Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Sura Ya Nne<br />
3:21 - Ataketi pamoja naye kwenye enzi.<br />
3:21 - Kuketi pamoja na Baba yake.<br />
Utukufu wa Baba<br />
Maono kama yale kwenye sura ya 4 yameruhusiwa mwanzoni mwa kazi ya Ezekiel (Eze. 1) na Isaya (Isa. 6)<br />
Wote wawili wanaruhusiwa kubeba utukufu wa Mungu. Sasa hata katika kitabu cha mwisho katika Biblia,<br />
Yohana anapata maono yale yale. katika hayo yote maono matatu wote wameona kiti cha enzi kikiabudiwa<br />
- Isaya aliona kwenye kiti cha enzi. Maserafi mwenye mabawa sita akilia “Mtakatifu,” Mtakatifu,<br />
Mtakatifu, ni Mungu wa Miungu. Ezekiel aliona kiumbe hai kwenye kiti cha enzi mwenye macho mengi<br />
yenye mbawa nne na mikono miwili. Sasa Yohana anaona viumbe wanne wenye macho mengi na mabawa<br />
sita wakilia, Mtakatifu, mtakatifu, Mtakatifu, Bwana Mungu mwenyezi.<br />
Mstari wa 1 (4:1)<br />
1. Mlango ukafunguka<br />
A. Siyo mlango halisi, kumbuka alikuwa kwenye maono (1:10).<br />
B. Sasa anaanza kuona kukiwa kumefunguliwa ili aweza kujua (Eze. 1:1; Math. 3:16; Mat. 5:56,<br />
10:11).<br />
2. Sauti ya kwanza<br />
A. Hili ni ono la kwanza 1:10, 12.<br />
3. Tarumbeta<br />
A. Angalia: Jinsi ilivyokuwa labda inaonyesha sauti ilivyokuwa kubwa na inasikika 1:10.<br />
4. Ikionyesha mambo ambayo hayana budi kuwako.<br />
A. Angalia 1:1, 19.<br />
B. Siyo baada ya kipindi cha kanisa kama wasemavyo wa - premillennialist.<br />
1. Kutoka wakati huo na kuendelea.<br />
C. Inaonyeshesha ulazima wa moyo.<br />
Mstari wa 2<br />
1. Katika Roho<br />
A. Kuja ulimwenguni kwenye sehemu ya utakatifu wa Mungu (Eze. 3:12; 8:3 angalia pia<br />
maelezo ya sura 1:10).<br />
2. Kiti cha enzi.<br />
A. Imetumika mara 38 katika <strong>Ufunuo</strong>.<br />
B. Enzi inamaanisha ni nini?<br />
1. Mamlaka ya kifalme ya Mungu, Eze. 1:26-28.<br />
2. Ujumbe ni kwamba usiwe na wasiwasi na utawala wa Mungu.<br />
3. Mmoja akaaye kwenye kiti cha enzi.<br />
A. Neno, “mmoja” sio neno la asili hata hivyo linamaanisha.<br />
1. Mungu ndiye atakayekuwa mmoja kwenye kiti cha enzi, Eze. 1:28; Uf. 4:8.<br />
Jiwe la Thamani linalotajwa kwenye kiti cha enzi - Msitari wa 3<br />
1. Yaspi<br />
A. Jiwe lenye rangi nyingi (Uf. 21:11, safi).<br />
1. Inaonyesha haki na utakatifu wa Mungu.<br />
2. Jiwe lenyewe lilikuwa na rangi tofauti tofauti rangi nzuri kuliko ni papuri papuri<br />
Vincent 476.<br />
3. Nyingi kama 14, I.S.B.E. Vo.. 4. 2860<br />
4. Yaspi inasemwa kuwa almasi Halley’s Bible Handbook, 709.<br />
2. Sadonika: AKIKI<br />
A. Inawakilisha hukumu na haki.<br />
B. Kuna aina mbili tofauti, moja njano, nyingine rangi nyekundu angaru.<br />
C. Rangi ya machungua Vincent 476.<br />
28