Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
A. Muda au nafasi ya kujisahihisha matendo yake lakini ameshindwa kufanya hivyo.<br />
MSTARI WA 22<br />
1. Kitanda<br />
A. Kuwa mgonjwa na kulazwa kitandani wamevuna walichokipanda.<br />
1. Sehemu ya dhambi pia ni sehemu ya adhabu.<br />
2. Kitanda kinamaanisha adhabu.<br />
a) Angalia: Dhiki.<br />
2. Kufanya Uzinzi<br />
A. Pengine inahusisha uzinzi wa kiroho<br />
1. Uzinzi wa Kiroho unatekana na ibada ya sanam kama ilivyokuwa Israel ya zamani<br />
katika Yer. 3:9, Eze. 16:32.<br />
3. Pamoja Naye<br />
A. Wote wenye makosa yanayoleta mgawanyiko wataadhibiwa pamoja na wale wanaoshiriki<br />
katika dhambi hiyo.<br />
4. Dhiki<br />
A. Wote wataadhibiwa kwa matendo yao.<br />
1. 2 Cor. 5:10.<br />
5. Isipokuwa wakitubu<br />
A. Toba ingebadilisha hali yote hiyo. Angalia Maelezo mstari 16.<br />
MSTARI WA 23<br />
1. Kuwaua watoto wake kwa mauti.<br />
A. Kwa kuwa ameshindwa kutubu ategemee adhabu.<br />
B. Ndio kusema, “watauawa kwa mauti”<br />
1. Kwa maneno mengine, “kuwaangamiza toka uso wa dunia.”<br />
2. Chini ya sheria waliadhibiwaje?<br />
a) Mauti (Walawi 20:10)<br />
3. Labda kusema kuwa kifo cha kimwili kingekuja kwa mapigo, njaa ama upanga.<br />
C. Watoto watakuwa wake ibilisii (Yoh. 8:44, Isa 57:3)<br />
2. Makanisa yote watajua.<br />
A. Kwa nini?<br />
1. Angalia Mdo 5:11.<br />
a) Uongo - Math. 10:28; Zab. 111:10.<br />
2. Makanisa yote wataona na kujua hayo yalikuwa yatokee haraka.<br />
3. Viuno na Mioyo<br />
A. Inahusu mawazo ya ndani ya mtu.<br />
1. Inamaana hakuna kitu kizuri au kibaya kiwezacho kufichwa kwa Mungu Ebr. 4:13.<br />
4. Matendo<br />
A. Mt. 16:27; Rum. 2:6, 2 Cor. 5:10, Uf. 20:13, Rom. 14:12, Yakobo 2:17.<br />
MSTARI WA 25<br />
1. Shika Sana<br />
A. Shika sana nini?<br />
1. Injili, upendo, imani, huduma na uvumilivu.<br />
2. Mpaka Nitakapokuja<br />
A. Shika, tunza imani, nitakuwepo miaka miwili au miaka elfu tatu hapana!<br />
1. Kuja kungekuwa “Mkononi” Karibuni 1:3.<br />
MSTARI WA 26<br />
1. Hata Mwisho<br />
A. Mpaka mwisho ni lazima wakae hivyo hivyo.<br />
2. Mamlaka Juu ya Mataiifa<br />
A. Imeelezwa Mstari 27.<br />
20