Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
2. Jua<br />
Mstali 17<br />
B. Baraka za mwisho kwa waaminifu Uf. 21:3-5<br />
A. Ulinzi au kinga kutokana na madhara.<br />
1. Kwa Mwana Kondoo<br />
A. Kwa mkwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atawachunga.<br />
B. Mungu atawaangalia na kuwachunga, Yoh. 4:10, 14.<br />
1. Hawataona kiu kamwe kwakuwa mchungaji atawaongoza kwenye<br />
chemichemi za maji, Zab. 23:2 chemichemi za maji ya uzima.<br />
2. Hawataona njaa kwa sababu mehungaji atawalaza katika malisho ya<br />
majani mabichi - Zab. 23:2.<br />
3. Jua halitawachoma kwakuwa mchungaji atawapa kuvuli.<br />
C. Yote yanakusanyika katika swala zima juu ya ulinzi na hali ya mafanikio mema<br />
Isa.25:8; 40:l1; 49:8-10; Zab. 121:5, 6.<br />
Sura ya 8<br />
8:1- 9:21<br />
Sura ya 8 ni jibu la maombi na sara za Wakrito zinazopatikana katika sura ya 6:10 waliteswa na<br />
kumwomba Mungu atoe hukumu kwa watesi wao. Hukumu hii ni matokeo ya maombi na sara zao.<br />
Mstari 8:l - 11:10 (Mwendelezo wa kufungaliwa kwa muhuri ya saba.)<br />
1. Ukimya;<br />
A. “Kimya” hali halisi pasipo kutoa sauti.<br />
B. Zak. 2:8-13 jawabu laule ukimya.<br />
1. Ulimwengu wote unaaswa kuwa kimya kamavire anakuja kuhukumu.<br />
2. Ona pia Zak. 1:7-12, Hab. 2:20.<br />
3. Wakati Mungu anaongea watu wanapasura kuwa kimya.<br />
2. Nusu saa.<br />
A. Siyo kweli nusu saa lakini ni kipindi cha muda fulani.<br />
B. Utulivu kabla ya sauti ngurumo kama ujio wa tukio<br />
1. Kuchelewa kwa hukumu Uf. 10:6.<br />
Mstali 2<br />
1. Malaika Saba.<br />
A. Malaika saba wenye baragumu saba.<br />
2. Baragumu saba.<br />
A. Hajulikani waliwapewa na nani.<br />
1. Pengine na Mungu au kwa mamka yake.<br />
B. Hukumu inakuja kamainavyoelezeka na neno “baragumu.’’<br />
C. Hesa 10:1-10, kuna matumizi ya aina nne kuhusu barangumu.<br />
1. Kuita mkusnyiko - mst. 2.<br />
2. Kusafiri kwa makambi - mst. 2.<br />
3. Kupigana vita- mst. 9<br />
4. Piga mayowe mst. 9.<br />
D. Yoel. 2:1 -3, Sef. 11:4 -8, Yer. 4:5 - 9, Am.3:6 ili kupata maagizoya msingi.<br />
Mstali 3<br />
1. Malaika mwingine akasimama mbeke ya madhabahu.<br />
A. Madhabahu iliyojaa uvumba.<br />
44