiko mengi kuhusu<br />
hesabu hizo za m<strong>wa</strong>nzo. Migogoro inayoweza kutokeza ni ile ambayo itaku<strong>wa</strong><br />
imesababish<strong>wa</strong> na (a) kutokuwepo k<strong>wa</strong> rekodi zote za shamba (b) mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> mimea<br />
katika kategoria mbalimbali na ubora <strong>wa</strong> utunzaji <strong>wa</strong> zao hilo, (c) thamani iliyowek<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong> kila aina ya kategoria ya zao linalohusika. Kati ya haya kunaweza kuwepo na kesi<br />
chache za rekodi zisizoonekana (kipengele (a)), na k<strong>wa</strong> kupitia vizuri majed<strong>wa</strong>li, fomu za<br />
rekodi, na picha inawezekana kuyaondoa matatizo haya pasi na kuhitaji michakato<br />
mikub<strong>wa</strong> ya kusuluhisha migogoro. Kipengele cha (b) ni suala ambalo hakuna ushahidi<br />
mbadala uliowek<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>fanya tathmini (hakuna picha za kila mti au mmea, na haielekei<br />
k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>navijiji <strong>wa</strong>naweza kuthibitisha kimaandishi ku<strong>wa</strong> mimea yao iliku<strong>wa</strong> katika<br />
hatua kub<strong>wa</strong> ya ukomavu <strong>wa</strong>ke au iliku<strong>wa</strong> inatunz<strong>wa</strong> vizuri zaidi kuliko inavyoelez<strong>wa</strong><br />
katika kategoria za <strong>wa</strong>fanyatathmini, ambazo ziliwek<strong>wa</strong> mara tu baada ya kumaliza<br />
mahesabu ya shamba). Katika kusambaza matokeo ya mchakato huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI,<br />
<strong>wa</strong>tekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI <strong>wa</strong>nataki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>onyeshe k<strong>wa</strong>mba hapatakuwepo na<br />
uwezekano <strong>wa</strong> kurudia kufanya marekebisho labda kama ushahidi <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>zi utaonekana.<br />
54
RASIMU<br />
Mwisho, kipengele (c) ni suala pana la MKUSHUKI, na litachukuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />
limeshughuliki<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> kupitish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> MKUSHUKI na kufikish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>navijiji<br />
<strong>wa</strong>lioathirika.<br />
78. K<strong>wa</strong> ufupi, kesi za migogoro zinataki<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> chache sana, hata kama k<strong>wa</strong><br />
ujumla kumeku<strong>wa</strong> na kutokuridhish<strong>wa</strong> na ucheleweshaji katika suala zima. Mpango huu<br />
utakapopitish<strong>wa</strong> na mikataba ya fidia ya kila mtu kuti<strong>wa</strong> saini, <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>naohusika<br />
<strong>wa</strong>taarifi<strong>wa</strong> katika mikutano ya vijiji juu ya utaratibu utakaofuat<strong>wa</strong> katika kutoa<br />
malalamiko na kutaka kufanyi<strong>wa</strong> marekebisho. Utaratibu <strong>wa</strong> kutoa malalamiko utaku<strong>wa</strong><br />
rahisi, ukianza kushughuliki<strong>wa</strong> katika ngazi ya kijiji ili kuharakisha mambo, nyumbufu,<br />
na utaku<strong>wa</strong> tayari kupokea ushahidi mbalimbali, lakini ukizingatia haja ya<br />
kutochelewesha mambo; utaku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> haki na utatoa utatuzi usio na upendeleo. Mchakato<br />
<strong>wa</strong> kutatua malalamiko utaku<strong>wa</strong> kama ifuatavyo:<br />
79. Mratibu <strong>wa</strong> Fidia na Maendeleo (F & M) atafungua mafaili ya kesi zote, ambayo<br />
yataku<strong>wa</strong> na nakala za mahesabu halisi ya mazao na fomu za madai, picha halisi<br />
zilizochukuli<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> zoezi la tathmini, na mafaili ya Ekseli ya fidia inayopas<strong>wa</strong><br />
kulip<strong>wa</strong>. Ataku<strong>wa</strong> tayari kuzipitia rekodi hizi za <strong>wa</strong>kulima, mmoja baada ya mwingine.<br />
80. Mratibu <strong>wa</strong> F & M atapokea malalamiko, ya kimaandishi, juu ya sehemu yoyote<br />
ya mchakato ambayo inamhusu mkulima anayehusika. Atatoa maelezo kulingana na data<br />
alizonazo, lakini pia, ikibidi, atamweleza mlalamikaji k<strong>wa</strong>mba malalamiko juu ya idadi<br />
ya mazao, uanishaji <strong>wa</strong> mazao au thamani yake vitahitaji ushahidi maalumu na dhahiri.<br />
81. Pale ambapo ushahidi unatole<strong>wa</strong> mratibu <strong>wa</strong> F & M ataitisha kikao baina yake,<br />
aki<strong>wa</strong> mshauri, mamlaka ya kijiji cha mlalamikaji, na mlalamikaji mwenyewe, ili<br />
kutafuta suluhisho. Mamlaka ya kijiji yanaweza ku<strong>wa</strong>ita <strong>wa</strong>tu na mashahidi wengine<br />
<strong>wa</strong>takaosaidia katika kuzipitia upya taarifa za kesi hiyo: hatua hii itazingatia utatuzi <strong>wa</strong><br />
malalamiko na migogoro uliokit<strong>wa</strong> katika taratibu za kijadi za eneo linalohusika.<br />
Mamlaka ya kijiji yatatoa maamuzi yao k<strong>wa</strong> maandishi kulingana na maoni yao, na<br />
55
RASIMU<br />
nakala ya maamuzi hayo atape<strong>wa</strong> mratibu k<strong>wa</strong> utekelezaji au k<strong>wa</strong> kuyapeleka k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tu<br />
wengine ambao <strong>wa</strong>tahitaji kulifuatilia suala hilo ili kuridhisha maamuzi ya mlalamikaji.<br />
82. I<strong>wa</strong>po mlalamikaji ataku<strong>wa</strong> hajaridhika na maoni ya wengi <strong>wa</strong> maafisa <strong>wa</strong> kijiji<br />
anaweza kukata rufaa kwenye Wilaya. Mratibu atapanga mkutano <strong>wa</strong> Afisa Ardhi na<br />
Afisa Mazao, chini ya uenyekiti <strong>wa</strong> Katibu Mtendaji <strong>wa</strong> Wilaya au mteule <strong>wa</strong>ke. Mratibu<br />
atapanga mkutano <strong>wa</strong> Afisa Ardhi na Afisa Mazao, chini ya uenyekiti <strong>wa</strong> Katibu<br />
Mtendaji <strong>wa</strong> Wilaya au mteule <strong>wa</strong>ke. Kikao hiki kinaweza pia kuita mashahidi wengine.<br />
Kikao kitatoa maamuzi yake k<strong>wa</strong> maandishi, na kutoa nakala k<strong>wa</strong> mlalamikaji na<br />
Mratibu, ambaye atalifuatilia suala hili i<strong>wa</strong>po kuna hatua zozote zinazopas<strong>wa</strong><br />
kuchukuli<strong>wa</strong>.<br />
83. Maamuzi yoyote mazuri yatakayoangukia upande <strong>wa</strong> mlalamikaji yatataki<strong>wa</strong><br />
kutekelez<strong>wa</strong> katika kipindi cha miezi miwili, au mwezi mmoja kama uamuzi ni suala tu<br />
la kulip<strong>wa</strong> pesa. I<strong>wa</strong>po mlalamikaji hataku<strong>wa</strong> ameridhika na maamuzi ya kamati ya<br />
Wilaya anaweza kulipeleka suala lake mahakamani. Taarifa zote za vikao hivyo<br />
zitatunz<strong>wa</strong> na ofisi ya ardhi ya Wilaya na Mratibu <strong>wa</strong> F & M k<strong>wa</strong> ajili ya HIMAA.<br />
84. Taratibu hizi zitapiti<strong>wa</strong> baada ya kipindi cha m<strong>wa</strong>ka mmoja tangu kuanza k<strong>wa</strong><br />
malipo ya mwisho ya fidia. Bodi ya Ushauri ya HIMAA, iki<strong>wa</strong> pamoja na wenyeviti na<br />
makatibu <strong>wa</strong> vijiji <strong>wa</strong>tape<strong>wa</strong> taarifa na Mratibu <strong>wa</strong> F & M juu ya ubora au ubovu <strong>wa</strong><br />
utaratibu <strong>wa</strong> kushughulikia malalamiko, na itachukua hatua zitakikanazo kama kutaku<strong>wa</strong><br />
na haja.<br />
85. Usimamizi na Tathmini ya MKUSHUKI. Mipango hii ya usimamizi <strong>wa</strong><br />
MKUSHUKI itaratibi<strong>wa</strong> na mipango ya jumla ya usimamizi na tathmini ya TFCMP.<br />
Mfumo <strong>wa</strong> kuendeshea usimamizi huu unafany<strong>wa</strong> udurusu k<strong>wa</strong> sasa. Lengo la mipango<br />
ya usimamizi litaku<strong>wa</strong> ni:<br />
• Kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba fidia zote zinazopas<strong>wa</strong> kulip<strong>wa</strong> zinalip<strong>wa</strong> katika kipindi<br />
cha miezi sita baada ya kupitish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli hii, iki<strong>wa</strong> ni shughuli ya ziada<br />
ya TFCMP<br />
56
RASIMU<br />
• Kuweza kutoa taarifa, <strong>wa</strong>kati wowote, juu ya malalamiko ambayo yamelet<strong>wa</strong> na<br />
ama yanashughuliki<strong>wa</strong> au yametatuli<strong>wa</strong><br />
• Kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba mchakato <strong>wa</strong> kupata na kuga<strong>wa</strong> ardhi katika nyanda za<br />
chini unafany<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> haraka na k<strong>wa</strong> makini k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema<br />
<strong>wa</strong>liotayari kugawi<strong>wa</strong>.<br />
• Kuchukua hatua, k<strong>wa</strong> kushirikiana na kituo cha HIMAA, za kufanya tathmini ya<br />
mwisho ili kuona kama <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika k<strong>wa</strong> kuchukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> <strong>wa</strong><br />
Derema <strong>wa</strong>meweza au <strong>wa</strong>naelekea kuweza kurejesha uwezo <strong>wa</strong>o <strong>wa</strong> kimapato na<br />
hali zao za maisha ya a<strong>wa</strong>li 11 .<br />
86. Katika suala la kufuatilia matumizi ya fedha za fidia na maendeleo, baadhi ya<br />
viashirio muhimu vya utendaji, vinavyothibitika, ni hivi vifuatavyo. (Mratibu <strong>wa</strong> F & M<br />
atasimamia mfumo <strong>wa</strong> kuvifuatilia viashirio hivyo k<strong>wa</strong> muda atakaoku<strong>wa</strong> na mkataba.<br />
Baada ya hapo mfumo huo utasimami<strong>wa</strong> na Mhifadhi Mkuu <strong>wa</strong> HIMAA)<br />
• Akaunti za malipo ya fidia, k<strong>wa</strong> idadi na asilimia ya malipo yote yataki<strong>wa</strong>yo<br />
kulip<strong>wa</strong><br />
• Malalamiko yote yatakayotambuli<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> ni halali, na ambayo<br />
yamekwishatatuli<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> idadi na asilimia ya malalamiko yote yaliyolet<strong>wa</strong><br />
• Orodha ya <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong>lioathirika na wengine katika vijiji vya Derema ambao<br />
<strong>wa</strong>nataka mashamba katika nyanda za chini, na idadi na asilimia ya <strong>wa</strong>le ambao<br />
<strong>wa</strong>napata vibali na <strong>wa</strong>naanza kuyaendeleza mashamba yao<br />
• Idadi ya mashamba ya namna hiyo ambayo yako tayari kusajili<strong>wa</strong>, yale<br />
yaliyosajili<strong>wa</strong> kama yamechukuli<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> Derema <strong>wa</strong>lioathirika,<br />
<strong>wa</strong>kulima wengine <strong>wa</strong> Derema, na <strong>wa</strong>kazi wengine <strong>wa</strong> kanda iliyozuili<strong>wa</strong> ya<br />
HIMAA, na wengineo.<br />
11 Ili kuanza mfumo <strong>wa</strong> muda mrefu <strong>wa</strong> ufuatiliaji mratibu <strong>wa</strong> F&M ataongeza mafaili kwenye rekodi za<br />
malipo ya fidia, ambazo zitatumika kufuatilia matumizi ya fedha za fidia k<strong>wa</strong> ajili ya kujishughulisha na<br />
shughuli nyingine zenye kuongeza mapato; k<strong>wa</strong> mfano, kununua ardhi nyingine, iwe ni kwenye nyanda za<br />
chini zilizochaguli<strong>wa</strong> au sehemu nyingine, katika miradi ya jirani na eneo lililozuili<strong>wa</strong> katika HIMAA, au<br />
katika shughuli mpya ya kibiashara . Ni <strong>wa</strong>zi k<strong>wa</strong>mba hakuna mahali maalumu pa kuanzia k<strong>wa</strong> ufuatiliaji<br />
<strong>wa</strong> kesi zote za <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika, lakini inawezekana kupata taarifa ya kutosha kuweza kuele<strong>wa</strong> nini <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>lioathirika <strong>wa</strong>naweza kufanya kufidia mashamba yao ya viungo/matunda katika Derema.<br />
57
RASIMU<br />
• Orodha ya vitegauchumi vinavyofahamika katika mikakati ya kujipatia riziki ya<br />
ziada, k<strong>wa</strong> aina na mahali <strong>wa</strong>lipo <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>patao fidia ya ShT
RASIMU<br />
na mamlaka ya wilaya kubainisha ardhi<br />
ambayo <strong>wa</strong>tape<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong><br />
Derema<br />
Mwezi 5 1)Wakulima <strong>wa</strong>naanza ziara<br />
2)Wataalamu (mazao na mashamba)<br />
<strong>wa</strong>natembelea vijiji 5 vya Derema<br />
kutoa mafunzo kuhusu aina za mazao<br />
yanayowez kulim<strong>wa</strong> kwenye nyanda za<br />
chini<br />
Miezi 6-12 1) Ziara za <strong>wa</strong>kulima, ununuzi <strong>wa</strong> ardhi<br />
unaendelea<br />
2) miradi mbadala ya kupatia riziki na<br />
upanuzi <strong>wa</strong> mashamba vinaendelea<br />
Miezi 12-24 1) usimamizi unaanza na unaishia na<br />
uandishi <strong>wa</strong> ripoti<br />
2) Mimea inapand<strong>wa</strong>, mavuno ya<br />
k<strong>wa</strong>nza katika nyanda za chini<br />
yanavun<strong>wa</strong><br />
Mwezi 24 MUM anamaliza kazi k<strong>wa</strong> kuandika<br />
ripoti<br />
59<br />
kukubai k<strong>wa</strong>o mipango ya serikali, ya muda<br />
mrefu, ya kuga<strong>wa</strong> tena mashamba ambayo<br />
hayajatumika<br />
MUM keshafanya mipango ya usafiri na<br />
ratiba ya ziara hizo<br />
MUM amekwishafanya ma<strong>wa</strong>siliano na<br />
<strong>wa</strong>taalamu <strong>wa</strong> kilimo na sekta binafsi ambao<br />
<strong>wa</strong>tatoa mafunzo juu ya aina mbalimbali za<br />
mazao yanayoweza kulim<strong>wa</strong>, na vitegauchumi<br />
vinavyoendana na stadi za <strong>wa</strong>kulima,<br />
mapendeleo yao na uwezo <strong>wa</strong>o<br />
Uhamishaji <strong>wa</strong> ardhi unamalizika , pamoja na<br />
hati zinazohusika kupitia Wilaya na Mkoa.<br />
Mkataba umekubali<strong>wa</strong> na WWF kufanya<br />
usimamizi na uchunguzi <strong>wa</strong> matokeo<br />
Wakulima <strong>wa</strong>mechukua mashamba mapya,<br />
<strong>wa</strong>melima na kupanda bila bugudha ya aina<br />
yoyote<br />
Mamlazaka za wilaya zimeingiza programu<br />
hii katika programu zao za ka<strong>wa</strong>ida,<br />
<strong>wa</strong>naendelea kutoa huduma k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima.<br />
HIMAA inachukua jukuma la mahusiano na<br />
vijiji 5 vya Derema kama <strong>wa</strong>faidikaji <strong>wa</strong><br />
miradi mbadala ya kupatia riziki, na kama<br />
vijiji vishirikish<strong>wa</strong>ji katika mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong><br />
mapato<br />
88. Bajeti k<strong>wa</strong> ajili ya Utekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI. Sehemu kub<strong>wa</strong> ya bajeti k<strong>wa</strong><br />
ajili ya utekelezaji <strong>wa</strong> MKUSHUKI, kama ilivyoonyesh<strong>wa</strong> katika Jed<strong>wa</strong>li 5 hapa chini,<br />
ni ile ya malipo ya fidia. Lakini mbali na kipengele hicho fedha inahitajika kuendeshea<br />
MKUSHUKI, kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba malipo ya fidia yanafany<strong>wa</strong>, na kuanzishia Ofisi ya<br />
Malipo ya Fidia na Maendeleo, chini ya Mratibu ambaye naye atawezesha shughuli<br />
nyingine za lazima katika kuikamilisha kazi hii, iki<strong>wa</strong> ni pamoja na uwezeshaji muhimu<br />
utakaofany<strong>wa</strong> na Serikali ya Wilaya ya Muheza. Majed<strong>wa</strong>li yafuatayo mawili<br />
yanaonyesha vyanzo vya fedha k<strong>wa</strong> ajili ya ulipaji fidia na mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong> fedha katika<br />
bajeti yote. (Ifahamike k<strong>wa</strong>mba mchango <strong>wa</strong> Serikali ya Ufini haujatole<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> miaka<br />
kadhaa, na hakuna hakika k<strong>wa</strong>mba utatole<strong>wa</strong>).
Matayarisho<br />
Rekebisha uchunguzi<br />
<strong>wa</strong> kijamii kulingana<br />
na hali iliyopo<br />
Kutayarisha<br />
MKUSHUKI<br />
Malipo ya Fidia<br />
Malipo ya Fidia<br />
Malipo ya Fidia<br />
Malipo ya Fidia<br />
Malipo ya Fidia<br />
Uongozi<br />
Taz. Jed<strong>wa</strong>li lifuatalo<br />
JUMLA<br />
Kitu/shughuli<br />
Wakati<br />
Nov. 05 -<br />
Juni 06<br />
Mei 06 –<br />
Agost 06<br />
RASIMU<br />
Jed<strong>wa</strong>li 4<br />
VYANZO VYA FEDHA (katika US $)<br />
Chanzo<br />
cha<br />
Fedha<br />
CEPF /<br />
WWF<br />
FBD<br />
kutoka<br />
TFCMP<br />
Mei 2006 Global<br />
Conservation<br />
Aprili/Mei<br />
2005<br />
Aprili/Mei<br />
2005<br />
Oktoba<br />
2006<br />
Mpango <strong>wa</strong> usimamizi shirikishi<br />
Gharama za Uongozi<br />
Fund<br />
Serikali ya<br />
Ufini<br />
Serikali ya<br />
Tanzania<br />
WB/TFC<br />
MP<br />
WB/TFC<br />
MP<br />
Kipindi<br />
cha Kazi<br />
(miezi)<br />
60<br />
2<br />
Jed<strong>wa</strong>li 5<br />
2<br />
M<strong>wa</strong>ka<br />
<strong>wa</strong> 1<br />
30,000<br />
50,000<br />
350,000<br />
200,000?<br />
95,000<br />
1,459,261<br />
104,600<br />
2,288,061<br />
BAJETI YA UTEKELEZAJI WA MKUSHUKI<br />
Muda<br />
2006 –<br />
2008<br />
Miezi<br />
8<br />
$/mw<br />
10,000<br />
M<strong>wa</strong>ka<br />
<strong>wa</strong> 2<br />
86,000<br />
86,000<br />
M<strong>wa</strong>ka 1<br />
10,000<br />
JUMLA<br />
30,000<br />
50,000<br />
350,000<br />
200,000?<br />
95,000<br />
1,459,261<br />
190,600<br />
2,374,061<br />
M<strong>wa</strong>ka 2<br />
40,000
Mratibu <strong>wa</strong> MKUSHUKI<br />
Vifaa vya Ofisi katika HIMAA<br />
Gari (4 x 4) + PLM x 24<br />
M<strong>wa</strong>siliano<br />
Pikipiki 5@ $3,000 ku<strong>wa</strong>wezesha<br />
maafisa <strong>wa</strong> Wilaya ya<br />
Muheza: Ardhi, Mazao, Misitu,<br />
Uta<strong>wa</strong>la, na PLM<br />
Uwezeshaji <strong>wa</strong> serikali za vijiji<br />
vya Derema katika zoezi la<br />
Uga<strong>wa</strong>ji ardhi na ulipaji fidia<br />
Fidia<br />
Kiasi kinachodai<strong>wa</strong><br />
JUMLA<br />
JUMLA KUU<br />
2006 –<br />
2008<br />
2006 –<br />
2008<br />
2006 –<br />
2008<br />
2006 –<br />
2008<br />
2006 –<br />
2007<br />
2006 –<br />
2008<br />
2006 –<br />
2007<br />
RASIMU<br />
24 1,500 18,000 18,000<br />
24<br />
24<br />
24<br />
24<br />
24<br />
61<br />
250<br />
1,000<br />
400<br />
400<br />
1,000<br />
KIAMBATISHO 1a<br />
8<br />
3,000<br />
37,000<br />
4,800<br />
19,800<br />
12,000<br />
2,184,261<br />
2,288,061<br />
3,000<br />
12,000<br />
4,800<br />
4,800<br />
12,000<br />
86,000<br />
$ 2, 374, 661<br />
Mchanganuo <strong>wa</strong> kina <strong>wa</strong> mapato k<strong>wa</strong> kila fungu au zao uliochukuli<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong><br />
moja kutoka katika utafiti uliofany<strong>wa</strong> na Proper Consult, pamoja na baadhi ya<br />
mabadiliko kwenye zao la k<strong>wa</strong>nza, Iliki, na uhariri <strong>wa</strong> sura ya jed<strong>wa</strong>li lote.<br />
1.0 ILIKI<br />
Mapato ya jumla: (k<strong>wa</strong> kila fungu k.mk @ kilo 3 zilizokaush<strong>wa</strong> kw. mw….. 7,200/=<br />
Kutoa: Gharama za Uendeshaji @ 40% (taz. chini) ……………………….. 2, 800/=<br />
Mapato Halisi k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka 3-6 ……………………………………………...4, 320/=<br />
Mapato Halisi k<strong>wa</strong> miaka 6 – 12 ni 20% ya mapato yaliyotangulia au 864/=
RASIMU<br />
Thamani ya zao ………YP*NI 4,320/=) k<strong>wa</strong> miaka 3 ya k<strong>wa</strong>nza + YP*NI (86/=) k<strong>wa</strong><br />
miaka 6 inayofuata (Tarakimu iliyopatikana ni makadirio kulingana na thamani ya mtaji,<br />
angalia mwisho <strong>wa</strong> Jed<strong>wa</strong>li hapa chini)<br />
Ki<strong>wa</strong>ngo cha uwekaji mtaji, (i), kilichochukuli<strong>wa</strong> ni 4.5%, yaani ki<strong>wa</strong>ngo, katika<br />
Tanzania, kichukuli<strong>wa</strong>cho ku<strong>wa</strong> hakina hatari.<br />
M 1 (zao lililokomaa, daraja la k<strong>wa</strong>nza) ….. zao safi na lenye mafungu yaliyotunz<strong>wa</strong><br />
vizuri<br />
Tukichukulia k<strong>wa</strong>mba:<br />
Shamba lililotunz<strong>wa</strong> vizuri, matumizi mazuri ya ardhi, za kutoa mavuno mengi<br />
Idadi nzuri ya mimea, uachaji nafasi mzuri kati ya mimea, <strong>wa</strong> sentimeta 2.5 x 2.5<br />
Kilimo kisichochanganya mazao; zao la iliki peke yake<br />
Lenye kutoa mavuno yanayovuka 80% (chanzo: utafiti)<br />
Ni mashamba machache sana yanayofikia ku<strong>wa</strong> na sifa hizi za M1, yanapatikana katika<br />
baadhi ya sehemu za Msasa IBC na Kwemdimu.<br />
K<strong>wa</strong> hiyo M1 = 5,100/= kutokana na vigezo vilivyoelez<strong>wa</strong> hapo juu.<br />
M2 (zao lililokomaa, daraja la pili): Thamani ya zao imewek<strong>wa</strong> kwenye ki<strong>wa</strong>ngo<br />
cha 65% ya M1, ambayo ni 3,315/=<br />
(a) Wastani <strong>wa</strong> Uzalishaji 60% - 80%<br />
(b) Utunzaji <strong>wa</strong> shamba <strong>wa</strong> kuridhisha<br />
(c) Wastani <strong>wa</strong> matumizi mazuri ya ardhi 60% - 80%<br />
Mambo yaliyotaj<strong>wa</strong> hapo juu yanaleta kama 65%<br />
M3 (zao lililokomaa, daraja la 3): Thamani ya zao imewek<strong>wa</strong> kwenye ki<strong>wa</strong>ngo cha<br />
40% ya M1, au 2,040/=<br />
(a) Uzalishaji <strong>wa</strong> Chini ya <strong>wa</strong>stani, kati 40% - 60%<br />
(b) Utunzaji mbaya <strong>wa</strong> iliki, 40% - 60%<br />
62
RASIMU<br />
(c) Shamba halikutunz<strong>wa</strong> vizuri (lina mapori), 40% - 60%<br />
(d) Shamba la zamani lililotelekez<strong>wa</strong>, 40% - 60%<br />
Mambo yaliyotaj<strong>wa</strong> hapo juu huleta kama 40%<br />
(Mashamba mengi ya Kisi<strong>wa</strong>ni yamo katika kundi hili)<br />
MICHE NA/AU MITI MICHANGA<br />
S1: (daraja la k<strong>wa</strong>nza): Miche ya iliki ambayo ni ya miezi 4-6 hu<strong>wa</strong>kilisha kama 10%<br />
ya thamani ya zao la (M3), katika uwekaji vitegauchumi, gharama, n.k., sa<strong>wa</strong> na Sh.T<br />
204.<br />
S2 (daraja la pili): Miche ya iliki ambayo ni ya wiki 6 -12 hu<strong>wa</strong>kilisha 5% ya ………..<br />
63
Zao (fungu)<br />
Lipa fidia k<strong>wa</strong> kila<br />
Umri <strong>wa</strong> mzunguko9<br />
(myk) (kupanda hadi<br />
kukomaa)<br />
Mara za kuvuna k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />
KIAMBATISHO 1b<br />
USHOROBA WA MSITU WA DEREMA ULIOPENDEKEZWA<br />
MATRIKI YA MAPATO YA MAVUNO YA DEREMA 13 7 02.xls pamoja na marekebisho ya iliki<br />
TATHMINI YA MALIPO YA FIDIA KWA MAZAO YA SHAMBANI<br />
Jumla ya mavuno k<strong>wa</strong><br />
m<strong>wa</strong>ka (kg au vipande)/<br />
fungu<br />
Bei k<strong>wa</strong> kg/kimoja katika<br />
Sh.Tz.<br />
Mapato ya Jumla/ fungu<br />
k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka<br />
Gharamaza uendeshsji<br />
k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>ka ktk %<br />
THAMANI YA MAZAO (YP X NI = CV)<br />
1 Iliki kilogramu 3 3 3 2400 7,200 40% 4,320 0% 4,320 360 5,100 3,315 2040 204 102 51<br />
2 Pilipili manga kilogramu 3 2 2.5 1,000 2,500 40 1,500 20 1,000 83 2,900 1,160 HH 116 6 3<br />
3 Migomba mikungu 1 3.5 8.0 600 4,800 30 3,360 35 1,680 140 3,920 3,080 HH 11.2 224 6<br />
4 Kaha<strong>wa</strong> kilogramu 2 1.0 3.0 140 420 35 273 0 273 23 HH 1,336 HH 53 HH 2<br />
5 Mdalasini kilogramu 2 0.5 3.0 530 1,590 40 954 20 636 53 1,776 1,065 HH 7 HH 2<br />
6 Karafuu kilogramu 3 1.0 7.0 2,500 17,500 45 9,625 15 7,000 583 60,000 36,000 HH 2400 HH 60<br />
7 Mananasi idadi 1 1.0 1.0 150 150 20 120 60 30 3 HH 57 HH NA 2 1<br />
8 Michikichi mikungu 5 1.0 20.0 400 8,000 30 5,600 45 2,000 167 15,212 8,366 HH 608 30 15<br />
9 Mimaleya pieces 1 1 100 5 500 10 450 45 225 19 HH 1,000 HH 40 HH 1<br />
10 Viazi vikuu kilograms 1 1 0.8 100 80 15 68 20 52 4 HH 37 HH 7 HH 1<br />
11 Mifenesi idadi 5 1 200 5 1,000 25 750 25 500 42 2,433 1,460 HH 97 HH 3<br />
12 Miembe idadi 10 1 2000 4.5 9,000 30 6,300 45 2,250 188 18,250 11,000 HH 730 HH 18<br />
13 Minazi idadi 10 4 240 50 12,000 40 7,200 50 1,200 100 23,750 14,250 HH 950 HH 23<br />
14 Milimao idadi 5 1 400 1.5 600 20 480 55 150 13 HH 667 HH 26 HH 1<br />
15 Michung<strong>wa</strong> idadi 5 1 500 3 1,500 20 1,200 40 600 50 HH 2,671 HH 106 HH 3<br />
16 Mikweme idadi 2 1 600 5 3,000 30 2,100 40 900 75 HH 1,697 HH 68 HH 2<br />
17 Mipapai idadi 2 20 50 1,000 10 900 50 400 33 HH 1,110 HH 45 HH 1<br />
18 Mikarakarat idadi 1 2500 2 5,000 40 3,000 40 1,000 83 1,886 1,130 HH 75 HH 2<br />
19 Mipera idadi 4 1 3750 2 7,500 35 4,875 45 1,500 125 5,444 3,266 HH 217 HH 5<br />
20 Miparachichi idadi 5 1 240 50 12,000 30 8,400 45 3,000 250 13,350 6,675 HH 534 HH 13<br />
21 Mi<strong>wa</strong> idadi 1 1 10 200 2,000 20 1,600 40 800 67 770 31 HH 31 HH 1<br />
Pato Kuu la m<strong>wa</strong>ka/fungu<br />
Matumizi ya Nyumbani<br />
Pato Halisi /fungu k<strong>wa</strong><br />
mwk katika Sh.Tz.<br />
Pato Halisi /fungu k<strong>wa</strong><br />
mwezi ktk Sh.Tz.
KIAMBATISHO 2<br />
USHOROBA WA DEREMA: JUMLA YA MALIPO YA FIDIA<br />
YALIYOREKEBISHWA KWA MAZAO YOTE, KIJIJI HADI KIJIJI.<br />
(HAKUNA FIDIA YA MFUMUKO WA BEI WA MWAKA 2003 – 2006)<br />
ZAO KISIWANI KAMBAI KWEZITU KWEMDIMU MSASA<br />
IBC<br />
ILIKI<br />
PILIPILI<br />
MANGA<br />
KARAFUU<br />
MDALASINI<br />
PARACHICHI<br />
MIGOMBA<br />
MINAZI<br />
VIAZI VIKUU<br />
KAHAWA<br />
MAPERA<br />
MIFENESI<br />
KWEME<br />
MIMALEYA<br />
MIEMBE<br />
MICHIKICHI<br />
MICHUNGWA<br />
MIKARAKARA<br />
MIPAPAI<br />
MINANASI<br />
MIWA<br />
JUMLA ZA<br />
VIJIJI<br />
4,610,910<br />
1,319,975<br />
1,003,200<br />
96,242<br />
117,480<br />
3,3351,270<br />
0<br />
50,562<br />
289,745<br />
148,644<br />
122,815<br />
240<br />
3,920<br />
142,220<br />
794,711<br />
318<br />
0<br />
2,400<br />
139<br />
620<br />
12,073,560<br />
6,025,191<br />
186<br />
685,140<br />
2,300<br />
15,456<br />
200,021<br />
0<br />
8,821<br />
110,930<br />
7,553<br />
34,698<br />
5,091<br />
0<br />
85,030<br />
167,590<br />
0<br />
0<br />
0<br />
0<br />
0<br />
7,348,449<br />
356,439,969<br />
103,465<br />
6,289,940<br />
321,747<br />
1,198,872<br />
12,983,802<br />
1,900<br />
948,622<br />
2,486,354<br />
1,280<br />
59,284<br />
19,415<br />
0<br />
35,773<br />
42,475<br />
98,594<br />
150<br />
0<br />
13,276<br />
6,214<br />
381,083659<br />
445,802,740<br />
1,572,243<br />
1,406,260<br />
143,959<br />
64,535<br />
9,108,422<br />
199,546<br />
136,312<br />
515,872<br />
6,749<br />
361,235<br />
3,462<br />
0<br />
511,272<br />
1,230,751<br />
18,649<br />
0<br />
2,445<br />
5,895<br />
19,074<br />
461,117,967<br />
1,230,348,512<br />
2,492,447<br />
72,571,626<br />
3,655,427<br />
3,445,390<br />
84,669,044<br />
28,050<br />
2,446,925<br />
11,082,512<br />
66,913<br />
856,515<br />
76,047<br />
432, 409<br />
289,526<br />
300,459<br />
69,297<br />
1,296<br />
1,136<br />
14,439<br />
4,577,866<br />
1,417,446,822<br />
JUMLA<br />
KWA ZAO<br />
2,043,227,322<br />
5,488,316<br />
81,956,166<br />
4,219,675<br />
4,841,733<br />
110,312,559<br />
229,496<br />
3,591,243<br />
14,485,413<br />
231,139<br />
1,434,547<br />
104,255<br />
436,329<br />
1,063,821<br />
2,435, 986<br />
176,858<br />
1,446<br />
5,981<br />
33,749<br />
4,603,774<br />
2,279,070,457
JINA LA MKULIMA<br />
KITONGOJI: IBC-JUU<br />
RASIMU<br />
KIAMBATISHO 3<br />
SAMPULI ZA ORODHA ZA MAZAO<br />
(MAJINA YA WAKULIMA YAMEHIFADHIWA)<br />
KUTOKA ORODHA ZA PROPER CONSULT, 2002<br />
NA. JINA LA ZAO KIWANGO WINGI KIASI CHA<br />
BEI ?<br />
66<br />
KIASI<br />
KAMILI?<br />
MAELEZO<br />
1 Iliki DOS 520 51.00 26,520.00 SHAMBA JIPYA<br />
2 Ndizi M 50 3,080.00 154,000.00<br />
3 Parachichi DOS 50 13.00 650.00<br />
4 Mdalasini DOS 400 2.00 800.00<br />
JUMLA 181,970.00<br />
JINA LA MKULIMA<br />
KITONGOJI: MAJENGO<br />
NA. JINA LA ZAO KIWANGO WINGI KIASI CHA<br />
BEI<br />
1 Iliki<br />
M<br />
655 5,100.00 3,340,500.00<br />
2 Ndizi M 50 3,920.00 196,000.00<br />
3 Viazi Vikuu S 200 7.00 1,400.00<br />
JUMLA 3,537,900.00<br />
JINA LA MKULIMA<br />
KITONGOJI: MAGODA<br />
NA. JINA LA ZAO KIWANGO WINGI KIASI CHA<br />
BEI ?<br />
KIASI KAMILI? MAELEZO<br />
KIASI<br />
KAMILI?<br />
LIMETUNZWA<br />
VIZURI<br />
MAELEZO<br />
1 Iliki S 50 204.00 10,200.00 LIMETUNZWA<br />
VIZURI<br />
2 Iliki M 87 5,100.00 443,700.00<br />
3 Iliki DOS 120 51.00 6,120.00<br />
4 Ndizi M 13 3,080.00 40,040.00<br />
5 Ndizi S 19 224.00 4,256.00<br />
6 Ndizi S 70 7.00 490.00<br />
7 Parachichi M 1 6,675.00 6,675.00<br />
JUMLA 511,481,00
Dar es Salaam<br />
RASIMU<br />
KIAMBATISHO 4<br />
ORODHA YA WATU WALIOOMBWA KUTOA TAARIFA<br />
• Wizara ya Maliasili na Utalii<br />
Felix Mallya, Mratibu, Mradi <strong>wa</strong> Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania<br />
(Tanzania Forest Conservation and Management Project)<br />
Evariste Nashanda, Meneja, Mradi <strong>wa</strong> Msitu <strong>wa</strong> Tao la Mashariki (<strong>Eastern</strong> <strong>Arc</strong><br />
Forestry Project (GEF))<br />
Mathias J. Lema, Meneja, Regional, Catchment, Tanga, Mkoa <strong>wa</strong> Tanga<br />
Dkt. Neil Burgess,Mshauri <strong>wa</strong> Kisayansi, Mradi <strong>wa</strong> Msitu <strong>wa</strong> Tao la Mashariki<br />
(UNDP-GEF)<br />
• Wizara ya Ardhi<br />
Albert Mallya, Mshauri <strong>wa</strong> Kisheria<br />
• Proper Consult (Washauri juu tathmini ya mazao ya Derema, 2002)<br />
Bw. Alec R. D. Rwongezib<strong>wa</strong>, FRS, MBA, Mtathmini <strong>wa</strong> Mashamba, EMACK<br />
(T) Ltd.<br />
• Ubalozi <strong>wa</strong> Ufini<br />
Veli Juola, (Kansela anayemaliza muda <strong>wa</strong>ke (Misitu))<br />
• Chuo Kikuu cha Dar es Salaam<br />
Prof. Goerge Jambiya, Idara ya Jiografia, CKDSM, na Afisa <strong>wa</strong> Sera, WWF,<br />
Tanzania.<br />
Iddi M<strong>wa</strong>nyoka, Afisa Mipango, Rasilimali Maji<br />
• Benki ya Dunia<br />
Christian Albert Peter, Mtaalamu M<strong>wa</strong>ndamizi, Misitu<br />
• Mkoa <strong>wa</strong> Tanga<br />
Bibi Gertrude K. Mpaka, Mkuu <strong>wa</strong> Mkoa<br />
Bw. Gervas Msanga, Katibu Mtendaji <strong>wa</strong> Mkoa<br />
Bw. Ndihalema Kisheru, Katibu Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Mkoa<br />
• Uongozi <strong>wa</strong> Wilaya, Muheza<br />
67
RASIMU<br />
Bibi Joyce Mgana, Mkuu <strong>wa</strong> Wilaya<br />
Bw. M.T. Mujibhila, Katibu Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Wilaya<br />
Bw.Obed J. M<strong>wa</strong>sha, Mkurugenzi Mtendaji <strong>wa</strong> Wilaya<br />
Bw. Mzo, Afisa Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Wilaya<br />
Bw. M. Mussa, Afisa Mazao <strong>wa</strong> Wilaya<br />
• Hifadhi ya Mazingira ya Amani<br />
Cordius T. Save, Afisa M<strong>wa</strong>ngalizi, HIMAA<br />
Mathaya Mbanga Mathew, Mkurugenzi, Utalii, Utafiti na Mafunzo, HIMAA<br />
• Vijiji vya Ushoroba <strong>wa</strong> Derema<br />
Wenyeviti na Maafisa wengine <strong>wa</strong> vijiji vifuatavyo, ambavyo viliathirika:<br />
Kisi<strong>wa</strong>ni Msasa IBC Kwemdimu<br />
Kwezitu Kambai<br />
• Wilaya ya Lushoto<br />
Bw. E. Mbara, Afisa Ardhi, Lushoto<br />
68
RASIMU<br />
KIAMBATISHO 5<br />
RATIBA YA SAFARI ZA USHAURI<br />
25 Mei, 2006 Ku<strong>wa</strong>sili Dar es Salaam<br />
26-31 Mei, 2006 Kukutana na maafisa <strong>wa</strong> FBD, maafisa wengine Watanzania,<br />
<strong>wa</strong>fadhili na <strong>wa</strong>dau wengine <strong>wa</strong> Ushoroba <strong>wa</strong> Derema.<br />
1-7 Juni, 2006 Kazi ya U<strong>wa</strong>ndani katika vijiji vya Derema, na Makao Makuu ya<br />
Mkoa na Wilaya, Tanga<br />
1Juni Mkoa <strong>wa</strong> Tanga – Kukutana na Afisa Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Mkoa na TFCMP<br />
2Juni Wilaya ya Muheza – Kukutana na Katibu Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Wilaya<br />
3Juni Mkutano – Kijiji cha Kisi<strong>wa</strong>ni<br />
4Juni Mkutano – Kijiji cha Kwemdimu<br />
5Juni Wilaya ya Muheza – Kukutana na Katibu Ta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong> Wilaya,<br />
maafisa <strong>wa</strong> Mazao na Ardhi kutembelea maeneo yenye ardhi<br />
ya Msozwe na Mk<strong>wa</strong>juni<br />
6Juni Mkutano – Vijiji vya Msasa IBC na Kwezitu<br />
7Juni Mkutano – Kijiji cha Kambai<br />
8-28 Juni, 2006 Kuandika Ripoti, Dar es Salaam<br />
29 Juni, 2006 Kuhudhurisha Matokeo katika Warsha IBD, Ivory Room DSM<br />
30 Juni, 2006 Kuondoka Dar es Salaam<br />
6-13 Julai, 2006 Kujadili matokeo ya ripoti na maafisa <strong>wa</strong> Benki ya Dunia, kasha<br />
kuirekebisha ripoti<br />
69