08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sura 9 Mstali 8<br />

1. Bilashaka zinasimamia akili au uzuri.<br />

2. Kama nzige watakuwa kama viumbe wenye uzuri wenye kutawala,<br />

wataonekana wema machori pa binadamu na watu watadanganywa na<br />

kuwafuata.<br />

1. Nywele za binadamu<br />

A. Nywele ndefu zinaashina nguvu au uzuri.<br />

2. Meno ya simba<br />

A. Nguvu ya uharibifu, Yoel 1:6.<br />

1. Nguvu ya uharibifu ikinyeshe pia upole.<br />

2. Mchanganyiko wa wenyehaki na watu wabaya na nguvu za maangamizi.<br />

Mstali 9<br />

1. Diriikifuani<br />

A. Kwa ajili ya ulinzo - Ef. 6:14, 1 Tes. 5:8, Uf. 9:9, 17.<br />

2. Kama dirii za chuma.<br />

A. Chunga “. . . kama za . . .”<br />

1. Zikifanana na chuma, hivyo ni uwezo wa kujilinda.<br />

3. Sauti za mbawa zao.<br />

A. Kama sauti za farasi wengi.<br />

1. Bila sheka idadi kubwa.<br />

Mstali 10<br />

1. Mikia<br />

A. Ishara ya nguvu ya uharibifu.<br />

2. Maumivu<br />

A. Wenye kudhuru.<br />

3. Miezi mitano<br />

A. Angalia maelezo katika mstali wa tano.<br />

Mstali 11<br />

1. Mfalme<br />

A. Katika mithali 30:27 inazungumza kwamba nzige hawana mfalme.<br />

1. Hapa tunaona nzige wa kishetani waneye mfalme.<br />

2. Malaika<br />

A. Maelezo ya upekee, kutokana na “The” kwa kiingereza.<br />

1. Wanemtii mfalme.<br />

B. Bila shaka - Uf. 20:1-3.<br />

1. Mwenye uwezo juu ya kuzimu.<br />

3. Chini kabisa (Kuzimu)<br />

A. Kuzimu Uf. 9:1, 11; 11:7; 17:8; 20:1-3.<br />

1. Makazi ya shetani.<br />

4. Abaddoni - Apollyon<br />

A. Majina yote mawili yana maana ya muharibifu, Ay. 26:6; 28:22; 31:12; Zab.<br />

88:11; Mith. 15:11; 27:20.<br />

Sura 9 Mstari 12<br />

1. Ole moja imepita<br />

A. Maana yake kamilisho la Ole ya kwanza.<br />

B. Kumbuka kwamba nyota ni shetani (Lk 10:18, Uf 12:9)<br />

Mwenye kutoa moshi (maovu na mafundisho mabaya)<br />

1. Nzige ni ishara ya uharibifu<br />

2. Moshi huu haudhuru Kanisa - isipokuwa utawala wa KIRUMI.<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!