08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MWANA WA ADAMU SIMBA WA KABILA LA YUDA<br />

Siku za kale (Alikiya kwake) Aketiye katika kiti cha enzi - Ufu. 5:12-13.<br />

Dan. 7:13-14.<br />

ALIYEPEWA: ALIYEPEWA:<br />

Utawala - Utukufu - Ufalme Nguvu - Utajiri - Hekima - Uweza<br />

Heshima - Utukufu - Baraka.<br />

UFALME - ULIOFANYWE NA: UFALME NA MAKUHANI ULIOFANYWA NA:<br />

Watu Kabila<br />

Mataifa Lugha<br />

Lugha Mtu<br />

Taifa<br />

Huu “Hauna Mwisho” Huu ni “Milele na milele”<br />

MSTARI WA 13<br />

1. Kiumbe<br />

A. Kitu kilichoumbwa, vitu vyote vilivyoumbwa vinajumuishwa kuabudu, Zab. 148:7-13.<br />

2. Nalivisikia<br />

A. Ina maana, “Nilisikia msemo.”<br />

3. Kiti cha Enzi<br />

A. Mungu aliketi juu ya kiti cha enzi, kwahivyo vitu hivi vilinenwa juu ya Mungu na Yesu.<br />

MSTARI WA 14<br />

1. Amina<br />

A. Na iwe hivyo<br />

2. Wenye uhai wanne na wazee ishirini na nne.<br />

A. Baadhi ya maandiko yameondoa hili.<br />

3. Wazee walianguka chini na kusujudu.<br />

A. Wanaonyesha kukubali kile kilichokuwa kinatukia.<br />

4. Yeye aishiye milele na milele.<br />

A. Baadhi ya maandiko yameondoa hili.<br />

B. Picha ni: Mungu katika kiti cha enzi, Kristo yu hai na yote ni mema kwa ulimwengu.<br />

1. Yohana hukusoma kitabu.<br />

2. Kitabu kiliancikwa kwa mifano na kadiri laya muhuri ulipovunjwa maono na siyo<br />

maneno yangetokea.<br />

SURA YA SITA<br />

MSTARI WA 1.<br />

1. Muhuri<br />

A. Ilitumika kutunza kitu kilichofungwa.<br />

2. Sauti ya Ngurumo<br />

A. Labda kiwango cha sauti: au kielelezo cha hukumu na vitu vya kiasi.<br />

1. Zaidi sana ni kama hapo kuanza.<br />

3. Njoo na tazama<br />

A. Labda aliaambiwa Yohana kumweka tayari kwa tukio linalokiya - Angalia: “na nikaona” Mst.<br />

2.<br />

B. Maandiko mengine hayana “na tazama” hivyo kutoa nafasi ya wazo la kwamba farasi na<br />

aliyempamda ndio walioambiwa waje.<br />

MSTARI WA 2<br />

1. Farasi Mweupe<br />

A. “Mweupe au nyeupe, au cheupe” limetumika mara 16 katika <strong>Ufunuo</strong> na mara zote<br />

likimaanisha: usafi, utakatifu, au ushindi.<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!