Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mstari wa Kumi (2:10).<br />
2. Mdo. 21:20-28.<br />
1. Woga<br />
A. Ukweli hakuna cha kuongopa, Mat. 10:28.<br />
2. Watatupwa<br />
A. Shetani anaenda kuwatumia hawa Wayahudi waliofikili ni watakatifu kuwa mawakala wake.<br />
1. Kama alivyokuwa Sauli/Pauli, Mdo 22:3-4.<br />
3. Gereza<br />
A. Tukio kubwa kwa Warkristo, Mdo. 5:21; 12:3-4; 16:23.<br />
4. Majaribu<br />
A. 1 Pet. 1:6-7.<br />
1. Majaribu, kuwapima kama wako kwa Mungu.<br />
5. Siku Kumi<br />
A. Sio kipindi cha muda kamili.<br />
B. Kumbuka mlolongo wa kitarakimu kuna weza kuwapo maelezo ya aina mbili hapa.<br />
1. Siku kumi zaweza kuonyesha kwa ufupi kipindi cha utawala mgumu, Dan. 1:12-16;<br />
Mwa. 31:7; 24:55.<br />
2. Siku kumi zaweza kuwa ukamilifu wa mateso, Num. 14:22-23; Neh. 4:12; Dan.<br />
1:20.<br />
6. Uaminifu hata kufa.<br />
A. Kuwa mwanifu hata wakati wa mauti sio mpaka kufa, Mt. 24:13.<br />
7. Taji<br />
A. Stephano: Taji ya ushindi (1 Pet. 5:4; Yak. 1:12).<br />
1. Alama ya ushindi kama inavyotumika hapa.<br />
B. Tofauti kuliko DIADEMA ambayo ni alama ya ufalme wenye kuheshimika sana (Uf. 12:3;<br />
13:1; 19:12).<br />
C. Taji ya haki ni alama ya ushindi dhidi ya kifo, 2 Tim. 4:8.<br />
Mstari wa Kumi na Moja (2:11)<br />
1. Ashindaye - kushinda<br />
A. Hapa tena ni ulazima wa kuendelea na adha zao mpaka mwisho.<br />
B. Kwa nini hakutakuwa na maumivu?<br />
1. Kama Wakristo watakufa kama Krsito alafu wataishi tena na kutawala pamoja naye.<br />
2. Kifo cha pili<br />
A. Gehenna, maangamizo ya milele kwa waliodhaifu, Ufu. 20:14.<br />
Kanisa la Smirna kweli lilikuwa linapata mateso mikononi mwa Wayahudi walioamini kuwa walikuwa<br />
wanafanya mapenzi ya Mungu kumbe walikuwa mawakala wa Shetani. Lakini kupitia mateso yote<br />
waliyokuwa nayo yaliwafanya wawe na nguvu katika imani zao kwa kuwa hatuoni wakilikataa Kanisa la<br />
Smirna. Ila ujumbe wa matumaini kuwa endapo wakiendelea katika matendo mema, kwa kuwa tutavuna<br />
wakati wa mavuno (Gal. 6:9) watavuna taji yao wenyewe.<br />
Ujumbe Kwa Kanisa La Pergamo<br />
Kiti Cha Shetani<br />
Ufu. 2:12-17.<br />
Mstari wa Kumi na Mbili (2:12)<br />
1. Pergamo<br />
Mataji<br />
1. Ya Uzima - Ufu. 2:10.<br />
2. Ya Wenye haki - 2 Tim. 4:8.<br />
3. Ya Utukufu - 1 Pet. 5:4.<br />
4. Isiyoharibika - 1 Kor. 9:24-25.<br />
5. Ya Weza kuchukuliwa - Ufu. 3:11.<br />
16