08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

A. Muda au nafasi ya kujisahihisha matendo yake lakini ameshindwa kufanya hivyo.<br />

MSTARI WA 22<br />

1. Kitanda<br />

A. Kuwa mgonjwa na kulazwa kitandani wamevuna walichokipanda.<br />

1. Sehemu ya dhambi pia ni sehemu ya adhabu.<br />

2. Kitanda kinamaanisha adhabu.<br />

a) Angalia: Dhiki.<br />

2. Kufanya Uzinzi<br />

A. Pengine inahusisha uzinzi wa kiroho<br />

1. Uzinzi wa Kiroho unatekana na ibada ya sanam kama ilivyokuwa Israel ya zamani<br />

katika Yer. 3:9, Eze. 16:32.<br />

3. Pamoja Naye<br />

A. Wote wenye makosa yanayoleta mgawanyiko wataadhibiwa pamoja na wale wanaoshiriki<br />

katika dhambi hiyo.<br />

4. Dhiki<br />

A. Wote wataadhibiwa kwa matendo yao.<br />

1. 2 Cor. 5:10.<br />

5. Isipokuwa wakitubu<br />

A. Toba ingebadilisha hali yote hiyo. Angalia Maelezo mstari 16.<br />

MSTARI WA 23<br />

1. Kuwaua watoto wake kwa mauti.<br />

A. Kwa kuwa ameshindwa kutubu ategemee adhabu.<br />

B. Ndio kusema, “watauawa kwa mauti”<br />

1. Kwa maneno mengine, “kuwaangamiza toka uso wa dunia.”<br />

2. Chini ya sheria waliadhibiwaje?<br />

a) Mauti (Walawi 20:10)<br />

3. Labda kusema kuwa kifo cha kimwili kingekuja kwa mapigo, njaa ama upanga.<br />

C. Watoto watakuwa wake ibilisii (Yoh. 8:44, Isa 57:3)<br />

2. Makanisa yote watajua.<br />

A. Kwa nini?<br />

1. Angalia Mdo 5:11.<br />

a) Uongo - Math. 10:28; Zab. 111:10.<br />

2. Makanisa yote wataona na kujua hayo yalikuwa yatokee haraka.<br />

3. Viuno na Mioyo<br />

A. Inahusu mawazo ya ndani ya mtu.<br />

1. Inamaana hakuna kitu kizuri au kibaya kiwezacho kufichwa kwa Mungu Ebr. 4:13.<br />

4. Matendo<br />

A. Mt. 16:27; Rum. 2:6, 2 Cor. 5:10, Uf. 20:13, Rom. 14:12, Yakobo 2:17.<br />

MSTARI WA 25<br />

1. Shika Sana<br />

A. Shika sana nini?<br />

1. Injili, upendo, imani, huduma na uvumilivu.<br />

2. Mpaka Nitakapokuja<br />

A. Shika, tunza imani, nitakuwepo miaka miwili au miaka elfu tatu hapana!<br />

1. Kuja kungekuwa “Mkononi” Karibuni 1:3.<br />

MSTARI WA 26<br />

1. Hata Mwisho<br />

A. Mpaka mwisho ni lazima wakae hivyo hivyo.<br />

2. Mamlaka Juu ya Mataiifa<br />

A. Imeelezwa Mstari 27.<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!