26.09.2014 Views

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

TPSEAL 2010 Financial Results. - Serena Hotels

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Taarifa kutoka kwa Meneja Mkurugenzi (Kuendelea)<br />

katika chumi kubwa hali inayotarajiwa kuleta<br />

mafanikio thabiti katika mapato ya utalii<br />

mwaka 2011.<br />

Vidokezo vya wataalamu wa uchumi<br />

vinasema kwamba ni taharuki za baadaye<br />

za mazingira zinazoleta mahitaji mapya<br />

na kwa sababu hiyo usimamizi utakuwa<br />

ukitathmini kwa karibu mazingira ya<br />

kiuchumi katika masoko ya kibiashara ya<br />

kampuni ili kuhakikisha kwamba inavumbua<br />

na kutathmini mabadiliko kuhusiana na<br />

matarajio ya wateja na kutumia kikamilifu<br />

nafasi zitakazojitokeza ili kuandaa viwango<br />

vya hali ya juu vya huduma na bidhaa<br />

na kukabiliana vilivyo na vituo vya likizo/<br />

mikutano/ shughuli mwaka 2011 na kuweza<br />

kuhifadhi nafasi yake kwenye masoko.<br />

Huku mazingira ya kiuchumi eneo la afrika<br />

mashariki yakitarajiwa kubadilika, usimamizi<br />

hauwezi kukadiria ipasavyo mienendo<br />

kwenye soko la ubadilishanaji fedha.<br />

Usimamizi una imani kwamba, huku tukiwa<br />

na mbinu bora za kibiashara zilizofanyiwa<br />

utafiti, tutaweza kujihami vilivyo dhidi ya<br />

hali zinazoweza kutokea ambazo ziko nje ya<br />

uwezo wake.<br />

Ningependa kutambua na kuzishukuru<br />

serikali katika maeneo ya Afrika Mashariki<br />

kutokana na juhudi zake ambazo zilinuiwa<br />

kuyarejesha mataifa eneo la Afrika Mashariki<br />

kwenye mkondo wa ufufuaji uchumi.<br />

Ningependa kutoa mwito kwa serikali<br />

zilizoko eneo la Afrika Mashariki kuandaa<br />

mazingira bora kwa shughuli za biashara<br />

ya utalii na kutenga hazina ya kutosha kwa<br />

mataifa yanayoleta watalii. Pia ningependa<br />

kutoa mwito kwa mataifa hayo kuhakikisha<br />

kuthibitiwa kwa maendeleo mapya katika<br />

mazingira hafifu ya mimea na wanyama<br />

kwenye mbuga za kitaifa za wanyama pori<br />

na kwamba imarisho la miundo misingi<br />

limezinduliwa haraka, kwepo kwa uthabiti<br />

kisiasa na usalama ili kurejesha imani kwa<br />

wananchi, wasafiri na wawekezaji.<br />

Mwisho, kwa niaba ya wafanyakazi na<br />

usimamizi ningependa kutoa shukrani kwa<br />

Halmashauri ya wakurugenzi kutokana na<br />

mwongozo wao, bidii, mchango muhimu<br />

na himizo mwaka <strong>2010</strong>. Pia, ningependa<br />

kutoa shukrani zangu kwa wanahisa, wateja<br />

na washika dau mbali mbali kutokana na<br />

mchango wao wa kila mara mwaka uliopita.<br />

Sisi katika <strong>Serena</strong> tunatazamia mchango wao<br />

kipindi cha mwaka 2011.<br />

Mahmud Jan Mohamed<br />

Meneja Mkurugenzi<br />

TPS EASTERN AFRICA LIMITED ANNUAL REPORT AND FINANCIAL STATEMENTS <strong>2010</strong> 23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!