ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
RASIMU<br />
ya biashara (iliki, karafuu, pilipili manga na mdalasini), lakini asilimia 20 tu (tarakimu<br />
ambayo karibu inaoana na orodha zilizoonyesh<strong>wa</strong> baadaye katika <strong>ushoroba</strong> ulioweke<strong>wa</strong><br />
mipaka) ndio <strong>wa</strong>lisema hayo yaliku<strong>wa</strong> ni sehemu ya <strong>msitu</strong>. Wakulima <strong>wa</strong>lidai k<strong>wa</strong>mba<br />
<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>napata mapato makub<strong>wa</strong> sana kutoka k<strong>wa</strong> mazao haya. Inga<strong>wa</strong> kuliku<strong>wa</strong> na<br />
tofauti kub<strong>wa</strong> baina ya vijiji hivyo vitano, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kila mkulima alidai ku<strong>wa</strong> aliku<strong>wa</strong><br />
akipata ShT milioni 1.4 kutokana na iliki, ShT 165,000 kutokana na mdalasini, ShT<br />
84,000 kutokana na pilipili manga, na ShT 21,000 kutokana na karafuu. Orodha rasmi ya<br />
baadaye inatilia shaka ripoti hizi za binafsi, hasa inapoku<strong>wa</strong> zilitole<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>tu<br />
<strong>wa</strong>kijua k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> mashamba yao kuchukuli<strong>wa</strong>.<br />
28. Wakulima <strong>wa</strong>najua faida za mazingira na utalii ambazo zingepatikana kutokana<br />
na kulind<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> --- Watanzania <strong>wa</strong>lio wengi katika milima <strong>wa</strong>naelekea<br />
kuele<strong>wa</strong> umuhimu <strong>wa</strong> ardhi yao kama chanzo cha maji. Hata hivyo, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> sahihi<br />
katika kufikiria hasara ambazo <strong>wa</strong>ngepata kutokana na kufung<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za kilimo<br />
katika eneo la Derema. Walijua <strong>wa</strong>tapata hasara ya kudumu ya mapato yaliyoku<strong>wa</strong><br />
yanatokana na mazao yao ya biashara katika maeneo ya <strong>msitu</strong>, mashamba machache ya<br />
mazao ya chakula, na ardhi katika <strong>msitu</strong> ambayo hadi <strong>wa</strong>kati huo ililku<strong>wa</strong> mali ya vijiji<br />
na familia zake. Walihofia kunyim<strong>wa</strong> hata mazao ya <strong>msitu</strong>ni ambayo si ya mbao, iki<strong>wa</strong><br />
ni pamoja na kuni, miti ya kujengea, mboga za majani, vyanzo vya maji, na njia muhimu<br />
za <strong>msitu</strong>ni ambazo huunganisha vijiji na mashamba. Walijua upotevu <strong>wa</strong> mapato uliku<strong>wa</strong><br />
ni kik<strong>wa</strong>zo upande <strong>wa</strong> matumizi yao, kulipia matibabu, ada za shule, kodi, na uwezo <strong>wa</strong>o<br />
<strong>wa</strong> kuweka akiba k<strong>wa</strong> ajili ya mambo makub<strong>wa</strong> kama kuoa na dharura za kifamilia.<br />
Walihofia k<strong>wa</strong>mba kadri usalama <strong>wa</strong> kijamii ulivyozidi kupungua <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si na kuweza<br />
kuathirika haraka vingeongezeka: <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ngeumia zaidi. K<strong>wa</strong> upande<br />
<strong>wa</strong>o akina mama <strong>wa</strong>li<strong>wa</strong>omba <strong>wa</strong>tafiti <strong>wa</strong>saidie kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba ha<strong>wa</strong>tanyim<strong>wa</strong><br />
kuni na mazao mengine madogo ya <strong>msitu</strong>ni mara <strong>ushoroba</strong> huo utakapotangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />
mali ya serikali. Ukiacha malipo ya faida na hasara, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> vijiji ambavyo iliku<strong>wa</strong><br />
viathirike baada ya muda si mrefu <strong>wa</strong>lichukiz<strong>wa</strong> na kuingili<strong>wa</strong> na serikali na kushuka<br />
k<strong>wa</strong> mapato yao ambako kungefuatia.<br />
24