Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
1. Tubu<br />
A. Inafafanua mabadiliko ya mawazo kwa mtu au shabaha, mara nyingi kwenye Agano Jipya,<br />
kuendelea kuboresha mabadiliko kuwa mazuri, wakati wote isipokuwa katika Lk.<br />
17:3,4 kwamba toba toka kwenye dhambi Vines Ukurasa 961-962.<br />
2. Naja<br />
A. Kumbuka ujaribu kufaham jinsi ambavyo neno limetumika kwenye kifungu.<br />
B. Naja, hapa inaeleza hukumu katika kanisa la pergamo kama hawahitaji kujisalihisha.<br />
3. Upanga<br />
A. Walitumia upanga kwa matumizi gani?<br />
1. Vita, hukumu.<br />
2. Katika tamathari za semi, ni kama - kifaa cha kufunulia. Luka 2:35, kwa hukumu<br />
Uf. 1:16, 2:12, 16, 19:15, 21 Ki-umbo ni kama kuonyesha matamko ya haki<br />
ya Bwana, Vines Uk. 1123.<br />
a) Matamko hayo ndiyo yangeleta chini hukumu ya Mungu.<br />
MSTARI WA 17<br />
1. Roho<br />
A. Angalia maelezo katika 1:4; 2:7.<br />
B. Kusikia ni sawa na kupokea, kutii Yakobo 1:22.<br />
2. Kushinda<br />
A. Kushinda njia za uovu.<br />
B. 2:26; 12:11.<br />
C. Kupiga, kushinda, kuzuia, kupata ushindi - Strong’s Greek Dictionary of N.T. Uk. 50.<br />
3. Mana iliyofichwa<br />
A. Kama vile Mungu alivyotoa mana kwa Israel wa Kimwili (Kut. 16:32-34), hapa anatoa mana<br />
iliyofichwa kwa Israel wa kiroho.<br />
1. Wengine waliwekwa gizani Heb. 9:4.<br />
2. Hii mana iliyofichwa ni Yesu (Yoh. 6:31-38, 48-51).<br />
3. Neno Iliyofichwa hapa inamaanisha isiyoonekana.<br />
4. Ushindi utapalikana kwa nguvu isiyoonekana.<br />
4. Jiwe Jeupe<br />
A. Wapergama walijiingiza kwenye madini ya mawe meupe kwenye matumizi kama zao la<br />
biashara.<br />
B. Matumizi ya kipande cha jiwe hili na jina lake vina thamani.<br />
1. Liatolewa kwa mtu aliyejaribu bila mafanikio.<br />
a) Jiwe leusi anapewe mtu aliyahukumiwa kosa.<br />
2. Linatolewa kwa mtu amekuwa huru toka utumwani na anapewa uraia Rum.6<br />
untakaso.<br />
3. Linatolewa kwa Mshindi kuonyesha kuwa ameshinda upinzani.<br />
4. Linatolewa kwa maasikari kuonyesha ameshinda upinzani.<br />
a) Yaweke yote haya pamoja nani? Mkristo!<br />
5. Jina Jipya<br />
A. Linaongelea kuhusu jina Mkristo.<br />
1. Lilikuwa limewahi kutolewa (Mdo. 11:26, Isa. 62:1-5).<br />
2. Jina Mkristo limetolewa kutokana na suala la utiifu na sio ushindi.<br />
B. Wengine wanaamini kwamba Uf. 3:12 inaelezea hilo.<br />
C. Inaonekaa kwamba maneno ya Jipya “Jina Jipya” yanamaanisha uhusiano ambao mwana wa<br />
Mungu anaupata baada ya kushinda.<br />
1. Kwa vyo vyote iwavyo ni yule ambaye ameshinda ndiye atakayelimiliki na<br />
kulielewa.<br />
MSTARI 18<br />
1. Thiatira<br />
Ujumbe Kwa Thiatira<br />
Mstari 18-29<br />
Shika Sana Hata Ajapo<br />
18