Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Sura 9 Mstali 8<br />
1. Bilashaka zinasimamia akili au uzuri.<br />
2. Kama nzige watakuwa kama viumbe wenye uzuri wenye kutawala,<br />
wataonekana wema machori pa binadamu na watu watadanganywa na<br />
kuwafuata.<br />
1. Nywele za binadamu<br />
A. Nywele ndefu zinaashina nguvu au uzuri.<br />
2. Meno ya simba<br />
A. Nguvu ya uharibifu, Yoel 1:6.<br />
1. Nguvu ya uharibifu ikinyeshe pia upole.<br />
2. Mchanganyiko wa wenyehaki na watu wabaya na nguvu za maangamizi.<br />
Mstali 9<br />
1. Diriikifuani<br />
A. Kwa ajili ya ulinzo - Ef. 6:14, 1 Tes. 5:8, Uf. 9:9, 17.<br />
2. Kama dirii za chuma.<br />
A. Chunga “. . . kama za . . .”<br />
1. Zikifanana na chuma, hivyo ni uwezo wa kujilinda.<br />
3. Sauti za mbawa zao.<br />
A. Kama sauti za farasi wengi.<br />
1. Bila sheka idadi kubwa.<br />
Mstali 10<br />
1. Mikia<br />
A. Ishara ya nguvu ya uharibifu.<br />
2. Maumivu<br />
A. Wenye kudhuru.<br />
3. Miezi mitano<br />
A. Angalia maelezo katika mstali wa tano.<br />
Mstali 11<br />
1. Mfalme<br />
A. Katika mithali 30:27 inazungumza kwamba nzige hawana mfalme.<br />
1. Hapa tunaona nzige wa kishetani waneye mfalme.<br />
2. Malaika<br />
A. Maelezo ya upekee, kutokana na “The” kwa kiingereza.<br />
1. Wanemtii mfalme.<br />
B. Bila shaka - Uf. 20:1-3.<br />
1. Mwenye uwezo juu ya kuzimu.<br />
3. Chini kabisa (Kuzimu)<br />
A. Kuzimu Uf. 9:1, 11; 11:7; 17:8; 20:1-3.<br />
1. Makazi ya shetani.<br />
4. Abaddoni - Apollyon<br />
A. Majina yote mawili yana maana ya muharibifu, Ay. 26:6; 28:22; 31:12; Zab.<br />
88:11; Mith. 15:11; 27:20.<br />
Sura 9 Mstari 12<br />
1. Ole moja imepita<br />
A. Maana yake kamilisho la Ole ya kwanza.<br />
B. Kumbuka kwamba nyota ni shetani (Lk 10:18, Uf 12:9)<br />
Mwenye kutoa moshi (maovu na mafundisho mabaya)<br />
1. Nzige ni ishara ya uharibifu<br />
2. Moshi huu haudhuru Kanisa - isipokuwa utawala wa KIRUMI.<br />
50