Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mstali wa Kumi na Mbili (1:12)<br />
1. Vinara Vya Taa Saba Vya Dhahabu.<br />
A. Vya wakilisha makanisa saba, Ufu. 1:20.<br />
B. Washiriki wa nuru ya Mungu, Mat. 5:14-16.<br />
Mstali wa Kumi na Tatu (1:13)<br />
1. Mtu Mfano Wa Mwanadamu, Dan. 7:13; Ufu. 14:14; Dan. 7:9, 13; 10:5-6; Eze. 1:24.<br />
A. Hakuna nakala yoyote toka lugha ya Kiasilia.<br />
B. Ikithibitisha ama kudhihirisha kazi tatu za Yesu.<br />
2. Vazi Lililofika Miguuni<br />
A. Ilitumika katika Kiseptuagent kama dera ya kifua.<br />
B. Ikithibitisha ama kudhihirisha kazi tatu za Yesu.<br />
1. Kama Nabii (Mat. 21:11, 46; Lk. 13:33; 24:19; Yoh. 4:19; 6:14; 7:40; 9:17;<br />
Kumb. 18:15-18; Mdo. 3:22).<br />
2. Kama Kuhani (Ebr. 2:17; 4:14-15, 5:5, 6:20. 7:17, 21, 26, 8:1, 9:11, 10:21).<br />
3. Kama Mfalme (1 Sam. 18:4; 24:5, 11; Eze. 26:16; 1 Tim. 6:15; Ufu. 1:5; 17:14;<br />
19:16).<br />
3. Na Kufungwa Mishipi Ya Dhahabu.<br />
A. Vifuani mwao, Ufu. 15:6.<br />
B. Vifundo Vifuani, Vincent, Tol. 2, Uk. 427.<br />
Mstali wa Kumi Na Nne (1:14)<br />
1. Kichwa na Nywele<br />
A. Vinaonyesha utakatifu na usafi.<br />
B. Nukuu za kitamshi (Dan. 7:9, 13, 22).<br />
1. Mwanzoni - (Mwa. 1:1).<br />
2. Pasipo Dhambi - (Isa. 1:18).<br />
3. Usawa pamoja na Baba - Dan. 7.<br />
2. Macho<br />
A. Mwenye Kuona - (Kipitishio) maana yake aona na kujua kila kitu - Yoh. 2:25.<br />
B. Akiwambia Wakristo kutoona hofu kwa kuwa Yesu aona shida na taabu pamoja na majaribu.<br />
Mstari wa Kumi na Tano (1:15)<br />
1. Miguu Kama Shaba Uliyosuguliwa Kwenye Tanuru.<br />
A. Iliyong’arishwa - ujumbe wa utakatifu, Dan. 10:6.<br />
B. Pengine yaashiria nguvu (Mst. 16, Mik. 4:13; Eze. 1:7).<br />
1. Inaonyesha nguvu za uharibifu kuwepo katika hasira ya Mungu juu ya Rumi.<br />
C. Pengine haraka, hivyo Yesu aja upesi kulipa/kutoa maamuzi.<br />
2. Sauti<br />
A. Eze. 1:24, 43:2 - Hiyo itatoa hukumu.<br />
3. Mengi<br />
A. Watoa maoni mbali mbali.<br />
Mstali wa Kumi na Sita<br />
1. Nyota Saba<br />
A. Mkono wa kuume alama ya nguvu au uthibilifu halisi, Yoh. 12:28-29; Ayu. 38:31.<br />
B. 1:20 - Malaika<br />
C. Malaika wa wakilisha Kanisa (maelezo zaidi mstali 20).<br />
2. Upanga Wenye Makali Kuwili.<br />
A. Neno la Mungu - Ebr. 4:12-13.<br />
1. Siyo injili au habari njema isipokuwa hukumu, Yoh. 12:48.<br />
B. Isa. 11:4; 49:2; Hos. 6:5.<br />
1. Maneno ya hukumu, 2 Thes. 2:8.<br />
10