Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mstari Wa 17 (3:17)<br />
1. Kwa kuwa<br />
A. Hapa tunayo sababu ya Bwana wetu kukasirika na hili Kusanyiko.<br />
1. . .. Unasema, mimi ni tajiri na kuongezeka kwa bidhaa, na huitaji kitu chochote.<br />
a) Je, ni sambamba na Kut. 12:16-21? (Mfano wa Tajiri mpumbavu) 1 Yon.<br />
2:15-17.<br />
B. Waliweka macho yao kwa vitu vya mwilini kuliko vitu vya kiroho, tegemea<br />
mambo ya Kiroho Rum. 8:4.<br />
2. Nawe hujuhi<br />
A. Kweli walikuwa hawajuhi nafasi yao kwa Mungu.<br />
3. Mnyonge<br />
A. Mtu mnyonge.<br />
B. Hawa ambao hawajabarikiwa.<br />
4. Mwenye mashaka<br />
A. Kuwa na wasiwasi.<br />
B. Kwa nini kuweka macho kwenye vitu vibaya?<br />
5. Masikini<br />
A. Japo ni matajiri lakini siyo kweli.<br />
B. Walikuwa matajiri wa vitu vya kimwili lakini masikini wa Kiroho (Mt. 6:19-20)<br />
6. Kipofu<br />
A. Siyo kipofu wa macho<br />
B. Kimwili wanaona kwa macho yao lakini Kiroho ni vipofu.<br />
1. Mboni za macho yao haziwasaidii.<br />
7. Uchi<br />
A. Walikuwa matajiri katika hii dunia, lakini walikuwa na matatizo kiroho na mbele ya macho<br />
ya Mungu.<br />
1. Mavaziyao hayawezi kumficha Mungu kuona ukweli.<br />
Msitari wa 18 (3:18)<br />
1. Nunua<br />
A. Je, Yesu atafanya biashara na laudikia?<br />
1. Angalia Mt. 13:44-46 (mfano wa hazina iliyofichwa).<br />
B. Vitu vya ki-Mungu vinatolewa bure rum. 6:23, hata hivyo vina gharama yake.<br />
1. Kujisafisha mwenyewe na dhambi (Lk. 9:23).<br />
2. Dhahabu<br />
A. Siyo dhahabu halisi, Landikia walikuwa tayari matajiri.<br />
B. Lakini huu ni mtazamo katika kumpokea Kristo, Ukristo wa kweli Wakol. 2:3.<br />
1. Ni wazi kuwa dhahabu itapotea ina matatizo (1 Pet. 1:7, 18).<br />
3. Tajiri<br />
A. Kiroho<br />
4. Mavazi meupe<br />
A. Weupe ni alama ya nini? Usafi, Math. 22:11-13 - Nguo za harusi.<br />
B. Baadaye, nguo nyeupe zinasemwa kuwa ni matendo ya wenye haki ya watakatifu (19:8).<br />
1. Matamanio yake ni kuwa itavalishwa katika haki.<br />
5. Dawa ya macho<br />
A. Inaonyesha kwa uangalifu wa neno la Mungu linavyofundisha kwenye maisha yao ili waweza<br />
kuona katika hali ya kiroho.<br />
1. Math. 13:13-17 (Isa. 6:9-10).<br />
Mstari 19 (3:19)<br />
1. Upendo<br />
A. Hapa anatoa sababu ya kuwakemea.<br />
B. Kukemea na kuwarudi.<br />
1. Kuongezeka (1 Tim. 5:20, Tit. 1:13; 2:15, Eb. 12:4-13).<br />
2. Tubu.<br />
A. Kurudishwa kwa kukemea (1 Cor. 5:1-5; 2 tim. 3:16-17).<br />
26