08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sura Ya Nne<br />

3:21 - Ataketi pamoja naye kwenye enzi.<br />

3:21 - Kuketi pamoja na Baba yake.<br />

Utukufu wa Baba<br />

Maono kama yale kwenye sura ya 4 yameruhusiwa mwanzoni mwa kazi ya Ezekiel (Eze. 1) na Isaya (Isa. 6)<br />

Wote wawili wanaruhusiwa kubeba utukufu wa Mungu. Sasa hata katika kitabu cha mwisho katika Biblia,<br />

Yohana anapata maono yale yale. katika hayo yote maono matatu wote wameona kiti cha enzi kikiabudiwa<br />

- Isaya aliona kwenye kiti cha enzi. Maserafi mwenye mabawa sita akilia “Mtakatifu,” Mtakatifu,<br />

Mtakatifu, ni Mungu wa Miungu. Ezekiel aliona kiumbe hai kwenye kiti cha enzi mwenye macho mengi<br />

yenye mbawa nne na mikono miwili. Sasa Yohana anaona viumbe wanne wenye macho mengi na mabawa<br />

sita wakilia, Mtakatifu, mtakatifu, Mtakatifu, Bwana Mungu mwenyezi.<br />

Mstari wa 1 (4:1)<br />

1. Mlango ukafunguka<br />

A. Siyo mlango halisi, kumbuka alikuwa kwenye maono (1:10).<br />

B. Sasa anaanza kuona kukiwa kumefunguliwa ili aweza kujua (Eze. 1:1; Math. 3:16; Mat. 5:56,<br />

10:11).<br />

2. Sauti ya kwanza<br />

A. Hili ni ono la kwanza 1:10, 12.<br />

3. Tarumbeta<br />

A. Angalia: Jinsi ilivyokuwa labda inaonyesha sauti ilivyokuwa kubwa na inasikika 1:10.<br />

4. Ikionyesha mambo ambayo hayana budi kuwako.<br />

A. Angalia 1:1, 19.<br />

B. Siyo baada ya kipindi cha kanisa kama wasemavyo wa - premillennialist.<br />

1. Kutoka wakati huo na kuendelea.<br />

C. Inaonyeshesha ulazima wa moyo.<br />

Mstari wa 2<br />

1. Katika Roho<br />

A. Kuja ulimwenguni kwenye sehemu ya utakatifu wa Mungu (Eze. 3:12; 8:3 angalia pia<br />

maelezo ya sura 1:10).<br />

2. Kiti cha enzi.<br />

A. Imetumika mara 38 katika <strong>Ufunuo</strong>.<br />

B. Enzi inamaanisha ni nini?<br />

1. Mamlaka ya kifalme ya Mungu, Eze. 1:26-28.<br />

2. Ujumbe ni kwamba usiwe na wasiwasi na utawala wa Mungu.<br />

3. Mmoja akaaye kwenye kiti cha enzi.<br />

A. Neno, “mmoja” sio neno la asili hata hivyo linamaanisha.<br />

1. Mungu ndiye atakayekuwa mmoja kwenye kiti cha enzi, Eze. 1:28; Uf. 4:8.<br />

Jiwe la Thamani linalotajwa kwenye kiti cha enzi - Msitari wa 3<br />

1. Yaspi<br />

A. Jiwe lenye rangi nyingi (Uf. 21:11, safi).<br />

1. Inaonyesha haki na utakatifu wa Mungu.<br />

2. Jiwe lenyewe lilikuwa na rangi tofauti tofauti rangi nzuri kuliko ni papuri papuri<br />

Vincent 476.<br />

3. Nyingi kama 14, I.S.B.E. Vo.. 4. 2860<br />

4. Yaspi inasemwa kuwa almasi Halley’s Bible Handbook, 709.<br />

2. Sadonika: AKIKI<br />

A. Inawakilisha hukumu na haki.<br />

B. Kuna aina mbili tofauti, moja njano, nyingine rangi nyekundu angaru.<br />

C. Rangi ya machungua Vincent 476.<br />

28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!