Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mstali 1<br />
1. Malaika wa tano<br />
A. Maana yake - tai.<br />
B. Mwingiliano wa malaika wa tano - akapiga baragumu<br />
1. Ole zimeanza (Mstali wa 1 ole ya kwanza 1-11).<br />
2. Kuanguka kwa nyota<br />
A. Hali yenyewe - imeanguka.<br />
1. Wakati uliopita<br />
B. Neno “NYOTA” inaonekana kumzungumzia shetani - Lk. 10:18, Ufu. 12:9.<br />
1. Kana siyo shetani - pengine kuna maanisha kuwepo kwa upekee au mtu<br />
au kitu fulani.<br />
C. Uf. 22:16 inazungumzia nyota ya asubuhi inayong’aa:<br />
1. Inaleta Nuru, ikiwa na funguo za mauti na kuzimu, Ufu. 1:18.<br />
2. Hapa, ijapokuwa nyota iliyaonguka inazofunguo za kuzimu.<br />
3. Angalia 2 Kor. 14:4 ambapo Shetani ni Mungu wa watu wabaya Ufu. 9:11 ambapo ni<br />
mfalme wa nzige.<br />
3. Akapewa ufunguo<br />
A. Mmoja alimwezesha yeye kuwa na funguo.<br />
B. Kwa kutumia ufunguo ule alileta maumivu juu ya nchi.<br />
4. Shimo la kuzimu<br />
A. Kuzimu 11:7<br />
1. Makazi ya shetani - Uf. 20:1-3.<br />
Mstali 2<br />
1. Moshi<br />
A. Mosi unatia giza na kuondoa nuru.<br />
1. Ni ishara ya hali mbaya na mafundisho potofu.<br />
2. Moshi utatia girea kiasi cha kutoona ukweli.<br />
B. Ulimwengu unasumbuliwa na upofu wa kiroho.<br />
1. Ukiletwa juu ya nchi kana adhabu.<br />
2. Mungu akiadhibu wapagani kwa maovu yao “. . . akiwa toa juu . .”<br />
Rum. 1:24-28.<br />
3. Mataifa mengi waonesumbuliwa kwa sababu ya maovu yao na upofu wa kiroho - 2<br />
Kor. 4:4, Kol. 1:12, 13.<br />
A. Linganisha na Mw. 19:28, Kut. 10:21-23, 19:18, Mt. 13:42, 50.<br />
Mstali 3<br />
1. Nzige<br />
A. Kutoka kitaka ule moshi wakatoka panzi na kuenea juu ya nchi, “Wuests fanuzi zaidi ya<br />
Agano Jipya uk. 600.<br />
B. Nzige ni wadudu wenye tamaa sana ya kula wanehusiana na panzi. Mateso<br />
makubwa katika mashariki ya mbali. Barnes Agano Jipya Uk. 212.<br />
1. Kwahiyo siyo Nzige halisi tazama Mst. 7-11.<br />
2. Nguvu<br />
A. Walipewa nguvu nyingi lakini zilikuwa na mipaka - Mst. 4.<br />
B. Nguvu kama kuuma kwa nge.<br />
3. Nge.<br />
A. Kumb. 8:15; Ezek. 2:6, Lk. 10:19, 11:12.<br />
B. Mnyama mdogo kama mnyama fulani wa habarini, mkie mlefu, mwisho ndimo mna sumu ile<br />
inayodhumu maumivu, hali ya kuuma na madhera yako katika Uf. 9:3, 5, 10 Vines Uk. 1009.<br />
1. Nguvu ya nge (nzige) ni maumivu kutokana na mambo ya giza au<br />
(mambo maovu).<br />
Mstali 4<br />
1. Majani 8:7<br />
A. Kwa kawaida panzi wanaharibu mimia.<br />
48