13.12.2012 Views

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

ushoroba wa msitu wa derema - Eastern Arc Mountains ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

RASIMU<br />

• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba mali zilipiwe fidia k<strong>wa</strong> thamani kamili na halisi<br />

• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>naopoteza mali zao <strong>wa</strong>pewe fursa ya kuboresha hali<br />

zao za maisha, na uwezo <strong>wa</strong> kupata uzalishaji mali mbadala au namna nyingineyo<br />

• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba upangaji <strong>wa</strong> utekelezaji <strong>wa</strong> shughuli uwe shirikishi, k<strong>wa</strong><br />

namna ambayo <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>takaoathirika <strong>wa</strong>elewe kikamilifu ni hatua gani<br />

zitachukuli<strong>wa</strong> katika mchakato <strong>wa</strong> ulipaji fidia<br />

• Inahitajia k<strong>wa</strong>mba kuwe na mbinu na namna rahisi ambazo zinafanya kazi vizuri<br />

katika kutatua migogoro na malalamiko.<br />

39. Haitegemewi k<strong>wa</strong>mba kutaku<strong>wa</strong> na hatua zitakazochukuli<strong>wa</strong>, k<strong>wa</strong> upande <strong>wa</strong><br />

mradi huu, kuibadili sheria ya Tanzania na kanuni zake ili ilingane na mahitajio na<br />

masharti ya OP 4.12. Badala yake Wizara ya Maliasili na Utalii katika kutafuta msaada<br />

<strong>wa</strong> kifedha kutoka Benki ya Dunia k<strong>wa</strong> ajili ya kutatulia suala hili inakubali kutekeleza<br />

Mpango <strong>wa</strong> Kuhamisha Shughuli za Kipato (MKUSHUKI) k<strong>wa</strong> mujibu <strong>wa</strong> Sera ya<br />

Uendeshaji ya Benki ya Dunia. Katika kipengele chochote cha mchakato huo ambapo<br />

masharti ya Tanzania na Benki ya Dunia yanatofautiana au kusigana Wizara inakubali<br />

kufuata zile taratibu ambazo ni muafaka k<strong>wa</strong> pande hizo mbili na taratibu zake. Pale<br />

ambapo sera ya Benki haisemi chochote kuhusu kipengele fulani, Wizara haitatafuta<br />

kipingamizi kutoka Benki ya Dunia kutekeleza mpango huu <strong>wa</strong> MKUSHUKI k<strong>wa</strong><br />

mujibu <strong>wa</strong> taratibu na kanuni za Tanzania.<br />

40. Kuliingiza Tao la Mashariki Katika sera ya Benki ya Dunia. Mradi <strong>wa</strong><br />

Hifadhi na Usimamizi <strong>wa</strong> Misitu Tanzania (Tanzania Forest Conservation and<br />

Management Project), ambao unafadhili<strong>wa</strong> na IDA una sehemu kuu mbili na muhimu:<br />

msaada <strong>wa</strong> FBD katika uwezo <strong>wa</strong> kusimamia na kulinda ubioanu<strong>wa</strong>i <strong>wa</strong> taifa, iki<strong>wa</strong> ni<br />

pamoja na hifadhi ya misitu; na kusaidia shughuli za hifadhi katika milima ya Tao la<br />

Mashariki. Wakati mradi huo ulipo<strong>wa</strong>silish<strong>wa</strong> kuidhinish<strong>wa</strong> na Benki ya Dunia, ilielez<strong>wa</strong><br />

k<strong>wa</strong>mba:<br />

“Serikali imekubali k<strong>wa</strong>mba i<strong>wa</strong>po itatokea, k<strong>wa</strong> bahati mbaya, k<strong>wa</strong>mba katika<br />

utekelezaji <strong>wa</strong> mradi kutaku<strong>wa</strong> na lazima ya <strong>wa</strong>tu kuhamish<strong>wa</strong> bila hiari yao, mpango<br />

makini <strong>wa</strong> uhamishaji utatayarish<strong>wa</strong> na kupelek<strong>wa</strong> IDA ili upitiwe vizuri kabla hatua<br />

zozote za uhamishaji hazijachukuli<strong>wa</strong>”.<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!