Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
3. Mwenye kufunga, hapana afunguaye<br />
A. Yesu alidai haki bila kujali wahusika wa Kanisa Yohana 14:6; Math. 16:18-19.<br />
Msitari wa 8 (3:8)<br />
1. Mlango uliofunguliwa.<br />
A. Kazi ya Mungu katika nafasi wazi ya kuhubiri injili (Mdo. 14:27, 2 Cor. 2:12, Col. 4:13).<br />
2. Hakuna mtu wa kuufunga.<br />
A. Hakuna mtu aliyenamamlaka ya kufunga kile ambacho Mungu amefungua.<br />
3. Nguvu kidogo.<br />
A. Ni dhaifu kwa idadi, umaarufu, lakini bado wamakuwa na imani.<br />
Mstari wa 9 (3:9)<br />
1. Walio katika sinagogi la Shetani<br />
A. Jinsi inanyoonekana kwa macho ya wayahudi.<br />
2. Wayahudi<br />
A. Wanaangalia roho (Rum. 2:28, 29; 9:6, 7)<br />
B. Filadelfia labda walikuwa mataifa kwa hiyo wanapingana na wale waliokuna wanafikili<br />
walikuwa Wayahudi.<br />
3. Kusujudu<br />
A. Yaani kuonyesha kuwa Yesu analipenda Kanisa la Filadelfia.<br />
B. Lakini sio kusujudiana wao kwa wao (Mdo. 10:25-26).<br />
Mstari wa 10 (3:10)<br />
1. Kwa kuwa..........mitakulinda utoke katika saa ya majaribu.<br />
2. Majaribu<br />
A. Sio kulinda kutoka ila kulinda katika ndani ya (Math. 6:13, Yak. 1:12).<br />
B. Angalia msitari wa 11 kama alikuwa anawalinda.<br />
3. Ulimwengu wote<br />
A. Ni kama ulimwengu wote wa wakati ule.<br />
4. Kuwajaribu<br />
A. Maana kamili hapa haijatajwa.<br />
Mstari (3:11)<br />
1. Upesi<br />
A. Miaka 2,000<br />
2. Shika sana<br />
A. Kushika kwa kufunga (Mdo. 16:24)<br />
3. Asije mtu akatwaa taji yako<br />
A. Kuwa mwangalifu ili mwingine asikunyanganye zawadi yako - (Kol. 1:18).<br />
B. Taji linatwaliwa kwa nguvu.<br />
1. Hawakuwa katika nafasi ya taji hilo kama taifa kazi ilihitaji kukamilika (1 Kor. 9:24,<br />
Ebr. 12:1).<br />
2. Taja (la Stefano) ushindi - Fil. 4:1, 1 Thes. 2:19, 2 Tim. 4:8, Yak.<br />
1:12, 1 Petr. 5:4.<br />
Yesu Anakuja<br />
Mstari 12 (3:12)<br />
2:25 - Atakuja<br />
3:3 - Atakuja kama mwivi<br />
3:11 - Aja upesi<br />
1. Nguzo katika Hekalu<br />
A. Kwa msemo<br />
1. Kukomaa, ugumu, imara na isiyoyumba.<br />
24