Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
__________________________________________________<br />
Tartarusi, Sehemu ya Maombolezo (Lk. 16:23; 2 Pet. 2:4). Ufufuo Jehenamu<br />
_____________________________________________________________________________________<br />
Mstali wa Kumi na Tisa (1:19)<br />
1. Uyaandike Mambo Hayo<br />
A. Kwa nini? Faida ya watakatifu waliopo.<br />
1. Premillenialists wanadai sura ya 4-22 yahusisha wakati ujao.<br />
a. Kama ni hivyo, nini tofauti kati ya maneno haya “upesi” (1:1; 22:6) na “u<br />
karibu” (1:3; 22:10)?<br />
Mstali wa Ishirini (1:20)<br />
1. Siri<br />
A. Siri iliyofichika sasa imefunuliwa.<br />
1. Haihusu kitu fulani kinachokamilisha patupu kama ilivyozumgumzwa kabla.<br />
2. 1 Pet. 1:10; Lk. 10:21.<br />
2. Nyota Saba (Malaika)<br />
A. Maelezo ya malaika “kwa” siyo “na kwa”, Ufu. 2:1, 8.<br />
B. Kanisa liliwakilisha kama malaika hapa.<br />
1. Kama ni hivyo Kanisa linawakilishwa kwa namna mbili (malaika na vinara vya taa).<br />
2. Ni kawaida kitu mimoja kuelezeka katika namna nyingi, Yesu ni mlango, njia, taa<br />
n.k.<br />
C. Picha mbili tupatazo<br />
1. Kinara cha taa chatoa mwanga (nuru), uelewe zaidi ni katika Ufu. 2:5.<br />
2. Malaika kiasilia kisichoonekana cha Kanisa.<br />
a. Malaika: kiasili au kioneshi cha ndani wakati kinara cha taa ni kioneshi cha<br />
nje cha Kanisa.<br />
D. Yesu aliwaandikia wale ambao walikuwa na uwezo wa kubadili mambo mabaya katika<br />
Kanisa, Kanisa peke yake.<br />
1. Ukitaka kusahihisha kitu, nani unamwandikia? Ni kwa yule tu ambaye yuko tayari<br />
kutekebiskika hali yake. Utu wetu wa ndani ni lazima kubadilika kabla ya<br />
mabadiliko kuonekana nje.<br />
2. Upanga wenye makali kuwili unasimamia hukumu ijayo.<br />
Yesu katika sura ya kwanza ajionyesha yeye mwenyewe kama ni hai, katika uthibitifu wote, kama nabii,<br />
kuhani na mfalme. Kwa kuonyesha hilo yupo katika hali ya uthibitifu halisi akitawala maisha yetu yote.<br />
Anaweza kuanza kutoa hukumu kwa makanisa saba. Amehakikishwa kwamba asitahili kwa kazi hiyo.<br />
Sura Ya Pili<br />
Sura ya 2:1-3:22 - Hukumu Kwa Makanisa Saba.<br />
Sehemu hii inashugulika na ujumbe maalumu kutoka kwa Kristo kwa miji saba maalumu katika jimbo la<br />
Kirumi kule Asia. Hii ilikuwa ni miji muhimu ya biashara iliyounganishwa na barabara mashuhuri.<br />
Kumbuka Yohana alipeleka taarifa kwa makusanyiko haya kama yalivyoorodheshwa kwenye ramani.<br />
Wengi waamini kuwa hii ilikuwa ni barua ya mzunguko. Ikiandikwa na kupelekwa kwanza kule Efeso hadi<br />
smina, Pergamo ikifuata barabara hadi Laodikia. Ilipelekwa kwa njia ya barabara.<br />
Mstali wa Kwanza (2:1)<br />
Ujumbe Kwa Makanisa Kule Efeso<br />
Ufu. 2:1-7.<br />
1. Malaika<br />
A. Kiasilia kilichofichika cha makanisa (angalia mstali 7 “Kwa makanisa”.)<br />
12