13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

RASIMU<br />

ya biashara (iliki, karafuu, pilipili manga na mdalasini), lakini asilimia 20 tu (tarakimu<br />

ambayo karibu inaoana na orodha zilizoonyesh<strong>wa</strong> baadaye katika <strong>ushoroba</strong> ulioweke<strong>wa</strong><br />

mipaka) ndio <strong>wa</strong>lisema hayo yaliku<strong>wa</strong> ni sehemu ya <strong>msitu</strong>. Wakulima <strong>wa</strong>lidai k<strong>wa</strong>mba<br />

<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>napata mapato makub<strong>wa</strong> sana kutoka k<strong>wa</strong> mazao haya. Inga<strong>wa</strong> kuliku<strong>wa</strong> na<br />

tofauti kub<strong>wa</strong> baina ya vijiji hivyo vitano, k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kila mkulima alidai ku<strong>wa</strong> aliku<strong>wa</strong><br />

akipata ShT milioni 1.4 kutokana na iliki, ShT 165,000 kutokana na mdalasini, ShT<br />

84,000 kutokana na pilipili manga, na ShT 21,000 kutokana na karafuu. Orodha rasmi ya<br />

baadaye inatilia shaka ripoti hizi za binafsi, hasa inapoku<strong>wa</strong> zilitole<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong>tu<br />

<strong>wa</strong>kijua k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na mpango <strong>wa</strong> mashamba yao kuchukuli<strong>wa</strong>.<br />

28. Wakulima <strong>wa</strong>najua faida za mazingira na utalii ambazo zingepatikana kutokana<br />

na kulind<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>ushoroba</strong> --- Watanzania <strong>wa</strong>lio wengi katika milima <strong>wa</strong>naelekea<br />

kuele<strong>wa</strong> umuhimu <strong>wa</strong> ardhi yao kama chanzo cha maji. Hata hivyo, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> sahihi<br />

katika kufikiria hasara ambazo <strong>wa</strong>ngepata kutokana na kufung<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> shughuli za kilimo<br />

katika eneo la Derema. Walijua <strong>wa</strong>tapata hasara ya kudumu ya mapato yaliyoku<strong>wa</strong><br />

yanatokana na mazao yao ya biashara katika maeneo ya <strong>msitu</strong>, mashamba machache ya<br />

mazao ya chakula, na ardhi katika <strong>msitu</strong> ambayo hadi <strong>wa</strong>kati huo ililku<strong>wa</strong> mali ya vijiji<br />

na familia zake. Walihofia kunyim<strong>wa</strong> hata mazao ya <strong>msitu</strong>ni ambayo si ya mbao, iki<strong>wa</strong><br />

ni pamoja na kuni, miti ya kujengea, mboga za majani, vyanzo vya maji, na njia muhimu<br />

za <strong>msitu</strong>ni ambazo huunganisha vijiji na mashamba. Walijua upotevu <strong>wa</strong> mapato uliku<strong>wa</strong><br />

ni kik<strong>wa</strong>zo upande <strong>wa</strong> matumizi yao, kulipia matibabu, ada za shule, kodi, na uwezo <strong>wa</strong>o<br />

<strong>wa</strong> kuweka akiba k<strong>wa</strong> ajili ya mambo makub<strong>wa</strong> kama kuoa na dharura za kifamilia.<br />

Walihofia k<strong>wa</strong>mba kadri usalama <strong>wa</strong> kijamii ulivyozidi kupungua <strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si na kuweza<br />

kuathirika haraka vingeongezeka: <strong>wa</strong>na<strong>wa</strong>ke na <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ngeumia zaidi. K<strong>wa</strong> upande<br />

<strong>wa</strong>o akina mama <strong>wa</strong>li<strong>wa</strong>omba <strong>wa</strong>tafiti <strong>wa</strong>saidie kuhakikisha k<strong>wa</strong>mba ha<strong>wa</strong>tanyim<strong>wa</strong><br />

kuni na mazao mengine madogo ya <strong>msitu</strong>ni mara <strong>ushoroba</strong> huo utakapotangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong><br />

mali ya serikali. Ukiacha malipo ya faida na hasara, <strong>wa</strong>kulima <strong>wa</strong> vijiji ambavyo iliku<strong>wa</strong><br />

viathirike baada ya muda si mrefu <strong>wa</strong>lichukiz<strong>wa</strong> na kuingili<strong>wa</strong> na serikali na kushuka<br />

k<strong>wa</strong> mapato yao ambako kungefuatia.<br />

24

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!