Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
Ufunuo - kanisalakristo
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
A. Haijulikani<br />
2. Kibaba<br />
A. Kipimo cha unga wa nafaka (kisichozidi robo) kilitumika kama kukadiria mlo wa mtu kwa<br />
siku.<br />
3. Nusu rupia<br />
A. Shilingi - dinari - sarafu yenye thamani ya pence (sarafu ya kiingereza) 81 au kadiri ya Sh.<br />
16.75.<br />
4. Shayiri<br />
A. Ngano au shaijiri - walikuwa na uchaguzi lakini chochote kilichochaguliwa hakiku tosheleza<br />
familia.<br />
5. Mafuta na Divai<br />
A. Hivi hauikuathiriwa kabisa.<br />
B. Hivi vilisimamia faraja katika maisha, zaidi ya baa la njaa tuna matatizo ya kiuchumi, -<br />
<strong>Ufunuo</strong> 13:17.<br />
MSTARI WA 7<br />
1. Muhuri ya Nne (4)<br />
A. Litangulizi wa mahuri ya nne.<br />
MSTARI WA 8<br />
1. Farasi wa Kijivu<br />
A. Kijivu - rangi ya mtu aliyepigwa na hofu ya kifo.<br />
2. Mauti<br />
A. Mauti, inasimamia utawala dhalimu, ni lugha ya umbo inayopatikana mara nyingi katika<br />
maandiko. Rumi - 5:14; 6:9, 1 Kor. 15:55.<br />
B. Ni vigezo vya mauti - kwa vita, njaa, magonjwa, hayawani wa nchi - sio watu watauwa (watu<br />
wa Mungu).<br />
C. Matatizo yanayosababishwa na shetani akijambu kushinda vita yake.<br />
3. Kuzimu<br />
A. Kuzimu - Ufuno 20:13.<br />
B. Mauti - hutisha ambapo kuzimu huvuma.<br />
4. Walipewa Nguvu<br />
A. Mamlaka - Haikuchukuliwa.<br />
B. Mauti ingeenea sana, wengi wangekufa na kwenda kuzimu.<br />
5. Robo ya nchi<br />
A. Idadi kubwa ya watu.<br />
6. Dunia<br />
A. Wanafunzi wengi wanaafika kuwa hii ina maana ni dola ya Warumi.<br />
7. Kuua kwa upanga.<br />
A. Hapa ni upanga wa vita (Rhomphia) hapatanani na mstari wa nne (4).<br />
8. Njaa<br />
A. Njaa hii si sawa na ile ya mstari wa 6 iliyonyesha uhaba au upungufu.<br />
9. Mauti<br />
A. Maradhi mabaya ya kuambukiza.<br />
10. Hayawani<br />
A. Labda ni watawala wakatili wenye kumwaga damu.<br />
MSTARI WA 9<br />
1. Madhabahu<br />
A. Anjalia <strong>Ufunuo</strong> 8:3.<br />
B. Wakati wa ibada hekalumi sadaka za wanyama zilitolewe hapo - Lawi 4:7.<br />
1. Na hawa waliuawa kwa sababu ya kuwa waaminifu kwa Neno la Mungu, walione<br />
kama chini ya madhabahu kwami damu zao zilimiminwa chini ya madhabahu.<br />
2. Nafsi (roho)<br />
A. Nafsi ni uhai - Lawi 17:11, Mwa. 2:7.<br />
38