08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

__________________________________________________<br />

Tartarusi, Sehemu ya Maombolezo (Lk. 16:23; 2 Pet. 2:4). Ufufuo Jehenamu<br />

_____________________________________________________________________________________<br />

Mstali wa Kumi na Tisa (1:19)<br />

1. Uyaandike Mambo Hayo<br />

A. Kwa nini? Faida ya watakatifu waliopo.<br />

1. Premillenialists wanadai sura ya 4-22 yahusisha wakati ujao.<br />

a. Kama ni hivyo, nini tofauti kati ya maneno haya “upesi” (1:1; 22:6) na “u<br />

karibu” (1:3; 22:10)?<br />

Mstali wa Ishirini (1:20)<br />

1. Siri<br />

A. Siri iliyofichika sasa imefunuliwa.<br />

1. Haihusu kitu fulani kinachokamilisha patupu kama ilivyozumgumzwa kabla.<br />

2. 1 Pet. 1:10; Lk. 10:21.<br />

2. Nyota Saba (Malaika)<br />

A. Maelezo ya malaika “kwa” siyo “na kwa”, Ufu. 2:1, 8.<br />

B. Kanisa liliwakilisha kama malaika hapa.<br />

1. Kama ni hivyo Kanisa linawakilishwa kwa namna mbili (malaika na vinara vya taa).<br />

2. Ni kawaida kitu mimoja kuelezeka katika namna nyingi, Yesu ni mlango, njia, taa<br />

n.k.<br />

C. Picha mbili tupatazo<br />

1. Kinara cha taa chatoa mwanga (nuru), uelewe zaidi ni katika Ufu. 2:5.<br />

2. Malaika kiasilia kisichoonekana cha Kanisa.<br />

a. Malaika: kiasili au kioneshi cha ndani wakati kinara cha taa ni kioneshi cha<br />

nje cha Kanisa.<br />

D. Yesu aliwaandikia wale ambao walikuwa na uwezo wa kubadili mambo mabaya katika<br />

Kanisa, Kanisa peke yake.<br />

1. Ukitaka kusahihisha kitu, nani unamwandikia? Ni kwa yule tu ambaye yuko tayari<br />

kutekebiskika hali yake. Utu wetu wa ndani ni lazima kubadilika kabla ya<br />

mabadiliko kuonekana nje.<br />

2. Upanga wenye makali kuwili unasimamia hukumu ijayo.<br />

Yesu katika sura ya kwanza ajionyesha yeye mwenyewe kama ni hai, katika uthibitifu wote, kama nabii,<br />

kuhani na mfalme. Kwa kuonyesha hilo yupo katika hali ya uthibitifu halisi akitawala maisha yetu yote.<br />

Anaweza kuanza kutoa hukumu kwa makanisa saba. Amehakikishwa kwamba asitahili kwa kazi hiyo.<br />

Sura Ya Pili<br />

Sura ya 2:1-3:22 - Hukumu Kwa Makanisa Saba.<br />

Sehemu hii inashugulika na ujumbe maalumu kutoka kwa Kristo kwa miji saba maalumu katika jimbo la<br />

Kirumi kule Asia. Hii ilikuwa ni miji muhimu ya biashara iliyounganishwa na barabara mashuhuri.<br />

Kumbuka Yohana alipeleka taarifa kwa makusanyiko haya kama yalivyoorodheshwa kwenye ramani.<br />

Wengi waamini kuwa hii ilikuwa ni barua ya mzunguko. Ikiandikwa na kupelekwa kwanza kule Efeso hadi<br />

smina, Pergamo ikifuata barabara hadi Laodikia. Ilipelekwa kwa njia ya barabara.<br />

Mstali wa Kwanza (2:1)<br />

Ujumbe Kwa Makanisa Kule Efeso<br />

Ufu. 2:1-7.<br />

1. Malaika<br />

A. Kiasilia kilichofichika cha makanisa (angalia mstali 7 “Kwa makanisa”.)<br />

12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!