13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

RASIMU<br />

Utangulizi: Usuli<br />

1. Milima ya Usambara Mashariki ni sehemu ya Tao la Mashariki la milima<br />

iliyojitenga ya kusini mashariki kisha ikaelekea kusini kutoka Mlima Kilimanjaro<br />

kaskazini m<strong>wa</strong> Tanzania. Kuanzia mwishonimwishoni m<strong>wa</strong> miaka ya 1980 Wizara ya<br />

Tanzania ya Maliasili na Utalii imechukua hatua za kuilinda na kuifanya mali ya hifadhi<br />

Milima ya Tao la Mashariki kutokana na thamani kub<strong>wa</strong> ya ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong>ke, thamani<br />

yake ya hali za he<strong>wa</strong> zinazoleta mvua ambazo ni chanzo kizuri cha bidhaa za kilimo za<br />

hali ya juu na uweza <strong>wa</strong>ke <strong>wa</strong> kuongeza vyanzo vya utalii <strong>wa</strong> kiekolojia.<br />

2. K<strong>wa</strong> miongo mingi Milima ya Usambara Mashariki iliku<strong>wa</strong> ikichukuli<strong>wa</strong> na<br />

kutazam<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sura na sera tafautitafauti. Katika mfululizo <strong>wa</strong> vipindi kadhaa kuka<strong>wa</strong><br />

na kilimo cha kaha<strong>wa</strong> kwenye miteremko ya milima, ukataji mbao, na kilimo cha chai;<br />

kuchukuli<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> sehemu fulani fulani za <strong>msitu</strong> kama hifadhi za taifa; na kushawishika<br />

k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kazi <strong>wa</strong> maeneo hayo kuishi maisha maalumu kutokana na sifa za pekee za tabia<br />

ya nchi na ekolojia ya eneo lao.<br />

3. Kipindi cha sasa ambacho serikali imeazimia kushughulikia masuala ya hifadhi<br />

kimeshuhudia mwendelezo <strong>wa</strong> jitihada za kuiweka <strong>wa</strong>zi mipaka ya misitu ambayo tayari<br />

imekwishatangaz<strong>wa</strong> rasmi ku<strong>wa</strong> mali ya taifa, kuongeza misitu mingine mipya kwenye<br />

misitu ambayo tayari inalind<strong>wa</strong>, na kuboresha usimamizi <strong>wa</strong> kisayansi <strong>wa</strong> rasilimali za<br />

ubioanu<strong>wa</strong>i katika misitu. K<strong>wa</strong> kutumia msaada kutoka Serikali ya Ufini tangu miaka ya<br />

1980 pamoja na misaada midogo midogo kutoka katika mashirika ya kimataifa na ya<br />

humu humu Tanzania, yajishughulishayo na mazingira, Milima ya Usambara Mashariki<br />

imetokezea ku<strong>wa</strong> moja<strong>wa</strong>po ya hazina za asili adhimu kabisa katika nchi. Ina ki<strong>wa</strong>ngo<br />

kikub<strong>wa</strong> sana cha spishi za aina mbalimbali za miti na <strong>wa</strong>nyama k<strong>wa</strong> eneo kuliko sehemu<br />

nyingine yoyote ulimwenguni. Iki<strong>wa</strong> imechaguli<strong>wa</strong> na Programu ya Binaadamu na Anga<br />

ku<strong>wa</strong> sehemu ambayo inapas<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> ulinzi <strong>wa</strong> hali ya juu kabisa, na kisha ikapata<br />

msaada, katika miaka ya m<strong>wa</strong>nzom<strong>wa</strong>nzo ya muongo huu, kutoka Mfuko <strong>wa</strong> Utanda<strong>wa</strong>zi<br />

<strong>wa</strong> Mazingira (GEF), Milima ya Usambara ni sehemu kiini kabisa ya programu, pana<br />

zaidi, ya Tao la Mashariki . Kituo cha Hifadhi ya Mazingira cha Amani (HIMAA)<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!