08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

1. Tubu<br />

A. Inafafanua mabadiliko ya mawazo kwa mtu au shabaha, mara nyingi kwenye Agano Jipya,<br />

kuendelea kuboresha mabadiliko kuwa mazuri, wakati wote isipokuwa katika Lk.<br />

17:3,4 kwamba toba toka kwenye dhambi Vines Ukurasa 961-962.<br />

2. Naja<br />

A. Kumbuka ujaribu kufaham jinsi ambavyo neno limetumika kwenye kifungu.<br />

B. Naja, hapa inaeleza hukumu katika kanisa la pergamo kama hawahitaji kujisalihisha.<br />

3. Upanga<br />

A. Walitumia upanga kwa matumizi gani?<br />

1. Vita, hukumu.<br />

2. Katika tamathari za semi, ni kama - kifaa cha kufunulia. Luka 2:35, kwa hukumu<br />

Uf. 1:16, 2:12, 16, 19:15, 21 Ki-umbo ni kama kuonyesha matamko ya haki<br />

ya Bwana, Vines Uk. 1123.<br />

a) Matamko hayo ndiyo yangeleta chini hukumu ya Mungu.<br />

MSTARI WA 17<br />

1. Roho<br />

A. Angalia maelezo katika 1:4; 2:7.<br />

B. Kusikia ni sawa na kupokea, kutii Yakobo 1:22.<br />

2. Kushinda<br />

A. Kushinda njia za uovu.<br />

B. 2:26; 12:11.<br />

C. Kupiga, kushinda, kuzuia, kupata ushindi - Strong’s Greek Dictionary of N.T. Uk. 50.<br />

3. Mana iliyofichwa<br />

A. Kama vile Mungu alivyotoa mana kwa Israel wa Kimwili (Kut. 16:32-34), hapa anatoa mana<br />

iliyofichwa kwa Israel wa kiroho.<br />

1. Wengine waliwekwa gizani Heb. 9:4.<br />

2. Hii mana iliyofichwa ni Yesu (Yoh. 6:31-38, 48-51).<br />

3. Neno Iliyofichwa hapa inamaanisha isiyoonekana.<br />

4. Ushindi utapalikana kwa nguvu isiyoonekana.<br />

4. Jiwe Jeupe<br />

A. Wapergama walijiingiza kwenye madini ya mawe meupe kwenye matumizi kama zao la<br />

biashara.<br />

B. Matumizi ya kipande cha jiwe hili na jina lake vina thamani.<br />

1. Liatolewa kwa mtu aliyejaribu bila mafanikio.<br />

a) Jiwe leusi anapewe mtu aliyahukumiwa kosa.<br />

2. Linatolewa kwa mtu amekuwa huru toka utumwani na anapewa uraia Rum.6<br />

untakaso.<br />

3. Linatolewa kwa Mshindi kuonyesha kuwa ameshinda upinzani.<br />

4. Linatolewa kwa maasikari kuonyesha ameshinda upinzani.<br />

a) Yaweke yote haya pamoja nani? Mkristo!<br />

5. Jina Jipya<br />

A. Linaongelea kuhusu jina Mkristo.<br />

1. Lilikuwa limewahi kutolewa (Mdo. 11:26, Isa. 62:1-5).<br />

2. Jina Mkristo limetolewa kutokana na suala la utiifu na sio ushindi.<br />

B. Wengine wanaamini kwamba Uf. 3:12 inaelezea hilo.<br />

C. Inaonekaa kwamba maneno ya Jipya “Jina Jipya” yanamaanisha uhusiano ambao mwana wa<br />

Mungu anaupata baada ya kushinda.<br />

1. Kwa vyo vyote iwavyo ni yule ambaye ameshinda ndiye atakayelimiliki na<br />

kulielewa.<br />

MSTARI 18<br />

1. Thiatira<br />

Ujumbe Kwa Thiatira<br />

Mstari 18-29<br />

Shika Sana Hata Ajapo<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!