Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
MWANA WA ADAMU SIMBA WA KABILA LA YUDA<br />
Siku za kale (Alikiya kwake) Aketiye katika kiti cha enzi - Ufu. 5:12-13.<br />
Dan. 7:13-14.<br />
ALIYEPEWA: ALIYEPEWA:<br />
Utawala - Utukufu - Ufalme Nguvu - Utajiri - Hekima - Uweza<br />
Heshima - Utukufu - Baraka.<br />
UFALME - ULIOFANYWE NA: UFALME NA MAKUHANI ULIOFANYWA NA:<br />
Watu Kabila<br />
Mataifa Lugha<br />
Lugha Mtu<br />
Taifa<br />
Huu “Hauna Mwisho” Huu ni “Milele na milele”<br />
MSTARI WA 13<br />
1. Kiumbe<br />
A. Kitu kilichoumbwa, vitu vyote vilivyoumbwa vinajumuishwa kuabudu, Zab. 148:7-13.<br />
2. Nalivisikia<br />
A. Ina maana, “Nilisikia msemo.”<br />
3. Kiti cha Enzi<br />
A. Mungu aliketi juu ya kiti cha enzi, kwahivyo vitu hivi vilinenwa juu ya Mungu na Yesu.<br />
MSTARI WA 14<br />
1. Amina<br />
A. Na iwe hivyo<br />
2. Wenye uhai wanne na wazee ishirini na nne.<br />
A. Baadhi ya maandiko yameondoa hili.<br />
3. Wazee walianguka chini na kusujudu.<br />
A. Wanaonyesha kukubali kile kilichokuwa kinatukia.<br />
4. Yeye aishiye milele na milele.<br />
A. Baadhi ya maandiko yameondoa hili.<br />
B. Picha ni: Mungu katika kiti cha enzi, Kristo yu hai na yote ni mema kwa ulimwengu.<br />
1. Yohana hukusoma kitabu.<br />
2. Kitabu kiliancikwa kwa mifano na kadiri laya muhuri ulipovunjwa maono na siyo<br />
maneno yangetokea.<br />
SURA YA SITA<br />
MSTARI WA 1.<br />
1. Muhuri<br />
A. Ilitumika kutunza kitu kilichofungwa.<br />
2. Sauti ya Ngurumo<br />
A. Labda kiwango cha sauti: au kielelezo cha hukumu na vitu vya kiasi.<br />
1. Zaidi sana ni kama hapo kuanza.<br />
3. Njoo na tazama<br />
A. Labda aliaambiwa Yohana kumweka tayari kwa tukio linalokiya - Angalia: “na nikaona” Mst.<br />
2.<br />
B. Maandiko mengine hayana “na tazama” hivyo kutoa nafasi ya wazo la kwamba farasi na<br />
aliyempamda ndio walioambiwa waje.<br />
MSTARI WA 2<br />
1. Farasi Mweupe<br />
A. “Mweupe au nyeupe, au cheupe” limetumika mara 16 katika <strong>Ufunuo</strong> na mara zote<br />
likimaanisha: usafi, utakatifu, au ushindi.<br />
36