13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

RASIMU<br />

unaopatikana, mapendeleo na uwezo <strong>wa</strong> mtu mwenyewe. Vijiji vyote vya Amani<br />

vinashiriki katika programu hizi. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba pamekuwepo na malalamiko ku<strong>wa</strong><br />

<strong>wa</strong>nakijiji <strong>wa</strong>naojishirikisha zaidi na mambo ya siasa <strong>wa</strong>mepe<strong>wa</strong> programu fulani k<strong>wa</strong><br />

upendeleo tu, ma<strong>wa</strong>nda ya programu hizi sasa yamepanuka kufikia vijiji vyote. Baadhi ya<br />

programu hizo ni kama vile:<br />

• Uvunaji <strong>wa</strong> mbegu za masambu (Allanblackia): Mradi <strong>wa</strong> Tanga Forest<br />

Catchment umeku<strong>wa</strong> ukishirikiana na kitengo cha UNDP (Shirika la Maendeleo<br />

la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa) cha Growing Sustainable Business (Ukuzaji Biashara<br />

Endelevu), International Center for Research in Agro-Forestry (Kituo cha<br />

Kimataifa cha Utafiti katika Kilimo na Misitu), na Lever UK, ambayo hununua<br />

ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha mbegu za mti <strong>wa</strong> Allanblckia Stuhlmannii, ambazo<br />

hutumika katika kutengeneza sabuni na mafuta ya kula. Juhudi zinafany<strong>wa</strong> za<br />

kuwezesha upandaji <strong>wa</strong> mti huu katika hali ya mazingira ya kijijini, iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na upandikizaji ili kupunguza muda <strong>wa</strong> kukomaa k<strong>wa</strong>ke kufikia miaka 5-<br />

6. Mapema m<strong>wa</strong>ka 2006 tani 200 zilizovun<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima 645 zilipatikana; kiasi<br />

ambacho kilimpatia mvunaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kiasi cha dola za Kimarekeni $400;<br />

mapato k<strong>wa</strong> eneo lote yaki<strong>wa</strong> Sh Tz. Milioni 300.<br />

• Ufugaji <strong>wa</strong> Vipepeo: Katika m<strong>wa</strong>ka 2005 <strong>wa</strong>kulima 250 <strong>wa</strong>lipata pesa taslimu<br />

Sh. Tz. Milioni 32 katika programu iliyoanzish<strong>wa</strong> na Tanzania Forestry<br />

Conservation Group (Kikundi cha Hifadhi ya Misitu Tanzania) kikisaidi<strong>wa</strong> na<br />

Conservation International (kupitia mfuko <strong>wa</strong> The Critical Ecosystems<br />

Partnership Fund), World Vision, McKnight Foundation, na wengine. Wakulima<br />

hu<strong>wa</strong>kusanya na ku<strong>wa</strong>lisha lava <strong>wa</strong> aina fulani maalumu <strong>wa</strong> vipepeo mpaka<br />

<strong>wa</strong>napobadilika na ku<strong>wa</strong> pyupa, ambapo sasa ofisi ya mradi hununua vifukofuko<br />

vya pupa hao na kuvisafirisha kwenda k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nunuzi huko Marekani na Ulaya,<br />

k<strong>wa</strong> usafiri maalumu <strong>wa</strong> haraka.<br />

• Ufugaji Nyuki: Programu mpya imetoa k<strong>wa</strong> vijiji mizinga ya nyuki ya kisasa ili<br />

kuongeza uzalishji <strong>wa</strong> asali na nta. Mpaka sasa ni kama mizinga 20 tu ndio<br />

iliyokwishategesh<strong>wa</strong>; lakini inaonekana kuna hamasa ya <strong>wa</strong>tu kujiingiza katika<br />

shughuli hii.<br />

42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!