08.06.2013 Views

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

Ufunuo - kanisalakristo

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

A. Haijulikani<br />

2. Kibaba<br />

A. Kipimo cha unga wa nafaka (kisichozidi robo) kilitumika kama kukadiria mlo wa mtu kwa<br />

siku.<br />

3. Nusu rupia<br />

A. Shilingi - dinari - sarafu yenye thamani ya pence (sarafu ya kiingereza) 81 au kadiri ya Sh.<br />

16.75.<br />

4. Shayiri<br />

A. Ngano au shaijiri - walikuwa na uchaguzi lakini chochote kilichochaguliwa hakiku tosheleza<br />

familia.<br />

5. Mafuta na Divai<br />

A. Hivi hauikuathiriwa kabisa.<br />

B. Hivi vilisimamia faraja katika maisha, zaidi ya baa la njaa tuna matatizo ya kiuchumi, -<br />

<strong>Ufunuo</strong> 13:17.<br />

MSTARI WA 7<br />

1. Muhuri ya Nne (4)<br />

A. Litangulizi wa mahuri ya nne.<br />

MSTARI WA 8<br />

1. Farasi wa Kijivu<br />

A. Kijivu - rangi ya mtu aliyepigwa na hofu ya kifo.<br />

2. Mauti<br />

A. Mauti, inasimamia utawala dhalimu, ni lugha ya umbo inayopatikana mara nyingi katika<br />

maandiko. Rumi - 5:14; 6:9, 1 Kor. 15:55.<br />

B. Ni vigezo vya mauti - kwa vita, njaa, magonjwa, hayawani wa nchi - sio watu watauwa (watu<br />

wa Mungu).<br />

C. Matatizo yanayosababishwa na shetani akijambu kushinda vita yake.<br />

3. Kuzimu<br />

A. Kuzimu - Ufuno 20:13.<br />

B. Mauti - hutisha ambapo kuzimu huvuma.<br />

4. Walipewa Nguvu<br />

A. Mamlaka - Haikuchukuliwa.<br />

B. Mauti ingeenea sana, wengi wangekufa na kwenda kuzimu.<br />

5. Robo ya nchi<br />

A. Idadi kubwa ya watu.<br />

6. Dunia<br />

A. Wanafunzi wengi wanaafika kuwa hii ina maana ni dola ya Warumi.<br />

7. Kuua kwa upanga.<br />

A. Hapa ni upanga wa vita (Rhomphia) hapatanani na mstari wa nne (4).<br />

8. Njaa<br />

A. Njaa hii si sawa na ile ya mstari wa 6 iliyonyesha uhaba au upungufu.<br />

9. Mauti<br />

A. Maradhi mabaya ya kuambukiza.<br />

10. Hayawani<br />

A. Labda ni watawala wakatili wenye kumwaga damu.<br />

MSTARI WA 9<br />

1. Madhabahu<br />

A. Anjalia <strong>Ufunuo</strong> 8:3.<br />

B. Wakati wa ibada hekalumi sadaka za wanyama zilitolewe hapo - Lawi 4:7.<br />

1. Na hawa waliuawa kwa sababu ya kuwa waaminifu kwa Neno la Mungu, walione<br />

kama chini ya madhabahu kwami damu zao zilimiminwa chini ya madhabahu.<br />

2. Nafsi (roho)<br />

A. Nafsi ni uhai - Lawi 17:11, Mwa. 2:7.<br />

38

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!