ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
RASIMU<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba mali zilipiwe fidia k<strong>wa</strong> thamani kamili na halisi<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naopoteza mali zao <strong>wa</strong>pewe fursa ya kuboresha hali<br />
zao za maisha, na uwezo <strong>wa</strong> kupata uzalishaji mali mbadala au namna nyingineyo<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba upangaji <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli uwe shirikishi, k<strong>wa</strong><br />
namna ambayo <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>takaoathirika <strong>wa</strong>elewe kikamilifu ni hatua gani<br />
zitachukuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />
• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba kuwe na mbinu na namna rahisi ambazo zinafanya kazi vizuri<br />
katika kutatua migogoro na malalamiko.<br />
39. Haitegemewi k<strong>wa</strong>mba kutaku<strong>wa</strong> na hatua zitakazochukuli<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong><br />
mradi huu, kuibadili sheria ya Tanzania na kanuni zake ili ilingane na mahitajio na<br />
masharti ya OP 4.12. Badala yake Wizara ya Maliasili na Utalii katika kutafuta msaada<br />
<strong>wa</strong> kifedha kutoka Benki ya Dunia k<strong>wa</strong> ajili ya kutatulia suala hili inakubali kutekeleza<br />
Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sera ya<br />
Uendeshaji ya Benki ya Dunia. Katika kipengele chochote cha mchakato huo ambapo<br />
masharti ya Tanzania na Benki ya Dunia yanatofautiana au kusigana Wizara inakubali<br />
kufuata zile taratibu ambazo ni muafaka k<strong>wa</strong> pande hizo mbili na taratibu zake. Pale<br />
ambapo sera ya Benki haisemi chochote kuhusu kipengele fulani, Wizara haitatafuta<br />
kipingamizi kutoka Benki ya Dunia kutekeleza mpango huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI k<strong>wa</strong><br />
mujibu <strong>wa</strong> taratibu na kanuni za Tanzania.<br />
40. Kuliingiza Tao la Mashariki Katika sera ya Benki ya Dunia. Mradi <strong>wa</strong><br />
Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania (Tanzania Forest Conservation and<br />
Management Project), ambao unafadhili<strong>wa</strong> na IDA una sehemu kuu mbili na muhimu:<br />
msaada <strong>wa</strong> FBD katika uwezo <strong>wa</strong> kusimamia na kulinda ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> taifa, iki<strong>wa</strong> ni<br />
pamoja na hifadhi ya misitu; na kusaidia shughuli za hifadhi katika milima ya Tao la<br />
Mashariki. Wakati mradi huo ulipo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kuidhinish<strong>wa</strong> na Benki ya Dunia, ilielez<strong>wa</strong><br />
k<strong>wa</strong>mba:<br />
“Serikali imekubali k<strong>wa</strong>mba i<strong>wa</strong>po itatokea, k<strong>wa</strong> bahati mbaya, k<strong>wa</strong>mba katika<br />
utekelezaji <strong>wa</strong> mradi kutaku<strong>wa</strong> na lazima ya <strong>wa</strong>tu kuhamish<strong>wa</strong> bila hiari yao, mpango<br />
makini <strong>wa</strong> uhamishaji utatayarish<strong>wa</strong> na kupelek<strong>wa</strong> IDA ili upitiwe vizuri kabla hatua<br />
zozote za uhamishaji hazijachukuli<strong>wa</strong>”.<br />
30