26.09.2014 Views

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Notisi Kuhusu Mkutano Wa Pamoja Wa Mwaka<br />

Notisi inatolewa hapa kwamba mkutano wa 39 wa pamoja wa mwaka<br />

wa Kampuni utafanyika Mei 31, 2011 katika Ukumbi wa Mikutano<br />

ya kimataifa wa Kenyatta International Confrence Centre kuanzia saa<br />

tano asubuhi ili kuangazia maswala yafuatayo ya kibiashara:<br />

SHUGHULI ZA KAWAIDA<br />

1. Kuthibitisha kumbukumbu za mkutano wa thalathini na nane wa<br />

pamoja wa mwaka uliofanyika Mei 24, <strong>2010</strong>.<br />

2. Kupokea, kuangazia na endapo itaonekana kuwa sawa, kupitisha<br />

hesabu ya pesa kwa kipindi cha mwaka uliomalizika Desemba 31<br />

<strong>2010</strong> pamoja na ripoti kutoka kwa Wakurugenzi na Wakaguzi wa<br />

pesa.<br />

3. Kuidhinisha kutolewa kwa malipo ya mwisho ya mgawo wa faida<br />

wa mwaka <strong>2010</strong> wa shilingi 1.25 kwa kila hisa ikitegema ushuru<br />

ulioshikiliwa pale inapohitajika kwa wanachama ambao majina yao<br />

yatakuwa kwenye sajili kufikia Mei 31, 2011. Malipo ya mgawo wa<br />

faida yatatolewa kabla au kufikia Juni 20, 2011.<br />

4. Kuchagua Wakurugenzi<br />

(a) Bw. Ghislain de Valon aliteuliwa mwaka 2011 kujaza nafasi<br />

iliyokuwa wazi. Anastaafu kwa mujibu wa kifungu nambari 109<br />

cha sheria za kampuni na kwa kuwa hali inamruhusu, amejitokeza<br />

tena kuchaguliwa.<br />

(b) Bw. Kabir Hyderally anastaafu kwa zamu kwa mujibu wa vifungu<br />

nambari 110, 111 na 112 vya sheria za Kampuni na kwa kuwa hali<br />

inamruhusu, amejitokeza tena kuchaguliwa.<br />

(c) Bw. Mahmood Manji anastaafu kwa zamu kwa mujibu wa<br />

vifungu nambari 111 na 112 vya sheria za Kampuni na kwa hali<br />

inamruhusu , amejitokeza tena kuchaguliwa.<br />

(d) Bw. Kungu Gatabaki anastaafu kwa zamu kwa mujibu wa vifungu<br />

nambari 110, 111 na 112 vya sheria za Kampuni na kwa kuwa hali<br />

inamruhusu, amejitokeza tena kuchaguliwa.<br />

5. Kuidhinisha malipo ya wakurugenzi ya mwaka <strong>2010</strong>.<br />

6. Kuteua PricewaterhouseCoopers kama wakaguzi wa pesa wa<br />

kampuni kwa mujibu wa sehemu ya 159 (2) ya sheria za<br />

makampuni (Cap 486). PricewaterhouseCoopers wameonyesha<br />

nia yao ya kuendelea na jukumu hili.<br />

7. Kuidhinisha malipo ya wakaguzi wa pesa kwa kipindi cha mwaka<br />

<strong>2010</strong> na kuwapa ruhusa wakurugenzi kuamua malipo ya wakaguzi<br />

hao.<br />

8. Kutekeleza shughuli nyingine ya kawaida ya kibiashara ya<br />

mkutano mkuu wa pamoja wa mwaka.<br />

SHUGHULI MAALUMU<br />

9. Kurekebisha vifungu vya sheria<br />

Kuzingatia na endapo itakubalika, kupitisha maazimio yafuatayo<br />

ambayo yatapendekezwa kama maazimio ya kawaida:<br />

(i) Kwamba vifungu vya sheria vya kampuni vibatilishwe na kuingiza<br />

kifungu kifuatacho kama kifungu nambari 68.<br />

‘’ Notisi yoyote au hati nyingine inaweza kutolewa na kampuni kwa<br />

mwanachama au mkurugenzi yeyote wa kampuni aidha kwa mtu<br />

binafsi au kutumia sanduku la barua ( kupitia barua pale ambapo<br />

huduma hii inapatikana) au kupitia telegramu, teleksi, kipepesi au<br />

barua pepe iliyotumwa kwa mwanachama au mkurugenzi kama<br />

huyo kupitia anwani iliyosajiliwa kama inavyodhihirishwa kupitia<br />

sajili ya wanachama au rekodi nyingine za kampuni iwe anwani<br />

kama hiyo ni ya humu nchini au nje ya nchi ya Kenya au kupitia<br />

teleksi, kipepesi, telegramu au barua pepe iliyotajwa au kwa kutumia<br />

tangazo la magazeti mawili ya kila siku yanayosambazwa<br />

kote nchini au kupitia tangazo kwa njia ya elektroniki. Katika hali<br />

ambapo umiliki wa hisa utakuwa wa pamoja, notisi zozote kupitia<br />

barua, telegramu, kipepesiau barua pepe, itatolewa kwa mmoja wa<br />

wamiliki hao ambaye jina lake litakuwa la kwanza kwenye sajili<br />

ya wanachama na notisi ikitolewa itachukuliwa kama inatosha<br />

kwa wamiliki wote wa pamoja. Katika hali ya notisi ya mkutano ya<br />

pamoja wa mwaka, notisi kama hii itatolewa kupitia:<br />

(a) Kuchapishwa kwa notisi iliyo na muhtasari wa taarifa za matumizi<br />

ya pesa na ripoti ya wakaguzi wa pesa kupitia magazeti mawili ya<br />

kila siku yanayosambazwa kote nchini kwa siku mbili mfululizo au;<br />

(b) Kutuma notisi moja kwa moja kwa kila mwanachama kupitia<br />

mbinu za elektroniki (ikiwemo kipepesi na barua pepe) au kupitia<br />

sanduku la posta huku notisi ikiwa na taarifa hizo za matumizi ya<br />

pesa , hati nyingine na ripoti kama inavyohitajika kisheria.’’<br />

(ii) Kifungu cha sheria nambari 156 kifutiliwe mbali kama kilivyo na<br />

mahali pake kuwa kama ifuatavyo:<br />

‘’ Mgawo wowote wa faida, riba au kiwango chochote cha pesa<br />

kitakachotolewa kwa pesa taslimu kwa mmiliki wa hisa kilipwe<br />

kupitia:<br />

(a) Hundi au dhamana itakayotumwa kupitia sanduku la barua kwa<br />

mmiliki kama huyu kwa anwani yake inayojulikana na katika hali<br />

ambapo umiliki ni wa pamoja, itumwe kwa mmiliki ambaye jina<br />

lake limesajiliwa mbele katika sajili ya wanachama kulingana na<br />

hisa au<br />

10 TPS EASTERN AFRICA LIMITED ANNUAL REPORT AND FINANCIAL STATEMENTS <strong>2010</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!