ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
RASIMU<br />
unaopatikana, mapendeleo na uwezo <strong>wa</strong> mtu mwenyewe. Vijiji vyote vya Amani<br />
vinashiriki katika programu hizi. Pamoja na k<strong>wa</strong>mba pamekuwepo na malalamiko ku<strong>wa</strong><br />
<strong>wa</strong>nakijiji <strong>wa</strong>naojishirikisha zaidi na mambo ya siasa <strong>wa</strong>mepe<strong>wa</strong> programu fulani k<strong>wa</strong><br />
upendeleo tu, ma<strong>wa</strong>nda ya programu hizi sasa yamepanuka kufikia vijiji vyote. Baadhi ya<br />
programu hizo ni kama vile:<br />
• Uvunaji <strong>wa</strong> mbegu za masambu (Allanblackia): Mradi <strong>wa</strong> Tanga Forest<br />
Catchment umeku<strong>wa</strong> ukishirikiana na kitengo cha UNDP (Shirika la Maendeleo<br />
la Umoja <strong>wa</strong> Mataifa) cha Growing Sustainable Business (Ukuzaji Biashara<br />
Endelevu), International Center for Research in Agro-Forestry (Kituo cha<br />
Kimataifa cha Utafiti katika Kilimo na Misitu), na Lever UK, ambayo hununua<br />
ki<strong>wa</strong>ngo kikub<strong>wa</strong> cha mbegu za mti <strong>wa</strong> Allanblckia Stuhlmannii, ambazo<br />
hutumika katika kutengeneza sabuni na mafuta ya kula. Juhudi zinafany<strong>wa</strong> za<br />
kuwezesha upandaji <strong>wa</strong> mti huu katika hali ya mazingira ya kijijini, iki<strong>wa</strong> ni<br />
pamoja na upandikizaji ili kupunguza muda <strong>wa</strong> kukomaa k<strong>wa</strong>ke kufikia miaka 5-<br />
6. Mapema m<strong>wa</strong>ka 2006 tani 200 zilizovun<strong>wa</strong> na <strong>wa</strong>kulima 645 zilipatikana; kiasi<br />
ambacho kilimpatia mvunaji <strong>wa</strong> <strong>wa</strong>stani kiasi cha dola za Kimarekeni $400;<br />
mapato k<strong>wa</strong> eneo lote yaki<strong>wa</strong> Sh Tz. Milioni 300.<br />
• Ufugaji <strong>wa</strong> Vipepeo: Katika m<strong>wa</strong>ka 2005 <strong>wa</strong>kulima 250 <strong>wa</strong>lipata pesa taslimu<br />
Sh. Tz. Milioni 32 katika programu iliyoanzish<strong>wa</strong> na Tanzania Forestry<br />
Conservation Group (Kikundi cha Hifadhi ya Misitu Tanzania) kikisaidi<strong>wa</strong> na<br />
Conservation International (kupitia mfuko <strong>wa</strong> The Critical Ecosystems<br />
Partnership Fund), World Vision, McKnight Foundation, na wengine. Wakulima<br />
hu<strong>wa</strong>kusanya na ku<strong>wa</strong>lisha lava <strong>wa</strong> aina fulani maalumu <strong>wa</strong> vipepeo mpaka<br />
<strong>wa</strong>napobadilika na ku<strong>wa</strong> pyupa, ambapo sasa ofisi ya mradi hununua vifukofuko<br />
vya pupa hao na kuvisafirisha kwenda k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>nunuzi huko Marekani na Ulaya,<br />
k<strong>wa</strong> usafiri maalumu <strong>wa</strong> haraka.<br />
• Ufugaji Nyuki: Programu mpya imetoa k<strong>wa</strong> vijiji mizinga ya nyuki ya kisasa ili<br />
kuongeza uzalishji <strong>wa</strong> asali na nta. Mpaka sasa ni kama mizinga 20 tu ndio<br />
iliyokwishategesh<strong>wa</strong>; lakini inaonekana kuna hamasa ya <strong>wa</strong>tu kujiingiza katika<br />
shughuli hii.<br />
42