08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mstali 1<br />

1. Malaika wa tano<br />

A. Maana yake - tai.<br />

B. Mwingiliano wa malaika wa tano - akapiga baragumu<br />

1. Ole zimeanza (Mstali wa 1 ole ya kwanza 1-11).<br />

2. Kuanguka kwa nyota<br />

A. Hali yenyewe - imeanguka.<br />

1. Wakati uliopita<br />

B. Neno “NYOTA” inaonekana kumzungumzia shetani - Lk. 10:18, Ufu. 12:9.<br />

1. Kana siyo shetani - pengine kuna maanisha kuwepo kwa upekee au mtu<br />

au kitu fulani.<br />

C. Uf. 22:16 inazungumzia nyota ya asubuhi inayong’aa:<br />

1. Inaleta Nuru, ikiwa na funguo za mauti na kuzimu, Ufu. 1:18.<br />

2. Hapa, ijapokuwa nyota iliyaonguka inazofunguo za kuzimu.<br />

3. Angalia 2 Kor. 14:4 ambapo Shetani ni Mungu wa watu wabaya Ufu. 9:11 ambapo ni<br />

mfalme wa nzige.<br />

3. Akapewa ufunguo<br />

A. Mmoja alimwezesha yeye kuwa na funguo.<br />

B. Kwa kutumia ufunguo ule alileta maumivu juu ya nchi.<br />

4. Shimo la kuzimu<br />

A. Kuzimu 11:7<br />

1. Makazi ya shetani - Uf. 20:1-3.<br />

Mstali 2<br />

1. Moshi<br />

A. Mosi unatia giza na kuondoa nuru.<br />

1. Ni ishara ya hali mbaya na mafundisho potofu.<br />

2. Moshi utatia girea kiasi cha kutoona ukweli.<br />

B. Ulimwengu unasumbuliwa na upofu wa kiroho.<br />

1. Ukiletwa juu ya nchi kana adhabu.<br />

2. Mungu akiadhibu wapagani kwa maovu yao “. . . akiwa toa juu . .”<br />

Rum. 1:24-28.<br />

3. Mataifa mengi waonesumbuliwa kwa sababu ya maovu yao na upofu wa kiroho - 2<br />

Kor. 4:4, Kol. 1:12, 13.<br />

A. Linganisha na Mw. 19:28, Kut. 10:21-23, 19:18, Mt. 13:42, 50.<br />

Mstali 3<br />

1. Nzige<br />

A. Kutoka kitaka ule moshi wakatoka panzi na kuenea juu ya nchi, “Wuests fanuzi zaidi ya<br />

Agano Jipya uk. 600.<br />

B. Nzige ni wadudu wenye tamaa sana ya kula wanehusiana na panzi. Mateso<br />

makubwa katika mashariki ya mbali. Barnes Agano Jipya Uk. 212.<br />

1. Kwahiyo siyo Nzige halisi tazama Mst. 7-11.<br />

2. Nguvu<br />

A. Walipewa nguvu nyingi lakini zilikuwa na mipaka - Mst. 4.<br />

B. Nguvu kama kuuma kwa nge.<br />

3. Nge.<br />

A. Kumb. 8:15; Ezek. 2:6, Lk. 10:19, 11:12.<br />

B. Mnyama mdogo kama mnyama fulani wa habarini, mkie mlefu, mwisho ndimo mna sumu ile<br />

inayodhumu maumivu, hali ya kuuma na madhera yako katika Uf. 9:3, 5, 10 Vines Uk. 1009.<br />

1. Nguvu ya nge (nzige) ni maumivu kutokana na mambo ya giza au<br />

(mambo maovu).<br />

Mstali 4<br />

1. Majani 8:7<br />

A. Kwa kawaida panzi wanaharibu mimia.<br />

48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!