13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

RASIMU<br />

na upasuaji mbao, ardhi kugawi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kulima wenye mashamba makub<strong>wa</strong>, sera za vijiji,<br />

kujasiria kilimo cha mazao ya viungo na juhudi za hifadhi. Wakulima <strong>wa</strong> Derema<br />

<strong>wa</strong>najua kilicho<strong>wa</strong>tokea <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>lioathirika na kuanzish<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> HIMAA. Waliku<strong>wa</strong> na<br />

<strong>wa</strong>si<strong>wa</strong>si, na wengi ha<strong>wa</strong>kupenda kabisa, juu ya athari zilizoku<strong>wa</strong> zinakuja kutokana na<br />

hasara za upotevu <strong>wa</strong> mazao yao, ambayo ndiyo ya<strong>wa</strong>leteayo sehemu kub<strong>wa</strong> ya kipato<br />

chao. Walitaka ku<strong>wa</strong> na hakika k<strong>wa</strong>mba kuliku<strong>wa</strong> na fursa mpya zilizoku<strong>wa</strong> zimewek<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong> ajili yao ili <strong>wa</strong>weze kuendelea na maisha vema.<br />

Kiunzi cha Kisheria<br />

32. Sheria ya Tanzania. Mwishoni m<strong>wa</strong> miaka ya 90, sheria ya ardhi na kanuni zake<br />

vilipiti<strong>wa</strong> na kufanyi<strong>wa</strong> marekebisho makub<strong>wa</strong>. K<strong>wa</strong> miongo mingi ardhi iliku<strong>wa</strong><br />

imega<strong>wa</strong>ny<strong>wa</strong> katika mafungu mawili makub<strong>wa</strong>: “Ardhi iliyosajili<strong>wa</strong>” iliyoku<strong>wa</strong> chini<br />

sheria ya kisasa (ya <strong>wa</strong>kati <strong>wa</strong> ukoloni na baada ya ukoloni); na Ardhi ya Vijiji iliyoku<strong>wa</strong><br />

chini ya sheria ya kimila. Kuanzia urais <strong>wa</strong> Nyerere, Siasa ya Ujamaa, k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong><br />

Sheria ya Ardhi ya M<strong>wa</strong>ka 1967, iliipa serikali mamlaka kadhaa yaliyoiruhusu kuchukua<br />

raislimali k<strong>wa</strong> manufaa ya umma, kuga<strong>wa</strong> ardhi ambayo iliku<strong>wa</strong> haina mwenyewe na<br />

kuweka utaratibu mpya <strong>wa</strong> matumizi ya ardhi k<strong>wa</strong> madhumuni ya maendeleo. M<strong>wa</strong>nzoni<br />

m<strong>wa</strong> karne ya 21 sera mpya za uchumi <strong>wa</strong> soko zilizokuja katika Tanzania baada ya<br />

Nyerere zilihitajia Sheria ya Ardhi kupiti<strong>wa</strong> upya. Sheria mbili zikapitish<strong>wa</strong>: Sheria ya<br />

Ardhi Na. 4 ya m<strong>wa</strong>ka 1999, yenye kuhusu ardhi iliyosajili<strong>wa</strong>, na ambayo kanuni zake<br />

zilipitish<strong>wa</strong> miaka miwili iliyofuata; na Sheria ya Ardhi ya Vijiji (Na 5 ya m<strong>wa</strong>ka 1999),<br />

na ambayo Kanuni za Ardhi ya Vijiji (zinazoendana nayo) zilipitish<strong>wa</strong> zilipish<strong>wa</strong> mnamo<br />

m<strong>wa</strong>ka 2001, na kuchapish<strong>wa</strong> katika Tangazo la Serikali Na. 86 la tarehe 4.5.2001.<br />

Sheria Mpya ya Misitu ilitangaz<strong>wa</strong> rasmi m<strong>wa</strong>ka 2002; Sheria hii haipingani na sheria<br />

hizo nyingine mbili za m<strong>wa</strong>ka 1999 k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong> kanuni za ardhi au kuchukuli<strong>wa</strong><br />

kama mali ya umma.<br />

33 Ushoroba <strong>wa</strong> Derema ni ardhi ya vijiji na iko chini ya Sheria ya Ardhi ya Vijiji na<br />

Kanuni zake. Kanuni 9, 10, na 13-18 zinaelezea misingi na taratibu za kufuat<strong>wa</strong> katika<br />

kufidia ardhi (na mali nyingine) inayochukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> manufaa ya umma. Sheria inaagiza<br />

malipo ya fidia yafanywe katika upotevu <strong>wa</strong> riba, au thamani katika mali inayoendelez<strong>wa</strong><br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!