Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Sura Ya Kwanza<br />
Mstali wa Kwanza (1:1)<br />
1. <strong>Ufunuo</strong>: “Apokalupsis” - Maana yake isiyofunikwa iliyowazi usizuie ukweli, Vines Uk. 974.<br />
A. Kitabu hiki ni ufunuo wa Yesu kwa Yohana.<br />
B. Ujumbe uliotolewa kwanza kwa Kristo na baba yake.<br />
2. Watumwa<br />
A. Watumishi ni waumini wa Kanisa ambao wamepelekewa ujumbe huu.<br />
B. Ujumbe ume tufikia kwa mzunguko - Baba - Mwana - Roho Mtakatifu - Malaika -<br />
Yohana - Watumishi.<br />
3. Kuwako Upesi<br />
A. Yaashiria mambo yaliyomuhimu yenye maadili mema kuja upesi. Kuna uharaka wa<br />
kufanyika.<br />
1. Mark. 1:15 na mwishoni mwa Ufu. 1:3. Akitumia maneno ya Kiyunani kuonyesha<br />
kwamba muda ni tayari. Ufu. 22:6,10; Math. 16:21.<br />
B. Muda mfupi, Maana yake upesi.<br />
1. Neno ili liliandikwa katika tungo za kikirosti “aorist” kama alama ya tendo moja.<br />
2. ENTACHEI, ni maneno ya kiyunani yakiwa na maana ya “ndani au katika,<br />
kuondolewa kwa kazi upesi. Vines Uk. 923. Kamusi zingine za Kiyunani<br />
zinaelezea kitu kile kile.<br />
3. Maneno haya yanaonyesha utimilifu uliokaribu (Mdo. 25:4, Rom. 16:20; 1 Tim.<br />
3:14; 2 Tim. 4:9).<br />
C. Maneno ya Mungu yanayotuhusuhu tokana na nyakati.<br />
1. Dan. 8:1, 14, 26 zamani ya wakati ujao baada ya siku nyingi. Siku nyingi<br />
zipatazo miaka 386.<br />
2. Kwa hiyo kwa maneno ya Mungu wenyewe kama miaka 386 ni siku nyingi hivyo<br />
“upesi” haiwezekani kuwa zaidi ya miaka 386.<br />
3. Ufun. 22:10, Dan. 12:4 - Kipindi kifupi hiki kilikuwa cha miaka karibu 400.<br />
D. Wale wanaoshikiria kuwa haya mambo yatatokea zaidi ya mwaka 2000, madai yao<br />
ni kwamba “muda mfupi nikuwa --------wakati wote.” Unaweza kuangalia tafsri<br />
yoyote pasipokutafsiriwa namna hiyo.<br />
4. Akamwonyesha Mtumwa:<br />
A. Alionyeshwa kwa njia ya alama. Alifunua ujumbe wa Mungu kwa njia ya alama.<br />
B. Lilikuwa na kusudi la Mungu kuwajulisha watu wake kwa njia ya ishara na maajabu.<br />
Kama vile alivyofanya kwa Musa na kwa Gidioni. Hata Agano Jipya lilithibitika<br />
kwa njia ya ishara na maajabu. Mark. 16:15-18; Ebr. 2:3-4.<br />
C. Ishara zilitumika ili kuthibitisha.<br />
5. Malaika<br />
A. Wapeleka ujumbe.<br />
1. Math. 11:10; Lk. 7:24, 9:52.<br />
6. Yohana<br />
A. Mtoto wa Zebadayo, mtume ambaye Yesu alimpende. Math. 4:21.<br />
B. Mwandishi wa injili ya Yohana na Yohana wa 1-3.<br />
Mstali Wa Pili (1:2)<br />
1. Yohana ajishuhudia mwenyewe kama shahidi mwema, Mdo. 1:8-13, 21-22.<br />
Mstali Wa Tatu (1:3)<br />
6